1060. NANE NANDIKILWA CHENE.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo alina bhudula bhulebhe umukikalile kakwe. Uliyohi munhu uyo otumamaga milimo mitale ya gubhalebya abhiye uyo wikalaga muchalo ja Ngeme. Umunhu ng’wunuyo, bhamujaga abhiye abhabhile imbisila iyo agadugijaga uguitumama imilimo yiniyo, kunguno olinduhu umunhu uogulenganila nanghwe. Hunagwene uweyi agashosha giki, “nane nandikilwa chene.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo abhudebhile chiza ugubhutumamila ubhudula ubho nalinabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagajaga ugubhudebha chiza ubhudula bhokwe bhunubho bho gwigulambija gutumama milimo pye iyo aliyiibhona kunguno ya kutogwa kupandika matwayo mingi aha kaya yakwe. Uweyi agabhakomeleja abhanhu bhakwe ugubhudebha na gubhutumamila chiza ubhudula ubho bhinhiwa nu Welelo, umuwikaji bhobho.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo alinabhudula bho gutumama milimo bho gubhalebha pye abhiye, kunguno nuweyi agigulambija ugubhutumamila pye ubhudula ubho winhiwa nu Wangaluke mpaga opandika matwajo mingi umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhabhilaga abhanhu bhakwe giki, “nane nandikilwa chene.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gubhutumamila chiza ubhudula ubho bhalinabho bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Isaya 9:5-6.

Yeremia 1:4-10.

Luka 4:18.

Luka 7:8.

KISWAHILI: NAMI NIMEANDIKIWA HIVYO.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa na uwezo fulani katika maisha yake. Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi kwenye kijiji cha Ngeme ambaye alikuwa na uwezo wa kufanya kazi kubwa za kuwazidi wenzake. Mtu huyo walimuuliza wenzake ili awaambie siri ya inamuwezesha kufanya kazi kwa namna hiyo. Ndiyo maana yeye alijibu kwa kusema kwamba, “nami nimeandikiwa hivyo.”

Msemo huo hulinganganishwa kwa mtu yule anayeufahamu uwezo wake na kuutumia vizuri katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia ubunifu wake kwa kujitahidi kufanya kazi zote anazoziona kwa sababu ya kupenda kuwaletea maendeleo watu wake. Yeye huwahimiza pia watu wake kuvieleza vipaji walivyopewa na Mungu kiasi cha kutosha kuvitumia vizuri, katika maisha yao.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa na uwezo wa kufanya kazi za kuwazidi wenzake, kwa sababu naye huutumia ubunifu wake kwa kuvitumia vipaji vyake vyote alivyopewa na Mungu mpaga anapata mafanikio mengi, maishani mwake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nami nimeandikiwa hivyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuvitumia vizuri vipaji walivyo navyo kwa kujituma kufanya kazi vizuri, ili waweze kupata mali za kuwasadia vizuri, maishani mwao.

Isaya 9:5-6.

Yeremia 1:4-10.

Luka 4:18.

Luka 7:8.

hiring-2402042__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.