Ulusumo lunulo, lulolile bhulendelezu bho mbilizi iyo igakenagulaga jiliwa ja bhanhu. Imbilizi yiniyo, igikalaga ilendelile guti giki idakenagulaga ijiliwa ja bhanhu bhenabho, umukikalile kayo, aliyo gashinaga huna yene iyo igajilyaga imbiyu yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijyaga kuli munhu uyo agikalaga abhisile nhungwa ja bhubhi, ulu ahumulile, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajibhisaga inhungwa jakwe ija bhubhi jinijo bho bhuhumuzu bhokwe, kugiki bhadizumbadija wangu abhiye bhenabho. Aliyo lulu, ulu wandya uguyomba, agayombaga mihayo ya bhukenagaji bho jikolo ja bhiye. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe, kunguno ya nhung’wa jakwe ija bhibhu jinijo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbilizi iyo igalyaga mbiyu ja bhanhu aliyo, ilindendelezu, kunguno nuweyi alinhumuzi aliyo alina nhungwa ja gukenagula jikolo ja bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulekana na nhungwa ja bhukenaguji bho jikolo ja bhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Warumi 14:5.
KISWAHILI: KIWAVI KIZUBAIFU NDICHO KINACHOKULA MBEGU.
Methali hiyo, huangalia uzubaifu wa kiwavi ambacho huharibu vyakula vya watu. Kiwavi hicho, huwa kimezubaa kama kwamba hakiharibu vyakula vya watu hao, kumbe ndicho chenyewe kinachokula mbegu zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kiwavi kizubaifu ndicho kinachokula mbegu.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuficha tabia yake ya kutenda maovu katika ukimya wake, maishani mwake. Mtu huyo, huificha tabia yake hiyo mbaya, kwa kukaa kimya, ili asijulikane mapema kwa wenzake. Lakini akiongea kutoa maneno ya kuharibu mali za wenzake. Yeye hugonganisha familia za watu kwa sababu ya maneno yake hayo maovu anayoyaongea, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na kile kiwavi kilichokula mbegu za watu, wakati ni kizubaifu, kwa sababu naye ni mkimya lakini ana tabia ya kuharibu mali za wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kiwavi kizubaifu ndicho kinachokula mbegu.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuharibu mali za wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuzilea na kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.
Warumi 14:5.
ENGLISH: THE WEAK CATERPILLAR IS THE ONE THAT EATS THE SEEDS.
This proverb looks at the caterpillar’s habitat which destroys people’s food. Such caterpillar walked so slowly as if it was not destroying people’s food while it was the one that ate their seeds. That is why the saying goes, “the weak caterpillar is the one that eats the seeds.”
This proverb is likened to a man who lives by hiding his evil deeds in his silence. This person hides his bad behavior by keeping quiet, so that he will not be known to his colleagues in advance. But he talks words that destroy properties of his fellows. He disunites people’s families because of his evil words that he speaks in his life.
This man is like the caterpillar that ate the seeds of people despite its laziness, because he is also silent but has a tendency of destroying properties of his fellows in life. That is why people say that “the weak caterpillar is the one that eats the seeds.”
This proverb imparts in people an idea of stopping the habit of destroying properties of others, in their lives, so that they can nurture and develop their families.
Romans 14: 5.