Ulusumo lunulo, lwandija kuli munhu o songo uyo oyigubijaga bho guzwala malole. Umunhu ng’wunuyo agamona ng’wiye uyo ali na songo wandya guyunseka giki alina liso ilo lidabhonaga. Uweyi wiganikaga giki abhanhu bhaduyibhona isongo yakwe kunguno ya guigubija bho malole ayo ogazwalaga genayo.
Ohayimanile, gagwa amalole gakwe aho alinseka ung’wiye uo songo ng’winuyo, abhanhu bhuyibhona isongo yakwe iyo oyigubijaga mumalole gakwe genayo. Hunagwene bhagang’wila giki, “guseka songo ya ng’wiyo iyako wagubijaga!”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasekaga abhiye abho bhahubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agabhasekaga abho bhitaga mito gabhubhi, kunguno adadebhile igiki nuweyi adulile guhubha aha shigu ijahabhutongi. Uweyi agachaga soni noyi ulu ohubha bho gugita amito agabhubhi genayo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’winuyo agikolaga nu osongo uyo osekaga songo ya ng’wiye ukunhu oyigubijaga iyakwe, kunguno nuweyi agabhasekaga abhiye abho bhitaga mito ga bhubhi, ayo agabhonaga soni ulu ogita nang’hwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “guseka songo ya ng’wiyo iyako wagubijaga!”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja gubhaseka abhichabho abho bhahubhaga, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiyambilija bho gwitongela chiza, umuwikaji bhobho.
Warumi 2:1.
1Wakorintho 4:5.
Mathayo 7:1-5.
Marko 4:24.
KISWAHILI: KUCHEKA CHONGO YA MWENZIO NA HALI YAKO UMEIFUNIKA!
Methali hiyo, ilinzia kwa mtu yule ambaye alikuwa na chongo aliyekuwa ikiificha kwa kuvaa miwani. Mtu huyo, alimuona mwenzake mwenye chongo akaanza kumcheka kwa vile alimuona akiwa na jicho lisiloona. Yeye alifikiria kwamba watu hawataweza kuiona chongo yake kwa sababu ya kuifunika kwa miwani hiyo aliyoivaa.
Alishitukia, miwani yake ikaanguka wakati akimcheka mwenzake huyo mwenye chongo, watu waliiona chongo yake ambayo ilikuwa imefunikwa kwa kutumia miwani hiyo aliyoivaa. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kucheka chongo ya mwenzio na hali yako umeifunika!”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwacheka wenzake walioshikwa na makosa, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa akiwacheka wale waliokamatwa kwa makosa ya kutenda maovu, kwa sababu hafahamu kwamba, naye anaweza kukosea kwenye siku za mbeleni. Yeye huona aibu sana akikosea kwa kufanya maovu hayo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule mwenye chongo aliyemcheka mwenzie akiwa ameifunika chongo yake, kwa sababu naye huwacheka wenzake walioshikwa na makosa mbalimbali, ambayo humfanya aone aibu anapoyatenda mwenyewe. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kucheka chongo ya mwenzio na hali yako umeifunika!”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuwacheka wenzao walioko kwenye matatizo mbalimbali, katika maisha yao, ili waweze kusaidina vizuri katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwako.
Warumi 2:1.
1Wakorintho 4:5.
Mathayo 7:1-5.
Marko 4:24.
ENGLISH: TO LAUGH AT YOUR PARTNER’S ONE EYE WHILE YOU HAVE COVERED YOURS.
This proverb was originated from the man who hid his blind eye by wearing glasses. He saw his fellow who had lost one eye and began to laugh at him as he saw him with a blind eye. He thought that people would not be able to see his blind eye because of the covering it by wearing glasses.
Shocked, his glasses fell off while he was laughing at his single eye of his fellow; People saw his blind eye that was covered with glasses. That is why they said to him, “to laugh at your partner’s one eye while you have covered yours.”
This proverb is compared to a man who laughs at mistakes of others in his life. He laughs at those who are arrested for wrongdoings, because he does not know that he may be wrong in the future. He feels very ashamed of himself after committing the same mistakes in his future life.
This person resembles the one who laughed at someone who lost an eye, because he also laughs at his fellows who are caught in a variety of offenses, which makes him feel ashamed of himself after committing them. That is why people say to him, “to laugh at your partner’s one eye while you have covered yours.”
This proverb teaches people about giving up a habit of making fun of others who are in trouble, in their lives, so that they can help them better in raising their families in their societies.
Romans 2: 1.
1 Corinthians 4: 5.
Matthew 7: 1-5
Mark 4:24.