sayings

1020. OB’ITYAGA NKOB’A.

Akahayile kenako, kahoyelile hugulya ya wisendeja bho kulinkima umo bho ng’wa munhu uyo oliatolile mhali. Umunhu ng’wunuyo oli na bhakima bhabhili abho agaduma uguigabhanya ukubhoyi kunguno agisendeja kuli nkima umo duhu, uungi unekanija. Hunagwene abhanhu bhagayuyomba giki “ob’ityaga nkob’a.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumama milimo mingi kuli kanza limo, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gutumama milimo mingi iyo adayimalaga, kunguno ya gubhucha milimo mingi kuli kanza limo linilo, niyo alibhung’wene ubhuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na makoye ga gugayiwa sabho aha ng’wakwe kunguno ya kuduma uguimala imilimo yakwe iyo agayaandyaga yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ntoji o mhali uyo agisendeja kuli nkima umo duhu, uungi unekanija, kunguno nuweyi agandyaga kutumama milimo mingi mpaga oduma uguimala, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ob’ityaga nkob’a.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kutola nkima umo duhu, na gutumama nimo gumo umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gwikala chiza na kupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 6:24.

Marko 10:11-12.

1Wakorintho 7:1-3.

KISWAHILI: AMEPITISHA MKANDA WA NGOZI.

Msemo huo, huongelea juu ya uegemeaji wa upande mmoja wa mtu aliyekuwa na mitala. Mtu huyo, alikuwa na wake wawili ambao alishindwa kujigawa katika kuwahudumia kwa sababu aliegemea kwa mke mmoja tu na kumtelekeza yule mwingine. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amepitisha mkanda wa ngozi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanzisha kazi nyingi kwa wakati mmoja, katika kazi zake. Mtu huyo, huanzisha miradi mingi ambayo huwa hana uwezo wa kuitekeleza yote kwa wakati huyo mmoja na yuko peke yake, katika maisha yake. Yeye huishi katika matatizo ya kukosa mali kwenye familia yake, kwa sababu ya kushindwa kuimaliza miradi yake hiyo aliyoyianzisha, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeoa mitala akaegemea kwa mke mmoja na kumtelekeza yule mwingine, kwa sababu naye huanzisha miradi mingi kwa wakati mmoja na kushindwa kuimaliza, katika utendaji wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amepitisha mkanza wa ngozi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na mke mmoja, na kutekeleza kwa umakini kazi moja kwa wakati mmoja, ili waweze kuishi vizuri na kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Mathayo 6:24.

Marko 10:11-12.

1Wakorintho 7:1-3.

ENGLISH: HE HAS PASSED THE LEATHER BELT.

The above saying refers to the one-sided dependence of a polygamist. Such man, however, had two wives whom he could not afford in order to take care for them because he depended on only one wife and abandoned the other. That is why people said that, “He has passed the leather belt.”

This saying is applied to the person who initiates many tasks at once, in his works. This person, in turn, initiates many projects that he or she is not able to accomplish all at once and is alone, in his or her life. He/she lives in the midst of a lack of property in his family, because of his inability to complete the projects that he started, in life.

This resembles the man who married a polygamist and leaned on one wife and abandoned the other, because he also initiates many projects at the same time and fails to complete them, in his enactment. That is why people said to him that, “He has passed the leather belt.”

This saying imparts in people an idea on having one wife, and seriously implementing one task at a time, so that they can live well enough to achieve more success in their lives.

Matthew 6:24.

Mark 10: 11-12.

1Corinthians 7: 1-3.

masai-warrior-474731__480

1019. NTEMI OGWA MU MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhanhu abho bhali bhapona majiliwa mingi gete. Abhanhu bhenabho, bhagalima na gupandika jiliwa jingi gete ijo bhagayujipandikagila nose umumagulu gabho kunguno ya wingi bhojo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayuyomba giki, “Ntemi ogwa mumagulu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalimaga migunda mitale iyo agampandikilaga majiliwa mingi gete, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga kulima bho gwipuna diyu bhuli lushigu ogalima migunda mitale ya jiliwa ja bhuli mbika, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo bhunubho. Uweyi agajikwijaga noyi isabho umubhulimi bhokwe bhunubho, kunguno ya witegeleja bhokwe, umukikalile kakwe kenako.

Isabho jakwe umunhu ng’wunuyo, jigikolaga nijiliwa ijo bhagajipandika abhalimu abho mpaga bhuyujipandagila bho magulu gabho, kunguno nijoyi jakwila mpaga uduma ugujimala ugujilwa umunhu ng’wunuyo kihamo ni kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “Ntemi ogwa mumagulu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale mpaga bhapandike sabho ningi, ja gudula gugamala makoye ga nzala, umukaya jabho.

Waroma 12:11.

Luka 9:62.

Ufunuo 2:10.

Wagalatia 6:7-9.

Mithali 16:26.

Mithali 14:23.

Mithali 12:4.

KISWAHILI: MFALME AMEANGUKA MIGUUNI.

Chanzo cha msemo huo, kilianzia kwa watu waliolima mashamba wakapata chakula kingi sana. Watu hao, walilima mashamba ya mazao mbalimbali ambayo yaliwapatia chakula kingi mpaga wakaanza kukikanyaga kwa miguu yao, kwa sababu ya wingi wake uliowazidi hivyo. Ndiyo maana watu hao walianza kusema kwamba, “mfalme ameanguka miguuni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulima mashamba makubwa ya mazao mbalimbali, na kupata chakula kingi, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kulima mazao ya aina mbalimbali kwenye mashamba yake hayo makubwa, ambayo humpatia chakula kingi cha kula na kusaza kwenye familia yake, kwa sababu ya bidii yake hiyo kufanya kazi. Yeye hukusanya mali nyingi sana katika kilimo chake hicho, kwa sababu ya umakini wake mkubwa katika kuyatekeleza vizuri majukumu yake, maishani mwake.

Mali ya mtu huyo, hufanana na chakula kingi walichokipata wale wakulima ambacho walishindwa kukimalima kukila mpaka wakaanza kukikanyaga kwa miguu yao, kwa sababu nazo zimekuwa nyingi sana, mpaka mtu huyo na familia yake, wakashindwa kuzimalima. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “mfalme ameanguka miguuni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa bidii kubwa mpaka wafanikiwe kupata mali nyingi, cha kuweza kuyamaliza matatizo ya njaa, katika familia zao.

Waroma 12:11.

Luka 9:62.

Ufunuo 2:10.

Wagalatia 6:7-9.

Mithali 16:26.

Mithali 14:23.

Mithali 12:4.

ENGLISH: THE KING HAS FALLEN ON HIS FEET.

The origin of the above saying started from the people who farmed enough to get a lot of food. They cultivated a variety of crops that provided them with plenty of food to point of starting to trample it underfoot, because of its excessive quantity. That is why the people began to say that, “the king has fallen on his feet.”

This saying is related to a man who cultivates a large farm of crops, and obtains plenty of food, throughout his life. This man, in turn, strives to cultivate a wide variety of crops on his large farm, which provides him with plenty of food to eat for his family, because of his hard working. He accumulates a great deal of wealth in his field, because of his great care in carrying out his duties, in his lifetime.

This man’s property is like the food that the farmers got which they could not finish to use it until they began to trample it with their feet, because he also got so abundant food that his his family could not finish to use it. That is why the people said that, “The king has fallen on his feet.”

This saying teaches people on how to work hard enough to succeed in acquiring more wealth for using in their families, so that they can end hunger problems in their families.

Romans 12:11

Luke 9:62

Revelation 2:10.

Galatians 6: 7-9

Proverbs 16:26

Proverbs 14:23

Proverbs 12: 4.

fruit-3247447__480

1018. NG’WENUYU JIITA MAKUB’I.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya ng’ombe iyo ili mbisuji. Abhasugi bha ng’ombe yiniyo, bhagashemaga mab’ele mingi noyi kunguno ya bhub’isuji bhoyo bhunubho. Abhoyi bhagagalilaga na bhugali amab’ele genayo mpaga bhiguta bho nduhu nulu gulila makub’i gangi kunguno agoyi ha makub’i gabho lulu. Hunagwene bhagaitanaga ing’ombe yiniyo giki, “ng’wenuyo jiita makub’i.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilanhanaga chiza ikaya yake bho guipandikila jiliwa ja julya pye amakanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga kutumama milimo yakwe bho bhukamu bhutale, mpaga opandika sabho ningi kunguno ya b’utungilija bhokwe ukubhanhu bhakwe, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agaponaga pye ijo agalimaga kunguno agadebhile chiza amakanza ga gulima bhuli jene ijo agalimaga, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’ombe iyo yafunyaga mab’ele mingi, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo chiza mpaga apandikaga sabho ningi ja gudula gubhagunana chiza abhanhu bhakwe bho pye amakanza. Hunagwene abhanhu bhakwe bhenabho bhagang’witanaga giki, “ng’wenuyo jiita makub’i.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza na gusuga mitugo mingi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi ija gubhambilija bho pye amakanza, umuwikaji bhobho.

Isaya 55:1.

Mwanzo 18:6-8.

KISWAHILI: HUYU KIMWAGA MBOGA.

Msemo huo, huongelea juu ya ng’ombe aliyetoa mazima mengi. Wafugaji wa ng’ombe huyo, humkamua mazima mengi sana kutoka kwake kwa sababu ya utajiri wake huo. Wao huyatumia maziwa hayo kwa kuliia ugali, kwa sababu hayo ndiyo mboga yenyewe. Hata kama wapishi watawapelekea mboza ja majani, zitarudi bila kutumiwa na wafugaji hao. Ndiyo maana wafugaji hao humuita ng’ombe huyo kwamba, “huyu kimwaga mboga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri familia yake kwa kuipatia chakula cha kutumia kwa muda wote, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake kwa bidii kubwa mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi kwa sababu ya uaminifu wake huo kwa watu wake, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kupata mavuno mengi kila mwaka kwenye mazao anayolima, kwa sababu anafahamu vizuri muda wa kuanza kulima kila zao, katika kazi yake hiyo.

Mtu huyo, hufanana na yule ng’ombe aliyetoa mazima mengi ya kuwatosha wafugaji wake, kwa sababu naye hufanya kazi kwa bidii na kupata mali za kutosha kuitunza familia yake kwa muda wote. Ndiyo maana wanafamilia wake hao, humuita kwamba, “huyu kimwaga mboga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri na kufuga mifugo mingi, ili waweze kupata mali nyingi za kutosha kuwasaidia kwa muda wote, maishani mwao.

Isaya 55:1.

Mwanzo 18:6-8.

ENGLISH: THIS IS A PERSON WHO POURS VEGETABLES.

This saying refers to a cow that has given up many lives. The herdsmen of such herd, for the sake of their riches, such cow is a great help to them. They use the milk to make porridge, because that is the vegetable itself. Even if the cooks send them greens’ leafy, they will return unused by the breeders. That is why the herdsmen call say that, “this is a person who pours vegetables.”

This saying is likened to a man who takes good care of his family by providing them with food for the rest of his life. Such man strives to work hard until he succeeds in obtaining great wealth because of his loyalty to his people, in his life. He manages to get a good harvest every year on the crops which he cultivates, because of him being aware of when to start cultivating every crop, in his works.

This man is like the cow that made a lot of money for its keepers, because he also worked hard to have enough money to take care of his family all the time. That is why his family members say that, “this is a person who pours vegetables.”

This saying teaches people on how to work hard enough to raise a lot of wealth, so that they can earn enough money to support them all the time, in their lifetime.

Isaiah 55: 1.

Genesis 18: 6-8.

cow-1495512__480

1017. ONTUULAGA MUNHU MUJIGANZA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhutuuji bho ng’wa munhu mujiganja. Umunhu ulu atali ali ndoni agabhizaga mbupu noyi kunguno umunhu untale adulile gumuucha nulu bho nkono guma duhu, umujiganza jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhadalahaga abhiye, bho gubhalenganija na bhanigini bhadoni abho agabhabhuchiyagwa bho nkono guma duhu, kunguno ya bhubupu bhobho. Uweyi agidumaga na bhiye abho agabhabyedaga, kunguno ya bhudoshi na libhengwa lyakwe linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhabhucha bhanigini mujiganza jakwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye bho bhiganikila giki adulile gubhabhucha bho nkono gumo duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhagawilaga abhanhu giki “ontuulaga munhu mujiganza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi na nhinda ja gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhanhu bhabho, umu kaya jabho.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

KISWAHILI: AMEMUWEKA MTU KIGANJANI.

Msemo huo, huongelea juu ya uwekaji wa mtu fulani kwenye kiganja. Mtu akiwa na amri mdogo huwa mwepesi kiasi mtu mzima yeyote kuweza kumbeba hata kiganjani kwa kutumia mkono mmoja tu, kwa sababu ya wepesi wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kama wao ni watoto wadogo anaoweza kuwabeba, kirahisi kwa sababu ya dharau zake hizo. Yeye hukosana na watu kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kiburi na dharau kwa wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alimbeba mtoto mdogo kwenye kiganja chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kwamba anaweza kuwafanyia lolote, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na kiburi na majivuno ya kuwadharau watu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao katika familia zao.

Zaburi 7:8.

Wafilipi 2:5-11.

Isaya 53:3.

Yohana 1:11-12.

ENGLISH: HE/SHE HAS PUT A PERSON IN THE PALM OF HIS/HER HAND.

The overhead saying refers to the placement of someone on the palm. A person with a small command is so light that any adult can carry it even in one hand, because of his lightness. That is why people say, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying is compared to the person who lives in contempt for others, in life. This person, in turn, despises his or her peers by thinking that they are too young to carry them, simply because of his/her contempt. He/she lives alone at home because of his/her bad habit of arrogance and contempt to his/her colleagues, in life.

This person resembles the one who carried a small child in his arms, because he/she also despises his/her fellows by thinking that he/she can do anything to them, in life. That is why this person often tells people that, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”

This saying imparts in people an idea of stopping habits of being proud and arrogant by not despising others in their lives, so that they can live in peace with their their family members in their societies.

Psalm 7: 8.

Philippians 2: 5-11

Isaiah 53: 3.

John 1: 11-12.

african-5604191__480

1015. OZWAJIWE NGOB’O

Imbuki ya kahayile kenako ililole bhuzwajiwa bho ngobho bho ng’wa munhu nhebhe. Ikale abhanhu bhikalaga bhaliduhu. Ulu munhu uzwajiwe myenda yolechaga giki, oshikanaga gutoolwa ulu ali ng’waniki nulu gutoola ulu ali nyanda. Abhanhu bhenabho bhitanagwa lulu bhazwajiwe ngob’o ja gubhafala ija golecha giki bhakomaga gubheja kaya jabho. Hunagwene abhanhu bhang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, “ozwajiwe ng’ob’o.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginagwa ilange lya guleka miita ga bhub’i bho gwita ayo gali ga bhiza, umuwijaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agalangagwa chiza na bhabyaji bhakwe mpaga oyileka iyabhubhi omanila gwikala chiza na bhanhu bho gubhambilija chiza kunguno ya widohya bhokwe. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya gubhiza na nhungwa ja wiza ijo ojangwa na bhatale bhakwe jinijo mpaga ujidimila chiza, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wikalaga duhu mpaga wikoma gutolwa nulu kutola na uzwajiwe imyenda, kunguno nuweyi agagaleka amiito agabhubhi uyita gawiza aho olangwa inhungwa ijawiza na bhabyaji bhakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ozwajiwe ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya bhubhalanga nhungwa jawiza abhanhu bhabho, bho gujikalana chiza inhungwa jinijo abhoyi bhenikili umuwikaji bhobho, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Kutoka 20:12.

Kutoka 28:1-5.

Hekima ya Sulemaini 7:1-4.

KISWAHILI: AMEVALISHWA NGUO.

Chanzo cha msemo huo chaangalia uvalishwaji wa nguo wa mtu fulani. Zamani watu walikuwa wakiishi uchi. Walikuwa akiitwa kuvalishwa nguo za kuwafaa walipofikia umri wa kuoa au kuolewa ili kuonesha kwamba, wanaweza kuwa na mji wao. Ndiyo maana watu walisema juu ya yule aliyepitia hatua hiyo kwamba, “amevalishwa nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameyashikilia vizuri malezi ya kuacha matendo maovu kwa kutenda mema, aliyoyapokea kutoka kwa wazazi au wakubwa wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hufundishwa vizuri maadili mema na wazazi wake mpaga akazoea kuishi vizuri na watu kwa kuwasaidia noa katika kutenda mema kwa sababu ya unyenyekevu wake. Yeye hufaulu kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kuyaishi vizuri maadili yake hayo mema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiishi uchi mpaga alipofikia umri wa kuoa au kuolewa ndipo akavalishwa nguo, kwa sababu naye aliyaacha matendo maovu alipofundishwa maadili mema na mazazi wake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amevalishwa nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea katika maadali mema watu wao, kwa kuyaishi vizuri maadali hayo wao wenyewe, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Kutoka 20:12.

Kutoka 28:1-5.

Hekima ya Sulemaini 7:1-4.

ENGLISH: HE/SHE HAS BEEN DRESSED IN CLOTHES.

The foundation of the above saying looks at someone’s clothing. In the past some people lived naked. They were called to dress appropriately when they reached at the age of marriage to show that, they have grown to maturity. That is why people told one of those who went through such process that, “he/she has been dressed in clothes.”

This saying is compared to a person who has held to the pattern of abstinence from evil by doing good deeds, which he has received from his parents in his lifetime. This man is well-educated and well-mannered, and his parents are accustomed to living with people who help him to do good deeds because of his humility. He manages to raise his family well because of his good deeds ​​in his life.

This man resembles the one who was living naked until when he grew old enough to get married and then got dressed, because he also stopped doing bad things when he was taught good manners by his parents in his life. That is why people say to him that, “he has been dressed in clothes.”

This saying teaches people on how to raise good manners, by living well according to the values of the societies, so that they can better raise their families in their lives.

Exodus 20:12.

Exodus 28: 1-5.

The Wisdom of Solomon 7: 1-4.

young-922705__480

man-2359586__480

black-man-4699502__480