Imbuki ya kahayile kenako, yingilile ku bhutuji bho mbula bho likanza lilihu gete iyo igalenganijiyagwa na ng’waniki uyo azimizaga bho nduhu ugulabhula inuma.
Aho kale gulihoyi ng’waka uyo mbula nhale igatula ahikanza lya jidiku iyo igasola makanza malihu gete kunguno yaliidoyaga wangu. Imbula yiniyo, igandya gutula haho lyandya duhu ilijidiku bho nduhu ugugata mpaga giki abhanhu bhuyuduma bhangi agulimila ingese kunguno ya mbula yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki imbula ya ung’waka gunuyo, “lyang’waniki adalab’ulaga.”
Akahayile kenako, kagalenjiyagwa kuli munhu uyo agatumama milimo yakwe bho gwigulambija chiza mpaga jashila ijidiku, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganguhaga ugumisha ogatumama mimimo yake bho nduhu gwilendeja mpaga oimala chiza, kunguno ya bhukalalwa na bhukamu bhokwe bho guitumama imilimo yiniyo, muwikaji bhokwe. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimo bho bhukamu bhutale chiniko, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbula iyo igatula mpaga jushila ijidiku bho nduhu ugugata, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu uguyileka mpaka jashila ijidiku, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki agatumamaga milimo “lya mwaniki adalab’ulaga.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija kutumama milimo yabho chiza, bho gwanguha uguja ukumilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.
Mwanzo 2:15.
Mhubiri 11:4.
Mithali 6:9.
KISWAHILI: LA MSICHANA ASIYEANGALIA NYUMA.
Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye unyeshaji wa mvua iliyochukua mda mrefu kabisa inayofananishwa na msichana asiyeangalia nyuma katika safari yake kwa sababu ya huleta uhai katika aridhi.
Hapo zamani, ulitokea mwaka ambao mvua kubwa ilinyesha kwa mfuluzo wa siku nyingi bila kukatika wakati wa masika. Mvua hiyo, ilipoanza kunyesha ilindelea hivyo, mpaka watu wakashindwa kupalilia palizi kwenye mashamba ya mazao yao kwa sababu ya ukubwa wake huo. Ndiyo maana watu walisema kwamba mvua ya mwaka huu ni “la msichana asiyeangalia nyuma.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kwa bidii kubwa mpaka anazimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kufanya kazi wakati yanapoanza masika kwa kujibidisha katika kuyatunza vizuri mazao yake mpaka anayamaliza vizuri kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi maishani mwake. Yeye hupata mavuno mengi katika mashamba yake kwa sababu ya kupenda kwake kuyatekeleza vizuri majukumu yake hayo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na mvua ile iliyonyesha kwa mfululizo mpaka kipindi cha masika kikaisha, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaka anayamaliza vizuri bila kuyaacha, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba yeye hufanya kazi “la msichana asiyeangulia nyuma.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa kuwahi kwenda kazini, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi maishani mwao.
Mwanzo 2:15.
Mhubiri 11:4.
Mithali 6:9.
ENGLISH: IT IS THAT OF A GIRL WHO NEVER LOOKS BACK.
The source of the overhead saying came from the rainfall that lasted for a long time. This rain is compared to a girl who does not look back in her journey because of bringing life to the land.
Once upon a time, there was a year in which heavy rain fell for many days without stopping during the spring season. This rain carried on raining until people were unable to weed their crops because of its non stop. That is why people called that rain that “it is that of a girl who never looks back.”
This saying is compared to the person who does his work with great effort until he finishes it in his life. This person starts working when the spring season starts by taking care of his crops well until he finishes them because of his hard working way in his life. He gets a lot of harvest in his fields because of his love to carry out his duties well in his life.
This person resembles the rain that rained continuously until the end of the spring season, because he also carries out his duties well until he finishes them well without leaving them in his life. That is why people said about his works that, “it is that of a girl who never looks back.”
This saying imparts in people an idea of carrying out their duties well, by working well, so that they can get more success in their lives.
Genesis 2:15.
Ecclesiastes 11:4.
Proverbs 6:9.