Tanzania

1091. NKONO GONEMBA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya nkima uyo witungaga ng’wenda. Unkima ng’wunuyo, witungaga ng’wenda bho gwihengeleka ukunu alija lwande, kunguno ya gutumila nkono gonmoso uyo aladagumanilile chiza ugugutumila weyi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “nkono gonemba.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilekaga nzila ya gwikala chiza na bhanhu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaitumamaga chiza imilimo yakwe kunguno ya gulema gwiyambilija chiza nabhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agagayiyagwa ijijolo aha kaya yakwe kunguno ya gwikala na nhungwa ja kuleka gutumama chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo witungaga ng’wenda bho guja lwande iki otumilaga nkono go nmosa, kunguno nuweyi adatumama chiza imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nkono gonemba.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikala chiza nabhichabho bho guitumamila jitumamilo ja wiza imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:31-34.

Mathayo 25:41.

Yohana 21:6.

KISWAHILI: MKONO UMEMDANGANYA.

Msemo huo, huongelea juu ya mwanamke mmoja aliyejifunga nguo. Mwanamke huyo, alijifunga nguo hiyo kwa kupinda huku akienda upande kwa sababu ya kutumia mkono wa kushoto katika kujifunga kwake ambao hukuuzoea. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mkono umemdanganya.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huacha tabia yake njema ya kuishi vizuri na watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huacha kuyatekeleza vizuri majukumu yake kwa kutumia dhana dhaifu, na kuacha kushirikiana na wenzake, maishani mwake. Yeye hukosa mali za kumsaidia katika familia yake kwa sababu ya kujijengea tabia ya kuacha kufanya kazi zake vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke aliyejifunga nguo yake kwa kutumia mkono ya kushoto ambao hukuuzoea kuutumia, kwa sababu naye huiacha tabia yake njema ya kusaidiana na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkono umemdanganya.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya ya kuishi vizuri na wenzao kwa kutumia dhana nzuri za kazi katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mathayo 25:31-34.

Mathayo 25:41.

Yohana 21:6.

wheat-5214920__480

ENGLISH: THE HAND HAS DECEIVED HIM/HER.

This saying talks about a woman who wrapped herself in clothes. This woman tied the dress by twisting it while going to the side because she used her left hand to tie herself which she was not used to. That is why people told her that, “the hand has deceived her.”

This saying is compared to the person who abandons his good behavior of living well with people, in his life. Such person stops fulfilling his duties by using a weak concept, and stops cooperating with his colleagues in his life. He lacks assets that can help him in his family because he has developed a habit of not doing his jobs well, in his life.

This person is similar to the woman who tied her clothes using the left hand that she was not used to, because he also abandons his good behavior of helping his colleagues in the implementation of their responsibilities, in his life. That is why people tell him that, “the hand has deceived him/her.”

This saying teaches people on how to live well with their family members by using good work concepts in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 25:31-34.

Matthew 25:41.

John 21:6.

1090. MBINA YA JILEZU.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalyaga jiliwa umuchalo ja Mangu. Abhanhu bhenabho, bhajibheyebheyaga ijilezu jabho umukalile kabho mpaga jawila guti jilibhina mbina kunguno ya kalile kabho kenako. Hunagwene abhanhu bhagakitanaga akalile kenako giki “mbina ya jilezu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munbu uyo agayombaga mihano ya mbisila umumahoya gakwe. Umunhu ng’wunuyo agayombaga mihayo ya mbisila iyo igenhelejaga guduma uguyelelwa abhanbhu abho agahoyaga nabho, kunguno ya bhudamu bhoyo bhunubho, umumahoya gakwe genayo. Uweyi agadumaga uguyilanga chiza ikaya yakwe kunguno ya kahoyele kakwe kenako, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhab’inyaga jilezu ulubhalilya ijiliwa, kunguno nuweyi agabhinyaga jilezu ulu aliyomba imihayo iya mbisila yiniyo, umumahoya gakwe genayo. Hunagwene abhanhu bhagayitanaga imihayo yakwe giki, “mbina ya jilizu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwilalanhana na mihayo ya mbisila bho guhoyela mihayo iyo bhadulile guyelelwa chiza abhichabho umumahoya gabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umu kaya jabho.

Mathayo 13:10-11.

Marko 4:10-11.

KISWAHILI: NGOMA YA KIDEVU.

Walikuwepo watu waliokuwa wakila chakula kwenye kijiji cha Mangu. Watu hao, walikuwa wakivitikisha videvu vyao wakati huo wa kula mpaka vinakuwa kama vinacheza ngoma kwa sababu ya namna yao hiyo ya kula chakula hicho. Ndiyo maana watu waliita aina hiyo ya kula kuwa ni “ngoma ya kidevu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno ya mafumbo katika maongezi yake. Mtu huyo, hutumia maneno hayo ya mafumbo ambayo huwaletea watu ugumu wa kuyaelewa kwa haraka, kwa sababu ya ugumu wa mafumbo hayo. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya maongezi yake hayo magumu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliokuwa wakila chakula kwa kutikisha videvu vyao, kwa sababu naye huwa anakichezesha kidevu chake anapoongea maneno hayo ya mafumbo, katika maongezi yake. Ndiyo maana watu huyaita maongezi yake hayo kuwa ni “ngoma ya kidevu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa makini na maneno ya mafumbo kwa kutumia maneno yanayoeleweka kwa kurahisi kwa watu katika maongezi yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.

Mathayo 13:10-11.

Marko 4:10-11.

man-481425__480

ENGLISH: A DANCE OF THE CHIN.

There were people who were eating food in the village of Mangu. Those people used to shake their chins while eating to the point of appearing as if they were dancing because of their way of eating that food. That is why people considered that type of eating as “a dance of the chin.”

This saying is related to a person who speaks words of mystery in his speech. Such person uses words of riddles that make it difficult for people to understand them quickly, because of them being difficulty. He fails to raise well his family because of his difficult conversations in his life.

This person resembles to those who used to eat food by shaking their chins, because he also moves his chin when he speaks those words of mystery, in his speech. That is why people call his talk the “a dance of the chin.”

This saying teaches people being careful with metaphorical words by using words that are easily understood by people in their conversations, so that they can live in peace with their nobles, in their families.

Matthew 13:10-11.

Mark 4:10-11.

1089. BHAJIDIGWA LIMI.

Akahayile kenako kaholelile higulya ya bhatumami bhajipande. Abhatumami bhenabho, bhatumamaga milimo nulu limi lisebhu gwingila diyu mpaga mhindi kunguno bhahaga bhamale wangu ipande jabho. Hunagwene abhanhu bhagabhitana giki, “bhajidigwa limi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo midamu mpaga uyimala chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho nguvu noyi gwingila diyu mpaga lyagagwa ilimi kunguno ahayile guyibheja chiza ikaya yakwe. Uweyi agaponaga majiliwa mingi na gupandika sabho ningi umubhutumami bhokwe kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama milimi yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

 Umunhu ung’wunuyo, agikolaga na bhanhu abha jipande abho bhatumamaga milimo yabho gwingila diyu mpaga mhindi, kunguno nuweyi agikomejaga gutumama milimo yakwe bho nguzu gwingila diyu mpaga mhindi, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyitanaga giki, “jidigwa limi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wigulambija bho gutumama milimo yabho bho nguzu gwingila diyu mpaga mhindi kugiki, bhadule kupandika sabho ja gubhagunana chiza umuwikaji bhobho.

Mathayo 20:10 – 13.

 

KISWAHILI: WASIOSIKIA JUA.

Msemo huo, huongelea juu ya watu wa vibarua. Watu hao, hufanya kazi hata wakati wa jua kali kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa sababu ya kutaka kumaliza mapema kipabarua chao. Ndiyo maana watu huwaita kwamba ni watu “wasiosikia jua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi ngumu mpaka anazimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa nguvu sana kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa sababu ya kutaka kuujenga vizuri mji wake. Yeye hupata chakula kingi na mali nyingi kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kazi zake hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na watu wa kibarua waliofanya kazi kutwa nzima bila kujali ukali wa jua, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa nguvu kuanzia asubuhi mpaka jioni, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni mmoja wa wale “wasiosikia jua.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao kuanzia asubuhi mpaka jioni, ili waweze kupata mali za kuwasaidia vizuri maishani mwao.

Mathayo 20:10 – 13.

ENGLISH: THOSE WHO DO NOT FEEL THE SUN.

The above saying talks about the people who are paid daily. Those people work even during the hot sun from morning to evening because they want to finish their work early. That is why people consider them as “those who do not feel the Sun.”

This saying is compared to the person who tries to do a hard work until he finishes it, in his life. Such person works very hard from morning to evening because he wants to build his family well. He gets a lot of food and a lot of wealth because of his hard work in his life.

This person is similar to the laborers who worked all day regardless of the intensity of the sun, because he also works hard from morning to evening, in the execution of his duties. That is why people include him in group of “those who do not feel the Sun.”

This saying teaches people being about diligent in carrying out their duties well from morning to evening, so that they can get assets that can nicely help them in their lives.

Matthew 20:10 – 13.

work-3322460__480

1088. JILAPULYA NG’WINA.

Akahayile kenako kingilile kubhadimi bha mitugo abho bhikalaga muchalo ja Ng’wajilala. Abhadimi bhenabho, bhagaja gujujing’wisha imitugo jabho minzi ukunyanza ya Nyalanja.

Aliyo lulu, abhoyi bhagawilwa giki jilihoyi ng’wina umunyanza yiniyo ijo jigajipulaga imitugo ulu jingila ugung’wa iminzi. Hanagwene bhagiyangula gujilemeja ugung’wa aminzi genayo, kunguno bhamanile igiki, “jilapulwa Ng’wina.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalabhilaga chiza ijikola jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigwaga iyo agawilagwa nabhiye kunguno ya witegelaja bhokwe umukikalile kakwe kenako. Uweyi agikalaga na sabho nyinghi aha kaya yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gujilanhana chiza ijiko jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ung’wunuyo, agikolaga na bhadimi bha mitugo abho bhagajipija gupulwa na ng’wina imitugo jabho jinijo, kunguno nuweyi agajilabhilaga chiza isabho jakwe mpaga jakwila aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene agabhalangaga jujilanghana chiza ijikolo jabho abhanhu bho gubhawila giki, “jilapulwa Ng’wina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilabhila chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija bho shigu nyingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mithali 5:12-14.

1Petro 5:8-9.

Zaburi 17:11-12.

KISWAHILI: WATANYAKULIWA MAMBA.

Msemo huo ulianzia kwa wachungaji wa mifugo waliokuwa wakiishi kwenye kijiji cha Mwakidalala. Wachungaji hao, walienda kuwanywesha maji mifugo hao kwenye ziwa la Nyalanja.

Lakini basi, watu hao walipewa taarifa juu ya uwepo wa mamba kwenye Ziwa hilo la Nyalanja ambao huwanyakua mifugo wanaoingia kunywa maji humo. Ndiyo maana waliamua kuacha kuwanywesha maji mifugo wao hao, kwa sababu wanaelewa kwamba, wakiingia ndani ya maji hayo, “watanyakuliwa Mamba.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri mali yake anayoipata, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasikiliza wenzake wanaomshauri vizuri, kwa sababu ya umakini wake huo wa kujali mali zake, katika maisha yake. Yeye huwa na mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya umakini wake huo wa kuitunza vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale wachungaji waliowaokoa mifugo wao kunyakuliwa na Mamba, kwa sababu naye huitunza vizuri mali yake hiyo mpaga inaongezeka vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye huwafundisha watu juu ya utunzaji huo wa mali kwa kuwaambia kwamba, “itanyakuliwa Mamba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuitunza vizuri mali yao wanayoipata katika utekelezaji wa majukumu yao, ili iweze kuwasadia kwa muda mrefu maishani mwao.

Mithali 5:12-14.

1Petro 5:8-9.

Zaburi 17:11-12.

nile-crocodile-245013__480

crocodile-1851313__480

crocodile-3934974__480

ENGLISH: THEY WILL BE CAPTURED BY CROCODILES.

The overhead saying originated from the herdsmen who lived in the village of Mwakidalala. These shepherds went to give water to the livestock at Nyalanja lake.

But then, the people were informed about the presence of crocodiles in Nyalanja Lake, which grab livestock that enter to drink water there. That is why they decided to stop sending their livestock to drink water there, because they understand that, if they enter the water, “they will be captured by crocodiles.”

This saying is compared to the person who takes good care of his property that he gets, in his life. Such person listens to his colleagues who advise him well, because of his attention to care for his assets, in his life. He always has a lot of wealth in his family because of his attention to take good care of it, in his life.

This person is similar to those shepherds who saved their livestock from being grabbed by crocodiles, because he also takes good care of his property so that it increases well, in his life. That is why he teaches people about the care of wealth by telling them that, “they will be captured by crocodiles.”

This saying imparts in people an idea of being careful enough to take good care of their property that they get in fulfilling their duties, so that it can support them for a long time in their lives.

Proverbs 5:12-14.

1 Peter 5:8-9.

Psalm 17:11-12.

1087. BHUHAB’I B’UGENHAGA MBEHO.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuhab’i bho ng’wa munhu umo. Umunhu ng’wunuyo wikalaga na bhusunduhazu bho gugayiwa ung’wenda ugo gwikumba kunguno ya gugayiwa ihela ja gugugulila ung’wenda gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhuhab’i b’ugenhaga mbeho.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agakoyakoyaga uguilanghana ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga uchola sabho ya gusomisha na gubhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe, kunguno ya kutogwa gubhingija makoye abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa nulu jizwalo jakwe kunguno ya kubhasomisha na gubhalisha abhana bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliadina ng’wenda ugo gwikumba, kunguno nuweyi agakoyakoyaga ugabhanghana abhana bhakwe mpaga jashila ijizwalo jakwe, kunguno ya gugayiwa ihela ja gugamala pye amakoye gakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “bhuhab’i b’ugenhaga mbeho.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gukama gutumama milimo yabho bho nguzu, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugugamala wangu amakoye gabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 19: 4.

Mithali 22:7.

Mithali 21:25.

Mithali 15:16-17.

Mithali 16:26.

KISWAHILI: UFUKARA UNALETA BARIDI.

Msemo huo, huongelea juu ya ufuraka wa mtu mmoja. Mtu huyo, aliishi kwa huzuni katika hali ya kukosa nguo za kujifunika kwa sababu ya kukosa hela za kuinunulila nguo hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ufukara unaleta baridi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhangaika kuitunza familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa akitafuta pesa za kuwasomeshea watoto na za kuwanunulia chakula watu wake hao, kwa sababu ya kutaka kuwaondolea matatizo watu wake, maishani mwake. Yeye hukosa hata mavazi yake kwa sababu ya kuitumia pesa yote kwa kuwasomesha na kuwanunulia chakula watu wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekosa nguo ya kujifunika, kwa sababu naye huhangaika katika kuwatunza watu wake, mpaka anafikia hatua ya kukosa hata mavazi yake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ufukara huleta baridi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa nguvu, ili waweze kupata mali za kuwasaidia maishani mwao.

Mithali 19: 4.

Mithali 22:7.

Mithali 21:25.

Mithali 15:16-17.

Mithali 16:26.

people-844214__480

ENGLISH: POVERTY BRINGS COLD.

The above saying talks about the loneliness of one person. This person lived sadly in a state of lack of clothes for covering himself because of not having money for buying them. That is why people say that, “poverty brings cold.”

This saying is equated to a man who struggles to take care of his family, in his life. This man is always looking for money to educate children and to buy food for his people, because he wants to remove problems from his people, in his life. He lacks even his clothes because of spending all the money to educate and buy food for his people, in his life.

This person resembles the one who lacked clothes for covering himself, because he also struggles to take care of his people, until he reaches the point of not even having his clothes, in his life. That is why people tell him that, “poverty brings cold.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their jobs well and with strength, so that they can get assets that can help them in their lives.

Proverbs 19:4.

Proverbs 22:7.

Proverbs 21:25.

Proverbs 15:16-17.

Proverbs 16:26.