Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumva ijo jigitanagwa tunge. Itunge jilisumva ijo jigalalaga guti noni kunguno jilina manana. Aliyo lulu, jigabyalaga bhana na gonhya guti ndimu. Ijoyi jili hosehose uku noni jilihoyi nu kundimu jilihoyi. Hunagwene umunhu uyo alihosehose abhanhu bhagang’wilaga giki, “ob’izile tunge.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanijaga chiza na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagaluchaga mhayo gosegose, ukubhanhu abho agahoyaga nabho, kunguno ya bhulomolomo bhokwe. Uweyi agabhalisanyaga abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya gubhiza ali gosegose bhuli kwene alihoyi, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni tunge iyo ukunoni ilihoyi, nu kundimu ilihoyi ilihoyi, kunguno nuweyi agabhizaga alihoyi bhuli kwene, umukahoyele kakwe akabhulomolomo kenako, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ob’izile tunge.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhiza hosehose, bho bhugoyomba mihayo ya bhulomomo ubho bhugalisanyaga bhanhu, kugiki bhadule gujilanija chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Mithali 14:14.
Mathayo 6:29-34.
Luka 6:46.
KISWAHILI: UMEKUWA POPO.
Msemo huo, huongelea juu ya kiumbe kinachoitwa Popo. Popo ni kiumbe ambaye kwenye kundi la ndege yupo kwa sababu ana mabaya na anaruka kama ndege wengine. Kiumbe huyo, pia yupo kwenye kundi la wanyama kwa sababu huzaa na kunyonyesha watoto. Ndiyo maana mtu yule ambaye yuko kote kote, watu humwambia kwamba “amekuwa popo.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haendani vizuri na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hugeuza maneno yake kwa kusema uongo kwa watu mbalimbali, kwa sababu ya kutaka kuwepo kotekote, maishani mwake. Yeye huwagombanisha watu kwa sababu ya uongo wake huo wa kutaka kuwepo kwenye kila kundi, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule Popo ambaye kwenye kundi la ndege yupo na kwenye kundi la wanyama yupo pia, kwa sababu naye hutaka kuwepo kotekote kwenye kila kundi, kwa kugeuza maneno kwa uongo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amekuwa popo.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutaka kuwa kotekote kwenye kila kundi katika kugombanisha watu kwa kusema maneno ya uongo, ili waweze kuendana vizuri na watu wao, maishani mwao.
Mithali 14:14.
Mathayo 6:29-34.
Luka 6:46.
ENGLISH: YOU HAVE BECOME A BAT.
The above saying speaks of a creature that is called Bat. A bat is a creature that is in a flock of birds because it has wings for flying like other birds. Such creature is also in the animal kingdom because it gives birth to babies. That is why the person who shows two behaviors people tell him that “you have become a bat.”
This saying is likened to a person who has a bad relationship with his peers, in his life. This person, in turn, distorts his words by lying to various people, for the sake of taking two sides, in his life. He confuses people because of aiming at being in evil group and in the good one at the same time, in his life.
This person, in effect, resembles the Bat that is in a flock of birds as well as in a herd of animals at the same time, because he too wants to be present in every herd, by twisting words falsely, in his life. That is why people say to him that, “you have become a bat.”
This saying instills in people an idea of giving up the habit of living double life of speaking liars to people, so that they can get along well with their people, in their families.
Proverbs 14:14.
Matthew 6: 29-34.
Luke 6:46.