Ubhusika ulu bhubhitwa ilele ahikanza bhulihola bhudapyaga. Unimi o ngunda gunuyo, agahawiyagwa giki okelaga, kunguno adadulaga ugupandika josejose, umungunda gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’hela ya kumangala itapugutagwa.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo onanhala, nulu uyo ogiguluha adinabyala ng’wana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasunduhalaga noyi, kunguno ya gwikumbwa gupandika bhana, umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga bho wiyumilija na bhutale, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakela bhusiga bhokwe ubho bhugabhitwa ilele ahikanza lya guhola, kunguno nu weyi, onanhala nulu ogiguluha, adabyalile, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’hela ya kumangala itapugutagwa.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gugamala chiza amakoye ayo bhalinago, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika bhuyegi, umuwikaji bhobho.
Marko 11:12-14.
Yohana 15:1-2.
KISWAHILI: KUTOCHANUA MASUKE HUONDOA UWEZEKANO KUPANDA.
Mtama ukipigwa ukungu wakati wa kuchanua, hukosa matunda ya kuvunwa kwa sababu ya kukosekana kwa mtama huo. Mkulima wa shamba hilo, hukosa mavuno, kwa sababu ya kukosa kupata chochote, kutoka kwenye shamba hilo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutochanua masuke huondoa uwezekano wa kupanda.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amefikia umri wa uzee bila kuzaa, katika maisha yake. Mtu huyo, huhudhunika sana, kwa sababu ya kukosa bahati ya kupata watoto, katika maisha yake. Yeye huishi kwa uvumilifu mkubwa kutokana na tatizo hilo kuendelea kumsumbua, maishani mwake.
Methali hiyo, hulinganana na yule aliyekosa mtama kutokana shamba late kupigwa ukungu wakati wa mtama kuchanua, kwa sababu naye amezeeka bila kuzaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kutochanua masuke huondoa uwezekano wa kupanda.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyatatua matatizo walio nayo, katika maisha yao, ili waweze kupata furaha, maishani mwao.
Marko 11:12-14.
Yohana 15:1-2.
ENGLISH: WHEN PLANTS DO NOT GIVE OUT FLOWERS MEAN ANOTHER SEASON OF PLANTING MAY NOT COME.
When the sorghum/millet is mistaken during germination, it loses its fruit to harvest due to the lack of required flowers. The farmer of that field misses harvest, because of the inability to get anything, from it. That is why people tell him that, “when plants do not give out flowers mean another season of planting may not come.”
This proverb is compared to a person who has reached an age of infertility in his/her lifetime. Such person becomes sad, because of a lack of children, in life. He/she lives with great patience as the problem continues to haunt him/her, throughout the life.
This person is similar to the one who misses the sorghum/millet due to one’s field being foggy when the sorghum/millet blossoms, because he/she too is barren and childless, in his/her lifetime. That is why people tell him/her that, “when plants do not give out flowers mean another season of planting may not come.”
This proverb instills in people an idea of having patience that is strong enough to enable them solve their daily problems, so that they can find happiness, in their lives.
Mark 11: 12-14.
John 15: 1-2.