Ingoko iyo yilina bhana igabhalang’hanaga noyi kugiki bhadizupulwa na lubhana. Ingoko yiniyo, ulu lwiza lubhala luipuja ng’wana oyo, igayoganyaga noyi kugiki ipandike wambilijiwa bho kufumila kubhichayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ngoko ulu yuyoganya yapujiagwa.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agajilang’hanaga chiza isabho jakwe bho gulomba wambilijiwa gufumila kubhiye, ulu japandikaga makoye. Umunhu ng’wunuyo, agailang’hanaga ikaya yakwe ni sabho jakwe kugiki bhadizujisola abhasambo, kunguno alina bhukalalwa bhutale najo. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gupandika wambilijiwa ubho agabhulombaga gufumila kubhiye ulu opandikaga makoye, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni ngoko iyo igayoganyaga ulu yapujiagwa ng’wana oyo, kunguno nuweyi agalombaga wambilijiwa bho gufumila kubhiye ulu opandikaga makoye aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ya kujilang’hanila chiza isabho ni kaya jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ngoko ulu yuyoganya yapujiagwa.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhumo bho gwiyambilija wangu, ulu ng’wichabho, opandikaga mayange, umukikalile kabho, kugiki bhadule kujibheja na kujilang’hana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 7:7-8.
KISWAHILI: KUKU APIGAPO KELELE AMENYANG’ANYWA.
Kuku mwenye vifaranga huwalinda sana watoto wake hao, ili wasije wakachukuliwa na mwewe. Kuku huyo, hupiga kelele, mwewe akichukua kifaranga chake ili kuomba msaada kutoka kwa wenzake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kuku apigapo kelele amenyang’anywa.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilinda vizuri familia pamoja na mali yake, na kuomba msaada wa kutoka kwa wenzake anapopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huilinda vizuri familia yake kwa kuzitumia vizuri mali zake, na kuwazuia wezi kuziiba, kwa sababu ana anaithamini sana. Yeye huijenda familia yake kwa kuiendeleza vizuri katika kuipatia mahitaji pamoja na kuomba msaasa kutoka kwa wenzake inapopata matatizo mbalimbali, ili waweze kumsaidia kuyatatua kwa haraka, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyepiga kelele ya kuomba msaada wa kutoka kwa wenzake, baada mtoto wake kuchukuliwa na mwewe, kwa sababu naye pia huomba msaada wa kutoka kwa wenzake anapopata matatizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kuku apigapo kelele amenyang’anywa.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kusaidiana haraka katika kuyatatua matatizo yanayojitokeza, katika maisha yao, ili waweze kuzilinda na kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 7:7-8.
ENGLISH: WHEN A HEN CRIES OUT, SHE HAS BEEN ROBBED (WHEN A HEN CRIES OUT, SHE HAS BEEN TRAPPED).
A hen that has chicks protects them, so that they will not be picked up by hawks. She screams hawks grabs her chicks to ask for help from her companions. That is why people say, “when a hen cries out, she has been robbed (when a hen cries out, she has been trapped).”
This proverb is likened to a man who protects his family and property well, and asks for help from his peers in times of trouble. He protects his family by making good use of his property, by preventing thieves from stealing it, because he has so much value in it. He builds such family by providing it with well-being as well as asking for help from his colleagues when he has various problems, so that they can help him to solve them quickly in life.
This man is like the hen that cried out for help from her peers after her baby had been taken by the hawk, because he also asks for help from his peers when he is having problems in his life. That is why people say to him, “when a hen cries out, she has been robbed (when a hen cries out, she has been trapped).”
This proverb imparts in people an idea on how to be united enough to help each other quickly in solving problems that arise in their lives, so that they can better protect and nurture their families, in their societies.
Matthew 7: 7-8.