Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya bhutuuji bho ng’wa munhu mujiganja. Umunhu ulu atali ali ndoni agabhizaga mbupu noyi kunguno umunhu untale adulile gumuucha nulu bho nkono guma duhu, umujiganza jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ontuulaga munhu mujiganza.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga abhadalahile abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhadalahaga abhiye, bho gubhalenganija na bhanigini bhadoni abho agabhabhuchiyagwa bho nkono guma duhu, kunguno ya bhubupu bhobho. Uweyi agidumaga na bhiye abho agabhabyedaga, kunguno ya bhudoshi na libhengwa lyakwe linilo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhabhucha bhanigini mujiganza jakwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye bho bhiganikila giki adulile gubhabhucha bho nkono gumo duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhagawilaga abhanhu giki “ontuulaga munhu mujiganza.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhudoshi na nhinda ja gubhadalahija abhichabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, na bhanhu bhabho, umu kaya jabho.
Zaburi 7:8.
Wafilipi 2:5-11.
Isaya 53:3.
Yohana 1:11-12.
KISWAHILI: AMEMUWEKA MTU KIGANJANI.
Msemo huo, huongelea juu ya uwekaji wa mtu fulani kwenye kiganja. Mtu akiwa na amri mdogo huwa mwepesi kiasi mtu mzima yeyote kuweza kumbeba hata kiganjani kwa kutumia mkono mmoja tu, kwa sababu ya wepesi wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwadharau wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kama wao ni watoto wadogo anaoweza kuwabeba, kirahisi kwa sababu ya dharau zake hizo. Yeye hukosana na watu kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kiburi na dharau kwa wenzake, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule ambaye alimbeba mtoto mdogo kwenye kiganja chake, kwa sababu naye huwadharau wenzake kwa kuwafikiria kwamba anaweza kuwafanyia lolote, katika maisha yake. Ndiyo maana huwa anawaambia watu kwamba, “amemuweka mtu kiganjani.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwa na kiburi na majivuno ya kuwadharau watu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu wao katika familia zao.
Zaburi 7:8.
Wafilipi 2:5-11.
Isaya 53:3.
Yohana 1:11-12.
ENGLISH: HE/SHE HAS PUT A PERSON IN THE PALM OF HIS/HER HAND.
The overhead saying refers to the placement of someone on the palm. A person with a small command is so light that any adult can carry it even in one hand, because of his lightness. That is why people say, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”
This saying is compared to the person who lives in contempt for others, in life. This person, in turn, despises his or her peers by thinking that they are too young to carry them, simply because of his/her contempt. He/she lives alone at home because of his/her bad habit of arrogance and contempt to his/her colleagues, in life.
This person resembles the one who carried a small child in his arms, because he/she also despises his/her fellows by thinking that he/she can do anything to them, in life. That is why this person often tells people that, “he/she has put a person in the palm of his/her hand.”
This saying imparts in people an idea of stopping habits of being proud and arrogant by not despising others in their lives, so that they can live in peace with their their family members in their societies.
Psalm 7: 8.
Philippians 2: 5-11
Isaiah 53: 3.
John 1: 11-12.