Tanzania

1116. MILAGA MATE.

Olihoyi munhu uyo agikumbwa gulya nyama iyo adinabho ubhudula ubho guyipandika. Umunhu ng’wunuyo agabhawila bhanhu bhingi uwikumbwa bhokwe ubho gulya nyama bhunubho, kunguno wiganikaga giki, hamo bhagungunana. Aliyo lulu abhanhu bhenabho bhadangunanile josejose. Hunagwene bhangang’wila giki, “milaga mate.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikaga gupandika ginhu ijo adinabhudula ubho gujipandika, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga olindilaga gwinhiwa jikolo guti jiliwa, na bhiye bho nduhu ugutumama imilimo yakwe, kunguno ya gukija gwitegeleja chiza gokwe gunuyo. Uweyi agikalaga ukoyiwa na nzala aha kaya yakwe kunguno ya gulindila gwinhiwa jikolo ja bhiye, bho nduhu ugutumama imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agikumbwa gulya nyama iyo oli adinabhudula ubho guyipandika, kunguno nuweyi agalindilaga gwinhiwa ginhu na bhiye bho nduhu ugutumama imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “milaga mate.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gulendela gwikumbwa ginhu ijo bhadina bhudula bho gujipandika, kugiki bhadule gwigulambija gutumama milimo yao iyagubhenhela bhupandiki bho jikolo jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:17’

Mathayo 5:27-30.

KISWAHILI: MEZA MATE.

Alikuwepo mtu mmoja aliyetamani kula nyama ambayo hakuwa na uwezo wa kuipata. Mtu huyo, aliwaambia watu wengi juu ya tamaa yake hiyo ya kula nyama kwa sababu alifikiri kwamba wale wangeweza kumsaidia. Lakini watu hao, hawakumsaidia chochote. Ndiyo maana walimwambia kwamba, “meza mate.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutegemea kupata kitu kile ambacho hana uwezo wa kukipata katika maisha yake. Mtu huyo, hushinda akiwa amekaa akisubiri kupewa na wenzake kitu kikiwemo chakula bila kufanya kazi, kwa sababu ya kukosa umakini wake huo. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa katika familia yake kwa sababu ya kusubiri kupewa kitu na wenzake bila ya kufanya kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetamani kula nyama ile ambayo hakuwa na uwezo wa kuipata na bila kufanya kazi, kwa sababu naye husubiri kupewa kitu fulani na wenzake bila kufanya kazi katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba “meza mate.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuendelea kutamani kitu kile ambacho hawana uwezo wa kukipata, ili waweze kujibidisha kufanya kazi zao za kujipatia mahitaji yao, maishani mwao.

Kutoka 20:17.

Mathayo 5:27-30.

meat-1155132__480

barbecue-1239434__480

woman-5975589__480

ENGLISH: SWALLOW SPIT.

There was a man who wanted to eat meat that he could not find. Such man told a good number of people about his desire to do so because he thought that they could help him. But those people did not help him. That is why they told him that, “swallow spit.”

This saying is compared to a person who depends on getting something that he is not able to get in his life. Such person spends his time by sitting and waiting for his colleagues to give him something, including food, without working, because of his lack of attention. He suffers from problem of hunger in his family because of waiting to be given something by his colleagues without working, in his life.

This person resembles the one who desired to eat some meat that he could not get without working, because he also waits to be given something by his colleagues without working in his life. That is why people tell him that “swallow spit.”

This saying imparts in people an idea of stopping habit of desiring something that they are not able to get without working for it, so that they can do their own works enough to get their basic needs, in their lives.

Exodus 20:17.

Matthew 5:27-30.

1115. NALI HAB’I LYEHAGA NIME HASOGA.

Akahayile kenako kingilile kubhanhu abho bhilomelaga bho gutumila simu. Umumahayo gabho genayo igamanyika giki bhadiyelelagwa chiza kunguno ya lipande ilo bhalibhimila. Umo obho wiyangula guchola ipande lisoga ilyagudula gwiyigwa chiza umumahoya gabho genayo. Hunagwene agang’wila ung’wiye giki, “nali hab’i lyehaga nime hasoga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agahoyaga chiza na bhanhu bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga ilaka lyawiza ilo ligang’wambilija ugubhalela chiza abhanhu bhakwe, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga widebhile na bhanhu bhingi abho agabhalangaga nhungwa ja gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agachola ipande lya wiza ilyaguhoya chiza nu ng’wiye, kunguno nuweyi agahoyaga bho gutumila ilaka lya gwiyiigwa chiza nabhiye umumahoya gakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nali hab’i lyehaga nime hasoga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guchola wasa wiza bho guhoya na bhichabho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho.

Marko 6:30-33.

KISWAHILI: NIKO PABAYA SUBIRI NISIMAME PAZURI.

Msemo huo ulianzia kwa watu waliokuwa wakiongea kwa kutumia simu. Watu hao walibaini kwamba, hawaelewani vizuri katika maongezi yao hayo. Ndipo mmoja wao aliamua kutafuta sehemu nzuri ya kumwezesha kuelewana vizuri na mwenzake katika maongezi yao hao. Ndiyo maana alisema kwamba, “niko pabaya subiri nisimame pazuri.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea vizuri na watu wake katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia sauti na kauli nzuri ambayo humsaidia katika kuwalea vizuri watu wake hao, kwa sababu ya uaminifu wake huo. Yeye hufahamiana na watu wengi ambao huwafundisha tabia njema za kuishi vizuri na wenzao, kwa sababu ya unyofu wake huo wa moyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetafuta sehemu nzuri ya kuongea vizuri na mwenzake, kwa sababu naye hutumia lugha na kauli nzuri ya kumwezesha kuelewana vizuri na wenzake, katika maongezi yake. Ndiyo maana husema kwamba, “niko pabaya subiri nisimame pazuri.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta nafasi nzuri ya kuwawezesha kuelewana vizuri na wenzao katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Marko 6:30-33.

seeing-2359566__480

man-1868730__480

man-2359561__480

ENGLISH: I AM AT A BAD AREA WAIT FOR ME UNTIL I STAND UP AT A GOOD ONE.

This saying started from people who were talking on the phone. These people noted that they did not understand each other well in their conversation. Then one of them decided to find a good place enough to enable him understand each other better in their conversation. That is why he said that, “I am at a bad area wait for me until I stand up at a good one.”

This saying is compared to a person who speaks well with his people in his life. Such person, uses good voice and statement can help him in raising well his people, because of his honesty. He gets to know many people whom he teaches good habits enough to live well with their nobles, because of his sincerity of heart in life.

This person is similar to the one who looked for a good place enough to speak well with his partner, because he also uses good language and phrases for enabling him understand well with his colleagues, in his conversation. That is why he says, “I am at a bad area wait for me until I stand up at a good one.”

This saying teaches people about finding a good opportunity enough to enable them understand each other well in their conversations, so that they can nicely raise their families, in their lives.

Mark 6:30-33.

1114. NAHINJAGA NIGUNAGI.

Olihoyi munhu uyo ukilaga mongo umuchalo ja Ng’watuma. Umunhu ng’wunuyo wiganikaga giki agudula ugugukila umongo gunuyo kunguno ya bhumani bho guhega bhokwe. Ohaimanila goyunhebha umongo gunuyo mpaga nose uyulomba bhanhu bhanguhe hoyi gung’wambilija, kunguno gugayumaja inguzu jakwe. Hunagwene agayomba giki, “nahinjaga nigunagi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga bhumani bho bhuli mhayo bho gubhadalaha abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga giki alina masala mingi gulebha abhiye kunguno ya libhengwe lyakwe linilo. Uweyi apandikaga makoye ga gumala jiliwa aha ng’wake henaho, kunguno ya gubhadalaha abhanhu abho bhadulile gung’wambilija umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagudalaha umongo uyo gugahaya gunjana gunuyo, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye abho bhadulile gung’wambilija mpaga olemelwa na wandwa gubhitana giki bhang’wambilije. Hunagwene agayombaga giki, “Nahinjaga nigunagi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo ukubhanhu bho kuleka gubhabyeda abhiye, kugiki bhuli ng’wene adule ugubhushigila uwitanwa bhokwe, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Zaburi 69:1-5.

Luka 1: 68 – 71.

Zaburi 77:2-4.

 

KISWAHILI: NIMEZIDIWA NISAIDIENI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa akivuka mto kwenye kijiji cha Mwatuma. Mtu huyo, alikuwa akifikiri kwamba angeweza kuuvuka mto huo kwa sababu ya utalaam wake wa kuogelea. Alishtukia ule mto ukaanza kumzidi nguvu mpata mwishowe alilazimika kuomba msaada kutoka kwa watu wengine kwa sababu ya yeye kuanza kuishiwa nguvu.  Ndiyo maana alisema kwamba, “nimezidiwa nisaidieni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujidai kujua kila kitu kwa kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujifikiria kwamba ana akili nyingi kuliko wenzake wote kwa sababu ya dharau yake hiyo kwa watu. Yeye hupata matatizo ya kuishiwa chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya kuwadharau watu wale ambao wangemsaidia, katika maisha hake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetaka kuvuka mto uliotaka kumpeleka mpata akasaidiwa na watu, kwa sababu naye huwadharau wenzake ambao wanaweza kumsaidia katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimezidiwa nisaidieni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu kwa kuachana na dharau kwa wenzao, ili kila mmoja aweze kuufikia wito wake, na kupata mafanikio mengi, katika maisha yake.

Zaburi 69:1-5.

Luka 1: 68 – 71.

Zaburi 77:2-4.

 

ENGLISH: I HAVE BEEN OVERWHELMED, HELP ME.

There was a man who was crossing the river in the village of Mwatuma. He thought that he could manage crossing it because of his swimming skills. He was shocked that the river started to overpower him until he finally had to ask for help from other people because he started losing his strength. That is why he said, “I have been overwhelmed, help me.”

This saying is equated to a person who claims to know everything by despising his colleagues, in his life. Such person thinks that he is more intelligent than all his nobles because of his contempt to them. He experiences problems of running out of food in his family, because of despising the people who could help him, in his life.

This person resembles the one who wanted to cross the river that overhelmed him until he got help from people, because he also despises his colleagues who can help him in his life. That is why he says, “I have been overwhelmed, help me.”

This saying teaches people about having respect to people by stopping despising them, so that they can get a lot of successes in their lives.

Psalm 69:1-5.

Luke 1: 68 – 71.

Psalm 77:2-4.

 

river-trading-4215417__480

elephants-250663__480

boat-1982943__480

1113. NALINDUHU UGUKANGWA.

Akahayile kenako kanhoyelile munhu uyo olidakangagwa umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, oliang’wisanije Se uyo oli na nguzu ja gubhaheb’a pye abhose abho bhang’wibhonelaga umuchalo jakwe. Hunagwene ung’wana okwe ng’wunuyo, agayomba giki, “nalinduhu ugukangwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ang’wisanije Mulungu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo alina guzunya gutale ukuli Mulungu kunguno amanile igiki Uwei adulile yose na adikomile guhewa na Jisunva josejose. Uweyi agikalaga mhola aha kaya yakwe kihamo na bhanhu bhakwe, kunguno ya gung’wisanya Mulungu uyo agabhalang’hanaga makanza gose abhanhu, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo oliang’wisanije myaji okwe uyo oli na nguzu ningi, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alinduja o jose, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nalinduhu ugukangwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunzunya na gung’wisanya Mulungu uyo adulile gubhalang’hana chiza umubhulamu bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Zaburi 71:1-6.

Mathayo 6:25-27.

Zaburi 7:2-3.

Mathayo 11: 27-30.

Zaburi 3:2-4.

KISWAHILI: SIKO KUTISHWA.

Msemo huo huongelea juu ya mtu yule ambaye hatishwi katika maisha yake. Mtu huyo, ana baba yake anayemtegemea ambaye ana nguvu nyingi za kumwezesha kuwashinda wote wanaomuonea katika kijiji chake. Ndiyo maana mtoto wake huyo, husema kwamba, “siko kutishwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humtegemea Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, alishamwamini Mungu kwa imani kubwa kwa sababu Yeye aweza yote na hashindwi na viumbe wake. Yeye huishi salama pamoja na wanafamilia wake kwa sababu ya kumtegemea Mungu aliyeumba vitu vyote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemtegemea baba yake aliyekuwa na nguvu nyingi, kwa sababu naye pia humtegemea Mungu awezaye yote. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “siko kutishwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao.

Zaburi 71:1-6.

Mathayo 6:25-27.

Zaburi 7:2-3.

Mathayo 11: 27-30.

Zaburi 3:2-4.

father-5469311__480

fall-7584009__480

ENGLISH: I AM NOT THREATENED.

This saying speaks about the person who is not threatened in his life. Such person has a father to whom he depends on because of Him having a lot of power enough to enable him defeat all those who hate him in his village. That is why his son, says that, “I am not threatened.”

This saying is related to the person who depends on God in his life. Such person believed in God with great faith because He can do everything and He does not fail His creatures. He lives safely with his family members because of relying on God, who created all things.

This person is like the child who depended on his father who had a lot of power, because he also depends on God who can do everything. That is why he says that, “I am not threatened.”

This saying, imparts in people an idea of believing in God and relying on Him in their lives, so that they can live in peace with one another in their families.

Psalm 71:1-6.

Matthew 6:25-27.

Psalm 7:2-3.

Matthew 11: 27-30.

Psalm 3:2-4.

father-and-daughter-6585096__480

1112. KALAGU – KIZE. MUNHU NG’WENUYU NADAMANILE UKO AFUMILE NUKO AJILE – LUYAGA.

Ikalagu yiniyo ihoyelile higulya ya luyaga. Uluyaga lunulo lugahuyembaga lujile mumabala matale aliyo lulu ludamanyikile uko lulifumila nuko lujile. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu ng’wenuyu nadamanile uko afumilile nuko ajile – Luyaga.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina shimile ishawiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyunga sagala bho nduhu ugulenda aha kaya yakwe kunguno ya bhukokolo bho guduma gutumama milimo yakwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya bhujidalenda ha ng’wakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu luyaga ulo ludamanyikile uko lufumilile nuko lujile, kunguno nuweyi agikalaga uyunga sagala bho nduhu ugulenda aha kaya yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu nadamanile uko afumile nuko ajile – Luyaga.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na jimile ja nhungwa jawiza ijo jidulile gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Waebrania 7:1-3.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUYU SIJUI ATOKAKO NA AENDAKO – UPEPO.

Kitendawili hicho huongelea juu ya upepo. Upepo huo huvuma kuelekea sehemu mbalimbali, lakini huwa haujulikani unakotoka na unakoelekea. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu sijui atokako na aendako – Upepo.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hana msimamo mzuri katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kutembea hovyo bila kutulia kwenye familia yake kwa sababu ya uvivu wake wa kutokufanya kazi. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kutokutulia nyumbani kwake huko, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule upepo usiojulikana kule uendako na ulikotoka, kwa sababu naye hudhurura hovyo bila kutulia nyumbani kwake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu sijui atokako na aendako – Upepo.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na msimamo wenye tabia njema ya kuwawezesha kuzilea vyema familia zao, maishani mwao, ili waweze kupata maendeleo makubwa, maishani mwao.

Waebrania 7:1-3.

cyclone-2102397__480

banner-1076214__480

tree-3191872__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I DO NOT KNOW WHERE THIS MAN COMES FROM AND WHERE HE IS GOING – THE WIND.

This riddle talks about the wind. This wind blows in different directions, but no one knows where it comes from and where it is going. That is why people say that, “I do not know where this man comes from and where he is going – the wind.”

This puzzle is compared to the person who does not have a good position in his life. Such person, prefers to walk carelessly without settling well in his family because of his laziness of not working. He fails to bring progress to his family properly because of his unsettled home there in life.

This person is like the wind that one does not know where it is going and where it came from, because he also stays carelessly without working well in his home in life. That is why people tell him that, “I do not know where this man comes from and where he is going – the wind.”

This riddle teaches people about having a good attitude that can enable them to raise their families well, in their lives, so that they can achieve great progress in their lives.

Hebrews 7:1-3.