Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuhab’i bho ng’wa munhu umo. Umunhu ng’wunuyo wikalaga na bhusunduhazu bho gugayiwa ung’wenda ugo gwikumba kunguno ya gugayiwa ihela ja gugugulila ung’wenda gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhuhab’i b’ugenhaga mbeho.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agakoyakoyaga uguilanghana ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga uchola sabho ya gusomisha na gubhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe, kunguno ya kutogwa gubhingija makoye abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa nulu jizwalo jakwe kunguno ya kubhasomisha na gubhalisha abhana bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliadina ng’wenda ugo gwikumba, kunguno nuweyi agakoyakoyaga ugabhanghana abhana bhakwe mpaga jashila ijizwalo jakwe, kunguno ya gugayiwa ihela ja gugamala pye amakoye gakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “bhuhab’i b’ugenhaga mbeho.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gukama gutumama milimo yabho bho nguzu, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugugamala wangu amakoye gabho, umuwikaji bhobho.
Mithali 19: 4.
Mithali 22:7.
Mithali 21:25.
Mithali 15:16-17.
Mithali 16:26.
KISWAHILI: UFUKARA UNALETA BARIDI.
Msemo huo, huongelea juu ya ufuraka wa mtu mmoja. Mtu huyo, aliishi kwa huzuni katika hali ya kukosa nguo za kujifunika kwa sababu ya kukosa hela za kuinunulila nguo hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ufukara unaleta baridi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhangaika kuitunza familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa akitafuta pesa za kuwasomeshea watoto na za kuwanunulia chakula watu wake hao, kwa sababu ya kutaka kuwaondolea matatizo watu wake, maishani mwake. Yeye hukosa hata mavazi yake kwa sababu ya kuitumia pesa yote kwa kuwasomesha na kuwanunulia chakula watu wake hao, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekosa nguo ya kujifunika, kwa sababu naye huhangaika katika kuwatunza watu wake, mpaka anafikia hatua ya kukosa hata mavazi yake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ufukara huleta baridi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kwa nguvu, ili waweze kupata mali za kuwasaidia maishani mwao.
Mithali 19: 4.
Mithali 22:7.
Mithali 21:25.
Mithali 15:16-17.
Mithali 16:26.
ENGLISH: POVERTY BRINGS COLD.
The above saying talks about the loneliness of one person. This person lived sadly in a state of lack of clothes for covering himself because of not having money for buying them. That is why people say that, “poverty brings cold.”
This saying is equated to a man who struggles to take care of his family, in his life. This man is always looking for money to educate children and to buy food for his people, because he wants to remove problems from his people, in his life. He lacks even his clothes because of spending all the money to educate and buy food for his people, in his life.
This person resembles the one who lacked clothes for covering himself, because he also struggles to take care of his people, until he reaches the point of not even having his clothes, in his life. That is why people tell him that, “poverty brings cold.”
This saying teaches people about forcing themselves to do their jobs well and with strength, so that they can get assets that can help them in their lives.
Proverbs 19:4.
Proverbs 22:7.
Proverbs 21:25.
Proverbs 15:16-17.
Proverbs 16:26.