Tanzania

1032. ILINO ILYA HA NHELO ITI B’UGOTA B’O B’UYU.

Akahayile kenako, kingilile kuli munhu uyo uli na b’uyu uyo wikalaga Ng’wagala. Umunhu ng’wunuyo olemaga uguwilwa igiki alina b’uyu kunguno oli omala amino usaja lino lyaha mhelo tuhu.

Lushugu lumo agenhelwa maguha kugiki alye, huna uduma ugugalya kunguno ya guyagaiya Mino. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ilino ilya ha nhelo iti b’ugota b’o b’uyu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ozumalikilwa na myaji okwe uyo oli ang’wisanije gete, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, opandikaga sabho na jikolo ja mbika ningi ija gufumila kuli myaji okwe ng’winuyo. Kiyiniyo lulu, ubhuzumaliki bho myaji okwe ng’winuyo, bhugang’wenheleja kugayiwa umunhu uogung’wambilija, kunguno oliang’wisanijia weyi duhu umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga na makoye ga gugayiwa isabho ja gungunana aha kaya yakwe yiniyo.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo ali na lino lya ha mhelo ilolidang’wambilijije ugulya amaguha ayo agenhelwa, kunguno nuweyi ogaiwa umunhu uogung’wingija amakoye aha kaya yakwe gwingila haho ozumalikilwa nu myaji okwe uyo ong’wambilija, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “ilino ilya ha mhelo iti b’ugota b’o b’uyu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujilabhila chiza isabho ni jitumamilo jabho, umukikalile kabho, kugiki didule gubhambilija chiza ihikanza bhalinajo, umubhulamu bhobho bhunubho.

1Wakorintho 12:14-26.

1Wakorintho 13:11-12.

KISWAHILI: JINO LA PEMBENI SIYO DAWA YA MAPENGO.

Msemo huo, ulianzia kwa mtu mwenye mapengo aliyekuwa anaishi Ng’wagala. Mtu huyo, alikuwa akikataa kuambiwa kuwa ana mapendo kwa sababu ya kubakiwa na jino moja la pembeni baada ya yale mengine kung’oka.

Siku moja aliletewa miwa ili ale, ndiyo akashindwa kuila kwa sababu ya kukosa meno. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “jino la pembeni siyo dawa ya mapengo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyefiwa na mzazi wake aliyekuwa akimtegemea sana katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akipokea mali na vitu vya aina mbalimbali kutoka kwa mzazi wake huyo. Kwa hiyo, kufariki kwa mzazi wake huyo, kumemsababishia kukosa mtu wa kumsaidia kwa sababu alikuwa akimtegemea yeye tu katika maisha yake. Yeye huishi katika hali ya kukumbwa na matatizo ya kukosa mali za kumsaidia katika familia yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na jino la pembeni ambalo halikumsaidia kuweza kula miwa aliyoletewa, kwa sababu naye alikosa wa kumsaidia katika familia yake baada ya mzazi wake kufariki. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “jino la pembeni siyo dawa ya mapengo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia vizuri mali walizozipata katika utekelezaji wa majukumu yao, ili ziweze kuwasaidia vizuri wakati wakiwa nazo, maishani mwao.

1Wakorintho 12:14-26.

1Wakorintho 13:11-12.

ENGLISH: A SIDE TOOTH IS NOT A MEDICINE FOR GAPS.

The above saying started with a man that has gaps who lived in Ng’wagala. This man was refusing to be told that he has gaps in his mouth because he had one front tooth that was left after the others had fallen out.

One day sugarcane was brought for him to eat, but he couldn’t eat it because of missing teeth. That is why people told him that, “a side tooth is not a medicine for gaps.”

This saying is compared to the person who lost his parent to whom he depended on in his life. Such person used to receive wealth and various things from his parent. Therefore, the death of his parent has caused him to have no one who can help him because he was only relying on him in his life. He lives in a situation where he faced many problems of not having assets to support him in his family.

This person is similar to the one who had a side tooth that did not help him to be able to eat the cane that was brought to him, because he also lacked someone to help him in his family after his parent died. That is why he says that, “a side tooth is not a cure for gaps.”

This saying, teaches people about using the assets they got in performing of their duties, so that they can help them well when they have them, in their lives.

1 Corinthians 12:14-26.

1 Corinthians 13:11-12.

man-tongues

africa-2002838__480

africa--=

1031. DUTAGA INDILI BHUGALI BHUSEB’U.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya bhulanhani bho ng’wa kugiki adizubishiwa na fugo ya bhugali bhuseb’u. Ikale olihoyi munhu uyo agazuka bhugali hikanza lya bhujiku. Aho obisha ubhugali bhunubho, agabhubhucha ajile gujubhutenga kugiki abhanhu bhalye.

Aliyo lulu, umunhu ng’wunuyo, agunang’wana nu ng’wana okwe umzila, ung’wila giki, “dutaka indili bhugali bhuseb’u.” Uguduta indili mumho, gwisesa bho gunyamuka numa kugiki akije gubishiwa nilifugo ilya bhugali ubhuseb’u bhunubho. Hunagwene abhang’wila ung’wana okwe ng’wunuyo giki, “dutaga indili bhugali bhuseb’u.” Ung’wa okwe ng’wunuyo agigwa wisesa gitumo agawililwa nu myaji okwe.

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhanaga chiza abhana bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bihi na bhana wake bho gubhatongela inzila ijagwikala chiza na bhanhu, kunguno ya bhutogwa bhakwe bhutale ukubhana bhakwe bhanabho. Uweyi agabhakujaga abhana bhakwe pye abhose bho lilange lya gwikala bhidilile chiza bhuli ng’wene, kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nuyo agananhana ng’wana okwe ukija gupya fugo ya bhugali bhuseb’u, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhana bhakwe bho gubhawila bhaleke nhungwa ja bhubhi, kugiki bhikale najo ijagwidilila chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene agang’wilaga bhuli ng’wene giki, “dutaga indili bhugali bhuseb’u.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhabyaji higulya ya gwikala na bhulalanhanu bho gubhalanhana chiza abhanhu bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhakije bhulabhuka, nulu gulangwa nhungwa ja bhubhi na bhabihya, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 23:1-2.

Mithali 5:1-2.

Kutoka 20:12.

KISWAHILI: VUTA NGOZI UGALI NI WA MOTO.

Methali hiyo, huongelea juu ya utunzaji wa mtoto ili asiunguzwe  na chungu cha ugali wa moto. Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa anapika ugali wakati wa usiku. Alipoivisha alibeba chungu cha ugali huo kwenda kutenga mezani ili watu wale.

Lakini basi, mtu huyo alikutana na mtoto wake njiani, akamwambia, “vuta ngovi ugali ni wa moto.” Maana yake, ni kumwambia arudi kinyume nyume ili asiunguzwe na chungu hicho cha ugali wa moto. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “vuta ngozi ugali ni wa moto.” Mtoto huyo aliposikia hivyo alitii haraka kwa kutekeleza alichoambiwa na mzazi wake.

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaangalia vizuri watoto wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa karibu nao hao watoto wake kwa kuwaongoza katika njia za kuishi vizuri na watu kwa sababu ya upendo wake huo mkubwa kwao. Yeye huwakuza watoto wake wote katika malezi mema ya kumjali kila mmoja, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzazi aliyemlinda mwanae kwa kumwepusha kuunguzwa na chungu cha moto, kwa sababu naye huwalinda watoto wake kwa kuwalea katika malezi mema ya kuacha uovu na kutenda mema. Ndiyo maana yeye humwambia kila mmoja wao kwamba, “vuta ngozi ugali ni wa moto.”

Methali hiyo, hufundisha wazazi juu ya kuwa na umakini wa kuwalinda vizuri watoto wao, ili wasije wakaumizwa, au kufundishwa tabia ya kutenda maovu na waovu, maishani mwao.

Waefeso 6:1-4.

Mithali 23:1-2.

Mithali 5:1-2.

Kutoka 20:12.

ENGLISH: PULL THE SKIN THE STIFF PORRIDGE IS HOT.

This proverb talks about taking care of a child so that he is not burned by a pot of hot food. Once upon a time there was a man who was cooking stiff porridge at night. When he finished cooking it, he carried the pot of the stiff porridge to set aside on the table for people to eat.

But then, the man met his son on the way, and he said to him, “take a skin, the stiff porridge is hot.” What it means is to tell him to go back so that he doesn’t get burned by that hot pot. That is why he told him that, “pull the skin, the stiff porridge is hot.” When the child heard that, he obeyed quickly by doing what he was told by his parent.

This proverb is compared to the person who takes good care of his children, in his life. Such person is close to his children by guiding them in good ways enough to live well with people because of his great love for them. He raises all his children in a good upbringing by taking care for each one of them, because of his good character, in his life.

This person is similar to the parent who protected his son by preventing him from being burned by a pot of hot stiff porridge, because he also protects his children by raising them in a good upbringing enough to stop doing evil by doing what is good. That is why he tells each of them that, “pull the skin, the stiff porridge is hot.”

This proverb teaches parents to be careful enough to protect their children well, so that they are not hurt, or taught the habit of doing evil by evil doers, in their lives.

Ephesians 6:1-4.

Proverbs 23:1-2.

Proverbs 5:1-2.

Exodus 20:12.

woman-5935805__480

africa-5274085__480

african-4493422__480

1030. ULU UDAMANILE GUCHA SULAGA MUJIGIRA.

Ikale olihoyi munhu uyo oliadamanile umo bhagachilaga abhanhu. Giko lulu, umunhu ng’wunuyo, wikalaga ubhikobhya abhiye bho gubhatula na gubhakenaguja ijikolo jabho.

Lushiku lumo agasumba lugendo ugasamba bhanhu bhalijika munhu, ubhabhuja, “mlitaji ahenaha?” namhala umo aganshokeja, “dulijika munhu ogayaga.” Uweyi agabhuja “ogayaga ginehe?”

Unanhala ng’winuyo, agang’wila, “sulaga umujigira umane igiki oyaga ugweshema.” Aho osula umujigira umunhu ng’wunuyo, agabhona umo bhaganjikira, unjimiji ng’wunuyo, ogosha noyi. Huna bhuyung’wila abhanhu bhuli ng’wene uyo alina nungwa ja bhubhi giki, “ulu udamanile gucha sulaga mujigira.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga ya bhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhadalahile abhanhu kunguno ya bhudoshi bhokwe ubho gwibhona giki aliosolobho gukila abhiye. Uweyi agigakala bhung’wene aha kaya yakwe kunguno ya libhengwe lwake linilo ukubhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo okenagulaga jikolo ja bhanhu iki oliadamanile umo bhagachilaga mpaga usanga bhanhu bhalijika, usula umujigira, kunguno nuweyi agabhitilaga miito gabhubhi abhiye umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhaganhugulaga bho gung’wila giki, “ulu udamanile gucha sulaga mujigira.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhutoshi bho gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 20:8-9.

Ayubu 14:10-12.

Yohana 11:11-14.

KISWAHILI: KAMA HUJUI KUFA CHUNGULIA KABURI.

Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja ambaye hukujua wanavyokufa watu. Hivyo basi, aliwachokoza wenzake kwa kuwapiga na kuwaharibia mali zao. Siku moja alifunga safari akakuta watu wanamzika mtu, akawauliza, “munafanya nini?” Mzee mmoja akamjibu, “tunazika mtu amefariki.” Yeye akauliza tena, “amefariki namna gani?”

Yule mzee alimwambia, “chungulia kwenye kaburi ufahamu kwamba ameacha kupumua. Alipo chungulia kwenye kaburi hilo yule mtu, akamuona yule marehemu alivyozikwa, aliogopa sana. Ndipo watu wakawa wanamwambia mtu mwenye tabia mbaya kwamba, “kama hujui kufa chungulia kaburi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu wengine kwa sababu ya majivuno yake ya kujiona yeye kuwa ni wa maana kuliko wenzake. Yeye huishi peke yake kwenye familia yake kwa sababu ya dharau zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeharibu mali za wenzake kwa vile hukujua namna mtu anavyokufa, mpaka alipokuta mmoja anazikwa, kwa sababu naye huwatendea matendo maovu wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu hao humuonya kwa kumwambia kwamba, “kama hujui kufa chungulia kaburi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kuwadharau wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 3:19.

Ayubu 20:8-9.

Ayubu 14:10-12.

Yohana 11:11-14.

ENGLISH: IF YOU DON’T KNOW TO DIE PEEP INTO A TOMB.

Once upon a time there was a man who did not know how people die. Thus, he provoked his colleagues by striking them down and destroying their property. One day he made a trip and found people burying someone on the way, and he asked them, “What are you doing?” One of the elders answered, “We are burying a dead man.” He asked again, “How did he die?”

The old man said to him, “Look into the grave and know that he has stopped breathing. When he looked into the tomb, he saw the dead body of such person, and he was terrified. Then people would say to the immoral man, “if you don’t know to die peep into a tomb.”

This proverb is likened to a man who treats his fellow workers with contempt. This person, in turn, despises other people because of his arrogance of self-esteem. He lives alone in his family because of his contempt, in his life.

This person resembles the one who destroyed the property of his fellows because he did not know how a man dies, until he finds one buried, because he also does evil to his fellows, in his life. That is why they warn him by saying that, “if you don’t know to die peep into a tomb.”

This proverb teaches people on how to stop being arrogant and looking down on their neighbors, in their lives, so that they can live in peace and take good care of their families, in their lives.

Genesis 3:19.

Job 20: 8-9.

Job 14: 10-12.

John 11: 11-14.

beach-1238452__480

mourning-1589195__480

graveyard-993854__480

1029. OGWILAGA NINDO.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya ng’wa munhu uyo ogwilaga ningo. Olihoyi munhu uyo oliolinha mlinti lya minyembo kugiki ayobhe minyembe ya gulwa. Umunhu ng’wunuyo oliadina witegeleja bhutale umukalinhile kakwe kenako kunguno agatyuja gwiza hasi uyigwila inindo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ogwilaga nindo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ajaga ng’wichola ugashoga adapandikile josejose, umubhuchoji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agacholaga sabho bho nduhu gubhiza na uwitegeleja bhutale, kunguno ya gukija ugwiganika chiza umumasala gakwe. Uweyi agashoga kaya bho nduhu nulu ginhu josejose umumakono gakwe, kunguno ya gubhugayiwa uwitegeleja bhunubho, umukacholele kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalinha mulinti lya minyembe bho nduhu gubhiza na witegeleja bhutale mpaga nose ugwila nindo, kunguno nuweyi agacholaga sabho bho nduhu gubhiza na witegeleje bhutale umubhuchoji bhokwe bhunubho mpaga nose ojigayiwa isabho jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ogwilaga nindo.” Imaana ya gwila nindo ili gugayiwa ijo olujicholaga, unchoji o sabho ng’wunuyo, ushoga makono duhu ugukaya yakwe.

Akahayile kenako kalanga bhachoji bha sabho higulya ya gubhiza na witegeleja bhutale umukacholele kabho, kugiki bhadule gujipandika isabho ijo bhalijichola, umuwikaji bhobho.

Luka 15:13-14.

Luka 16:3-9.

KISWAHILI: AMEANGUKIA PUA.

Msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyeangukia pua. Alikuwepo mtu mmoja aliyekwea kwenye mtu wa maembe ili achume maembe ya kula. Mtu huo, aliukwea mtu huo wa muembe bila kuwa na umakini mkubwa katika ukweaji wake, kwa sababu aliteleja akaangukia pua. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameangukia pua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huenda kutafuta mali na kurudi bila kupata chochote, katika utafutaji wake. Mtu huyo, hutafuta mali hizo bila kuwa na umakini mkubwa kwa sababu kutokufikiri vizuri katika akili zake. Yeye hurudi nyumbani kwake bila kuwa kitu chochote katika mikono yake, kwa sababu ya kuukosa umakini huo katika utafutaji wake huo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekwea kwenye mti wa maembe bila kuwa na umakini mkubwa, mpaka mwishowe akaangukia pua, kwa sababu naye hutafuta mali bila kuwa na huo umakini katika utafutaji, mpaka anashindwa kupata chochote. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameangukia pua.” Maana ya kuangukia pua ni kukosa au kushindwa kupata mali na kurudi nyumbani mikono mitupu kwa mtafutaji huyo.

Msemo huo, hufundisha watafutaji wa mali juu ya kuwa na umakini mkubwa katika utafutaji wao, ili waweze kufanikiwa kupata mali wanayoitafuta, katika maisha yao.

Luka 15:13-14.

Luka 16:3-9.

ENGLISH: HE HAS FALLEN ON HIS/HER NOSE.

This saying speaks of a person who fell on his nose from a Mango tree. There was one man climbed on a mango tree carelessly to pick mangoes for eating. He fell on his nose to the point of hurting it. That is why people said to him that, “He has fallen on his nose.”

This saying is compared to a man who goes about seeking wealth but returns without getting anything, in his search. He did not look for those treasures with much caution because of not thinking well in his mind. He returns home with nothing in his hands.

This man is like the one who climbed on a mango tree without much attention, until he finally fell on his nose, because he too seeks wealth without having that focus in searching, until he fails to get anything. That is why people say to him that, “he has fallen on his nose.” The meaning of falling on one’s nose is to miss or fail to acquire property and return home empty-handed to his family.

This saying teaches property seekers to be very careful in their  ways of searching, so that they can successfully find the property which they are looking for, in their lifetime.

Luke 15: 13-14.

Luke 16: 3-9.

male-4948672__480

girl-6274742__480

black-man-7154113__480

1028. LIGUNILA LYA MUNHU LIDAMALAGA MUNHU.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhusagiji bho munhu umuligunila ilo guligotulilwa. Bhalihoyi bhanhu abho bhagajila munhu Nyalanja bhugagubhukija mumagunila. Inyalanja yinilo ili ilamba kunkoa go Singida. Abhoyi bhagaja bhugagwenha umunhu gunuyo umuchalo jabho ija idisa. Bhagagujinja umunhu gunuyo mpaga gushila umumagunila gabho.

Lushugu lumo, bhagagayiwa munhu gogutwila mumakubhi, bhugagema ugutuula amakono gabho umuligunila linilo. Aho bhagafunya amakono genayo bhugabhona galina munhu, huna bhulikunhunha iligunila linilo mpaga bhupandika munhu gugotwila umumakubhi gabho.

Gashinaga goligadamila munhu gunuyo umukati ya ligunila linilo uyo gugalimanyichaga igiki lyali na munhu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ligunila lya munhu lidamalaga munhu.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu msabi omajikolo mingi umukikale kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga amanyikile duhu igiki alina sabho aho azengila nulu jigashila imumitugo jakwe jinijo, kunguno jigalekaga julugu aho jikalaga. Uweyi agabhizaga na bhumanyikijo bhutale bho sabho ijo alinajo umukikalile kakwe, kunguno ya jimanikijo ijo jigalekaga ni sabho jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niligunila lya munhu uyo gugadamilaga moyi, kunguno nuweyi agikalaga na jimanyikijo ja sabho jakwe ijo wikalaga najo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ligunila lya munhu lidamalaga munhu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kujilanhana chiza isabho jabho bho gujitumila bho masala, kugiki jidule gubhambilija chiza umuwikaji bhobho, nabho bhalabhalekele isabho jinijo.

Mithali 27:23 – 24.

Mithali 19:4.

Luka 14:34 – 35.

KISWAHILI: GUNIA LA CHUMVI HALIMALIZI CHUMVI.

Chanzo cha methali hiyo, kilianzia kwenye ubakiaji wa chumvi kwenye gunia ilimokuwa imewekwa. Walikuwepo watu walioenda Nyalanja kuchota chumvi kwemye magunia. Nyalanja hiyo iko Iramba mkoani Singida. Walioenda kuchota chumvi hiyo walitoka kwenye kijiji cha Idisa. Walipoileta chumvi hiyo waliiuza mpaka ikaisha yote kwenye magunia yao.

Siku moja waliishiwa chumvi ya kutumia kwenye mboga, wakajaribu kuweka mikono yao kwenye gunia lilikuwa na chumvi hiyo. Walipoitoa mikono hiyo ilionekana ina chumvi, ndipo wakalitikisha gunia hilo na kupata chumvi ya kutosha kutumia kwenye mboga yao.

Kumbe chumvi hiyo iligandamana ndani ya gunia hilo walilokuwa wameitunzia kuonesha kwamba lilikuwa na chumvi. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “gunia la chimvi halimalizi chumvi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri wa mali nyingi katika maisha yake. Mtu huyo, huwa na alama za kuonesha uwepo wa mali alizokuwa nazo ikiwemo mifugo, hata kama mali hizo zitakuwa zimeisha, kwa sababu huwa inaacha lutuba pale ilipoishi kwa muda mrefu. Yeye huendelea kuwa na alama kubwa za utajiri wake huo, kwa sababu ya uwepo wa sehemu mbalimbali zilibalishwa na utajiri wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile gunia la chumvi iliyogandamana ndani yake, kwa sababu naye huwa na alama za mali alizokwa nazo, katika maisha ya utajiri wake huo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “gunia la chumvi halimalizi chumvi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri mali zao kwa kuzitumia kwa akili, ili ziweze kuwasaidia vizuri maishani mwao, na wale watakaowaachia mali hizo.

Mithali 27:23 – 24.

Mithali 19:4.

Luka 14:34 – 35.

ENGLISH: SALT IS NEVER FINISHED IN A SACK OF SALT.

The origin of this proverb began with the retention of salt in a sack in which it was placed. There were people who went to Nyalanja to fetch salt in their sacks. Nyalanja is located at Iramba place in Singida region. Those who went to fetch such salt came from the village of Idisa. When they brought it, they sold it until it was all gone in their sacks.

One day they ran out of salt for using in their vegetables. They tried to put their hands in a sack that contained the salt. When they removed their hands that looked salty, they shook the sack and found enough salt to use in their vegetables.

But the salt stuck in the sack that they were holding to show that it had salt in it. That is why the people said, “Salt is never finished in a sack of salt.”

This proverb is compared to the man who is rich in many things in his life. This person, in turn, has the marks to indicate the presence of the property he owned, including livestock, even if the property is depleted, because it usually loses its fertility when it has lived for a long time. He continues to have great marks of his wealth, because of the presence of various parts acclaimed by his wealth, in his life.

This person is like the salt bag which stuck in the sack, because he also has the marks of the wealth he possessed, in the life of his wealth. That is why people say to him that, “salt is never finished in a sack of salt.”

This proverb imparts in people an idea on how to take good care of their possessions by using them wisely, so that they can help them better in their family lives.

Proverbs 27: 23-24

Proverbs 19: 4

Luke 14: 34-35.

salt-5525013__480

salt-pan-635430__480

salt-374560__480