1046. ONILOLELAGA MUMINZI.

Akahayile kenako, kalolile bhuloleji bho ng’wa munhu munzi. Bhalihoyi bhanhu bhab’ili abho bhayelaga mulitabha. Aho bhashiga hoyi, umo obho agandya gugulola ung’wengeleji go ng’wiye umuminzi ga litabha linilo kunguno oliadahayile ugumanwa nu ng’wiye igiki aling’wilolela moyi. Kihamo ni yiniyo, ung’wiye agambadija igiki alinhola weyi umuminzi genayo. Hunagwene agang’wila giki, “onilolelaga muminzi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadegelekaga abhiye ulu bhaliyomba umumahoya gakwe, kunguno ya libhengwe lwake linilo. Uweyi agikalaga bhung’wene aha kaya yake kunguno ya gwiiganikila giki ayimanile pye imihayo kulebha abhiye, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo onholelaga mu ng’wengeleji gokwe ugo muminzi ung’wiye, kunguno nuweyi agikalaga abhadalahile abhiye bho gulema ugubhadegeleka ulu bhaliyomba, umumahoya gakwe. Hunagwene uyo ajimanile ing’hungwa jakwe agang’wilaga giki, “onilolelaga umumingi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hungwa ja gubhadalaha abhanhu bho gubhadegelaka chiza ulu bhaliyomba umumahoya gabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho na bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mithali 9:10.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

KISWAHILI: UMENIANGALIA KWENYE MAJI.

Msemo huo, huangalia ungaliaji wa mtu kwenye maji. Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakitembea pembeni mwa dimbwi. Walipofika hapo, mmoja wao akaanza kumwangalia mwenzake kupitia kivuli kilichomo kwenye maji ya hilo dimbwi kwa sababu hakutaka kugundulika naye kuwa anamtazama. Pamoja na hayo, mwenzake huyo, aligundua kuwa mwenzake amekuwa akimwangalia kwenye maji. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “umeniangalia kwenye maji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawasikilizi wenzake wanapoongea katika maongezi yake kwa sababu ya dharau yake hiyo, maishani mwake. Yeye huishi peke yake kwenye familia yake kwa sababu ya kujiona kwamba anafahamu mambo yote kupita wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemwangalia mwenzake kwenye maji kupitia kivuli chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kutokuwasikiliza wanapoongea katika maongezi yake. Ndiyo maana yule anayeifahamu tabia yake hiyo, humwambia kwamba, “umeniangalia kwenye maji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwadharau watu kwa kuwasikiliza vizuri wanapoongea katika maongezi yao, ili waweze kuishi vizuri na kwa amani na watu wao, maishani mwao.

Mithali 9:10.

Wagalatia 6:10.

Luka 16:9.

pool-424194__480

 ENGLISH: YOU LOOKED AT ME IN THE WATER.

This saying looks at a person’s gaze on the water. There were two people who were walking by the pool. When they got there, one of them started looking at the other through the shadow in the water of that pool because he did not like to be found out that he was looking at him. Despite this, the colleague realized that his associate had been watching him in the water. That is why he told him that, “you looked at me in the water.”

This saying is compared to the person who despises his colleagues, in his life. Such person does not listen to his coworkers when they speak in his conversation because of his contempt in his life. He lives alone in his family because of thinking that he knows all things better than his peers, in his life.

This person resembles the one who looked at his fellow in the water through his shadow, because he also despises his fellows by not listening to them when they speak in their conversation. That is why the one who knows his behavior, tells him that, “you looked at me in the water.”

This saying instils in people a clue on stopping belittling people by listening to them well when they speak in their conversations, so that they can live well and in peace with their people, in their lives.

Proverbs 9:10.

Galatians 6:10.

Luke 16:9.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.