799. SHILE YA MHAMBA KWIMALA NG’WENEYO.

Ulusumo lunulo, lwingilile kuli munhu uyo agagopa jiliwa ijo agajishosha aho ojipandika. Ijililwa jinijo, hi mhamba iyo agagopa aho omala ijiliwa jakwe.  Ishile hu ngopo gokwe uyo agagushosha aho ojipandika ijiliwa jinijo kunguno adebhile igiki adakililwe agushowe weyi uyo ugugopa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “shile ya mhamba kwimala ng’weneyo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho gushosha ijo agagopaga kubhiye ulu omala ugujipandika, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija kunguno agitaka ya nhana bho gushosha ukubhiye ijo ojigopa gitumo ogopela. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gwikala chiza na bhanhu bho kikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agashosha ukubhiye ijiliwa ijo agajigopa, kunguno nuweyi alina bhutengeke bho gushosha ukubhiye ijo agagopaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “shile ya mhamba kwimala ng’weneyo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwigunana chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 11:5-8.

KISWAHILI: MKOPO WA CHAKULA HUMALIZA MWENYEWE.

Methali hiyo, ilianzia kwa mtu aliyekopa chakula kwa mwenzake ambacho alikirudisha baada ya kukipata. Chakula hicho, ni mkopo aliouchukua mtu yule baada ya yeye kuishiwa chakula, ambao anatakiwa kuurudisha yeye mwenyewe, kama alivyouchukua. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mkopo wa chakula humaliza mwenyewe.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anauaminifu wa kurudisha kile alichokopa kwa wenzake mara anapokipata, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwaminifu na mkweli kwa sababu ya umakini wake wa kurudisha kwa wakati unaotakiwa kama alivyouchukua mkopo huo kwa wenzake. Yeye huwafundisha watu wake namna ya kuishi vizuri na wenzake hao kwa njia ya maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerudisha kwa wenzake chakula alichokopa, kwa sababu naye ana uaminifu huo wa kurudisha kwa wenzake kile alichokopa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkopo wa chakula humaliza mwenyewe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana vizuri katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Luka 11:5-8.

carrying

carrying1

carrying food

ENGLISH: FOOD LOAN IS REPAID BY THE LOANER.

This proverb originated from a man who borrowed food from a colleague who returned it after getting it. This food is a loan that the man took out after he ran out of food, which he has to repay himself, as he took it. That is why people say, “Food loan is repaid by the loaner.”

This proverb is likened to a man who is honest enough to pay back what he owes to his colleagues as soon as he gets it, in his life. He is an honest one and truthful because of his seriousness in repaying back on time, what he took as a loan from his colleagues. He teaches his people on how to live well with others through his life.

This person is like the one who gave back to his colleagues the food he borrowed, because he also has the same honesty of giving back to his colleagues what he borrowed, in his life. That is why people say to him, “Food loan is repaid by the loaner.”

This proverb teaches people on how to help each other well in their lives, so that they can have more success, in their lives.

Luke 11: 5-8.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.