Akahayile kenako kingilile kubhumalija bho gusambula numba. Inumba yiniyo, yaliyagwa lwande yusagila ulwande ulungi. Ung’winikili numba yiniyo agiyangula guyisagambula pye iyose kunguno ni yadula gubhagwila bhanhu. Hunagwene agayomba giki, “ililyasagaga lichag nalyo.”
Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhuchaga nimo ogudilila mpaga ogumala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayitilaga bhukengeji imilimo yakwe hayo atali uguyandya. Uluidebha chiza agandyaga guitumama bho guidilila chiza mpaga uimala kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe. Uweyi agandikaga sabho ningi noyi umubhutumami bhokwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’winuyo, agikolaga nu ng’winikili numba uyo agaimalija guicha inumba yakwe, kunguno nuweyi agabhuchaga milimo oitumama chiza mpaga oimala, umukikalile yakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “ililyasagaga lichagi nalyo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guidilila bho gutumama chiza imilimo iyo bhayandya umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Luka 14:28-30.
2Timotheo 4:7-8.
KISWAHILI: LILILOBAKI LISHUSHWE NALO.
Msemo huo, ulianzia kwenye umaliziaji wa kuangusha nyumba iliyokuwa imeanguka upande. Nyumba hiyo, ilikuwa imeanguka upande mmoja ikabakia upande mwingine. Mwenye nyumba hiyo, aliamua kuiangusha yote kwa sababu ile iliyobaki ingeweza kuwaangukia watu. Ndiyo maana alisema kwamba “lililobaki lishushwe nalo.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanzisha kazi na kuzifuatilia vizuri mpaka anazimaliza katika maisha yake. Mtu huyo, huzifanyia utafiti kwanza kazi zake kabla hajaanza kuzitekeleza. Akishaziona kuwa ni mzuri, huanza kuzitekeleza kwa kuzifuatilia vizuri mpaka anazimaliza, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na mwenye nyumba aliyeamua kukiangusha pia kipande kilibakia baada kuanguka upande mwingine, kwa sababu naye huanzisha kazi zake na kuzifuatilia vizuri, mpaga anazimaliza. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “lililobaki lishushwe nalo.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya huzifuatilia vizuri kazi walizozianzisha katika utekeleji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio makubwa, maishani mwao.
Luka 14:28-30.
2Timotheo 4:7-8.
ENGLISH: YOU HAVE TO BRING DOWN EVEN THE REMAINING ONE.
This saying started from knocking down the remaining part of house that had fallen on one side. This house had fallen on one side and remained on the other one. The owner of that house decided to tear it all down because what was left could fall on people. That is why he said to them that “you have to bring down even the remaining one.”
This saying is matched to the person who starts a work and follows it well until he finishes it in his life. Such person first researches his works before he begins to carry them out. Once he sees them as being good, he begins to implement his plans by following them properly until he finishes them, in his life.
This person is resembles to the owner of the house who decided to knock it down even a piece that remained after it fell on the other side, because he also starts his work and follows it properly, to the point of finishing it. That is why he tells people that, “you have to bring down even the remaining one.”
This saying imparts in people an idea of properly monitoring their works which they started in the fulfilling their responsibilities, so that they can achieve great success in their lives.
Luke 14:28-30.
2 Timothy 4:7-8.