Author: Sukuma legacy

822. MBILIZI ILENDELILE HIYENE IYAGULYA MBIYU.

Ulusumo lunulo, lulolile bhulendelezu bho mbilizi iyo igakenagulaga jiliwa ja bhanhu. Imbilizi yiniyo, igikalaga ilendelile guti giki idakenagulaga ijiliwa ja bhanhu bhenabho, umukikalile kayo, aliyo gashinaga huna yene iyo igajilyaga imbiyu yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijyaga kuli munhu uyo agikalaga abhisile nhungwa ja bhubhi, ulu ahumulile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajibhisaga inhungwa jakwe ija bhubhi jinijo bho bhuhumuzu bhokwe, kugiki bhadizumbadija wangu abhiye bhenabho. Aliyo lulu, ulu wandya uguyomba, agayombaga mihayo ya bhukenagaji bho jikolo ja bhiye. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe, kunguno ya nhung’wa jakwe ija bhibhu jinijo, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbilizi iyo igalyaga mbiyu ja bhanhu aliyo, ilindendelezu, kunguno nuweyi alinhumuzi aliyo alina nhungwa ja gukenagula jikolo ja bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulekana na nhungwa ja bhukenaguji bho jikolo ja bhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 14:5.

KISWAHILI: KIWAVI KIZUBAIFU NDICHO KINACHOKULA MBEGU.

Methali hiyo, huangalia uzubaifu wa kiwavi ambacho huharibu vyakula vya watu. Kiwavi hicho, huwa kimezubaa kama kwamba hakiharibu vyakula vya watu hao, kumbe ndicho chenyewe kinachokula mbegu zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kiwavi kizubaifu ndicho kinachokula mbegu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuficha tabia yake ya kutenda maovu katika ukimya wake, maishani mwake. Mtu huyo, huificha tabia yake hiyo mbaya, kwa kukaa kimya, ili asijulikane mapema kwa wenzake. Lakini akiongea kutoa maneno ya kuharibu mali za wenzake. Yeye hugonganisha familia za watu kwa sababu ya maneno yake hayo maovu anayoyaongea, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiwavi kilichokula mbegu za watu, wakati ni kizubaifu, kwa sababu naye ni mkimya lakini ana tabia ya kuharibu mali za wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kiwavi kizubaifu ndicho kinachokula mbegu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuharibu mali za wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuzilea na kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Warumi 14:5.

caterpillar-

garden-

caterpillar-1

 ENGLISH: THE WEAK CATERPILLAR IS THE ONE THAT EATS THE SEEDS.

This proverb looks at the caterpillar’s habitat which destroys people’s food. Such caterpillar walked so slowly as if it was not destroying people’s food while it was the one that ate their seeds. That is why the saying goes, “the weak caterpillar is the one that eats the seeds.”

This proverb is likened to a man who lives by hiding his evil deeds in his silence. This person hides his bad behavior by keeping quiet, so that he will not be known to his colleagues in advance. But he talks words that destroy properties of his fellows. He disunites people’s families because of his evil words that he speaks in his life.

This man is like the caterpillar that ate the seeds of people despite its laziness, because he is also silent but has a tendency of destroying properties of his fellows in life. That is why people say that “the weak caterpillar is the one that eats the seeds.”

This proverb imparts in people an idea of stopping the habit of destroying properties of others, in their lives, so that they can nurture and develop their families.

Romans 14: 5.

821. BHUGOKOLO BHO BHANGUZU ILI NGUZU YA BHAGOKOLO.

Olihoyi munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo agapandika nguzu ja gwikomeja kutumama milimo yakwe, aho omona uyo alina nguzu alinga kunimo gokwe, aliyo itali dilu.

Gashinga lulu, umunhu ungokolo ulu umana igiki ung’wiye uo nguzu alina bhugokolo guti bhokwe, agabhizaga na bhiganiki bho giki, nuweyi adulile gwita milimo mitale, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhukogolo bho bhanguzu ili nguzu ya bhagokolo.”

Ulusumo lunulo, lugalenaganijiyawa kuli munhu uyo agagalukaga umukajile gwinga mu nhungwa ja bhubhi oja mu ja wiza, umuwikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile uwinogolelwa bhokwe, hunagwene agacholaga nzila ja guwinja kugiki apandike matwajo mingi, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga wasa bho gwilanga mihayo ya wiza kubhanhu abho bhagang’winhaga nguzu ja gutumama chiza, umu milimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngokolo uyo agibhona o solobho, bho gubhumana ubhugokolo bho ng’wiye uonguzu, kunguno nuweyi agalekanaga ni nhungwa ija bhubhi, obhiza na ja wiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhukogolo bho bhanguzu ili nguzu ya bhagokolo.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Waebrania 12:5.

KISWAHILI: UVIVU WA WENYE NGUZU NI NGUVU YA WAVIVU.

Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa mvivu wa kufanya kazi zake. Mtu huyo, alipata nguvu za kuyatekeleza majukumu yake hayo, baada ya kumuona mwenye nguvu akirudi nyumbani kutoka kazini ikiwa bado asubuhi.

Kumbe basi, mtu mvivu akielewa kwamba mwenzake ambaye ni mwenye nguvu za kufanya kazi ana uvivu kama wake, hujifikiria kuwa naye aweza kufanya kazi kubwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “uvivu wa wenye nguvu ni nguvu ya wavivu.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujirekebisha kwa kuondoa udhaifu wake ili aweze kuwa mtu bora, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa udhaifu alio nao, ndiyo maana hutafuta njia za kuuondoa ili apate mafanikio mengi, katika maisha yake. Yeye hupata nafasi ya kujifunza kupitia mifano mbalimbali ya watu anaoishi nao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mvivu yule aliyejiona wa maana baada ya kuuona uvivu wa mwenye nguvu, kwa sababu naye huachana na tabia za kutenda maovu, ili aweze kutenda mema, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uvivu wa wenye nguvu ni nguvu ya wavivu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi zao, katika maisha yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Waebrania 12:5.kigali-

people work1

africa2

ENGLISH: THE LAZINESS OF THE STRONG IS THE STRENGTH OF THE LAZY.

There was a man who was too lazy in doing his work. He however, gained strength to carry out his duties, after seeing a powerful man returning home from work in the early hours of the morning.

When this lazy person realized that his colleague who is strong enough to work is as lazy as his own, he thought that he too could do great works in life. That is why people say, “the laziness of the strong is the strength of the lazy.”

This proverb is likened to a man who corrects himself by removing his weaknesses so that he can be a better person in his life. He understands his weakness that is why he seeks ways to get rid of it so that he can be more successful in life. He gets chances for learning through various examples of the people whom he lives with in his family.

This person is like the lazy man who thought that he is important, after seeing the laziness of the strong one, because he also gives up habits of doing evil, so that he can do good deeds in his life. That is why people say to him, “the laziness of the strong is the strength of the lazy.”

This proverb teaches people on how to be diligent enough to fulfill nicely their families responsibilities, so that they may have more wealth in their societies.

Hebrews 12: 5.

 

820. KUNG’WENYA IKIGUTAJA.

Akahayile kenako, kingilile kuli munhu uyo obhasumbilaga abhageni wakwe, bho lihanga lya bhuyegi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, obhinhaga lubhango logudula gubhigutya abhageni bhakwe bhenabho.

Gashinaga lulu, ung’wikaji ulu ug’wanukula ungeni bho bhuyegi agung’wigutya, kunguno agung’winha wasa bho gwiyigwa guti giki wigutaga, nulu jigabhiza jidololo ijiliwa jakwe.  Ulu jafunyiagwa na moyo ng’wela na bhuyegi ijiliwa jinijo jigutosha duhu ugung’witya ungeni ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kung’wenya ikigutaja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutogwa bho gwikala na bhanhu bho bhuyegi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho gwiyambilija na bhiye bhayegile kihamo. Uweyi agabhasumbilaga chiza abhageni bhakwe, kunguno bhagabhubhonaga ubhuyegi bhokwe, bho kikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhigutyagwa abhageni bhakwe bho gubhasumbila na bhuyegi, kunguno nu weyi alina bhutogwa bho gwikala nabhiye bho bhuyegi bhunubho. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe higulya ya gubhiza na bhutogwa  kubhanhu bhabho, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “kung’wenya ikigutaja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhasumbila na bhuyegi abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Waebrania 13:1-2.

KISWAHILI: TABASAMU HUSHIBISHA.

Msemo huo, ulitokea kwa mtu yule ambaye alikuwa na tabia ya kuwakaribisha wageni wake kwa furaha, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akiwapa Baraka wageni wake hao zenye furaha ya kuwawezesha kujisikia kama wameshiba.

Kumbe basi, mwenyeji akimpokea mgeni kwa furaha humshibisha kwa sababu ya kumpatia hali ya kujisikia kama ameshiba, hata kama chakula chake kitakuwa kidogo. Chakula hicho kikitolewa kwa moyo mweupe uliojaa furaha, kitamtosha kumshibisha mgeni wake huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tabasamu hushibisha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye upendo wa kuishi na watu kwa furaha na uchangamfu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kusaidiana na wenzake akiwa katika hali ya furaha. Yeye huwakaribisha wageni wake vizuri kwa sababu ya wao, kuiona furaha yake hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewashibisha wageni wake kwa kuwapokea akiwa na uso wa tabasamu, kwa sababu naye ana upendo wa kuishi na wenzake kwa furaha hiyo. Yeye huwafundisha pia watu wake juu ya kuuishi upendo huo, katika maisha yao. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “tabasamu hushibisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwakaribisha wageni wao kwa furaha, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Waebrania 13:1-2.

ENGLISH: A SMILE MAKES ONE SATISFIED.

This saying came from the man who had a habit of welcoming his guests at his family with joy. He was blessing them with sacred sign which gave to them a joy of making them feel as if they were satisfied.

On the other hand, if a host welcomes a visitor, he will satisfy him/her with the feeling of being satisfied, even if his food is meager. This means that, some food which is provided with a happy heart will suffice to satisfy the guest. That is why people say, “a smile makes one satisfied.”

This saying is likened to a person who likes to live with people happily and cheerfully in life. This person, in turn, fulfills his or her responsibilities by helping others in a happy manner. He/she warmly welcomes guests to the point of giving joy to them.

This person resembles the one who entertained his guests by welcoming them with a smile on his face, because he too likes to live happily with his/her friends. He/she also teaches people on how to live peacefully with others in their families. That is why he/she tells people that, “a smile makes one satisfied.”

This saying teaches people about having a genuine love of welcoming their guests happily, in their families, so that they can live in peace with one another in their societies.

Hebrews 13: 1-2.

819. BHUNONU BHO CHAYI SUKARI.

Ichayi jilijing’wiwa ijo jigatumilaga na bhanhu bhingi. Aliyo lulu, ichayi yiniyo ulu idina sukari idabhizaga na bhunonu. Iyoyi mpaga igaditilagwa sukari naya nona lulu. Hunagwene abhahu bhagayombaga giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadililaga chiza abhanhu bho gulola bhumunhu bhobho, idi bho gulola mahanga gabho duhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilijaga ugubhitilia mito ga wiza abhiye, kunguno aidebhile isolobho  ya bhu munhu bhobho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umumilimo yakwe, kunguno ya gubhiza na wambilijiwa bho bhanhu bhingi abho bhatogilwe ugwikala nag’hwe, akahaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni sukari iyo iganonhyaga chayi, kunguno nu weyi alina nhungwa ja wiza ijo jigabhudililaga ubhumunhu bho bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhunonu bho chayi sukari.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja wiza ija gubhambilija abhichabho bho gulola bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gupandika mtwajo mingi, umubhutumami bho milimo yabho, shigu jose.

Mathayo 12:32-35.

KISWAHILI: UTAMU WA CHAI SUKARI.

Chai ni kinyaji ambacho watu wengi hukinywa. Lakini basi, chai hiyo, kama haijatiwa sukari huwa haiwi tamu. Yenyewe mpaka iwekewe sukari ndipo ipate utamu wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu kwa kuangalia utu wao, badala ya kuangalia sura zao tu, katika maisha yake. Mtu huyo, ana tabia njema ambayo humsaidia katika kutenda matendo mema, kwa wenzake, kwa sababu ya yeye kuwa na ufahamu juu ya utu wa watu wake hao. Yeye hupata mafanikio mengi katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu ya kupata msaada kutoka kwa watu wengi wanapenda kuishi naye, kwenye familia yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na sukari ambayo huleta utamu kwenye chai, kwa sababu naye anayo tabia njema ambayo humwezesha kuujali utu wa wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “utamu wa chai sukari.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia wenzao, kwa kuuangalia utu wao bila kujali sura zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao, siku zote.

Mathayo 12:32-35.

ethiopia-tea

africa-tea

drink-

ENGLISH: THE SWEETNESS OF TEA IS SUGAR.

Tea is a beverage that most people drink. But then, if it is not added sugar, it is not sweet. It gets its sweetness when sugar is added to it. That is why people say, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb is likened to a man who cares deeply about people by looking at their personalities, rather than just their appearance in life. Such person has a good attitude that helps him in doing good deeds to others, because of him being aware of the dignity of them. He finds great success in fulfilling his responsibilities, because of the support of many people who like to live with him, in his family.

This person is like some sugar that brings sweetness to the tea, because he also has a good attitude that enables him to take care of his colleagues’ dignities in his society. That is why he tells people that, “the sweetness of tea is sugar.”

This proverb instills in people an idea on how to be good at helping others, by looking at their personalities regardless of their appearance, so that they can be more successful, in carrying out their daily responsibilities in their societies.

Matthew 12: 32-35.

818. ULULIMI LUGUBISHE KULWA JILIWA IDI BHO MIHAYO.

Ulusumo lunulo, lulolile lulimi na katumamile kalo. Ululimi lunulo, ulu lupya jiliwa jisebhu, nulu minzi masebhu, lugasadyaga. Aliyo lulu, uloyi nulu munhu uyomba mamihayo bho ululimu lokwe ayo gali mabhi, lugasadyaga. Gashinaga lulu, ili hambohambo ugusatya ulu wapyaga jiliwa gukila ugusatya bho mihayo iyo waombaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agalutumamilaga chiza ululimi lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga tamu imhayo iyi ili ni kujo iyo idulile gubhalela chiza abhanhu bhakwe, naoyiyomba, kunguno adebhiye isolobho ya gulutumila chiza ululimi lokwe lunulo.

Isolobho jinijo, jili kihamo na gubhalumanya abhanhu bhakwe kugiki bhadule gwikala bho witogwi, umukikalile kabho. Uweyi agadebhile amakoye gaguyomba mihayo ya bhubhi, guti kuyomba majiduki ayo gagalisanyaga bhanhu mpaga bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene agabhalangaga abhanhu kugiki bhatumile chiza indimi jabho, bho gubhawila giki, “ululimu lugubishe kulwa jiliwa idi bho mihayo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujitumila chiza indimi jabho, bho guyomba mihayo ikujo umumahoya gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1 Yohana 1:6.

KISWAHILI: ULIMI UKUCHOME KWA CHAKULA SIO KWA MANENO.

Methali hiyo, huangalia ulimu na matumizi yake. Ulimi huo ukiungua chakula cha moto, au maji ya moto, huuma. Lakini pia, mtu akiongea maneno mabaya kwa kuutumia ulimi huo, huuma.

Kumbe basi, ni afadhali kuuma kwa kuunguzwa na chakula cha moto au maji ya moto, kuliko kuumizwa kwa maneno uliyoyangea kwa kutumia ulimi huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia vizuri ulimi wake anapoongea na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufikiria kwanza maneyo yenye hekima yanayoweza kuwalea vizuri watu wake, ndipo anayatumia wakati wa kuongea nao, kwa sababu anafahamu faida za maneno hayo, na hasara za kutumia maneno yasiyo na hekima, katika maisha yake.

Faida hizo, ni pamoja na kuwaunganisha watu wake kiasi cha kutosha kuwawezesha kuishi kwa upendo, katika familia zao. Yeye anazifahamu pia hasara za kuongea maneno mabaya kupitia ulimi wake ambazo ni pamoja na kuwagombanisha watu wake, na kusambalatisha miji au familia zao. Ndiyo maana huwafundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuwaambia kwamba, “ulimi ukuchome kwa chakula sio kwa maneno.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao, kwa kuongea maneyo yenye hekima wanapoongea na wenzao katika maisha yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

1 Yohana 1:6.

kitchen-

child3

smile