Akahayile kenako, kalolile bhutiniki bho lilaka lya ng’wa munhu nhebhe. Ililaka linilo, ligolechaga bhudamu bho mili gokwe, umunhu ng’wunuyo, umukikalile kakwe. Aliyo lulu, ulu munhu alisata, nulu onogaga, ililaka lyakwe ligalemaga ugufuma. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lilaka lyatinikaga.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ahumulile ahikanza lyaguyomba mhayo uyo bhalihaya bhagwigwe abhiye, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agahumulaga kunguno aganogelaga milimo iyo idinasolobho, mpaga nose oduma uguyitumama iya solobho, umukikalile kakwe. Uweyi agadumaga ugubhatumamila chiza abhanhu bhakwe, kunguno ya gugayiwa ililaka lya bhubhalangila abhanhu bhenabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nsatu uyo agatina ililaka, kunguno nuweyi agikalaga ahumulile aho yigelelilwe afunye ilaka lya kuwabhalangila abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga giki, “lilaka lyatinikaga.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni laka lya gubhalumanya chiza abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhanhu bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.
Marko 1:29-31.
KISWAHILI: SAUTI IMEKATIKA.
Msemo huo, huangalia ukatikaji wa sauti ya mtu fulani. Sauti hiyo huonesha uimala wa mwili wake, mtu huyo. Lakini basi, mtu huyo akiwa mgonjwa au akiwa amechoka, sauti yake hukataa kutoka vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “sauti imekatika.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anakaa kimya anapotakiwa kuwaeleza wenzake jambo fulani, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, hukaa kimya kwa sababu ya kujichosha kwa kujishugulisha na kazi zisizo na faida, mpaga anashindwa kuyatekeleza majukumu yenye faida kwa familia yake, katika maisha yake. Yeye hushindwa kuwatumikia vyema watu wake kwa sababu ya kukosa sauti ya kuwalelea vyema watu hao, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mgonjwa aliyekata sauti, kwa sababu naye huwa anakaa kimya anapotakiwa kuwaeleza watu wake jambo lililo la muhimu, kwa ajili ya kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “sauti imekatika.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na sauti yenye kauli ya kuwaunganisha wenzao, katika maisha yao, ili waweze kuwalea vyema watu wao, maishani mwao.
Marko 1:29-31.
ENGLISH: VOICE HAS BEEN CUT OFF.
This saying looks at the sound of someone. This sound reflects healthy of the body of that person. But then, if such person is sick or tired, his voice does not nicely come out. That is why people say, “the voice has cut off.”
This saying is applied to a person who is always silent even when he/she is asked to explain something to others in daily activities. This person is normally silent because of an exhaustion which is caused by engaging in unproductive works in fulfilling the daily responsibilities that can benefit his/her family. Unfortunately he/she fails to serve the family members because of lacking the voice to take good care of them.
This person is like the patient who cut his/her voice, because he/she also keeps quiet when he/she is asked to tell the family members what is important enough to bring them progress in their lives. That is why people say, “the voice has cut off.”
This saying teaches people about having a voice that unites others in their families, so that they can take good care for their people in societies.
Mark 1: 29-31.