1036. ULIKUMILIJA MBULA OYINZA?

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kuli munhu uyo oikumilijaga mbula iyo yatulaga aliyo adinayinza. Uguyinza ilipona jiliwa mpaga ubhukabhanya ubhusiga na mitugo guti ng’ombe, mbuli nulu ng’holo na jingi kuti jinijo.

Giko lulu, uyo adinapandika jikolo guti jinijo, adazunilijiwe uguikumilija imbula, kunguno atali ndo. Uweyi uluikumilija ulu yiza iguntema ucha. Hunagwene umunhu uyo agaikumilija imbula yiniyo bhagamuja abhiye giki, “ulikumilija mbula oyinza?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulatulaga mkajile ka nyatale ahikanza atali ndo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’unuyo, adinabhukalalwa bho kuchola jikolo guti gutumama milimo yake bho bhukamu bhutale, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga nhabhi bhuli makanza ahakaya yakwe, kunguno ya gwiyitya bhutale bhunubho, aliyo alimunhu ndo umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaikumilija imbula aliyo atali uguyinza, kunguno nuweyi agiyityaga bhutale aliyo atali ndo bho kuguleka kutumama milimo guti giki osabha sabho, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “ulikumilija mbula oyinza?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwitula bhutale bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ja gutumamila chiza, umuwikaji bhobho.

Zaburi 34:13-14.

Zaburi 15:4-5.

Zaburi 16:1-3.

 

KISWAHILLI: UNAISIFIA MVUA UMENUNUA NINI?

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyekuwa akisifia mvua iliyokuwa ikinyesha wakati hajanunua chochote kupitia mazao yake. Kununua kitu  ni kupata mazao mengi na kuuza chakula au kubadilisha mazao hayo na mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kondoo na kadhalika.

Hivyo basi, mtu yule ambaye hajanunua chochote haluhusiwi kuisifia mvua hiyo inayonyesha, kwa sababu bado ni mdogo. Mtu huyo, akiisifia mvua hiyo ikija itamkata afe. Ndiyo maana watu walimuuliza mtu huyo kwamba, “unaisifia mvua umenunua nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujifanya kuwa ni mkubwa wakati yeye ni mdogo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hapendi kufanya kazi ya kumwezesha kupata mali kwa bidii kubwa, kwa sababu ya uvivu wake huo. Yeye huwa maskini kila wakati kwenye familia yake, kwa sababu ya kujifanya kwake kuwa mkubwa, wakati yeye ni mdogo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeisifia mvua wakati bado hajanunua chochote, katika maisha yake, kwa sababu naye hujifanya kuwa mkubwa kwa kuacha kufanya kazi zake kwa bidii wakati yeye ni mtu mdogo tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “unaisifia mvua umenunua nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kujifanya wakubwa wakati wao ni wa kawaida, kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri, maishani mwao.

Zaburi 34:13-14.

Zaburi 15:4-5.

Zaburi 16:1-3.

 

ENGLISH: YOU PRAISE THE RAIN WHAT DID YOU BUY?

The source of this saying can be traced back to a person who was praising the rain that was falling while he had not bought anything through his crops. To buy something is to get a lot of crops and sell food or exchange those crops with: cows, goats, sheep and so on.

Therefore, the person who has not bought anything is not allowed to praise the rain while it is raining, because he is still young. If such person praises the rain when it comes will cut him to death. That is why people asked such man that, “You praise the rain, what have you bought?”

This saying is compared to the person who pretends to be a big one while he is a small one, in his life. Such person does not like to work enough to enable him get wealth with great effort, because of his laziness. He is always poor in his family, because of his pretending to be big, while he is small, in his life.

This person is similar to the one who praised the rain when he has not yet bought anything in his life, because he also pretends to be big by stopping to do his work diligently while he is just a small person in his life. That is why people ask him that, “you praise the rain, what have you bought?”

This saying, imparts in people an idea of stopping pretending to be great while they are normal ones, by forcing themselves to do their jobs well, so that they can get many assets enough to run well in their lives.

Psalm 34:13-14.

Psalm 15:4-5.

Psalm 16:1-3.

 

 

umbrella-3219621__480

 

 

 

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.