Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhunguji bho jilatu bho ng’wa munhu ngeni ohakaya ndebhe. Ungeni ng’wunuyo, aha oshiga aha kaya iyo alioigeniha, agakungula ijilatu jakwe uhaya gujigung’unha, huna bhunhemeja abhaha kaya yiniyo, kunguno ubhugung’uni bho jilatu bhunubho, bhugolechaga jito ja gubhalekela izumo abhaha kaya yiniyo. Hunagwene abha hakaya yiniyo, abhang’wila ungeni ng’wunuyo giki, “udizukung’unha jilatu.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiza nholo aha kaya yake, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhokelaga chiza abhageni abho bhagajaga gujungeniha, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya wiza ng’holo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandika mbango ja gwikala chiza na bhanhu na gusabha majikolo mingi, aha ng’wakwe henaho, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganhemeja ungeni okwe unhekela izumo uyo ahayaga gujikung’unha ijilatu jakwe, kunguno nuweyi agalema ugulekelwa ili zumo linilo bho gubhapokela chiza abhageni bhakwe, na gubhagalila chiza chiniko. Hunagwene agang’wilaga ungeni okwe giki, “udizukung’unha jilatu.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na bhuza ng’holo bho gubhabokela chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gusabha na gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.
Marko 6:11 – 12.
Kutoka 3:4 – 5.
Mathayo 10: 14 – 15.
KISWAHILI: USIKUNG’UTE VIATU.
Msemo huo, huongelea juu ya uvuaji wa viatu vya mgeni aliyetembelea familia fulani. Mgeni huyo, alipofika kwenye familia aliyekuwa anaitembelea, alivua viatu vyake akataka kuvikung’uta, wanafamilia hiyo wakamkataza, kwa sababu tendo hilo la kukung’uta viatu huadhiria uachaji wa laana kwenye familia hiyo. Ndiyo maana wanafamilia hao, walimwambia kwamba, “usikung’ute viatu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na moyo mzuri wa ukarimu katika familia yake, maishani mwake. Mtu huyo, huwakaribisha kwa ukarimu wageni wanamtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya moyo wake huo wa ukarimu, katika maisha yake. Yeye hufanikiwa kupata Baraka nyingi za kutajirika na kuishi vizuri na watu wake, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyemzuia mgeni wake aliyetaka kumuachia laana kwenye familia yake kwa kukung’uta viatu vyake, kwa sababu naye hukataa laana kwa kuwakaribisha kwa ukarimu wageni wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana humwambia mgeni wake kwamba, “usikung’ute viatu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapokea na kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.
Marko 6:11 – 12.
Kutoka 3:4 – 5.
Mathayo 10: 14 – 15.
ENGLISH: DO NOT SHAKE YOUR SHOES.
The above saying talks about shaking shoes of a guest who visited a certain family. This guest took off his shoes and wanted to shake them off after arriving at the family which he visited. The family members forbade him to shake his shoes, because such an act could mean cursing them. That is why they told him that, “do not shake your shoes.”
This saying is compared to a man who has a generous heart in his family life. Such person welcomes guests who visit him in his family, because of his generous heart, in his life. He manages to get many blessings enough to get rich and live well with his people, in his life.
This person is similar to those who stopped their guest who wanted to leave a curse on their family by shaking off his shoes, because he also rejects the curse by welcoming guests who visit him at his family. That is why he tells his guest that, “do not shake your shoes.”
This saying teaches people about being generous enough to receive their guests and take good care of them, so that they can get blessings of getting rich for living well with their societal members in their lives.
Mark 6:11 – 12.
Exodus 3:4 – 5.
Matthew 10: 14 – 15.