Akahayile kenako kalolile bhoja bho jiseme bho ng’wa munhu uyo alintengeke. Umunhu ng’wunuyo ojaga ijisema jakwe mpaga jela pe kunguno otumilaga sauni na lyogejo ilo lyawinjaga pye ubhuchafu ubhomujiseme jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “b’oja bho ntengeke b’ogutumila sauni na lyogejo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa nholo chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga jiseme jawiza ijo jidulile gugumala chiza unimo gokwe, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi umutumami bhokwe bhunubho kunguno ya bhutengeke bhokwe, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ntengeke uyo utumilaga sauni na lyogejo ugoja ijiseme jakwe mpaga jela chiza, kunguno nu weyi agatumilaga jitumamilo ijo jidulile gugutumama chiza unimo gokwe, umubhutumamini bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “b’oja bho ntengeke b’ogutumila sauni na lyogejo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumila jitumamilo jawiza ijo jidulile gugumala chiza unimo gobho, kugiki bhadule gupandika matyajo mingi, umubhutumami bhobho bhunubho.
Mathayo 23:23-29.
KISWAHILI: UOSHAJI WA MWAMINIFU WA KUTUMIA SABUNI NA KISAFISHIO.
Msemo huo, huangalia uoshaji wa vyombo unaofanywa na mtu mwaminifu. Mtu huyo, huosha vyombo vyake vizuri mpaga vinatakata sana kwa sababu ya kutumia sabuni na kisafishio kinachoweza kuundoa uchafu wote uliopo kwenye chombo hicho. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uoshaji wa mwaminifu wa kutumia sabuni na kisafishio.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa umakini mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia vifaa vyote vinavyotakiwa ambavyo vinaweza kuikamilisha vizuri kazi yake, kwa sababu ya uaminifu wake huo, katika maisha yake. Yeye hupata mafanikio mengi sana katika kazi zake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kufanya maandalizi mazuri ya kufanyia kazi zake, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mwaminifu aliyetumia sabuni na kisafishio katika kusafisha vizuri vyombo vyake mpaga vikatakata, kwa sababu naye hutumia vifaa vinavyoweza kuzitekeleza vizuri kazi zake, katika utumishi wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uoshaji wa mwaminifu wa kutumia sabuni na kisafishio.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia vifaa vinavyoweza kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utumishi wao, maishani mwao.
Mathayo 23:23-29.
ENGLISH: A GOOD PERSON WASH USING SOAP AND DISH BRUSH.
This saying refers to the washing of dishes by an honest person. This person washes his or her dishes thoroughly and nicely by using soap and detergent. That is why people say to him that, “a good person wash using soap and dish brush.”
This saying is applied to the person who performs his duties with the utmost seriousness, in his life. Such person, in turn, uses all necessary tools to complete his works, because of his integrity in life. He is very successful in his works because of his honesty in making good preparations before starting his works in his life.
This person is like the faithful man who used soaps and detergents to clean up his dishes, for he also uses proper tools that can perform well his works. That is why people say to him that, “a good person wash using soap and dish brush.”
This saying teaches people on how to use tools that can effectively carry out their tasks, so that they can be more successful in fulfilling their economic activities throughout their lives.
Matthew 23: 23-29.