Tanzania

1066. KALAGU – KIZE. LINGONGONGO LILIMUNZILA YALYO – LILELI.

Ikalagu yiniyo, yilolile leli iyo ili nzila ya gubhitila ilingongo linilo. Ileli yiniyo igalilanghanaga lingongono linilo lulu kunguno bhuli bhulitilo moblo ilyoyi. Ligabhizaga guti zipu iyo yigabhitilaga munzila yayo uluilifunga jose jose. Hunagwene abhanhu bhagayomba  giki “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, igalengajiyagwa kuli munhu uyo agabhudimilaga chiza uwitanwa bhobho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagikalanaga chiza amalagilo ga witanwa bhokwe umukikalile gakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalangaga na bhanhu bhakwe inzila ja gwikala bhabhudimilile ubhunhana kunguno ya bhutengeke bhokwe umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni leli ijo jigalidimilaga ilingongongo lyabhita chiza umunzila yalyo, kunguno nuweyi agagadimilaga amalagilo ga nzila ya nhana, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lingongongo lilimunzila yalyo – lileli.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhatungilija bho gujikalana chiza inhungwa ijawiza, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho umuwikaji bhobho.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA. GARI MOSHI LIMO RELINI – LELI.

Kitendawili hicho, chaangalia leli ambayo ni njia inamopitia treini hiyo. Leli hiyo, huilinda treini hiyo kwa sababu ndiyo njia yake inayoyashikilia mataili yake hayo ya chuma. Yenyewe huwa kama zipu ambayo hupitia kwenye njia yake wakati wa kufunga kitu chochote kile. Ndiyo maana watu husema kwamba, “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishikilia vizuri njia ya kuishi kwenye maadili mema, katika maisha yake. Mtu huyo huyaishi vizuri maadili hayo kwa kufanya kazi vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye huwafundisha pia wenzake juu ya kuziendeleza njia hizo njema kwa kuushikiria ukweli katika kazi na katika maisha ya kila siku kwa sababu ya umakini wake huo wa kutunza familia yake.

Mtu huyo hufanana na ile leli inavyoishirikia treini yake mpaka inaweza kupita vizuri kwenye njia yake hiyo, kwa sababu naye huyashikiria vyema maadili hayo mema katika maisha yake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba “gari moshi limo relini – leli.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu kwa kuyaishi vyema maadili hayo mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 28:2 – 5.

Mithali 31:21b – 25.

Marko 1:6-7.

train-60539__480

 

 

ENGLISH:  I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE TRAIN IS ON ITS RAILWAY – RAILWAY LINE.

This riddle looks at the path that the train takes. The rail protects the train because it is the way that holds its steel tires. It is like a zipper that goes through its path when closing anything. That is why people say that, “the train is on its railway – railway line.”

This paradox is compared to a person who holds well the way of living on good values, in his life. Such person lives on values ​​well by working well because of his honesty. He also teaches his colleagues to develop those good ways by holding to the truth in works and in everyday life because of his focus on taking care of his family.

This person is similar to the railway that holds the steel tires until the train manages to pass well on its path, because he also holds on good values ​​in his life. That is why people tell him that “the train is on its railway – railway line.”

This riddle imparts in people an idea of being honest by living on values, so that they can raise their families well, in their lives.

Exodus 28:2 – 5.

Proverbs 31:21b – 25.

Mark 1:6-7.

 

 

.

1064. UYOGALINDILAGA JAB’IYE ADAKIJAGA UGUGINA.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo agaginaga bho gulya jiliwa jabhiye bho nduhu ugutumama uweyi. Umunhu ng’wunuyo, olindilaga jiliwa mu kaya ja bhangi bhuli makanza kunguno ya bhugaiwa bho witegeleja bhokwe. Uweyi agaginaga noyi kunguno ya gwikala agulyaga jiliwa jinijo bho nduhu ugutumama imilimo aha ng’wakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga jabhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga imilimo yakwe aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyela sagala muma kaya ga bhanhu kugiki apandike jiliwa ja gulya umubhiye munumo. Uweyi agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe bhuli makanza kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagina bho bhugulindila gulya jiliwa ja bhiye, kunguno nuweyi agagikalaga ulya mumakaya gabhiye bho nduhu ugutumama uweyi imilimo aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga ja bhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gutumama milimo yabho chiza, bho gwikala wagwiyambilijaga chiza katumamile kabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

KISWAHILI: ANAYESUBIRIA CHA WENGINE HAACHI KUNENEPA.

Msemo huo, huongelea mtu yule ambaye hunenepa kwa kula chakula cha wenzake bila ya yeye kufanya kazi. Mtu huyo, husubiri kula chakula kwenye familia za watu mara nyingi kwa sababu ya kukosa umakini wake huo. Yeye hunenepa sana kwa sababu ya kukaa bila kufanya kazi katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hafanyi kwenye familia, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembelea familia za watu ili apate kula chakula wanapoivisha kwa sababu ya kutokupenda kazi kwake. Yeye hupata shida ya kukosa chakula mara kwa mara katika familia yake kwa sababu ya uvivu wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyenenepa kwa kusubiria kula chakula kwenye familia za wengine, kwa sababu naye hupendelea kukaa kwenye familia za wengine ili apate kula chakula huko. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwasaidia vizuri maishani mwao.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

ENGLISH: HE WHO WAITS FOR OTHERS’ THINGS NEVER STOPS GAINING WEIGHT.

This saying speaks of a man who gets fat by eating food of his colleagues without working. This person, often waits to eat at people’s families because of his lack of attention. He gets very fat because of sitting idle in his life. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying is compared to a man who does not work at his family in life. Such person visits people’s families so that he can eat food when they eat it because he doesn’t like his job. He experiences problems of lacking food frequently at his family because of his laziness to work in his life.

This person resembles the one who got fat by waiting to eat at other people’s families, because he also prefers to stay at other people’s families so that he can eat there. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their jobs well, so that they can find successes that can nicely help them in their lives.

Luke 9:62.

2 Thessalonians 3:10.

Galatians 6:9.

big-1708092__480

1063. NGENI NGOKO YAPE.

Akahayile kenako kaholelile kaya iyo igangalila ngeni oyo chiza. Ikaya yiniyo ikalaga muchalo ja Idisa iyo igagenihwa na ngeni yungalila bho gunsinzila ngoko kugiki alye nyama, kunguno ya gupandika lubhango lo ngeni ng’winuyo. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagayega noyi ugugenihwa nu ngeni ng’wunuyo. Hungwene bhagayomba giki, “ngeni ngoko yape.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mbango ja gwikala na bhanhu chiza ahaka yakwe. Umunhu ung’wunuyo, ali ng’wiza ng’holo bho gubhakaribhusha bhanhu bhingi aha ng’wakwe kunguno ya bhufula bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga matwajo ga gubhiza na sabho ningi aha kaya yakwe, kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni kaya iyo igangalia chiza ungeni oyo, kunguno nuweyi apandikaga mbango bho gubhakalibhusha bhanhu chiza aha kaya yakwe. Hunagwene agayombaga giki “ngeni ngoko yape.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza bhizanholo bho gubhalibhusha chiza abhageni bhabho mukaya jabho, kugiki bhadule gupandika mpango ja kusabha na gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhobho.

Luka 10:38-42.

Luka 16:9.

KISWAHILI: MGENI KUKU MWEUPE.

Msemo huo huongelea juu ya familia iliyo mkarimu vizuri Mgeni wake. Familia hiyo, ilikuwa inaishi kwenye kijiji cha Idisa, ambayo ilimkarimu mgeni wake kwa kumchinjia kuku ili ale nyama kwa sababu ya kupata Baraka ya mgeni huyo. Watu wa familia hiyo walifurahi sana kwa kutembelewa na mgeni huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “mgeni kuku mweupe.”

Msemo huyo, hulinganishwa na mtu yule ambaye hupata Baraka za kuishi na watu vizuri, katika familia yake. Mtu huyo, ni mkarimu wa kuwapokea watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata mafanikio ya kutajirika na kuishi vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ile familia iliyomkarimu mgeni wake vizuri, kwa sababu naye huwapokea watu wengi kwenye familia yake kwa kuwakarimu. Ndiyo maana husema kwamba, “mgeni kuku mweupe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribha vizuri wageni wao kwenye familia zao ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Luka 10:38-42.

Luka 16:9.

white-cock-2709161__480

cock-4964559__480

cock-1819858__480

 ENGLISH: THE GUEST IS WORTHY OF WHITE CHICKEN.

The overhead saying speaks of a family that is kind to its guests. This family lived in the village of Idisa, which welcomed its guests by slaughtering chicken for them to eat because they wanted to receive the blessing of the guests. The people of such family were very happy to be visited by their guests. That is why they said that, “the guest is worthy of white chicken.”

This saying is compared to the person who gets blessings of living with well people, in his family. This person is generous enough to receive many people in his family because of its generosity. He gets success of becoming rich and living well in his family members because of his generosity in life.

This person is like the family that treated its guest well, because he also receives many people in his family by being hospitable. That is why he says that, “the guest is worthy of white chicken.”

This saying instills in people a clue about being generous enough to welcome their guests to their families so that they can get blessings of becoming rich and living well with people, in their lives.

Luke 10:38-42.

Luke 16:9.

1062. ILILI NDUHU UMUMISO UMUNG’HOLO LILIHO.

Akahayile kenako, kahoyelile mihayo ya guwilwa bho nduhu uguyibhona. Imihayo yiniyo, adulile munhu guyigwa na guituula mung’holo yakwe yandya guminya aliyo adaibhonile na adabhumanile chiza ubhunhana bho mihayo yiniyo. Uyo agacholaga bhunhana agaidimilaga umung’holo yakwe imihayo yiniyo iya nhana. Hunagwene agayombaga giki, “ililinduhu umumiso umung’holo liliho.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaitegelejaga chiza imihayo iyo agaigwaga mpaga obhumana ubhunhana bhoyo na oidimila lulu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaitegelejaga imihayo iyo agaigwaga kugiki adule guikomanya iyabhulomolomo ni ya nhana, kunguno adahayile uguikoya ing’holo yakwe bho gudimila mihayo ya bhulomolomo. Uweyi agikalaga chiza na bhanhu bho guyilela chiza ikaya yakwe, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agatulaga mihayo ya nhana umung’holo yakwe, kunguno nuweyi agaitegelejaga chiza imihayo iya nhana na oikalana lulu, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ililinduhu umumiso umung’holo liliho.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guitegeleja imihayo iyanhana na guidimila chiza umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3: 1-7.

Luka 22:3-6.

 

KISWAHILI: AMBALO HALIPO MACHONI MOYONI LIPO.

Msemo huo, huongelea juu ya maneno ya kuambiwa bila kuyaona. Mtu anaweza kuambiwa maneno na kuyaweka moyoni mwake ambaye baadaye yataanza kumuumiza wakati hatajayaona wala hafahamu vizuri ukweli wake. Yule anayeusikia ukweli na kuuweka moyoni hufaidika maishani mwake, kwa sababu ukweli huo atabaki nao moyoni mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ambalo halipo machoni moyoni lipo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufikiria kwa makini maneno anayoyasikia mpaga anauhafamu ukweli wake ndipo anayatunza moyoni mwake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufayanyia utafiti kwa umakini yale yote anayoyasikia ili aweze kuyachambua yale yaliyo ya kweli na yale yaliyo ya uongo, kwa sababu hapendi kuutesa moyo wake kwa kushikilia maneno ya uongo. Yeye huishi kwa amani na watu wake kwa kuilea vizuri familia yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeshikiria maneno ya ukweli katika moyo wake, kwa sababu naye huyatafakari vizuri maneno anayosikia ili ayahafamu yaliyo ya kweli na kuyaweka moyoni mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “ambalo halipo machoni moyoni lipo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyapima kwa umakini maneno ya kweli na kuyatunza vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao.

Mwanzo 3: 1-7.

Luka 22:3-6.

black-women-7047086__480

 

ENGLISH: WHAT IS OUT OF EYESIGHT IT IS IN THE HEART.

The above saying talks about words which are said without seeing them. A person can be told words and keep them in his heart, which will later start to hurt him while he does not see them and does not know their truth. The one who hears the truth and keeps it in his heart benefits in his life, because he keeps such truth in his heart. That is why people say that, “what is out of eyesight it is in the heart.”

This saying is related to the person who thinks carefully about the words which he hears by memorizing the truth about them and keeps it in his heart. This person carefully researches everything that he hears so that he can analyze what is true and what is false, because he does not like to torture his heart by holding on to false words. He lives in peace with his people by raising his family well.

This person is similar to the one who holds the words of truth in his heart, because he also ponders the words he hears so that he remembers what is true and keeps it in his heart. That is he tell people that, “what is out of eyesight it is in the heart.”

This saying teaches people on how to carefully measure true words and take good care of them, in fulfilling their duties, so that they can raise well their family members.

Genesis 3:1-7.

Luke 22:3-6.

 

1061. ILILYASAGAGA LICHAGI NALYO.

Akahayile kenako kingilile kubhumalija bho gusambula numba. Inumba yiniyo, yaliyagwa lwande yusagila ulwande ulungi. Ung’winikili numba yiniyo agiyangula guyisagambula pye iyose kunguno ni yadula gubhagwila bhanhu. Hunagwene agayomba giki, “ililyasagaga lichag nalyo.”

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga nimo ogudilila mpaga ogumala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayitilaga bhukengeji imilimo yakwe hayo atali uguyandya. Uluidebha chiza agandyaga guitumama bho guidilila chiza mpaga uimala kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe. Uweyi agandikaga sabho ningi noyi umubhutumami bhokwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nu ng’winikili numba uyo agaimalija guicha inumba yakwe, kunguno nuweyi agabhuchaga milimo oitumama chiza mpaga oimala, umukikalile yakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ililyasagaga lichagi nalyo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guidilila bho gutumama chiza imilimo iyo bhayandya umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Luka 14:28-30.

2Timotheo 4:7-8.

KISWAHILI: LILILOBAKI LISHUSHWE NALO.

Msemo huo, ulianzia kwenye umaliziaji wa kuangusha nyumba iliyokuwa imeanguka upande. Nyumba hiyo, ilikuwa imeanguka upande mmoja ikabakia upande mwingine. Mwenye nyumba hiyo, aliamua kuiangusha yote kwa sababu ile iliyobaki ingeweza kuwaangukia watu. Ndiyo maana alisema kwamba “lililobaki lishushwe nalo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanzisha kazi na kuzifuatilia vizuri mpaka anazimaliza katika maisha yake. Mtu huyo, huzifanyia utafiti kwanza kazi zake kabla hajaanza kuzitekeleza. Akishaziona kuwa ni mzuri, huanza kuzitekeleza kwa kuzifuatilia vizuri mpaka anazimaliza, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwenye nyumba aliyeamua kukiangusha pia kipande kilibakia baada kuanguka upande mwingine, kwa sababu naye huanzisha kazi zake na kuzifuatilia vizuri, mpaga anazimaliza. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “lililobaki lishushwe nalo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya huzifuatilia vizuri kazi walizozianzisha katika utekeleji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio makubwa, maishani mwao.

Luka 14:28-30.

2Timotheo 4:7-8.

house-1744082__480

women-5578067__480

ENGLISH: YOU HAVE TO BRING DOWN EVEN THE REMAINING ONE.

This saying started from knocking down the remaining part of house that had fallen on one side. This house had fallen on one side and remained on the other one. The owner of that house decided to tear it all down because what was left could fall on people. That is why he said to them that “you have to bring down even the remaining one.”

This saying is matched to the person who starts a work and follows it well until he finishes it in his life. Such person first researches his works before he begins to carry them out. Once he sees them as being good, he begins to implement his plans by following them properly until he finishes them, in his life.

This person is resembles to the owner of the house who decided to knock it down even a piece that remained after it fell on the other side, because he also starts his work and follows it properly, to the point of finishing it. That is why he tells people that, “you have to bring down even the remaining one.”

This saying imparts in people an idea of properly monitoring their works which they started in the fulfilling their responsibilities, so that they can achieve great success in their lives.

Luke 14:28-30.

2 Timothy 4:7-8.

old-farm-house-2096642__480