Ikalagu yiniyo, yilolile kikalile ka mbuli. Imbuli yiniyo, iganyaga bhushi bhudobhudo bhopi kunguno ya gubhumbwa goyo chene. Giko lulu, ubhushi bhoyo bhunubho, bhugalenanijiyagwa na ng’halanga japi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’wenuyo agwitaga ng’halanga japi – mbuli.”
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo midodo iyo yidiyanhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayabhukaga bho guyomba mihayo midodo iyo yidulile kubhenhela makoye abhanhu bhakwe, kunguno ya bhulongo bhokwe, bhunubho. Uweyi agayikenagulaga ikaya yakwe bho guyabhuka mihayo yiniyo iyo idina bhunhana kunguno ya gukija gwiganika chiza gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe.
Imihayo ya ng’wa munhu ng’wunuyo, igikolaga nu bhushi bho mbuli ubhopi bhunubho, kunguno nayo iliyapi iyo agayiyabhukaga umunhu uyo adinaganikaga chiza ng’wunuyo, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo agwitaga ng’halanga japi – mbuli.”
Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho kuleka kuyomba mihayo iyo idinabhunhana imidomido yiniyo, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho, umukaya jabho.
Zaburi 21:23.
Warumi 7:14-16.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
HUYO ANAMWAGA KARANGA NYEUSI – MBUZI.
Kitendawili hicho, huangalia maisha ya mbuzi. Mbuzi huyo hujisaidia vinyesi vidogo vidogo vyeusi kwa sababu ya kuumbwa kwake hivyo. Hivyo basi, vinyesi hivyo hufananishwa na kalanga kwa sababu ya kuwa na umbo la mviringo na weusi wake huo. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “huyo anamwaga karanga nyeusi – mbuzi.”
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno madogo madogo ambayo hayana ukweli ndani yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupayuka hovyo kwa kuongea maneno madogo madogo yanayoweza kuwaletea matatizo watu wake, kwa sababu ya uongo wake huo. Yeye huiharibu familia yake kwa kulopoka maneno hayo ya uongo, maishani mwake.
Maneno hayo hufanana na vile vinyesi vyeusi vya mbuzi huyo, kwa sababu naye huongea maneno madogo madogo ambayo hayana ukweli ndani yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo anamwaga karanga nyeusi – mbuzi.”
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kuacha kuongea maneno ya uongo, hata kama ni madogo kiasi gani, ili waweze kuishi vizuri na wenzao kwenye familia zao.
Zaburi 21:23.
Warumi 7:14-16.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
THAT ONE SPILLS BLACK GROUNDNUTS – A GOAT.
This riddle looks at the life of a goat. This goat defecates in small black stools because of its constituents. Therefore, the farces are compared to groundnuts because of their round shape and blackness. That is why people tell each other that, “that one spills black groundnuts – a goat.”
This riddle is compared to the person who speaks words that have no truth, in his life. Such person, gets away carelessly by speaking words that can cause problems to his people, because of his lies. He destroys his family by spouting those false words, in his life.
Those words resemble the black excrement of the goat, because he also speaks words that are not true in his life. That is why people tell him that, “that one spills black groundnuts – a goat.”
This riddle imparts in people an ideal of being careful enough to stop telling lies, no matter how small, so that they can live well with their people in their families.
Psalm 21:23.
Romans 7:14-16.