Ulusumo lunulo, lulolile ng’wana uyo oliodila ugusimiza. Ung’wana ng’wunuyo, wikalaga wagula bho nduhu ugwimila, kunguno ya bhudito bho magulu gakwe. Uweyi agakeleja noyi ugusimiza nose ilwelwe ijo jili noni ja gwiza ulujilingila ijidiku, jigegela gwiza.
Ulujiza inoyi jininijo, abhanhu bhandya gulima kunguno bhagamanaga giki, mumho jashigaga ijidiku. Hunagwene bhagang’wilaga ung’wana ng’wunuyo giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”
Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo atali ugutolwa, umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, ahayile atolwe aliyo lulu okeleja kunguno ya nhungwa jakwe ijo jidijawiza. Uweyi adalombaga ukuli Mulungu uyo adulile gumpandikala ntoji o wiza, kunguyo ya nhungwa jakwe jinijo, umukikalile kakwe.
Ung’waniki ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agakeleja ugusimiza, kunguno nu weyi okeleja ugutolwa, umukikalile kakwek kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhayanda na bhaniki abho bhalihaya gupandika bhichabho bha witoji, higulya ya kusalila gete, kugiki bhadule gubhapandika abhitoji bhenabho abhawiza, umuwikaji bhobho.
2Wakorintho 6:2.
Wabrania 12:14.
Luka 9:59-62.
KISWAHILI: UTAKUTWA LWELWE HUJATEMBEA.
Methali hiyo, huangalia mtoto aliyechelewa kutembea. Mtoto huyo, alikuwa akitambaa kwa muda mrefu bila kusimama kwa sababu ya uzito wa miguu yake. Yeye alichelewa sana kutembea mwishowe muda wa kufika Lwelwe ambao ni ndege wanaofika kipindi cha masika, ulikaribia kufika.
Ndege hao wakifika watu huanza kilima kwa sababu ya kutambua kuwa masika yamefika. Ndiyo maana watu waling’wambia mtoto huyo kwamba, “utakutwa lwelwe hujatembea.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa msichana yule ambaye hajaolewa, katika maisha yake. Msichana huyo, ana wito wa kuolewa lakini amechelewa kwa sababu ya tabia yake kutokuwa nzuri. Yeye huwa hasali kwa Mungu awezaye kumpatia mchumba mwema, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake.
Msichana huyo, hufanana na yule mtoto aliyechelewa kutembea, kwa sababu naye amechelewa kuolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “utakutwa lwelwe hujatembea.”
Methali hiyo, hufundisha wasichana na wavulana wenye wito wa ndoa, juu ya kusali sana ili Mungu awajalie kupata, wachumba wema, maishani mwao.
2Wakorintho 6:2.
Wabrania 12:14.
Luka 9:59-62.
ENGLISH: LWELWE (RAIN SEASONAL BIRDS {STORK BIRD}) WILL ARRIVE AND FIND YOU HAVE NOT WALKED.
This proverb looks at a child who is late to walk. This baby was crawling for a long time without standing up because of heavy weight of his legs. He was too late to stand up at last. The time of stork bird to arrive was near. This a bird that arrives during the rainy season.
When these birds arrive, people start to cultivate because they realize that the rainy season has arrived. That is why people told the child that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork birds}) will arrive and find you have not walked.”
This proverb is compared to the unmarried girl in her life. This girl who has been called to get married but she is late because of her bad behavior. She prays to God who can give her a good bride without being successful because of her such bad behavior in her life.
This girl is like the child who was late to walk, because she is also too late to get married in her life. That is why people tell her that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork bird}) will arrive and find you have not walked.”
This proverb imparts in young girls and boys who are called to live marriage life to behave, enough to carry on praying earnestly for God who can grant them good brides in their lives.
2 Corinthians 6: 2.
Hebrews 12:14.
Luke 9: 59-62.