Akahayile kenako, kahoyelile bhanhu abho bhilebyaga maganda muchalo jilebhe. Bhali hoyi bhanhu bhab’ili abho bhali ng’wichobha. Uumo obho agab’iza na jikolo jingi kunebya ung’wiye kunguno ya bhuguji bho sabho bhokwe ubho gutumila mpango go higulya.
Ung’wiye agabhiza na mpango go aha silili, ub’iza giki olebhiwa amaganda nu ng’wiyile ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhandyaga gwilebha maganda.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajitumilaga inguzu jabho chiza, bho gwikija gutumama milimo, umuwijaji bhobho. Abhanhu bhenabho, bhagipunaga diyu bhaja gujutumama milimo yabho ahikanza lya malima kwa kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandika sabho ningi noyi bhuli ng’wene kunguno ya wikindi bhobho ubho gutumama milimo yabho bhunubho, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho wilebhyaga maganda ga gupandika jikolo bho mpango gohigulya ulu bhaligula ijikolo jinijo, kunguno nabhoyi bhagikindaga ugutumama imilimo yabho bho bhukamu bhutale, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhandyaga gwilebha maganda.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikomeja gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ubhutumami bho milimo yabho bhunubho, umuwikaji bhobho.
Luka 16:11-13.
Warumi 13:8-10.
Yakobo 1:9.
Warumi 15:1-2.
KISWAHILI: WAMEANZA KUZIDIANA UWEZO.
Msemo huo, huongelea juu ya watu waliokuwa wakizidiana uwezo wa kupata mali kwenye kijiji fulani. Walikuwepo watu wawili waliokuwa wakitafuta mali. Mmoja wao alipata mali nyingi kumzidi mwenzake kwa sababu ya ununuaji wake wa bei ya juu.
Mwenzake alikuwa akinunua vitu kwa bei ya chini, akawa amezidiwa uwezo na mwenzake huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “wameanza kuzidiana uwezo.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huzitumia nguvu zao vizuri kwa kushindana kufanya kazi, katika maisha yao. Watu hao, huamuka asubuhi na kuwahi kwenda kufanya kazi zao unapofika wakati wa kilimo kwa sababu ya bidii yao hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi sana kila mmoja kwa sababu ya ushindani wao huo wa kufanya kazi kwa namna hiyo, katika maisha yao.
Watu hao, hufanana na wale waliokuwa wakizidiana uwezo wa kupata mali kwa bei ya juu, kwa sababu nao, hushindana katika kufanya kazi zao kwa bidii kubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wameanza kuzidiana uwezo.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa juhudi kubwa, ili waweze kupata mali nyingi katika utekeleji wa majukumu yao, maishani mwao.
Luka 16:11-13.
Warumi 13:8-10.
Yakobo 1:9.
Warumi 15:1-2.
ENGLISH: THEY HAVE BEGUN TO SURPASS EACH OTHER IN TERMS OF WEALTH.
This saying talks about people who were competing with one another to get wealth in a certain village. There were two people who were looking for property. One of them got more wealth than the other because of his high-priced purchases.
His colleague was buying things at a low price, he was overwhelmed by that colleague. That is why people said that, “they have begun to surpass each other in terms of wealth.”
This saying is compared to people who nicely use their energy by competing to work in their lives. These people wake up in the morning and go to do their work when it is time to farm because of their hard working situation which is strong enough to carry out their duties well in their lives. They get a lot of wealth each one of them because of their competition to work in that way in their lives.
These people are similar to those who were competing with each other ing using their abilities to get property at a high price, because they, too, compete in doing their works with great effort, in their lives. That is why people tell them that, “they have begun to surpass each other in terms of wealth.”
This saying teaches people about forcing themselves to do their works with great effort, so that they can get a lot of wealth in fulfilling their responsibilities in their lives.
Luke 16:11-13.
Romans 13:8-10.
James 1:9.
Romans 15:1-2.