Tanzania

1086. LUGULU ITIJIGULU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulinganija bho bhutale bho lugulu na jigulu. Ulugulu lili liwe ilo lyingilile hasi guja ng’wigulya. Ilyoyi lililyagulolela bho kule kunguno ya bhulihu bholyo umo lyasumbilwa nu Mulungu.

Ijigulu jili jib’umbi ilo ligabhumbagwa na miswa gwingila hasi guja ng’wigula. Ilyoyi ligagwishiyagwa wangu kulebha ulugulu, kunguno lililyabhulolo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lugulu itijigulu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu myaji uyo bhang’wisanije abhana bhakwe kunguno ya gubhambilija chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga aidebhile chiza imilimo yakwe ya gubhambilija ugwikala chiza abhanhu bhakwe, kunguno ya likujo lyake ilya gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhakujaga bho lilange lyawiza abhanhu bhakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu lugulu ulo lulilulihu kukila ijigulu, kunguno nuweyi adebhile ugubhalanga abhana akikalile akawiza iki uweyi ali ntale kulebha abhana bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “lugulu itijigulu.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya kubhalelela kikalile kawiza abhana bhabho bho gwiyambilija chiza umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 17:1-8.

Waefeso 6: 1-4.

Zaburi 27: 1-3.

KISWAHILI: KILIMA SI KICHUGUU.

Chanzo cha msemo huo kilianzia kwenye ulinganishaji wa ukubwa wa mlima na kichuguu. Mlima ni jiwe ambalo limetokea chini kuja juu. Wenyewe huonekana kwa mbali kwa sababu ya urefu wake kutokana na kuumbwa kwake hivyo na Mungu.

Kichuguu ni udongo ulioumbwa na mchwa kutoka chini kuja juu ambacho chaweza kubomolewa kiurahisi tu, ukilinganisha na kilima. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kilima si kichuguu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule mbaye ni mzazi anayetegemewa na watoto kwa sababu ya kuwasaidia kwake vizuri maishani mwake. Mtu huyo, anazielewa vizuri kazi zake za kuwasaidia watu wake hao juu ya kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya hekima yake ya kuishi vizuri na watu maishani mwake. Yeye huwakuza watoto wake katika malezi yenye maadili mema kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na mlima ulivyo mrefu kuliko kichuguu, kwa sababu naye anafahamu kuwafundisha watoto namna ya kuishi vizuri kwa vile yeye ni mkubwa kuliko wao. Ndiyo maana watu humuambia kwamba, “kilima si kichuguu.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwafundisha watoto wao namna ya kuishi vyema kwa kusaidiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 17:1-8.

Waefeso 6: 1-4.

Zaburi 27: 1-3.

mountains-192987__480

ENGLISH: A HILL IS NOT AN ANTHILL.

This saying originated from the comparison of a hill and an anthill. A hill is a stone that has come up from the ground. It is visible from a distance because of its height due to its creation by God.

An anthill on the other hand, is soil created by ants from the ground up, which can be demolished easily, compared to a hill. That is why people say that, “a hill is not an anthill.”

This saying is compared to a parent who is trusted by children because of his good support in his life. This person understands well his work enough to help his people in living well with their peers, because of his wisdom that enables him to live well with the people in his life. He raises his children in an upbringing with good morals because of his good character, in his life.

This person is like a hill that is taller than anthill, because he also knows how to teach children ways of living well because of his humility. That is why people tell him that, “a hill is not an anthill.”

This saying teaches parents about on how to upbringing their children for living well by helping each other well in the implementation of their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 17:1-8.

Ephesians 6: 1-4.

Psalm 27: 1-3.

1085. NG’WENUYU NSANGA YASHILA.

Akahayile kenako, kingilile kubhukeleja bho ng’wa munhu guja gujuhoyela mihayo. Olihoyi munhu uyo oliwitanwa gujuhoya na bhanhu higulya ya mihayo ya kigasije kasoga. Umunhu ng’wunuyo agakeleja uguja aha kaya yiniyo mpaga nose imihayo yiniyo yushila na ushiga nang’hwe lulu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ng’wenuyu nsanga yashila.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adashingimukaga wangu uliuwilwa mhayo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakeleja gwa nulu agawilwa gwanguha nduhu, agusanga abhiye bhamalaga nulu gutumama nimo gosese kunguno ya bhugokolo na bhujidalonja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga akelile bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya bhukeleja bho gujutumama milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakeleja kuja kumahoya mpaga nose usanga abhiye bhamalaga uguhoya, kunguno nuweyi agakelejaga bhuli kwene uko ajile mpaga nose oduma ugupandika ijiliwa umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo nsanga yashila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwanguha ugujutumama imilimo yabho bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:1-13.

Mathayo 19:30.

Mathayo 20:16.

KISWAHILI: HUYU HUKUTA YAMEISHA.

Msemo huo, ulianzia kwenye uchelewaji wa mtu aliyealikwa kufika kwenye maongezi. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alialikwa kwenda kuongea na watu juu ya mwenendo wa kuishi vizuri. Mtu huyo, alichelewa kufika kwenye familia hiyo mpaga mwishowe yale maongezi yakaisha ndipo naye akafika. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “huyu hukuta yameisha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hashituki upesi akiambiwa neno, katika masha yake. Mtu huyo, huchelewa kila siku akiambiwa awahi sehemu fulani, atakuta wenzake wamemaliza hata kazi yoyote kwa sababu ya uvivu na kutojali kwake huko, katika maisha yake. Yeye hukosa chakula kila mwaka kwenye familia yake kwa sababu ya uchelewaji wake huo wa kufanya kazi zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyechelewa kwenda kwenye maongezi mpaga akakuta wenzake wamemaliza, kwa sababu naye pia huchelewa kufika kule aendako mwishowe hushindwa hata kupata chakula katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyu hukuta yameisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwahi kwenda kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana na wenzao vizuri, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

Mathayo 19:30.

Mathayo 20:16.

youth-3395132__480

 ENGLISH: THIS IS THE ONE WHO ARRIVES WHEN EVERYTHING IS OVER.

This saying started from the delay of the person who was invited to give a talk on moral life. There was one person who was invited to go and talk to people about the conduct of living well. Such person was late in arriving at the family until the conversation ended then he also arrived. That is why people told him that, “this is the one who arrives when everything is over.”

This saying is compared to the person who does not easily respond when he is told a word, in his life. Such person becomes late every day when he is told to go to a certain place to the point of finding that his colleagues have finished any work because of his laziness and indifference in his life. He misses food every year in his family because of his delay in doing his work, in his life.

This person resembles the one who is late for a talk when he finds that his colleagues have finished, because he is also late to get to where he is going and in the end he fails to even get food in his life. That is why people tell him that, “this is the one who arrives when everything is over.”

This saying imparts in people an idea on going earlier to carry out their duties by helping each other well, so that they can get a lot of progress in their lives.

Matthew 25:1-13.

Matthew 19:30.

Matthew 20:16.

1084. DANGATA LIGULILA ULU WIPUJA.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya lintego ilo ligapujaga ndimu. Ilintego linilo ligategaga ginhu ijo bhalijichola abhategi bhalyo ilo ligayoganyaga bho gulila ulu lyapuja ginhu. Ubhuyoganya bholyo bhunubho, bhugabhigwilijaga abhategi igiki bhapujaga. Hunagwene bhagayombaga giki, “dangata ligulila ulu wipuja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mamihayo ga gujinjimaja, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agakumukaga noyi umuchalo jakwe kunguno ya mamihayo genayo ayo agapandikaga, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhizaga na miganiko mingi noyi ayo gagansunduhajaga kunguno ya gwigwa bhalinhoyela bhuli kwene uko alibhitila, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lidangata ilo ligalilaga ulu lyapujaga ginhu, kunguno nuweyi agakumukaga noyi ulu opandikaga mamihayo genayo agagujinjimaja. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “dangata ligulila ulu wipuja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilalanhana na mitego yoseyose iyagubhenheleja gwinga umukikalile akawiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:4-5.

Luka 4:1-9.

Mathayo 22:15-22.

KISWAHILI: MTEGO HULIA UNAPONASA.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mtego wa kunasia wanyama fulani. Mtego huo, ni kifaa kilichoandalia kwa lengo na kumnasa mnyama atakayeugusa ambayo hulia unaponasa kitu. Mlio huo huwajulisha wategaji kwamba wamenasa kitu kiasi cha kutosha kuwahi pale uliko mtego huo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “mtego hulia unaponasa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukumbwa na maneno ya kushangaza, maishani mwake. Mtu huyo, hujulikana sana kwa watu waishio kwenye kijiji chake, kwa sababu ya kukumbwa na maneno hayo ya kushangaza, katika maisha yake. Yeye huishi kwa masikitiko katika familia yake kwa sababu ya kuwasikia watu wengi wakimuongelea yeye, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule mtego ambao hulia unaponasa kitu, kwa sababu naye hujulikana kwa watu wengi waishio kwenye kijiji chake, anapokumbwa na maneno hayo ya kushangaza. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtego hulia unaponasa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa makini kwa kujilinda ili wasikumbwe na maneno ya kuwahalibia sifa katika utumishi wao, maishani mwao.

Zaburi 31:4-5.

Luka 4:1-9.

Mathayo 22:15-22.

hare-6063733__480

1083. BENA: IMBWA NDAVILA PASI YE NYIDZI.

KISWAHILI: MBWA ANAYEANGALIA CHINI NDIYE MWIZI.

Methali hiyo, huangalia maisha ya mbwa aliyekuwa mwizi. Mbwa huyo, alikuwa akiiba nyama na kula mara kwa mara bila ya wamiliki wake kufahamu kuwa ni yeye kwa sababu ya kujificha kwake kwa kuangalia chini. Mbwa huyo alikuwa akiangalia chini ili kunesha hali ya kuficha kosa la kuiba nyama hizo.

Wamiliki wake walifanya utafiki uliowezesha kumtamgua aliyekuwa akiiba nyama zao. Utafiti huo, ulimkamata mbwa huyo baada ya kumuona akiziiba nyama hizo. Ndiyo maana walisema kwamba, “mbwa anayeangalia chini ndiye mwizi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huonekana kuwa ni mwema kwa nje lakini kwa ndani ni muovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo yake kwa lengo la kujionesha kwa nje tu kuwa ni mwema kwa sababu ya kutaka kujificha ili uovu wake usijulikane kwa watu. Yeye hugundulika tabia yake hiyo mbaya baada ya kukaa naye, ndipo unafiti wake hujionesha wazi baada yeye kujisahau, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mbwa aliyekuwa akiiba nyama na kujificha kwa kuangalia chini, kwa sababu naye huonekana kwa nje kuwa ni mtu mwema kumbe kwa ndani ni muovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mbwa anayeangalia chini ndiye mwizi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kujionesha kwa nje kuwa wema kwa kuacha kutenda maovu, na badala yake watende mema ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.

Mathayo 23:28 “Vivyo hivyo, ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.”

Luka 6:44 “Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Kwa maana watu hawachumi tini kwenye miiba wala zabibu kwenye michongoma.”

1samweli 16:7 “Lakini Bwana akamwambia Samweli usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake, kwa maana mimi nimemkataa. Bwana haangalii kama wanadamu waangaliavyo, bali Bwana huutazama moyo.”

ENGLISH: A DOG THAT LOOKS DOWN IS THE THIEF.

The overhead proverb looks at the life of a dog that was a thief. Such dog used to steal meat and eat it frequently without its owners realizing that it was him because of his hiding by looking down. Such dog was looking down in order to hide the crime of stealing the meat.

Its owners made a research that enabled them to identify the one who was stealing their meat. Such research, arrested the dog after seeing him stealing the meat. That is why they said that, “a dog that looks down is the thief.”

This proverb is compared to the person who appears to be good on the outside but is evil on the inside, in his life. Such person does his actions with the aim of showing himself to be good on the outside because he wants to hide himself so that his evil will not be known by people. People discover his bad behavior after staying with him, then his selfishness shows itself clearly after he forgets himself, in his life.

This person is like the dog that was stealing meat and hiding by looking down, because he also looks like a good person on the outside but is evil on the inside, in his life. That is why people tell him that, “a dog that looks down is the thief.”

This proverb instills in people an idea of abandoning a habit of showing themselves to be good by stopping doing evil, and instead they should do well so that they can live in peace with their nobles, in their families.

Matthew 23:28 “In the same way, you also, on the outside you appear to be righteous, but on the inside you are full of hypocrisy and rebellion.”

Luke 6:44 “Every tree is known by its fruit.” Because people don’t pick figs on thorns or grapes on brambles.”

1 Samuel 16:7 “But the Lord said to Samuel, don’t look at his face, nor at the height of his stature, because I have rejected him. The Lord does not look as men look, but the Lord looks at the heart.”

dog-1418330__480

puppy-4240180__480

german-shepherd-1970026__480

1082. JILEKAGI JIME BHUKANGA DUHU.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya bhuleki bho gung’wisha minzi mitugo. Jalihoyi ng’ombe ijo jigalya magula ga numbu ayo gagajenhelejaga gucha ulu jung’wa minzi. Abhanikili bha mitugo jinijo bhagajilemeja uguja ng’wa aminzi, gitumo bhagitilaga ulu jalyaga mandege momu, kunguno ya gujilanhana jigale mhola. Hunagwene bhagiwilaga giki, “jilekagi jime bhukanza duhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugujilabhila chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilanhanaga ijikolo jakwe jinijo bhogujituula hasoga kunguno alina bhukalalwa bhutale ukusabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi aha kaya yakwe kunguno ya gujilanhana chiza bhuli jene ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagajilanhana ing’ombe jabho jukija ugucha, kunguno nuweyi agajilanhanaga isabho jakwe bho gujituula chiza, umukikakile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “jilekagi jime bhukanga duhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha kujilanghana chiza isabho jabho bho gujidilila chiza ijo bhalijipandika umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ku kulikanza lilihu umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:27-30.

Mathayo 8: 14 -15.

KISWAHILI: ZIACHENI ZIKAE BILA KUNYWA MAJI TU.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya uachaji wa kunywesha mifugo maji. Kulikuwa na ng’ombe waliokula majani ya viazi ambayo huwapelekea kufa kama wakinywa maji. Wenye ng’ombe hao waliwazuia kunywa maji hayo, kama wafanyavyo kwa wale waliokula mahindi makavu, kwa sababu ya kuwalinda ili wasife. Ndiyo maana wao waliambiana kwamba, “ziacheni zikae bila kunywa maji tu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule afahamuye kuvitunza vizuri vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, huviweka vitu vyake hivyo katika matunzo ya hali ya juu kwa sababu ya moyo wake huo wa kuzijali vizuri mali zake hizo, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya utunzaji wake wa kila mali anayoipata, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na wamiliki wa ng’ombe waliowatunza mpaka wakabaki salama, kwa sababu naye huzitunza vizuri mali anazozipata katika kazi zake, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu wake kwamba, “ziacheni zikae bila kunywa maji tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa kuzitunza vizuri mali wanazozipata katika utekelezaji wa majukumu yao, ili ziweze kuwasaidia kwa kipindi kirefu, maishani mwao.

Mathayo 13:27-30.

Mathayo 8: 14 -15.

cow2

ENGLISH: YOU LET THEM STAY WITHOUT DRINKING WATER.

This saying is about preventing livestock from drinking water. There were cows that ate potato leaves which could lead to death if they could drink water. The owners of them prevented them from drinking the water, as they do for those who ate dry corn, because of protecting them from dying. That is why they said to each other, “you let them stay without drinking water.”

This saying is compared to the person who knows how to take good care of his things, in his life. This person keeps his things in high quality care because of his inspired heart enough to take good care of his possessions, in his life. He gets a lot of wealth in his family because of his good caring of every property he gets, in fulfilling his duties.

This person is similar to the owners of cows who took care of them until they remained safe, because he also takes care of his things in life. That is why he tells people that, “you let them stay without drinking water.”

This saying instills in people a clue on understanding ways of taking good care of the assets which they get in fulfilling their duties, so that they can help them for a long time, in their lives.

Matthew 13:27-30.

Matthew 8: 14 -15.