Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile lihanga na ng’holo ya ng’wa Munhu. Ilihanga linilo, kalikigelele ka ng’wa munhu ako kaliheke ni ng’holo yakwe, kunguno umunhu adulile gubhiza ni hanga lisoga aliyo ing’holo yakwe iliyabhubhi. Ilihanga linilo lidambilija ginhu. Gashinaga lulu mumo ligab’elela ilihanga lwake umunhu ng’wunuyo, ulu ali na ng’holo yabhub’i adulula ugwikala chiza na bhanhu.
Ukulwande ulungi, uong’holo nsoga agikalaga chiza na bhanhu mumo likab’ipila ilihanga lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “hambo hambo gugaluka ihanga gukila gugaluka ng’holo.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo ya gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bho gudimila nhungwa ja guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, kunguno atogilwe gwikala na ng’oho yawiza. Uweyi agadulaga gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya ng’holo yakwe iyo iliyawiza yiniyo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo alina ng’holo yawiza iyo igang’wambilijaga ugwikala na bhanhu chiza, kunguno nuweyi alina ng’holo yawiza iya guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu nhungwa jawiza ija gubhambilija gubhiza na ng’holo niza, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhawilaga giki, “hambo hambo gugaluka ihanga gukila gugaluka ng’holo.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo jawiza ija gubhambilija ugujidimila inhungwa ija guntogwa Mulungu na bhanhu bhakwe, kugiki bhadule gwikala na bhichabho chiza, umubhulamu bhobho.
1Petro 3:8.
1Yohana 4:7.
Waebrania 13:1-2.
1Petro 4:7-11.
KISWAHILI: HERI KUBADILIKA SURA KULIKO KUBADILIKA ROHO.
Chanzo cha methali hiyo, huangalia sura na roho ya mtu. Sura ni muonekano wa nje ambao uko tofauti na roho, kwa sababu mtu anaweza kuwa na sura nzuri lakini roho yake ikawa mbaya. Sura hiyo haimsaidii kitu. Kumbe basi, mtu hata awe na sura nzuri kiasi gani kama roho yake ni mbaya hataweza kuishi vizuri na watu wake.
Kwa upande mwingine, mwenye roho nzuri, huishi vizuri na watu hata kama sura yake ni mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, “heri kubadilika sura kuliko kubadilika roho.”
Mtu huyo, hufananishwa na mtu mwenye roho nzuri ya kuishi na watu vizuri, maishani mwake. Mtu huyo, huishi kwa kuyashikilia maadili mema ya kumpenda Mungu na watu wake, kwa sababu ataka nao wawe na roho njema. Yeye huweza kuishi na watu wengi vizuri kwa sababu ya roho yake hiyo njema, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na mwenye roho njema inayomwezesha kuishi na watu vizuri, kwa sababu naye ana roho njema ya kumpenda Mungu na watu wake, katika maisha yake. Yeye huwafundisha watu maadili mema ya kuwasaidia kuwa na roho njema, maishani mwao. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, “heri kubadilika sura kuliko kubadilika roho.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na roho njema ya kuwasaidia katika kuyashikilia maadili mema ya kumpenda Mungu na watu wake, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.
1Petro 3:8.
1Yohana 4:7.
Waebrania 13:1-2.
1Petro 4:7-11.
ENGLISH: IT IS BETTER TO CHANGE SHAPE THAN TO CHANGE SOUL.
The basis of this proverb looks at the shape and soul of a person. A shape is an outward appearance that is different from the soul, because a person may have a good appearance but his/her soul can become horrible. Such appearance does not help him/her at all. However, no matter how good a person may be if his soul is bad, he/she will not be able to live well with people.
A good person, on the other hand, lives well with people even when he has a bad appearance. That is why people say that, “It is better to change shape than to change soul.”
This proverb is related to a person with a good soul who lives well with people in his life. This person lives by holding to the moral standards of love for God and his people, because he wants them to have a good soul. He can live with many people because of his good deeds to others in his life.
This person resembles the one who has a good soul that enables him to live well with people, because he also has a good soul enough to love God and his people, in his life. He teaches people good manners enough to help them in having a good soul in their lives. That is why he tells them, “It is better to change shape than to change soul.”
This proverb teaches people on how to have a good soul enough to help them in holding to the good values of loving God and his people, so that they can live well with each other in their lives.
1 Peter 3: 8.
1 John 4: 7.
Hebrews 13: 1-2.
1 Peter 4: 7-11.