1011. ADINAMPANDIKA UNDITO

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile munhu uyo agancholaga ndito. Umunhu untito ng’wunuyo, ali munhu nsab’i o sabho ningi uyo agambilija abhahab’i. Unchoji o ndito ng’winuyo ulu atali ugumpandika agikomejaga kumchola duhu. Hugwene abhanhu bhagayombaga giki, “adinampandika undito.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agucholaga munhu ogwitola nanghwe, kugiki apandike mwambilija umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agakengelaga chiza inhungwa ja ng’wa munhu uyo adulile gwiyambilija nanghwe umukikalile kakwe, kunguno ajidebhile inhungwa ja gwikala chiza na bhanhu. Uweyi agatumilaga bhanhu abho bhali bhiza umugujidebha inhungwa ja ng’wa munhu uyo agambilijaga chiza abhanhu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo omchalaga munhu ndito uogudula gubhambilija abhahabi, kunguno nuweyi agacholaga munhu ogwitola nanghwe uyo ali na nhungwa ja wiza mugubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “adinampandika undito.”

Akahayile kenako, kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bhutale ahikanza lya kubhachagula abhitoji bhabho, kugiki bhadule gubhapandika abhanhu abho bhali na nhungwa ja gwiyambilija nabho chiza, umukikalile kabho.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-12.

Marko 10:1-12.

 

KISWAHILI: HAJAMPATA MZITO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mtu yule anayemtafuta mzito. Mtu huyo mzito ni mtu tajiri wa mali nyingi anayesaidia maskini. Mtafutaji huyo wa mzito kama hajampata mtu huyo, huendelea kumtafuta tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hajampata mzito.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta mtu wa kuoana naye, ili apate msaidizi, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiki wa kina katika kumpata yule aliye na tabia njema ya kusaidiana naye, katika maisha yake, kwa sababu ya kuwa na ufahamu mzuri wa tabia njema za kuishi na watu. Yeye hutumia watu wenye tabia njema wanaozielewa vizuri tabia hizo njema katika kusaidia watu vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akitafuta mtu mzito wa kuweza kuwasaidia maskini, kwa sababu naye humtafuta mtu mwenye tabia njema ya kumwezesha kusaidia watu wenye matatizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hajampata mzito.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa watarajiwa juu ya kuwa na umakini mkubwa wakati wa kuwachagua wachumba wao, ili waweze kuwapata wale walio na tabia njema za kusaidiana nao vizuri, katika maisha yao.

Mwanzo 2:18-24.

Mathayo 19:3-12.

Marko 10:1-12.

ENGLISH: HE HAS NOT GOT THE HEAVY ONE.

The basis of this saying looks at the man who was looking for a heavy one. The heavy-handed person is a wealthy one who helps the poor. This searcher could not get such person. That is why people said that, “He/she has not got the heavy one.”

This saying is likened to a man who seeks a marriage mate, in order to find a helper, in his life. Such person, in turn, conducts a thorough research that can enable him get the one who has the right attitude enough to help others in his life, because of his a good understanding of the good habits of living with people. He uses well-meaning people who understand those good qualities of helping people in his life.

This person resembles the one who was looking for a heavy person who could help the poor, because he is also looking for someone who has good character enough to enable him help people who are in great need in his life. That is why people say to him that, “He has not got the heavy one.”

The saying teaches prospective mates to be very careful in choosing their spouses, so that they can find those who have good habits enough to help them as well as their societal members in their lives.

Genesis 2: 18-24.

Matthew 19: 3-12.

Mark 10: 1-12.

couple-6962202__480

couple-6777917__480

african-couple-7403492__480

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.