Tanzania

1047. BHANDYAGA GWILEBHA MAGANDA.

Akahayile kenako, kahoyelile bhanhu abho bhilebyaga maganda muchalo jilebhe. Bhali hoyi bhanhu bhab’ili abho bhali ng’wichobha. Uumo obho agab’iza na jikolo jingi kunebya ung’wiye kunguno ya bhuguji bho sabho bhokwe ubho gutumila mpango go higulya.

Ung’wiye agabhiza na mpango go aha silili, ub’iza giki olebhiwa amaganda nu ng’wiyile ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhandyaga gwilebha maganda.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajitumilaga inguzu jabho chiza, bho gwikija gutumama milimo, umuwijaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagipunaga diyu bhaja gujutumama milimo yabho ahikanza lya malima kwa kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandika sabho ningi noyi bhuli ng’wene kunguno ya wikindi bhobho ubho gutumama milimo yabho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho wilebhyaga maganda ga gupandika jikolo bho mpango gohigulya ulu bhaligula ijikolo jinijo, kunguno nabhoyi bhagikindaga ugutumama imilimo yabho bho bhukamu bhutale, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhandyaga gwilebha maganda.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ubhutumami bho milimo yabho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Luka 16:11-13.

Warumi 13:8-10.

Yakobo 1:9.

Warumi 15:1-2.

KISWAHILI: WAMEANZA KUZIDIANA UWEZO.

Msemo huo, huongelea juu ya watu waliokuwa wakizidiana uwezo wa kupata mali kwenye kijiji fulani. Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakitafuta mali. Mmoja wao alipata mali nyingi kumzidi mwenzake kwa sababu ya ununuaji wake wa bei ya juu.

Mwenzake alikuwa akinunua vitu kwa bei ya chini, akawa amezidiwa uwezo na mwenzake huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “wameanza kuzidiana uwezo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huzitumia nguvu zao vizuri kwa kushindana kufanya kazi, katika maisha yao. Watu hao, huamuka asubuhi na kuwahi kwenda kufanya kazi zao unapofika wakati wa kilimo kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi sana kila mmoja kwa sababu ya ushindani wao huo wa kufanya kazi kwa namna hiyo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliokuwa wakizidiana uwezo wa kupata mali kwa bei ya juu, kwa sababu nao, hushindana katika kufanya kazi zao kwa bidii kubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wameanza kuzidiana uwezo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa juhudi kubwa, ili waweze kupata mali nyingi katika utekeleji wa majukumu yao, maishani mwao.

Luka 16:11-13.

Warumi 13:8-10.

Yakobo 1:9.

Warumi 15:1-2.

fight-1564959__480

angolan-509593__480

women-5935801__480

ENGLISH: THEY HAVE BEGUN TO SURPASS EACH OTHER IN TERMS OF WEALTH.

This saying talks about people who were competing with one another to get wealth in a certain village. There were two people who were looking for property. One of them got more wealth than the other because of his high-priced purchases.

His colleague was buying things at a low price, he was overwhelmed by that colleague. That is why people said that, “they have begun to surpass each other in terms of wealth.”

This saying is compared to people who nicely use their energy by competing to work in their lives. These people wake up in the morning and go to do their work when it is time to farm because of their hard working situation which is strong enough to carry out their duties well in their lives. They get a lot of wealth each one of them because of their competition to work in that way in their lives.

These people are similar to those who were competing with each other ing using their abilities to get property at a high price, because they, too, compete in doing their works with great effort, in their lives. That is why people tell them that, “they have begun to surpass each other in terms of wealth.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their works with great effort, so that they can get a lot of wealth in fulfilling their responsibilities in their lives.

Luke 16:11-13.

Romans 13:8-10.

James 1:9.

Romans 15:1-2.

1046. ONILOLELAGA MUMINZI.

Akahayile kenako, kalolile bhuloleji bho ng’wa munhu munzi. Bhalihoyi bhanhu bhab’ili abho bhayelaga mulitabha. Aho bhashiga hoyi, umo obho agandya gugulola ung’wengeleji go ng’wiye umuminzi ga litabha linilo kunguno oliadahayile ugumanwa nu ng’wiye igiki aling’wilolela moyi. Kihamo ni yiniyo, ung’wiye agambadija igiki alinhola weyi umuminzi genayo. Hunagwene agang’wila giki, “onilolelaga muminzi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadegelekaga abhiye ulu bhaliyomba umumahoya gakwe, kunguno ya libhengwe lwake linilo. Uweyi agikalaga bhung’wene aha kaya yake kunguno ya gwiiganikila giki ayimanile pye imihayo kulebha abhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo onholelaga mu ng’wengeleji gokwe ugo muminzi ung’wiye, kunguno nuweyi agikalaga abhadalahile abhiye bho gulema ugubhadegeleka ulu bhaliyomba, umumahoya gakwe. Hunagwene uyo ajimanile ing’hungwa jakwe agang’wilaga giki, “onilolelaga umumingi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hungwa ja gubhadalaha abhanhu bho gubhadegelaka chiza ulu bhaliyomba umumahoya gabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho na bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mithali 9:10.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

KISWAHILI: UMENIANGALIA KWENYE MAJI.

Msemo huo, huangalia ungaliaji wa mtu kwenye maji. Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakitembea pembeni mwa dimbwi. Walipofika hapo, mmoja wao akaanza kumwangalia mwenzake kupitia kivuli kilichomo kwenye maji ya hilo dimbwi kwa sababu hakutaka kugundulika naye kuwa anamtazama. Pamoja na hayo, mwenzake huyo, aligundua kuwa mwenzake amekuwa akimwangalia kwenye maji. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “umeniangalia kwenye maji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawasikilizi wenzake wanapoongea katika maongezi yake kwa sababu ya dharau yake hiyo, maishani mwake. Yeye huishi peke yake kwenye familia yake kwa sababu ya kujiona kwamba anafahamu mambo yote kupita wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemwangalia mwenzake kwenye maji kupitia kivuli chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kutokuwasikiliza wanapoongea katika maongezi yake. Ndiyo maana yule anayeifahamu tabia yake hiyo, humwambia kwamba, “umeniangalia kwenye maji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwadharau watu kwa kuwasikiliza vizuri wanapoongea katika maongezi yao, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani na watu wao, maishani mwao.

Mithali 9:10.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

pool-424194__480

 ENGLISH: YOU LOOKED AT ME IN THE WATER.

This saying looks at a person’s gaze on the water. There were two people who were walking by the pool. When they got there, one of them started looking at the other through the shadow in the water of that pool because he did not like to be found out that he was looking at him. Despite this, the colleague realized that his associate had been watching him in the water. That is why he told him that, “you looked at me in the water.”

This saying is compared to the person who despises his colleagues, in his life. Such person does not listen to his coworkers when they speak in his conversation because of his contempt in his life. He lives alone in his family because of thinking that he knows all things better than his peers, in his life.

This person resembles the one who looked at his fellow in the water through his shadow, because he also despises his fellows by not listening to them when they speak in their conversation. That is why the one who knows his behavior, tells him that, “you looked at me in the water.”

This saying instils in people a clue on stopping belittling people by listening to them well when they speak in their conversations, so that they can live well and in peace with their people, in their lives.

Proverbs 9:10.

Galatians 6:10.

Luke 16:9.

1045. SIMINZILAGA MTI NDOTO UNG’UMU GUGUBHINZIKA.

KISWAHILI: TEMBELEA KWENYE MTI MBICHI, MKAVU UTAVUNJIKA.

Methali hiyo yaongelea juu ya utembeaji wa mtu fulani kwenye mti mbichi badala ule uli mkavu, kwa lengo la kmwezesha kufika salama. Methali hiyo ilitumiwa na watu wa kabila la Wabena wanaokadiriwa kuwa 1,322,000.

 Kabila hilo ni miongoni mwa makabila ya kibantu yaliyomo nchini Tanzania, linalopatikana hasa katika sehemu za Njombe, Makambako na Morogoro.

Hapo zamani wabena waliishi katika sehemu za Pwani wakiwa pamoja na kabila la Wazaramo. Walijishughulisha na kazi za kufua vyuma.

Mwanzo wa kabila hilo ni ukoo uliofahamika kama ni wang’o.  Hivyo watu hao waliitwa wang’o. Jina la wabena lilianzishwa na shujaa wa kizaremo aliyeitwa Pazi ambaye ndiye aliyekuwa mtawala wa sehemu hiyo. Inasemekana kuwa ulitokea uvamizi wa watu walioitwa wakamba ambao walifika eneo la Pwani na kufanya vulugu kwa wenyeji wa hapo.

Kwa bahati nzuri shujaa huyo Pazi alichukua baadhi ya wapiganaji wa wang’o na wazaramo ili kuwaondoa wakamba na akafaulu kuwapiga na kuwafukuza mpaka kukawa na Amani.

Wang’o walifurahi na kabla ya mapigano hayo walimwahidi Shujaa huyo Pazi kwamba, ikiwa watawashinda wakamba basi wao watazivunja silaha zao na kuzitengeneza zingine iwapo itawabidi kufanya hivyo.

Baada ya kuwashinda wakamba, wang’o wakazivunja silaha zao kama walivyoahidi. Hivyo ushujaa huo wa wang’o ulimshangaza sana shujaa Pazi mpaka akabadili jina lao kutoka wang’o akawaita WABENA MIGOHA.

WABENA maana yake ni KUVUNJA na MIGOHA maana yake ni MIKUKI. Tangu hapo wakaitwa wabena migoha badala ya wang’o. Shujaa Pazi alifanya hivyo kwa ajili ya kuzihifadhi kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ambapo ilikuwa ni kawaida yake kufanya hivyo.

 Wabena hao, na wazaramo waliongezeka sana kwa kuzaliana. Hivyo wabenana walipendwa sana na shugaa Pazi na hata wenyeji wao kwa sababu ya tabia yao nzuri ya ujasiri wa kufanya kazi.

Watu hao walianza kutawanyika kwenda sehemu mbambali hadi wakafikia mkoani Njombe ambako ndipo makao yao hasa hadi sasa. Mnamo mwaka 1850 wakoloni walipoingia nchini Tanzania walilikuta kabila la wabena migoha likiwa na watu wengi sana. Wakoloni hao walikuwa na waandishi wao ndio waliofupisha jina la wabena migoha na kuwa WABENA na ikabaki hivyo hadi hii leo.

Wabena hao walioishi Nyanda za juu walijishughulisha na kilimo na ufugaji. Lakini wale walioishi kwenye mabonde na mito shughuli zao zilikuwa ni uvuvi. Watu hao wana ujamaa na ushirikiano hasa wakati wanapobadilishana mali na vyakula, na pia ukarimu ambao unaonekana hasa kwa maendeleo ya binadamu.

Mtafiti mmoja wa kibiolojia Profesa Msemwa aliandika hivi katika utafiti wake alioufanya mwaka 2001 kuwa “Maeneo ya Njombe walikuwepo pia wakulima na wafua vyuma katika karne ya tano au kabla ya hapo.”

Utafiti huo aliufanya wakati walipokuwa wakichimba ardhi kutafuta masalia na dhana mbalimbali zilizotumiwa na watu wa kale na kupata vipande mbalimbali vya vyungu na viwanda vya chuma katika maeneo yaliyokaliwa na wabena kama IGALA, ISITU, TARAFA NA UHOMINYI.

Pamoja na hayo yote wabena walitumia hadithi, methali, nahau, ngoma, nyimbo, michezo na misemo mbalimbali, katika kufundisha na kukosoa jamii hasa kwa malezi wa watoto na vijana katika jamii.

Baadhi ya nyimbo, ngoma, na michezo mbalimbali zilitumika wakati wa maburudisho au wakati wa sherehe au misiba. Ugendelage uludodi ulukafu luladenyeka ni miongoni mwa methali walizozitumia katika kufundishana maadili katika jamii.

Methali hiyo, inafundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu katika maisha yao ili waweze kufanikiwa vizuri. Unyenyekevu huo, hufananishwa na mti mbichi ambao huavunviki unaposukumwa na upepo.

Inawashauri pia kuacha kiburi kwa sababu hicho hufananishwa na mti mkavu unaoweza kuvunjika unaposukumwa na upepo. Upepo huo ni matatizo mbali mbali yanayotokea katika maisha ya mwanadamu. Ndiyo maana watu waliwaambia wenzao kwamba, “mtembelee katika mti mbishi mkavu utavunjika.”

Vijana walipooana wazazi au mzee wa ukoo wa kila upande walikuwa wanatoa baraka kwa watoto wao kabla hawajakaa pamoja kwa lengo la kuwatakia mema katika ndoa yao. Hivyo wazazi hujipatia umaarufu wakati kama huu kwani baraka yao ilikuwa ya muhimu sana na ilingojewa kwa hamu.

Wazazi hufurahia kwa huwaambia vijana wao Mugendelage uludodi nye vana vesu maana yake Nendeni na amani watoto wetu au mutembee salama na mjaliwe mafanikio katika ndoa yenu.

Baraka nyingine ilitolewa kwa kijana, baada ya ndoa walipojaliwa kupata mtoto ilimlazimu kijana kuondoka nyumbani na kwenda kuishi mashambani au porini mbali na familia yake. Lengo ni kumpatia mke wake nafasi nzuri ya kupumzika anapomnyonyesha mtoto na kuwa na afya nzuri ya kupata mtoto mwingine.

Hii ilikuwa kama njia ya kuwasaidia wazazi kutokuzaa watoto kwa mfululizo kila mwaka. Hivyo wazazi walimbariki kijana na kumtakia safari njema na afikapo kule aishi kwa Amani.

Methali hiyo, huhimiza watu kushirikiana katika utekelezaji wa majukumu yao kwa kusaidiana na kuishi pamoja kama ndugu wakati wote. Kwa maana hiyo, watu hutumia methali hiyo kuwaaga wageni wao kwa kusema kwamba, “mtembelee kwenye mti mbichi mkavu utavunjika.”  Hiyo ni namna pia ya kumshukuru mtu kwa wema wake na kumtakia Baraka ya kutembea akiwa na tabia ya unyenyevu kule aendako.

Wanafamilia pia walipenda kuitumia methali hiyo kwa kumuaga mwenzao aliyetaka kwenda kwenye shughuli za kiuchumi ukiwemo uwindaji kwa kumtakia safari njema aendako na arudi salama.

Kol 3;15  “tena iweni watu wa shukrani”

Flp  4:6      Katika kila neno kwa kusali na kuomba,pamoja na kushukuru,haja zenu na zijulikane

Na Mungu

1Thes 5:18 ….Shukuruni kwa kila jambo

Law 22; 29.    unapomtolea Bwana dhabihu ya shukrani,itoe kwa namna ambayoitakubalika kwa niaba yako

Kol, 3; 16.       neno la Kristu na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana

Lk 10: 25-37. Msamaria mwema

Lk 18: 15-17. Yesu awabariki watoto wadogo

ENGLISH: WALK ON A FRESH TREE, THE DRY ONE WILL BREAK.

The proverb talks about someone walking on a fresh tree instead that of a dry one, with the aim of enabling him/her to reach safety. The proverb was used by people of the Wabena Ethnic group who are estimated at 1,322,000.

 This ethnic group is one of the Bantu Ethnic group in Tanzania, which is found mainly in parts of Njombe, Makambako and Morogoro.

In the past, the Bena people lived in parts of the Coast together with the Wazaramo ethnic group. They engaged in the work of iron manufacturing.

The beginning of this ethnic group is a clan known as wang’o. So those people were called wang’o. The name Wabena was established by a Kizaremo warrior called Pazi who was the ruler of that part. It is said that there was an invasion of people called Kamba who came to the coastal area and did violence to the local people.

Fortunately, the hero Pazi took some Wang’o and Zaramo fighters to get rid of the kambas and succeeded in beating them by driving them away until there was peace.

Wang’o were happy and before the fight they promised the Pazi Warrior that if they defeat the kambas then they will break their weapons and make others if they have to.

After defeating the kambas, the wang’o broke their weapons as they promised. So the bravery of wang’o surprised the hero Pazi so much that he changed their name from wang’o and called them WABENA MIGOHA.

WABENA means BREAKING and MIGOHA means SPEARS. Since then they were called wabena migoha instead of wang’o. The worror Pazi did it to preserve the history for future generations where it was his custom to do so.

 Those Wabena, and zaramo increased greatly by breeding. So the Bena people were very loved by the Pazi chieftain and even their natives because of their good character and courage to work.

The people started to disperse to different places until they reached the Njombe region where they live until now. In 1850, when the colonists entered Tanzania, they found the Wabena Migoha ethnic group with many people. They had their own writers who shortened the name Wabena Migoha to WABENA and it remained that way until today.

The Bena who lived in the highlands were engaged in agriculture and animal husbandry. But those who lived in the valleys and rivers, their activity was fishing. These people are social and cooperative especially when they exchange property and food, and also generosity which is seen especially in human development.

One biological researcher, Professor Msemwa, wrote this in his research which he did in 2001 that “There were also farmers and blacksmiths in the Njombe area in the fifth century or before that.”

He did the research when they were digging the ground to look for various remains and ideas used by the ancient people and found various pieces of pots and iron factories in the areas inhabited by the Bena like IGALA, ISITU, TARAFA AND UHOMINI.

With all that, the Bena people used stories, proverbs, idioms, dances, songs, games and various sayings, in teaching and criticizing society, especially for the education of children and youth in societies.

Some songs, dances, and various games were used during entertainment or during celebrations or tragedies. Ugendelage uludodi ulukafu luladenyeka is one of the proverbs they used in teaching each other values ​​in the society.

The proverb teaches people to be humble in their lives so that they can succeed well. That humility is likened to a fresh tree that does not break when is blown by the wind.

It also advises them to give up pride because it is likened to a dry tree that can break when is blown by the wind. The wind is a variety of problems that occur in human life. That is why people said to their colleagues that, “walk on a fresh dry tree the dry one will break.”

When young people got married, the parents or elders of each side used to give blessings to their children before they stayed together with the aim of wishing them well in their marriage. Thus, parents gain fame at times like this because their blessing was very important and eagerly awaited.

Parents enjoy it by telling their young people Mugendelage uludodi nye vana vesu which means Go in peace our children or walk safely and be blessed with success in your marriage.

Another blessing was given to a young man, after marriage when they were blessed with a child, the young man had to leave home and go to live in the fields or the forest away from his family. The goal is to give his wife a good chance to rest while breastfeeding and to be healthy enough to have another child.

This was as a way to help parents not have children in succession every year. So the parents blessed the young man and wished him a good journey and when he arrives there he may live in peace.

The proverb encourages people to cooperate in the implementation of their duties by helping each other and living together as brothers at all times. For that reason, people use that proverb to say goodbye to their guests by saying, “walk on a fresh tree, a dry one will break.” That is also a way of thanking someone for his kindness and wishing him the blessing of walking with a humble attitude where he is going.

Family members also liked to use the proverb for saying goodbye to their partner who wanted to go to their economic activities including hunting by wishing them a good trip to where they are going and a safe return.

Col 3:15 “again be a people of thanksgiving.”

Phil 4:6 In every word by prayer and supplication, with thanksgiving, let your needs be known

And God.

1Thess 5:18 …. Give thanks for everything.

Leviticus 22; 29. when you offer the Lord a thank you sacrifice, offer it in a way that will be acceptable on your behalf.

Col, 3; 16. Let the word of Christ dwell abundantly in you, teaching and admonishing one another

Lk 10: 25-37. Good Samaritan.

Luke 18: 15-17. Jesus bless the little children.

avenue-5314089__480

nature-70567__480

 

1044. UDIZUKUNG’UNHA JILATU.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhunguji bho jilatu bho ng’wa munhu ngeni ohakaya ndebhe. Ungeni ng’wunuyo, aha oshiga aha kaya iyo alioigeniha, agakungula ijilatu jakwe uhaya gujigung’unha, huna bhunhemeja abhaha kaya yiniyo, kunguno ubhugung’uni bho jilatu bhunubho, bhugolechaga jito ja gubhalekela izumo abhaha kaya yiniyo.  Hunagwene abha hakaya yiniyo, abhang’wila ungeni ng’wunuyo giki, “udizukung’unha jilatu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiza nholo aha kaya yake, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhokelaga chiza abhageni abho bhagajaga gujungeniha, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya wiza ng’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandika mbango ja gwikala chiza na bhanhu na gusabha majikolo mingi, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganhemeja ungeni okwe unhekela izumo uyo ahayaga gujikung’unha ijilatu jakwe, kunguno nuweyi agalema ugulekelwa ili zumo linilo bho gubhapokela chiza abhageni bhakwe, na gubhagalila chiza chiniko. Hunagwene agang’wilaga ungeni okwe giki, “udizukung’unha jilatu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhuza ng’holo bho gubhabokela chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gusabha na gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Marko 6:11 – 12.

Kutoka 3:4 – 5.

Mathayo 10: 14 – 15.

KISWAHILI: USIKUNG’UTE VIATU.

Msemo huo, huongelea juu ya uvuaji wa viatu vya mgeni aliyetembelea familia fulani. Mgeni huyo, alipofika kwenye familia aliyekuwa anaitembelea, alivua viatu vyake akataka kuvikung’uta, wanafamilia hiyo wakamkataza, kwa sababu tendo hilo la kukung’uta viatu huadhiria uachaji wa laana kwenye familia hiyo. Ndiyo maana wanafamilia hao, walimwambia kwamba, “usikung’ute viatu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo mzuri wa ukarimu katika familia yake, maishani mwake. Mtu huyo, huwakaribisha kwa ukarimu wageni wanamtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya moyo wake huo wa ukarimu, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kupata Baraka nyingi za kutajirika na kuishi vizuri na watu wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemzuia mgeni wake aliyetaka kumuachia laana kwenye familia yake kwa kukung’uta viatu vyake, kwa sababu naye hukataa laana kwa kuwakaribisha kwa ukarimu wageni wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana humwambia mgeni wake kwamba, “usikung’ute viatu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapokea na kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Marko 6:11 – 12.

Kutoka 3:4 – 5.

Mathayo 10: 14 – 15.

earth-1280293__480

ENGLISH: DO NOT SHAKE YOUR SHOES.

The above saying talks about shaking shoes of a guest who visited a certain family. This guest took off his shoes and wanted to shake them off after arriving at the family which he visited. The family members forbade him to shake his shoes, because such an act could mean cursing them. That is why they told him that, “do not shake your shoes.”

This saying is compared to a man who has a generous heart in his family life. Such person welcomes guests who visit him in his family, because of his generous heart, in his life. He manages to get many blessings enough to get rich and live well with his people, in his life.

This person is similar to those who stopped their guest who wanted to leave a curse on their family by shaking off his shoes, because he also rejects the curse by welcoming guests who visit him at his family. That is why he tells his guest that, “do not shake your shoes.”

This saying teaches people about being generous enough to receive their guests and take good care of them, so that they can get blessings of getting rich for living well with their societal members in their lives.

Mark 6:11 – 12.

Exodus 3:4 – 5.

Matthew 10: 14 – 15.

1043. KALAGU – KIZE. NG’WENUYO AGWITAGA NG’HALANGA JAPI – MBULI.

Ikalagu yiniyo, yilolile kikalile ka mbuli. Imbuli yiniyo, iganyaga bhushi bhudobhudo bhopi kunguno ya gubhumbwa goyo chene. Giko lulu, ubhushi bhoyo bhunubho, bhugalenanijiyagwa na ng’halanga japi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’wenuyo agwitaga ng’halanga japi – mbuli.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo midodo iyo yidiyanhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayabhukaga bho guyomba mihayo midodo iyo yidulile kubhenhela makoye abhanhu bhakwe, kunguno ya bhulongo bhokwe, bhunubho. Uweyi agayikenagulaga ikaya yakwe bho guyabhuka mihayo yiniyo iyo idina bhunhana kunguno ya gukija gwiganika chiza gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe.

Imihayo ya ng’wa munhu ng’wunuyo, igikolaga nu bhushi bho mbuli ubhopi bhunubho, kunguno nayo iliyapi iyo agayiyabhukaga umunhu uyo adinaganikaga chiza ng’wunuyo, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo agwitaga ng’halanga japi – mbuli.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho kuleka kuyomba mihayo iyo idinabhunhana imidomido yiniyo, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho, umukaya jabho.

Zaburi 21:23.

Warumi 7:14-16.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HUYO ANAMWAGA KARANGA NYEUSI – MBUZI.

Kitendawili hicho, huangalia maisha ya mbuzi. Mbuzi huyo hujisaidia vinyesi vidogo vidogo vyeusi kwa sababu ya kuumbwa kwake hivyo. Hivyo basi, vinyesi hivyo hufananishwa na kalanga kwa sababu ya kuwa na umbo la mviringo na weusi wake huo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “huyo anamwaga karanga nyeusi – mbuzi.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno madogo madogo ambayo hayana ukweli ndani yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupayuka hovyo kwa kuongea maneno madogo madogo yanayoweza kuwaletea matatizo watu wake, kwa sababu ya uongo wake huo. Yeye huiharibu familia yake kwa kulopoka maneno hayo ya uongo, maishani mwake.

Maneno hayo hufanana na vile vinyesi vyeusi vya mbuzi huyo, kwa sababu naye huongea maneno madogo madogo ambayo hayana ukweli ndani yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo anamwaga karanga nyeusi – mbuzi.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kuacha kuongea maneno ya uongo, hata kama ni madogo kiasi gani, ili waweze kuishi vizuri na wenzao kwenye familia zao.

Zaburi 21:23.

Warumi 7:14-16.

goat-7506792__480

billy-goat-459232__480

 

goat-7537746__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THAT ONE SPILLS BLACK GROUNDNUTS – A GOAT.

This riddle looks at the life of a goat. This goat defecates in small black stools because of its constituents. Therefore, the farces are compared to groundnuts because of their round shape and blackness. That is why people tell each other that, “that one spills black groundnuts – a goat.”

This riddle is compared to the person who speaks words that have no truth, in his life. Such person, gets away carelessly by speaking words that can cause problems to his people, because of his lies. He destroys his family by spouting those false words, in his life.

Those words resemble the black excrement of the goat, because he also speaks words that are not true in his life. That is why people tell him that, “that one spills black groundnuts – a goat.”

This riddle imparts in people an ideal of being careful enough to stop telling lies, no matter how small, so that they can live well with their people in their families.

Psalm 21:23.

Romans 7:14-16.