sayings

840. NADIDUJIJE.

Akahayile kenako, kalolile bhukuji bho ng’wa munhu nhebhe. Ubhukuji bhunubho bhugabhizaga bho namhala, nulu ngikulu uyo omala inguzu jakwe ija guitumama imilimo yakwe bho weyi ng’winikili. Unkuji ng’wunuyo, agikalaga bho gwambilijiwa na bhiye abho bhatali najo inguzu jabho. Hunagwene agayombaga giki, “nadidujije.”

Akahayile kenako, kagalenagnijiyagwa kuli munhu uyo adadulile ugwikala bho nduhu gwambilijiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adidulije kunguno ya bhusatu, nulu jika josejose ijo jiganemejaga uguitumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agikalaga bho gukoyakoya ugupandika ijiliwa ni jizwalo jakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu namhala, nulu ngikulu uyo agikalaga bho gwambilijiwa na bhiye, kunguno nuweyi agikalaga bho gwambilijiwa na bhiye chiniko, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “nadidujije.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija ugugamala wangu amakoye gabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji, shigu jose.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

KISWAHILI: SIJIWEZI.

Msemo huo, huangalia kukua kwa mtu fulani. Kukua huko ni ile hali ya kufikia uzeeni kwenye hatua ambayo mtu hukosa nguvu za kujitegemea mwenyewe. Mzee huyo, huwa anaishi kwa kusaidiwa na wenzake ambao bado wanazo nguvu hizo. Ndiyo maana huwa anasema kwamba, “sijiwezi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawezi kuishi bila kusaidiwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawezi kujitegemea kwa sababu ya ugonjwa, au kilema fulani ambacho humzuia kuyatekeleza majukumu yake, katika maisha yake. Yeye huwa anaishi kwa kuhangaika katika kupata chakula, na mavazi yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mzee yule aliyeishiwa nguvu za kumwezesha kujitegemea mwenyewe, kwa sababu naye huwa anaishi kwa kusaidiwa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anasema kwamba, “sijiwezi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwasaidia katika kuyatatua matatizo yao, maishani mwao, ili waweze kuishi kwa furani siku zote.

Mathayo 14:34-36.

Mathayo 5:3-9.

elderly-

old-

elder-

ENGLISH: I AM INCAPABLE.

This saying looks at the growth of a person. Growing up is the process of reaching old age at a time when a person lacks self-reliance in life. The old person lives with the help of others who still have that power. That is why this person often says, “I am incapable.”

This saying is likened to the person who cannot live without the help of others in life. Such person is not able to stand on his/her own because of an illness, or disability that prevents him/her from fulfilling the responsibilities in life. He/She lives by hardly getting food, and clothes in life.

This person is like the old person who had lost the ability to be self-supporting in life, because he/she too lives with the help of others in life. He/she does not depend on him/herself.  That is why he/she often says, “I am incapable.”

This saying teaches people on how to be patient enough to help each other in solving their problems in lives, so that they can live happily in their societies.

Matthew 14: 34-36.

Matthew 5: 3-9.

 

 

839. GWIMA BHO GUNENEKEJA.

Akahayile kenako, kingilile kuwimiji bho gutumila gugulu gumo. Uwimiji bhunubho, bhudi bho gwisendamija hanhu, kunguno bhudi bho magulu abhili. Ubhoyi bhudi bho gwima higiki, kunguno bhuli bho gugulu gumo duhu uyo gudadulile ugugubhucha umili ngima kulikanza lilihu. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga giki, “gwima bho gunenekeja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adimaga higiki bho gubhutumila chiza ubhudula ubho alinabho, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adagatumilaga chiza amasala gakwe ni nzugu ijo alinajo ijinagwiyenhela maendeleo aha kaya yakwe, kunguno ya gusendamila gwambilija na bhangi, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uyibheja chiza ikaya yakwe, kunguno ya gukija ugujitumila chiza inguzu jakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwimila bho gugulu gumo, kunguno nuweyi adabhutumilaga chiza ubhudula bhokwe ijinagwima higiki, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki atogilwe, “gwima bho gunenekeja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwima higiki bho gujitumamila chiza pye inguzu jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwimila bho magulu abhili, ijinagujibheja chiza ikaya jabho.

Marko 1:46-52.

KISWAHILI: KUSIMAMA KWA KUNING’INIA.

Msemo huo, ulitokea kwenye usimamaji wa kutumia mguu mmoja. Usimamaji huo, siyo wa kuegemea kwenye kitu chochote, kwa sababu hautumii miguu miwili. Wenyewe siyo wa kuwa imara kwa sababu ni wa kutumia mguu mmoja ambao hauwezi kuubeba mwili mzima kwa muda mrefu. Ndiyo maana watu huuita kwamba, ni “kusimama kwa kuning’inia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hautumii vizuri uwezo wake wote, kwa kujitegemea, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hazitumii vizuri akili zake wala uwezo alionao katika kujiletea maendeleo kwenye familia yake, kwa sababu ya kujijengea tabia ya kuwategemea wengine, maishani mwake.  Yeye hushindwa kuindeleza vizuri familia, kwa sababu ya kutokutumia vizuri nguvu zake, katika utekelezaji wa majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesimama kwa kutumia mguu mmoja, kwa sababu naye huwa hautumii vyema uwezo wake katika kujiletea maendeleo, kwenye familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, anapenda “kusimama kwa kuning’inia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia uwezo wao wote, na akili zao katika kuyatekeleza vyema majukumu yao, maishani mwao, ili waweze kusimama kwa miguu miwili katika kuziendeleza vyema familia zao.

Marko 1:46-52.

masai-1

river-trading-

standing-

ENGLISH: TO STAND UNSTEADILY.

This saying came from one-legged way of standing of somebody. Such a standing is not dependent on anything, because it does not use two legs. It is not strong enough to support the body because it is of one leg that cannot carry the whole body for a long time. That is why people call it, “to stand unsteadily.”

This saying is applied to a person who does not make good use of all his/her abilities, independently in life. Such person does not make good use of his or her intelligence or ability to bring about development in his or her family, because he or she builds a habit of relying on others in his or her life. He/she fails to properly develop the family, because of misusing power, in fulfilling his/her daily duties in life.

This person is like the one who stood on one leg, because he/she also does not make good use of his/her ability enough to bring about development to the family. That is why people tell him/her that he/she has “to stand unsteadily.”

The saying imparts in people an idea on how to use their full potentials and their minds in fulfilling their responsibilities in their lives, so that they can stand on their own two feet in taking caring of their families.

Mark 1: 46-52

838. LILAKA LYATINIKAGA.

Akahayile kenako, kalolile bhutiniki bho lilaka lya ng’wa munhu nhebhe. Ililaka linilo, ligolechaga bhudamu bho mili gokwe, umunhu ng’wunuyo, umukikalile kakwe. Aliyo lulu, ulu munhu alisata, nulu onogaga, ililaka lyakwe ligalemaga ugufuma. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lilaka lyatinikaga.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ahumulile ahikanza lyaguyomba mhayo uyo bhalihaya bhagwigwe abhiye, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agahumulaga kunguno aganogelaga milimo iyo idinasolobho, mpaga nose oduma uguyitumama iya solobho, umukikalile kakwe. Uweyi agadumaga ugubhatumamila chiza abhanhu bhakwe, kunguno ya gugayiwa ililaka lya bhubhalangila abhanhu bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsatu uyo agatina ililaka, kunguno nuweyi agikalaga ahumulile aho yigelelilwe afunye ilaka lya kuwabhalangila abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “lilaka lyatinikaga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni laka lya gubhalumanya chiza abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Marko 1:29-31.

KISWAHILI: SAUTI IMEKATIKA.

Msemo huo, huangalia ukatikaji wa sauti ya mtu fulani. Sauti hiyo huonesha uimala wa mwili wake, mtu huyo. Lakini basi, mtu huyo akiwa mgonjwa au akiwa amechoka, sauti yake hukataa kutoka vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “sauti imekatika.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anakaa kimya anapotakiwa kuwaeleza wenzake jambo fulani, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, hukaa kimya kwa sababu ya kujichosha kwa kujishugulisha na kazi zisizo na faida, mpaga anashindwa kuyatekeleza majukumu yenye faida kwa familia yake, katika maisha yake. Yeye hushindwa kuwatumikia vyema watu wake kwa sababu ya kukosa sauti ya kuwalelea vyema watu hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mgonjwa aliyekata sauti, kwa sababu naye huwa anakaa kimya anapotakiwa kuwaeleza watu wake jambo lililo la muhimu, kwa ajili ya kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “sauti imekatika.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na sauti yenye kauli ya kuwaunganisha wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.

Marko 1:29-31.

female-

black-woman-

child--1-

ENGLISH: VOICE HAS BEEN CUT OFF.

This saying looks at the sound of someone. This sound reflects healthy of the body of that person. But then, if such person is sick or tired, his voice does not nicely come out. That is why people say, “the voice has cut off.”

This saying is applied to a person who is always silent even when he/she is asked to explain something to others in daily activities. This person is normally silent because of an exhaustion which is caused by engaging in unproductive works in fulfilling the daily responsibilities that can benefit his/her family.  Unfortunately he/she fails to serve the family members because of lacking the voice to take good care of them.

This person is like the patient who cut his/her voice, because he/she also keeps quiet when he/she is asked to tell the family members what is important enough to bring them progress in their lives. That is why people say, “the voice has cut off.”

This saying teaches people about having a voice that unites others in their families, so that they can take good care for their people in societies.

Mark 1: 29-31.

829. NG’WIKAJI ATINA NGOFYOLO.

Akahayile kenako, kalolile wikaji bho ng’wana munhu uyo wikalaga ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo otumamaga milimo ya ha kaya yiniyo bho gulipwa gitumo bhiyiigwila. Uweyi olipagwa hela ngehu duhu, kunguno olilaga hayo ijiliwa bhuli lushigu.

Kuyinyo lulu, ung’wikaji ng’wunuyo, oli adikalaga na hela ningi umukikalile kakwe, kunguno ihela ijingi ojililaga hayo ulu otengelwa ijiliwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ng’wikaji atina ngofyolo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo uyo gudadulile ugung’wambilija ahashigu ijahabhutongi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga nimo uyo gugang’wenhelaga hela ngehu duhu ijo agajigulilaga jiliwa ja gulya lushigu lumo duhu jashila. Uweyi agagayiyagwa ihela ja gung’wambilija ulu opandikaga makoye guti ga bhusatu, aha kayaya yakwe, kunguno ya gwisanga ojimala pye ihela jakwe bho gujigulila jiliwa, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mwikaji uyo opandikaga hela ngehu, kunguno nu weyi agapandika hela ngehu ijo agajigulilaga jiliwa, mpaka wisanya adina hela, ija gung’wimbilija umu makoye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wikaji atina ngofyolo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho bho gujilang’hana chiza ihela jabho, kugiki bhadule kubhiza na hela ja gubhambilija umu makoye gabho.

Tito 3:3.

2Petro 2:19.

KISWAHILI: MKAAJI HANA KIPATO.

Msemo huo, huangalia ukaaji wa mtu aliyeishi katika familia ya mtu fulani. Mtu huyo, aliishi kwa kufanya kibarua kwenye familia hiyo ambayo ilimlipa kwa kadiri ya makubariano yao. Yeye alilipwa pesa kidogo tu kwa sababu ya pesa nyingi kukatwa kwa ajili ya chakula alichokula hapo kila siku.

Kwa hiyo basi, hali hiyo ilipelekea kwa yeye kuwa na pesa kidogo katika maisha yake, kwa sababu ya hela yake yingine kukatwa na familia hiyo kwa ajili ya kulipia chakula alichopewa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mkaaji hana kipato.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi isiyoweza kumsaidia katika siku za mbeleni, maishani mwake. Mtu huyo, huwa anafanya kazi ambayo humwingizia hela kidogo tu ambayo huimalizia kwenye mahitaji ya kununulia chakula cha siku moja. Yeye hukosa pesa za kuweza kumsaidia anapokumbwa na matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya kuumwa, kwenye familia yake, kwa sababu ya kujikuta amezimalizia pesa zake zote kwenye mahitaji ya kununulia chakula, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkaaji aliyekuwa akipata pesa kidogo alizozimalizia kwenye chakula, kwa sababu naye huzimalizia pesa zake kwa kununulia chakula, mpaka anafikia hatua ya kuishi bila pesa. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkaaji hana kipato.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao, kwa kuzitunza vizuri pesa zao, ili waweze kuwa na ziada ya kuwatatulia matatizo yatakayokumba, maishani mwao.

Tito 3:3.

2Petro 2:19.

Tanzania1

massai1

ENGLISH: AN OCCUPANT HAS NO INCOME.

This saying looks at a residence of a person who lived in someone’s family. This man made a living by working for that family which paid him according to their agreement. He was paid only a small amount of money because of the large amount of money he was deducted for the food he ate there every day.

As a result, the situation led to him having less money in his life, because of his extra money being cut off by the family to pay for the food which he was given. That is why people said, “an occupant has no income.”

This saying is likened to a man who does an unhelpful work in the future, in his lifetime. This person, in turn, does work that earns him a small amount of money that ends up in the need to buy food for one day. He runs out of money after having various problems which include illness, in his family, because he finds himself spending all his money on necessities to buy food in lifetime.

This person is like the resident who used to earn a little money on food, because he also spends his money on food, until he reaches the point of living without money. That is why people say to him, “an occupant has no income.”

The saying teaches people on how to fulfill their responsibilities, by taking good care of their money, so that they can have more of it for solving problems that will arise in their future lives.

Titus 3: 3.

2 Peter 2:19.

820. KUNG’WENYA IKIGUTAJA.

Akahayile kenako, kingilile kuli munhu uyo obhasumbilaga abhageni wakwe, bho lihanga lya bhuyegi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, obhinhaga lubhango logudula gubhigutya abhageni bhakwe bhenabho.

Gashinaga lulu, ung’wikaji ulu ug’wanukula ungeni bho bhuyegi agung’wigutya, kunguno agung’winha wasa bho gwiyigwa guti giki wigutaga, nulu jigabhiza jidololo ijiliwa jakwe.  Ulu jafunyiagwa na moyo ng’wela na bhuyegi ijiliwa jinijo jigutosha duhu ugung’witya ungeni ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kung’wenya ikigutaja.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutogwa bho gwikala na bhanhu bho bhuyegi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho gwiyambilija na bhiye bhayegile kihamo. Uweyi agabhasumbilaga chiza abhageni bhakwe, kunguno bhagabhubhonaga ubhuyegi bhokwe, bho kikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhigutyagwa abhageni bhakwe bho gubhasumbila na bhuyegi, kunguno nu weyi alina bhutogwa bho gwikala nabhiye bho bhuyegi bhunubho. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe higulya ya gubhiza na bhutogwa  kubhanhu bhabho, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “kung’wenya ikigutaja.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhasumbila na bhuyegi abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Waebrania 13:1-2.

KISWAHILI: TABASAMU HUSHIBISHA.

Msemo huo, ulitokea kwa mtu yule ambaye alikuwa na tabia ya kuwakaribisha wageni wake kwa furaha, katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa akiwapa Baraka wageni wake hao zenye furaha ya kuwawezesha kujisikia kama wameshiba.

Kumbe basi, mwenyeji akimpokea mgeni kwa furaha humshibisha kwa sababu ya kumpatia hali ya kujisikia kama ameshiba, hata kama chakula chake kitakuwa kidogo. Chakula hicho kikitolewa kwa moyo mweupe uliojaa furaha, kitamtosha kumshibisha mgeni wake huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “tabasamu hushibisha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye upendo wa kuishi na watu kwa furaha na uchangamfu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kusaidiana na wenzake akiwa katika hali ya furaha. Yeye huwakaribisha wageni wake vizuri kwa sababu ya wao, kuiona furaha yake hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewashibisha wageni wake kwa kuwapokea akiwa na uso wa tabasamu, kwa sababu naye ana upendo wa kuishi na wenzake kwa furaha hiyo. Yeye huwafundisha pia watu wake juu ya kuuishi upendo huo, katika maisha yao. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “tabasamu hushibisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwakaribisha wageni wao kwa furaha, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Waebrania 13:1-2.

ENGLISH: A SMILE MAKES ONE SATISFIED.

This saying came from the man who had a habit of welcoming his guests at his family with joy. He was blessing them with sacred sign which gave to them a joy of making them feel as if they were satisfied.

On the other hand, if a host welcomes a visitor, he will satisfy him/her with the feeling of being satisfied, even if his food is meager. This means that, some food which is provided with a happy heart will suffice to satisfy the guest. That is why people say, “a smile makes one satisfied.”

This saying is likened to a person who likes to live with people happily and cheerfully in life. This person, in turn, fulfills his or her responsibilities by helping others in a happy manner. He/she warmly welcomes guests to the point of giving joy to them.

This person resembles the one who entertained his guests by welcoming them with a smile on his face, because he too likes to live happily with his/her friends. He/she also teaches people on how to live peacefully with others in their families. That is why he/she tells people that, “a smile makes one satisfied.”

This saying teaches people about having a genuine love of welcoming their guests happily, in their families, so that they can live in peace with one another in their societies.

Hebrews 13: 1-2.