Akahayile kenako kahoyelile higulya ya wikaji wiza na bhahu. Olihoyi munhu umo uyo wikalaga yiyene a hakaya yakwe umuchalo jakwe. Uweyi wiganikaga giki aidujije pye imilimo umukikalile kakwe. Lushigu lumo agaduma gututumama nimo gumo mpaga bhiza bhanhu bhangi bhung’wambilija. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “gwikala chiza na bhiyo hijisoga.”
Akahayile kaneko kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhinda umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga abhadalahile abhiye kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu kunguno ya wigimbi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wikalaga yiyene a hakaya yakwe bhuli makanza umuchalo jakwe, kunguno nuweyi agigimbaga bho gubhadalaha abhiye abho bhagadumaga ugwikala chiza nanghwe mpaga bhansambala na guneka bhung’wene, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “gwikala chiza na bhiyo hijisoga.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja wigimbi bho gubhadalaha abhichabho, kugiki bhadule gwikala kihamo bho gwiyambilija chiza imilimo yabho, umukawiji bhobho.
Zaburi 133:1.
Marko 9:35.
KISWAHILI: KUISHI VIZURI NA WENZAKO NDIYO VIZURI.
Msemo huo huongelea juu ya maisha ya kuishi vizuri na watu. Alikuwepo mtu mmoja kwenye kijiji fulani aliyekuwa akiishi peke yake katika familia yake. Yeye alikuwa akijifikiria kwamba anaweza kufanya kazi zote katika maisha yake. Siku moja alishindwa kuifanya kazi fulani, mpaga wakaja watu wakamsaidia. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “kuishi vizuri na watu ndiyo vizuri.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana kiburi katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake anaoishi nao, kwa sababu ya majivuno yake hayo katika maisha yake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwadharau wenzake, katika maisha yake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyekuwa akiishi peke yake katika familia yake kwenye kijiji chake hicho, kwa sababu naye hujivuna kwa kuwadharau wenzake ambao hushindwa kuishi naye vizuri mpaka humsambaa na kumuacha peke yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “kuishi vizuri na watu ndiyo vizuri.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuwa na majivuno ya kuwadharau wenzao, ili waweze kuishi pamoja wakisaidiana vizuri katika kuyatekeleza majukumu yao.
Zaburi 133:1.
Marko 9:35.
ENGLISH: TO LIVE WELL WITH YOUR FELLOWS IS GOOD.
This saying speaks about living a good life with people. There was a man in one village who lived alone in his family. He was thinking to himself that he could do all the works in his life. One day he could not do any work, and people came and helped him. That is why they told him that, “to live well with your fellows is good.”
This saying is compared to a man who is proud in his life. Such person, in turn, despises his contemporaries, because of his arrogance in his life. He fails to get along with people because of his arrogance of contempt for others, in his life.
This man is like the one who used to live alone in his family in a village, because he too is proud of him until his contemporaries fail to live with him. They leave him alone at his family. That is why these people said to him that, “to live well with your fellows is good.”
This saying imparts in people an idea on abstaining from having habit of being arrogant and despising others, so that they can live together by helping each other better in fulfilling various responsibilities in their families.
Psalm 133: 1.
Mark 9:35.