Tanzania

982. MZIDUNGEMA B’USESE.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya gugeng’wa b’usese bho ng’wa munhu nhebhe. Ub’usese bhunubho, b’uli bhuluhiwa bho ng’wa munhu uyo agaja ha kaya iyo igang’winha milimo midamu guti nsese, kunguno ya gukayiwa bhutogwa ukuli munhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abha ha kaya yiniyo giki “mzidungema b’usese.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli nkima uyo otolwa ha kaya iyo idantogilwe, umukikalile kayo. Ikaya yiniyo, igamanaga yuntuma unkima ng’wunuyo, guja gujutumama milimo midimu bho mduhu ugwifula, kunguno ya gung’wiganikila guti giki ali nsese oyo. Unkima ng’wunuyo, agikalaga anogile bhuli makanza kunguno ya gutumamiwa milimo midimu yiniyo bhuli makanza, umukikalile kakwe.

Unkima ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo agaja hakaya iyo yang’winhaga milimo midimu bhuli makanza, kunguno nuweyi agatumagwa gujutumama milimo midimu bhuli makanza ni kaya yiniyo aho otolelwa. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga abhanhu bha ha kaya yiniyo giki, “mzidungema b’usese.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka gub’agema b’usese abhanhu bho gub’inha ikujo pye abhose, kulwa bhu munhu bhobho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 20:8-11.

Kutoka 21:1-11.

Kutoka 1:8-14.

 

KISWAHILI: MSIMJARIBU MTUMWA.

Msemo huo, huongelea juu ya kufanywa mtumwa kwa mtu fulani. Utumwa huo, ni hali ya kuteswa kwa mtu aliyeenda kwenye familia ambayo watu wake walimtumikisha kwa kumpatia kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu ya kukosa upendo kwake mtu huyo. Ndiyo maana watu waliwaambia wanafamilia hayo kwamba, “msimjaribu mtumwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mwanamke aliyeolewa kwenye familia isiyompenda. Familia hiyo, huwa ina mtuma mwanamke huyo kwenda kufanya kazi ngumu bila hata kupumzika, kwa sababu ya kumfikiria kama mtumwa wa hapo. Mwanamke huyo, huwa amechoka kila wakati kwa sababu ya kutumikishwa kwa kupewa kazi hizo mgumu, mara kwa mara, katika maisha yake.

Mwanamke huyo, hufanana na yule mtu aliyeenda kwenye familia iliyomtumikisha kwenye kazi ngumu kama mtumwa, kwa sababu naye hutumikishwa kwa kufanyishwa kazi ngumu, na familia hiyo alipoolewa. Ndiyo maana watu huwaambia wanafamilia hao kwamba, “msimjaribu mtumwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwatumikisha watu kama watumwa, kwa kuwaheshimu watu wote kwa sababu ya utu wao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Kutoka 20:8-11.

Kutoka 21:1-11.

Kutoka 1:8-14.

woman-SLAVE

slave-castle-

ghana-1

 

ENGLISH: DO NOT MAKE HIM/HER SLAVE.

This saying refers to enslavement of a person. Slavery is a state of torture to a person who went to a family members who enslaved him by giving him hard works as a slave, because they did not love him. That is why the people told those family members that, “Do not make him/her slave.”

This saying is equated to a married woman in a family that does not love her. This family often sends the woman to work in difficult activities without even resting, because of considering her as a slave. This woman is constantly exhausted because of being tortured by such frequent difficult tasks in her life.

This woman is like the person who went to a family that tortured him as a slave, because she was also forced to work in difficult tasks by the family members where she got married. That is why people say to those family members that, “Do not make him/her slave.”

This saying imparts in people a clue on stopping habit of enslaving people, by respecting all people because of their dignity, so that they can peacefully live in their families.

Exodus 20: 8-11.

Exodus 21: 1-11.

Exodus 1: 8-14.

981. OZUB’ANGAGA.

Olihoyi nkima umo uyo ozugaga jiliwa. Unkima ng’wunuyo, ogazuga jiliwa jib’isi kunguno ya bhuzuki bhokwe ubho sagala bhunubho. Uweyi agenheleja bhanhu gwikala na nzala kunguno ya guduma ugujilya ijiliwa jakwe ijib’isi jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “ozub’angaga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga sagala sagala imilimo, iyo ilikihamo na bhulimi, na bhusuluja, kunguno ya gugayiwa bhudiliji bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa jagulya aha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa bhudiliji bho milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo agazuga jiliwa jib’isi, kunguno nu weyi agatumamaga sagala sagala bho nduhu uguidilila chiza imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozub’angaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija guitumama imilimo yabho bho guidilila chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa na sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:11.

Mathayo 24:13.

KISWAHILI: UMEHARIBU.

Alikuwepo mwanamke mmoja aliyekuwa akipika chakula. Mwanzake huyo, alipika hovyo chakula hicho kikawa kibichi kwa sababu ya kukosa umakini wa kujali vizuri kazi yake. Yeye alisababisha watu kushinda na njaa kwa sababu ya kushindwa kukila chakula chake hicho kibichi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umeharibu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule asiyeyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake hovyo hovyo, ambazo ni pamoja na zile za kilimo na biashara, kwa sababu ya kutokujali kwake kazi zake hizo. Yeye hukosa chakula nyumbani kwake kwa sababu ya kukosa umakini wake huo, katika utekelezaji wa majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke aliyepika hovyo chakula chake kikawa kibichi, kwa sababu naye hufanya kazi zake hovyo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umeharibu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao kwa kuyajali vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Warumi 12:11.

Mathayo 24:13.

woman-212

ENGLISH: YOU HAVE SPOILT EVERYTHING.

There was a woman who was cooking. Nonetheless she spoilt her food because she did not pay attention to her works. She caused the people to go hungry because they could not eat her raw food. That is why they told her that, “You have spoilt everything.”

This saying is compared to a person who does not fulfill his/her responsibilities well in life. This person performs his/her duties negligently, including those of agriculture and trade, because of laziness. He/she misses food at home because of such lack of focus in the discharge of his/her responsibilities in life.

This person is like the woman who spoilt food in her way of cooking, because he/she also does not pay attention in his/her works. That is why people say to his/her that, “You have spoilt everything.”

This saying teaches people on how to work hard enough to fulfill well their responsibilities by taking good care of them, so that they can have more success in their lives.

Romans 12:11.

Matthew 24:13.

980. DALINDA GUGUMIWA.

Ugugumiwa jili jilipo ja ng’wa munhu uyo amalaga gutumama nimo nheb’e. Bhalihoyi bhatumami bha jipande umu ngese ya nimi umo. Abhatumami bhenabho, bhagailimila injese yiniyo mpaga bhuyimala chiza, kunguno ya bhukamu bhobho ubho gutumama milimo bhunubho. Aho bhamala ugujilimila ijipande jabho, bhagalindila gulipya ihela jabho ukuli nimi ng’wunuyo. Hunagwene bhangayomba giki, “dalinda gugumiwa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo mpaga oyimala chiza, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogigulambija gutumama milimo iyo ilikihamo na gulima, na gwinja jiliwa jakwe gufumila mumigunda yakwe, kunguno wisagiji bhokwe bho kuli Mulungu uyo adulile gung’winha sabho ningi ulu umala chiza imilimo yakwe yiniyo. Uweyi agapandikaga sabho ningi umuwigulambija bho gutumama milimo yake yiniyo, kunguno ya wigagiji bhokwe bhunubho ubho ukuli Mulungu, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhatumami abhajipande abho bhagalimila ngese mpaga bhujimala chiza ijipande jabho, kunguno nu weyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaga oyimala chiza, ukunhu wisagililwe gwinhiwa sabho ningi na Mulungu, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “dalinda gugumiwa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gung’wisanya Mulungu, kugiki bhadule gwinhiwa sabho ningi, umutumami bhobho.

2Thimotheo 2:6.

Mathayo 20:1-16.

KISWAHILI: TUMESUBIRI UJIRA.

Ujira ni malipo kwa mtu aliyemaliza kutekeleja kazi fulani aliyopewa na mhusika. Walikuwepo wafanya kazi wa vibarua kwenye palizi ya mkulima fulani. Wafanya kazi hao, waliipalilia palizi hiyo mpaga wakaimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yao ya kufanya kazi. Walipomaliza kibarua hicho, walisuburi malipo ya pesa zao kwa mkulima huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “tumesubiri ujira.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake, katika utendaji wake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kujibidisha kufanya kazi zake ambazo ni pamoja na kulima na kuvuna mavuno, kutoka mashambani mwake, kwa sababu ya matumaini yake ya kupewa mali nyingi na Mungu kutoka kwenye kazi zake hizo. Yeye hupata mali nyingi katika kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, kwa sababu ya matumaini yake hayo kwa Mungu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wafanya kazi wa vibarua waliopalilia palizi mpaga wakakimaliza kibarua chao vizuri, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake mpaga anayamaliza, huku akitumaini kupewa mali nyingi na Mungu, katika maisha yake. Ndiyo maana husema kwamba, “tumesubiri ujira.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupewa mali nyingi, katika maisha yao.

2Thimotheo 2:6.

Mathayo 20:1-16.

farm-lady-

ENGLISH: WE ARE WAITING FOR WAGES.

A wage is a payment to a person who has completed a particular task which has been assigned to him or her by a concerned. There were laborers on the farmer’s weed who finished weeding it well, because of their hard working. When they finished the job, they waited for the money to the farmer to be paid by him. That is why they said that, “We are waiting for wages.”

This saying is equated to the person who performs his duties well, in his enactment. This man wakes up in the morning and labors to do his work, which includes plowing and reaping, from his fields, because of his hope of being given many riches by God from his efforts. He gains much wealth in his efforts enough to get many progresses because of his trust in God.

This man is like the laborers who finished weeding out the weeds well enough to wait for wages from the farmers, because he also strives to fulfill his responsibilities in life while hoping to be richly rewarded by God, in his life. That is why he says that “We are waiting for wages.”

This saying instills in people a clue on how to work hard enough to fulfill their responsibilities well by depending on God, so that they can be given more wealth for running their lives.

2 Timothy 2: 6.

Matthew 20: 1-16.

979. KILI KILI KUB’UTOLWA B’ONG’WIYO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile kili kili ya ng’wa munhu uyo ojaga kuwinga bho bhiye. Ikili kili yiniyo, bhuli bhukimbi bho gutumya lub’ub’u ubho owitaga umunhu ng’wunuyo, ukuwinga bho bhiye. Aliyo lulu uweyi oliadatolilwe, kunguno ya gubhatumija lub’ub’u chiniko abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “kili kili kub’utolwa b’ong’wiyo.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli nkima uyo alina nhungwa mb’ib’ib’i, umukikalile kakwe. Unkima ng’wunuyo, adabyedechaga ugutolwa kunguno ya bhukololo bho gutumama milima na nhani jakwe jinijo. Uweyi agajaga ogabhakenaguja ikaya abhiye abho bhatolilwe, kunguno ya nhungwa jakwe jab’ub’i jinijo, umuwikaji bhokwe.

Unkima ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo witaga kili kili ya gub’atumija lub’ub’u abhiye abho bhatolilwe, kunguno nuweyi agajaga ogabhakenaguja ikaya abhiye abho bhatolilwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kili kili kub’utolwa b’ong’wiyo.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ija gubhambilija ugwibhegeja bhiniki ikaya jabho, na kuleka bhuyungi bho guyugula kaya ja bhangi, kugiki bhadule gujilela chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yakobo 1:26-27.

Yakobo 3:5-6.

Yohana 8:44.

KISWAHILI: MKIKI MKIKI KWA ALIKOOLEWA MWENZIO.

Methali hiyo, huongelea juu ya mkiki mkiki wa mtu mmoja aliyeenda kwenye harusi ya mwenzie. Mkiki mkiki huo, ni utumuaji wa vumbi aliokuwa akiufanya mtu huyo kwenye harusi za wenzake, wakati anacheza.

Lakini yeye alikuwa hajaolewa, kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kuwatimulia vumbi hivyo wenzake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mkiki mkiki kwa alikoolewa mwenzio.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mwanamke yule aliye na tabia mbaya, katika maisha yake. Mwanamke huyo, hafaulu kuolewa kwa sababu ya uvivu, na kiburi chake hiyo. Yeye huenda kuzivuruga familia za wenzake walioolewa, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake.

Mwanamke huyo, hufanana na yule mtu aliyeenda kuwatimulia watu vumbi kwenye ndoa za wenzake, kwa sababu naye huenda kuzivuruga ndoa za wale walioolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkiki mkiki kwa alikoolewa mwenzio.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuziendeleza familia zao wao wenyewe, na kuacha uzururaji wa kuvuruga ndoa wa wengine, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Yakobo 1:26-27.

Yakobo 3:5-6.

Yohana 8:44.

dance-12

music-1

eyes-

ENGLISH: FREQUENT VISITS TO THE PLACE YOUR FELLOW IS MARRIED TO.

This proverb speaks of a woman who went to another woman’s wedding. She jumped while playing to the point of causing dust to audiences. Her fellows were unhappy of her dancing ways because of such dust she made.

Nonetheless she was not married, because of her tendency of causing dust to other’s weddings. That is why people said to her that, “Frequent visits to the place your fellow is married to.”

This proverb is equaled to the immoral woman in her life. This woman is unable to marry because of laziness, and her pride. She normally goes to disrupt families of her married fellows, because of her bad behavior in life.

This woman, in effect, is like the woman who went to cause dust to the weddings of her fellows, because she too may have disrupted the marriages of fellows in her life. That is why people say to her that, “Frequent visits to the place your fellow is married to.”

This proverb teaches people on how to have good attitude for the development of their own families enough to stop disrupting marriage of others, so that they can better raise their families in their societies.

James 1: 26-27.

James 3: 5-6.

John 8:44.

978. UGUSANGWA LWELWE UDINASIMIZA.

Ulusumo lunulo, lulolile ng’wana uyo oliodila ugusimiza. Ung’wana ng’wunuyo, wikalaga wagula bho nduhu ugwimila, kunguno ya bhudito bho magulu gakwe. Uweyi agakeleja noyi ugusimiza nose ilwelwe ijo jili noni ja gwiza ulujilingila ijidiku, jigegela gwiza.

Ulujiza inoyi jininijo, abhanhu bhandya gulima kunguno bhagamanaga giki, mumho jashigaga ijidiku. Hunagwene bhagang’wilaga ung’wana ng’wunuyo giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”

Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli ng’waniki uyo atali ugutolwa, umukikalile kakwe. Ung’waniki ng’wunuyo, ahayile atolwe aliyo lulu okeleja kunguno ya nhungwa jakwe ijo jidijawiza. Uweyi adalombaga ukuli Mulungu uyo adulile gumpandikala ntoji o wiza, kunguyo ya nhungwa jakwe jinijo, umukikalile kakwe.

Ung’waniki ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agakeleja ugusimiza, kunguno nu weyi okeleja ugutolwa, umukikalile kakwek kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ugusangwa lwelwe udinasimiza.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhayanda na bhaniki abho bhalihaya gupandika bhichabho bha witoji, higulya ya kusalila gete, kugiki bhadule gubhapandika abhitoji bhenabho abhawiza, umuwikaji bhobho.

2Wakorintho 6:2.

Wabrania 12:14.

Luka 9:59-62.

KISWAHILI: UTAKUTWA LWELWE HUJATEMBEA.

Methali hiyo, huangalia mtoto aliyechelewa kutembea. Mtoto huyo, alikuwa akitambaa kwa muda mrefu bila kusimama kwa sababu ya uzito wa miguu yake. Yeye alichelewa sana kutembea mwishowe muda wa kufika Lwelwe ambao ni ndege wanaofika kipindi cha masika, ulikaribia kufika.

Ndege hao wakifika watu huanza kilima kwa sababu ya kutambua kuwa masika yamefika. Ndiyo maana watu waling’wambia mtoto huyo kwamba, “utakutwa lwelwe hujatembea.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa msichana yule ambaye hajaolewa, katika maisha yake. Msichana huyo, ana wito wa kuolewa lakini amechelewa kwa sababu ya tabia yake kutokuwa nzuri. Yeye huwa hasali kwa Mungu awezaye kumpatia mchumba mwema, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake.

Msichana huyo, hufanana na yule mtoto aliyechelewa kutembea, kwa sababu naye amechelewa kuolewa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwambia, “utakutwa lwelwe hujatembea.”

Methali hiyo, hufundisha wasichana na wavulana wenye wito wa ndoa, juu ya kusali sana ili Mungu awajalie kupata, wachumba wema, maishani mwao.

2Wakorintho 6:2.

Wabrania 12:14.

Luka 9:59-62.

family-

african-baby

ENGLISH: LWELWE (RAIN SEASONAL BIRDS {STORK BIRD}) WILL ARRIVE AND FIND YOU HAVE NOT WALKED.

This proverb looks at a child who is late to walk. This baby was crawling for a long time without standing up because of heavy weight of his legs. He was too late to stand up at last. The time of stork bird to arrive was near.  This a bird that arrives during the rainy season.

When these birds arrive, people start to cultivate because they realize that the rainy season has arrived. That is why people told the child that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork birds}) will arrive and find you have not walked.”

This proverb is compared to the unmarried girl in her life. This girl who has been called to get married but she is late because of her bad behavior. She prays to God who can give her a good bride without being successful because of her such bad behavior in her life.

This girl is like the child who was late to walk, because she is also too late to get married in her life. That is why people tell her that, “Lwelwe (rain seasonal birds {stork bird}) will arrive and find you have not walked.”

This proverb imparts in young girls and boys who are called to live marriage life to behave, enough to carry on praying earnestly for God who can grant them good brides in their lives.

2 Corinthians 6: 2.

Hebrews 12:14.

Luke 9: 59-62.