820. KUNG’WENYA IKIGUTAJA.

Akahayile kenako, kingilile kuli munhu uyo obhasumbilaga abhageni wakwe, bho lihanga lya bhuyegi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, obhinhaga lubhango logudula gubhigutya abhageni bhakwe bhenabho.

Gashinaga lulu, ung’wikaji ulu ug’wanukula ungeni bho bhuyegi agung’wigutya, kunguno agung’winha wasa bho gwiyigwa guti giki wigutaga, nulu jigabhiza jidololo ijiliwa jakwe.  Ulu jafunyiagwa na moyo ng’wela na bhuyegi ijiliwa jinijo jigutosha duhu ugung’witya ungeni ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kung’wenya ikigutaja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutogwa bho gwikala na bhanhu bho bhuyegi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho gwiyambilija na bhiye bhayegile kihamo. Uweyi agabhasumbilaga chiza abhageni bhakwe, kunguno bhagabhubhonaga ubhuyegi bhokwe, bho kikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhigutyagwa abhageni bhakwe bho gubhasumbila na bhuyegi, kunguno nu weyi alina bhutogwa bho gwikala nabhiye bho bhuyegi bhunubho. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe higulya ya gubhiza na bhutogwa  kubhanhu bhabho, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “kung’wenya ikigutaja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhasumbila na bhuyegi abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Waebrania 13:1-2.

KISWAHILI: TABASAMU HUSHIBISHA.

Msemo huo, ulitokea kwa mtu yule ambaye alikuwa na tabia ya kuwakaribisha wageni wake kwa furaha, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akiwapa Baraka wageni wake hao zenye furaha ya kuwawezesha kujisikia kama wameshiba.

Kumbe basi, mwenyeji akimpokea mgeni kwa furaha humshibisha kwa sababu ya kumpatia hali ya kujisikia kama ameshiba, hata kama chakula chake kitakuwa kidogo. Chakula hicho kikitolewa kwa moyo mweupe uliojaa furaha, kitamtosha kumshibisha mgeni wake huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tabasamu hushibisha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye upendo wa kuishi na watu kwa furaha na uchangamfu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kusaidiana na wenzake akiwa katika hali ya furaha. Yeye huwakaribisha wageni wake vizuri kwa sababu ya wao, kuiona furaha yake hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewashibisha wageni wake kwa kuwapokea akiwa na uso wa tabasamu, kwa sababu naye ana upendo wa kuishi na wenzake kwa furaha hiyo. Yeye huwafundisha pia watu wake juu ya kuuishi upendo huo, katika maisha yao. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “tabasamu hushibisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwakaribisha wageni wao kwa furaha, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Waebrania 13:1-2.

ENGLISH: A SMILE MAKES ONE SATISFIED.

This saying came from the man who had a habit of welcoming his guests at his family with joy. He was blessing them with sacred sign which gave to them a joy of making them feel as if they were satisfied.

On the other hand, if a host welcomes a visitor, he will satisfy him/her with the feeling of being satisfied, even if his food is meager. This means that, some food which is provided with a happy heart will suffice to satisfy the guest. That is why people say, “a smile makes one satisfied.”

This saying is likened to a person who likes to live with people happily and cheerfully in life. This person, in turn, fulfills his or her responsibilities by helping others in a happy manner. He/she warmly welcomes guests to the point of giving joy to them.

This person resembles the one who entertained his guests by welcoming them with a smile on his face, because he too likes to live happily with his/her friends. He/she also teaches people on how to live peacefully with others in their families. That is why he/she tells people that, “a smile makes one satisfied.”

This saying teaches people about having a genuine love of welcoming their guests happily, in their families, so that they can live in peace with one another in their societies.

Hebrews 13: 1-2.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.