Umunhu ulu ubyala ng’wana agamanaga ujimoja inzwili ja ng’wana okwe ng’wunuyo, ulu jakula. Aliyo lulu, umyaji ng’wunuyo, ulu unamhala, nulu ulu ugiguluha, agazwaga nzwi ijo jigamogagwa nu ng’wana okwe ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ulu umoga ng’wana nzwili ja hawelele nang’hwe alagumoja nzwi ja kubhunamhala.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhabyaji na bhana bhabho, abho bhagikalaga na bhumo bho gwiyambilija chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagabhizaga na bhutogwa bho gwigunana bhuli ng’wene uyo opandikaga makoye, kunguno ya bhumo bhobho ubho bhugbhinhaga ilange lwa gwikala bhanumanile makanza gose. Abhoyi bhagabhalangaga na bhichabho inzila ja gwikala ni nilange linilo ilya gwiyambilija kihamo, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nu wimogi bho myaji na ng’wana okwe, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhumo bho gwiyambilija uguginja amakoye gabho, nu guyitumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “ulu umoga ng’wana nzwili ja hawelele nang’hwe alagumoja nzwi ja kubhunamhala.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji na bhana bhabho higulya ya gubhiza na bhumo bho gwiyambilija chiza umulikanza lya mayange, nu mumilimo yabho, kugiki bhadule gupandika wasa bho gugamala wangu amakoye gabho.
Yoshua Bin Sira 3:12-14.
Wakolosai 3:20-21.
Waefeso 6:4.
KISWAHILI: UKIMNYOA MTOTO NYWELE ZA UTOTONI NAYE ATAKUNYOA MVI ZA UZEENI.
Mtu akizaa mtoto huwa ana mnyoa nywele zake mtoto huyo kila zinapokua. Lakini basi, mzazi huyo akizeeka, huwa anaota mvi ambazo huwa zinanyolewa na mtoto wake huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ukimnyoa mtoto nywele za utotoni naye atakunyoa mvi za uzeeni.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa wazazi na watoto wao, ambao huwa na umoja wa kusaidiana vizuri, katika maisha yao. Watu hao, huwa wanaupendo wa kuendelea kusaidiana kila mmoja wao kwa sababu ya ushirikiano wao mzuri walio uliyojengwa kwenye malezi mema. Wao huwafundisha wenzao njia za kuendelea kuishi katika malezi hayo mema ya kusaidiana kuyatatua matatizo yao kwa pamoja, katika maisha yao.
Watu hao, hufanana na ushirikiano wa mtoto na mzazi katika kunyoana, kwa sababu nao huwa na ushirikiano wa kusaidiana kwa pamoja katika kuyatatua matatizo yao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “ukimnyoa mtoto nywele za utotoni naye atakunyoa mvi za uzeeni.”
Methali hiyo, hufundisha wazazi na watoto juu ya kuwa na ushirikianao wa kusaidiana vizuri katika matatizo, na katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata nafasi ya kuyamaliza mapema matatizo hayo kwa ajili ya kuzijenga vizuri familia zao.
Yoshua Bin Sira 3:12-14.
Wakolosai 3:20-21.
Waefeso 6:4.
ENGLISH: IF YOU SHAVE A CHILD OF HIS OR HER CHILDHOOD HAIR, HE/SHE WILL ALSO SHAVE YOUR GRAY HAIR IN YOUR OLD AGE.
When a parent gives birth to a baby, he/she shaves the hairs of such baby from time to time when he/she grows. But then, as the parent gets older, he or she grows gray hairs which are being shaved by the child who now becomes a mature one. That is why people say, “If you shave a child of his or her childhood hair, he/she will also shave your gray hair in your old age.”
This proverb is compared to parents and their children who are united in helping one another in their lives. These people, in turn, like to continue helping each other because of their good cooperation that is built on good upbringing. They teach their people various ways which can enable them to continue living in that good upbringing enough to help them in solving their problems together in their lives.
These people are like the cooperation of the child and the parent in shaving each other, because they also have the cooperation of helping each other in solving their problems in their lives. That is why people say that “If you shave a child of his or her childhood hair, he/she will also shave your gray hair in your old age.”
This proverb imparts in parents and children an idea on how to work together in helping each other enough to solve their problems in the implementation of their responsibilities, so that they can have the opportunity to end these problems early for the betterment of their families.
Joshua Bin Sira 3: 12-14.
Colossians 3: 20-21.
Ephesians 6: 4.