Author: Sukuma legacy

1010 OB’IZILE TUNGE.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumva ijo jigitanagwa tunge. Itunge jilisumva ijo jigalalaga guti noni kunguno jilina manana. Aliyo lulu, jigabyalaga bhana na gonhya guti ndimu. Ijoyi jili hosehose uku noni jilihoyi nu kundimu jilihoyi. Hunagwene umunhu uyo alihosehose abhanhu bhagang’wilaga giki, “ob’izile tunge.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanijaga chiza na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagaluchaga mhayo gosegose, ukubhanhu abho agahoyaga nabho, kunguno ya bhulomolomo bhokwe. Uweyi agabhalisanyaga abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya gubhiza ali gosegose bhuli kwene alihoyi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni tunge iyo ukunoni ilihoyi, nu kundimu ilihoyi ilihoyi, kunguno nuweyi agabhizaga alihoyi bhuli kwene, umukahoyele kakwe akabhulomolomo kenako, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ob’izile tunge.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhiza hosehose, bho bhugoyomba mihayo ya bhulomomo ubho bhugalisanyaga bhanhu, kugiki bhadule gujilanija chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 14:14.

Mathayo 6:29-34.

Luka 6:46.

KISWAHILI: UMEKUWA POPO.

Msemo huo, huongelea juu ya kiumbe kinachoitwa Popo. Popo ni kiumbe ambaye kwenye kundi la ndege yupo kwa sababu ana mabaya na anaruka kama ndege wengine. Kiumbe huyo, pia yupo kwenye kundi la wanyama kwa sababu huzaa na kunyonyesha watoto. Ndiyo maana mtu yule ambaye yuko kote kote, watu humwambia kwamba “amekuwa popo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haendani vizuri na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hugeuza maneno yake kwa kusema uongo kwa watu mbalimbali, kwa sababu ya kutaka kuwepo kotekote, maishani mwake. Yeye huwagombanisha watu kwa sababu ya uongo wake huo wa kutaka kuwepo kwenye kila kundi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule Popo ambaye kwenye kundi la ndege yupo na kwenye kundi la wanyama yupo pia, kwa sababu naye hutaka kuwepo kotekote kwenye kila kundi, kwa kugeuza maneno kwa uongo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amekuwa popo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutaka kuwa kotekote kwenye kila kundi katika kugombanisha watu kwa kusema maneno ya uongo, ili waweze kuendana vizuri na watu wao, maishani mwao.

Mithali 14:14.

Mathayo 6:29-34.

Luka 6:46.

ENGLISH: YOU HAVE BECOME A BAT.

The above saying speaks of a creature that is called Bat. A bat is a creature that is in a flock of birds because it has wings for flying like other birds. Such creature is also in the animal kingdom because it gives birth to babies. That is why the person who shows two behaviors people tell him that “you have become a bat.”

This saying is likened to a person who has a bad relationship with his peers, in his life. This person, in turn, distorts his words by lying to various people, for the sake of taking two sides, in his life. He confuses people because of aiming at being in evil group and in the good one at the same time, in his life.

This person, in effect, resembles the Bat that is in a flock of birds as well as in a herd of animals at the same time, because he too wants to be present in every herd, by twisting words falsely, in his life. That is why people say to him that, “you have become a bat.”

This saying instills in people an idea of giving up the habit of living double life of speaking liars to people, so that they can get along well with their people, in their families.

Proverbs 14:14.

Matthew 6: 29-34.

Luke 6:46.

animals-1088371__480

animals-1081294__480

bat-2612580__480

1009. OKOMILE IBADI.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhukomi bho libadi bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo wikalaga mu chalo ja Sanjo uyo ozengaga numba yakwe. Uweyi agazenga mpaga oikoma ibadi inumba yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “okomile ibadi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo okula mpaga inzwili yakwe juzwa jape, umuwikaji bhokwe. Umunhu ulu uzwa nzwili jape ukuntwe gokwe munho onamhalaga, nulu ogiguluhaga kunguno inzwili ijape jinijo jili lumenho lo bhukuji bho ng’wa munhu. Uweyi agatulagwa muligele lya bhanamhala ulu ali ngosha, nulu lya bhagigulu ulu ali nkima. Iligele linilo ligalamulaga mihayo ya bhanhu abho bhidumaga umuchalo, kunguno ligalolaga bhunhana bho mihayo ubho bhugamalaga makoye ga mumakaya chiza, umuwikaji bhobho.

 Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni numba iibadi iyo agaikoma umunhu uo muchalo ja Sanjo, kunguno nuweyi untwe gokwe gugazwaga nzwili jape, guti ni libadi linilo. Hunagwene abhanhu bhagamelaga giki, “okomile ibadi,” maana yake kichwa chake kimeota mvi.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukubhatale bhabho, na gubhubokela bho bhuyeji ubhunamhala/ubhugikulu ulu bhobhapandikaga, kugiki bhadule gubhutumila chiza umugugamula amakoye ga bhanhu bhabho bho likujo lya gwenha bhunhana ukubhanhu bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Hekima ya Sulemani 4:7-10.

Hekima ya Sulemani 20: 29.

KISWAHILI: AMEEZEKA BATI.

Msemo huo, huongelea juu ya uezekaji wa bati wa mtu fulani. Mtu huyo alikuwa akiishi kwenye kijiji cha Sanjo aliyeanza kujenga nyumba yake. Yeye aliijenga vizuri nyumba yake hiyo mpaga akaiezeka bati. “Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “ameezeka bati.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyezeeka mpaga nywele zake zikaota nyeupe, katika maisha yake. Mtu akiota mvi kwenye kichwa chake maana yake amezeeka kwa sababu nywere hizo nyeupe au mvi ni ishara ya uzee. Yeye huingizwa rasmi kwenye kundi la wazee wanaotatua matatizo ya watu waliokosana kwa kufuata haki na usawa katika jamii. Wao huitumia hekima yao katika kutafuta ukweli kwenye kila kesi wanayoletewa na wananchi wao, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana ni nyumba ya bati ya mtu aliyeishi kwenye kijiji cha Sanjo, kwa sababu naye ana kichwa chenye nywere nyeupe, kama bati hilo. Ndiyo maana watu humtania kwamba, “ameezeka bati,” maana yake ameota mvi kichwani mwake.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazee katika jamii na kuupokea kwa furaha uzee unapowakuta, ili waweze kuutumia vizuri katika kutatua matatizo ya watu wao kwa hekima iletayo haki na usawa katika jamii, maishani mwao.

Hekima ya Sulemani 4:7-10.

Hekima ya Sulemani 20: 29.

ENGLISH: HE/SHE HAS PUT IRON ROOF ON HIS/HER HOUSE.

This saying refers to the tin roofing house of a certain person. There was a man who lived in the village of Sanjo who started building his house. He carefully built and covered it with iron roof. That is why people said about him that, “he/she has put iron roof on his/her house.”

This saying is compared to an old man whose hairs grew white, in his lifetime. The person who has gray hairs on his head means that he/she is old because the white hairs or gray hairs are a sign of old age. He is officially included in the group of elders who solve problems of people by pursuing justice and equality in the society. They use their wisdom to seek the truth in every case which is brought to them by their citizens in the societies.

This man looks like a iron house of a man who lived in the village of Sanjo, because he also has a white hairy head, like that iron roof. That is why people mock him, by saying that, “he/she has put iron roof on his/her house,” meaning that he has gray hairs on his head.

This saying imparts in people an idea of respecting the elders in the community and welcoming them with joy when they meet them, so that they can use them effectively in solving problems of their people with wisdom that brings justice and equality in the society.

The Wisdom of Solomon 4: 7-10.

The Wisdom of Solomon 20:29.

elderly-

african-old

old-woman-7153031__480

1008. MUSI NIMO

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya milimo. Alihoyi munhu umo uyo otumamaga milimo yakwe bho makanza malihu bhuli lushigu. Abhanhu abho bhangenihaga aha kaya yakwe bhangayiyagwa mpaga bhanondeja guko milimo yakwe kunguno oliatogilwe gutumama milimo yakwe yiniyo. Hunagwene oyombaga giki, “musi milimo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga opandika sabho ja guilisha chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogatumama milimo mitale bhuli lushigu kunguno ahayile guibheja chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi ja gudula guyilanhanila chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo otumamaga milimo yakwe bho makanza malihu bhuli lushiku mpaga nose upandika sabho ningi, kunguno nuweyi agipunaga diyu agigulambija kutumama milimo bhuli lushigu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “musi nimo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwiyumiliga gutumama milimo yabho mpaga bhapandike sabho ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

Mwanzo 2:15.

Mithali 18:20.

Mithali 21:5.

 

KISWAHILI: DUNIANI KAZI.

Msemo huo waongelea juu ya kazi. Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa akifanya kazi zake kwa muda mlefu kila siku. Watu waliomtembelea walilazimika kumfuata kwenye kazi zake hizo kwa sababu alipenda kufanya kazi zake hizo. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “duniani kazi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi zake mpaga anapata mali za kuilisha vizuri familia yake. Mtu huyo, hujilawa asubuhi na mapema kwenda kufanya kazi kubwa kila siku kwa sababu anapenda kuiedeleza vizuri familia yake, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi za kuweza kuitunza familia yake hiyo, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akifanya kazi kwa muda mlefu kila siku mpaga mwishowe alipata mali nyingi, kwa sababu naye hujilawa asubuhi kwenda kujibidisha kufanya kazi kubwa kila siku, katika maisha yake. Ndiyo maana watu waliomuona walifahamu kwamba, “duniani kazi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuvumilia kufanya kazi zao mpaka wapate mali za kuwasaidia vizuri maishani mwao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Mwanzo 2:15.

Mithali 18:20.

Mithali 21:5.

 

ENGLISH: HE/SHE HAS TAKEN HIS/HER PARENTS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

african-farming1

 

 

 

1007. OBHASOLA ABHANAMHALA BHAKWE.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo agikalaga na bhabyaji bhakwe aha kaya yakwe. Olihoyi munhu umo uyo witanagwa kalyango uyo wikalaga mujiji ja Ng’watuju. Umunhu ng’wunuyo agabhasola abhabyaji bhakwe uyikala nabho kunguno akajile kaji munhu ulu ukula agabhizaga adidujije. Unkuji ng’wunuyo, agisanyaga gwambilijiwa na bhasumba kulwa nguno ya bhunamhala bhokwe.

Gashinaga lulu igelelilwe aileke ikaya yakwe na guja gujuzenga uko ali ng’wana uyo agang’wambilijaga. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhinhaga jiliwa, jizwalo na numba ya gulala abhabyaji bhakwe bhenabho kunguno ya likujo lwakwe ukubhoyi. Uweyi agabhambilija chiza mpaga bhinga kuwelelo, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhabyaji bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu Kalyango uyo agabhasola abhabyaji bhakwe mpaga ha ng’wakwe, kunguno nuweyi agabhambilijaga chiza abhabyaji bhakwe, mpaga binga kuwelelo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “obhasola abhanamhala bhakwe.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo na bhulumbi ukubhabyaji bhabho bho gubhalab’ila chiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza, umuwelelo.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

 

KISWAHILI: AMEWACHUKUA WAZEE WAKE.

Msemo huo, huangalia mtu anayeishi na wazazi wake nyumbani kwake. Alikuwepo mtu aliyeitwa Kalyango aliyekuwa akiishi kwenye kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, aliwachukua wazazi wake akawa anaishi nao nyumbani kwake kwa sababu kiubinadamu mtu akizeeke huwa hajiwezi. Mzee huyo, hutegemea kusaidiwa na watoto wake kwa sababu ya uzee wake huo.

Kumbe basi, inafaa mzee huyo aiache familia yake na kwenda kuishi kwa mwanae anayemsaidia, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza vizuri wazazi wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapatia wazazi wake hao, chakula, nguo na nyumba ya kulala kwa sababu ya heshima aliyo nayo kwao. Yeye huwatunza vizuri wazazi wake hao mpaka kifo chao, kwa sababu ya upendo alionao kwao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Kalyango aliyewatunza wazazi wake kwa kuwachukua kuishi nao nyumbani kwake, kwa sababu naye huwatunza vizuri wazazi wake hadi kifo chao. Ndiyo maana watu walisema juu yake kwamba, “amewachukua wazee wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima na shukrani kwa wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, duniani.

Kutoka 20:12.

Yohana 19:26-27.

1Timotheo 5:1-8.

1Timotheo 5:17.

Warumi 13:1.

ENGLISH: HE HAS TAKEN HIS ELDERS.

This saying looks at a man who lives with his parents in his house. He was named Kalyango who lived in the village of Mwatuju. He took his parents and lived with them in his house because when human beings grow old they become enable to depend on themselves. The old ones, in turn, rely on the help of their children because of their old age.

Therefore, the old man should leave his family and go to stay with his son who can help him, in his life. That is why the people said, “He has taken his elders.”

This saying is applied to the person who takes good care of his or her parents, throughout his or her life. Such man, provides his parents with food, clothing, and shelter because of the respect that he has for them. He takes good care of his parents until their death, because of the true love that he has for them, in his life.

This man is like Kalyango who took care of his parents by taking them to live with them in his house, because he also took good care of his parents until their death. That is why the people said of him that “He has taken his elders.”

This saying teaches people about having respect and gratitude for their parents by taking good care of them, so that they can receive Blessings of living well on earth, in their lives.

Exodus 20:12.

John 19: 26-27

1 Timothy 5: 1-8.

1 Timothy 5:17.

Romans 13: 1.

senior-citizens-1429012__480

 

 

 

 

1006. WINA NKONO MBUPU

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile bhubupu bho nkono go ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu umo uyo wikalaga muchalo jilebhe. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo oli na nkono mbupu uyo gosalaga jikolo josejose bho wangu wangu noi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “wina nkono mbupu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ng’wib’i umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gunyembyanyembya jikolo ja b’iye bho nduhu ugwinhiwa na ng’winikili ojo. Uweyi agapandikaga makoye ga gwiduma na bhanhu abho agigalaga nabho kunguno ya wib’i bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina nkono mbupu uyo osolaga jinhu josejose bho wangu wangu, kunguno nu weyi agagutumilaga unkono gokwe bho ugwib’a ijikolo jabhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wina nkono mbupu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gwib’a jikolo ja bhichabho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhanhu bhabho, umubhulamu bhobho.

Mathayo 15:19.

Wakolosai 3:8-9.

KISWAHILI: ANA MKONO MWEPESI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia wepesi wa mkono wa mtu fulani. Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwenye kijiji fulani. Lakini mtu huyo, alikuwa na mkono mwepesi ulioweza kuchukua kitu chochote kwa haraka sana. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ana mkono mwepesi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwizi katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kuchukua vitu vya watu kwa kufichaficha bila kupewa na wamiliki wa hivyo vitu. Yeye hupata matatizo mengi kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya wizi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na mkono mwepesi wa kuchukua vitu kwa haraka, kwa sababu naye hutumia mkono wake huo kwa kuiba vitu vya watu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana nkono mwepesi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwaibia wenzao vitu vyao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao.

Mathayo 15:19.

Wakolosai 3:8-9.

ENGLISH: HE HAS A LIGHT HAND.

This saying looks at the lightness of someone’s hand. There was one man who lived in a certain village. But he had a light hand that could take anything very quickly from others. That is why people said to him that, “He has a light hand.”

This is compared to the person who is a thief in his life. Such person likes to take people’s things in secret without being given by their owners. He gets into a lot of trouble because of his wicked habit of stealing properties of people in his life.

This person, in effect, resembles the one who has a light hand to take things of people, because he also uses his hand to steal people’s things, in his life. That is why people say to him that “He has a light hand.”

This saying imparts in people an idea of giving up the habit of robbing others of their belongings, in their lives, so that they can live in peace with each other, in their families.

Matthew 15:19.

Colossians 3: 8-9.

sand-3167368__480

 

black-2660280__480

 

map-2591759__480