1037. OLINDA GWENHELWA ALUGUJA NANG’HO?

Alihoyi munhu umu chalo ja Sanjo uyo oliadaga ukumajisho ulu oluobhilingwa na bhiye. Umunhu ng’wunuyo olindilaga gwiza gubhabhuja duhu abho bhajaga ukujisho jinijo kugiki bhanomela imihayo iyo bhawilagwa na guigwa ukwenuko.

Nose abhanhu agabhanoja iki omanaga ubhabhugilija bhuli jigasho jene kunguno ya kugija guja bho gulindila gulomelwa nabhobhajaga koyi. Hunagwene abhanhu bhagamuja giki, “olinda gwenhelwa aliguja nang’ho?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinawiyambilija na nabhiye ijinagutumama imilimo aliyo ugwilombeleja ijiliwa ukubhiye bhenabho alinkamu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wigashije duhu ulubhalija abhiye ugujutumama imilimo kunguno ya bhuyiyene na bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga wilombeleja jiliwa ukubhiye abho bhagiyambilijaga na bhichabho ugutumama ilimimo yabho, kunguno ya bhujidadilila bho milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliadajaga ukumajigasho uyo alindilaga gubhabhuja abho bhagaja koyi kugiki bhanomele, kunguno nuweyi adiyambilija na bhiye ugutumama imilimo bho gulindalila gwiza gwilombeleja jiliwa ukubhanhu abho bhagatumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagamujaga giki, “olinda gwenhelwa aliguja nang’ho?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho guja kumajigasho na gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi na gujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 5:14.

Yakobo 5:19-20.

Tito 3:10-11.

KISWAHILI: UMESUBIRI KULETEWA NAKUENDA NAWE?

Alikuwepo mtu mmoja katika kijiji cha Sanjo ambaye hakuwa anahudhuria mikutano alipoalikwa na wenzake. Mtu huyo, alikuwa akisubiri kuja kuwauliza tu wale waliohudhuria ule mkutano ili wamwambia yale waliyoyasikia kwenye mkutano huo.

Mwishowe mtu huyo, alifikia hatua ya kuwachosha wale watu waliohudhuria mkutano aliokuwa akiwauliza mara kwa mara. Ndiyo maana walimuuliza kwamba, “umesubiri kuletewa na kuenda nawe?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasaidiani na wenzake katika kufanya kazi, lakini ni mwenye bidii ya kuwaomba msaada wale wanaofanya kazi zao vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa amekaa tu wakati wenzake wanashirikiana kufanya kazi wakati huo wa kazi kwa sababu ya uvivu wake na kutokushirikiana na wenzake vizuri. Yeye huishi maisha ya kuombaomba kwa wale wanaoshirikiana kufanya kazi, kwa sababu ya kutokujali kwake kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa hahudhurii mikutano ambaye alisubiri kuwauliza wale waliohudhuria kwenye mikutano hiyo, maishani mwake, kwa sababu naye huwa hashirikiani na wenzake katika kufanya kazi akisubiri kuwaomba msaada wale walioshirikiana vizuri kuyatekeleza majukumu yao. Ndiyo maana watu hao humuuliza kwamba, “umesubiri kuletewa na kuenda nawe?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kushirikiana vizuri katika kuhudhuria mikutano yao, na kusaidiana katika kufanya kazi, ili waweze kupata maendeleo ya kuwawezesha kulitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 5:14.

Yakobo 5:19-20.

Tito 3:10-11.

market-280135__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.