sayings

1040. ALINA LULIMI GITI LIPANGA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku katumamile ka lulimi lo ng’wa munhu uyo ulutumamilaga guti lipanga. Ilipanga jili ginhu ja gutumamila milimo ya mbika na mbika guti kutema manti ga gezengela, nulu, gufyeka lilale lya gulima, gutemela ginhu kunimo gungi gosegose, na yingi guti yiniyo. Hunagwene umunhu uyo agalutumamilaga chiniko ululimi lokwe agahayiyagwa giki “alina lulimi guti lipanga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalutumamilaga chiza ululimi lokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalutumamilaga ululimi lokwe lunulo bho gubhalumanya chiza abhanhu abho bhidumaga umuchalo kunguno ya wiza bho ng’holo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agenhaga mholele umumakaya ga bhanhu kunguno ya guhoya chiza na bhanhu bhakwe chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni panga iyo igatumamilagwa chiza guti gusenga lilale lya gulima, kunguno nuweyi agalutumilaga chiza ululimi lokwe bho gubhalumanya abhanhu abho bhidumaga umuchalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhaganhoyelaga giki, “alina lulimi guti lipanga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumamila chiza indimi jabho umuhoya gabho genayo, kugiki bhadule gwikala bho mholele chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 7:37-39.

Isaya 30:27.

KISWAHILI: ANA ULIMI KAMA PANGA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye matumizi ya ulimi wa mtu fulani aliyeutumia kama panga. Panga ni zana ya kufanyia kazi za aina mbalimbali kama vile kukata miti ya kujengea nyumba, kufyeka shamba la kulima na kadhalika. Ndiyo maana mtu anayeutumia ulimi wake kwa namna hiyo, huambiwa na watu kwamba, “ana ulimi kama panga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia ulimi wake vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia ulimi wake kwa kuwapatanisha watu waliokosana katika jamii kwa sababu ya upendo wake mkubwa alio nao kwa watu wake, maishani mwake. Yeye huleta amani kwa familia yake kwa sababu ya kuongea kwake vizuri na watu, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na lile panga lililotumiwa vizuri kwa kuandaa shamba la kulima, kwa sababu naye huutumia vizuri ulimi wake kwa kuwapatanisha wale waliokosana ndani ya jamii. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ana ulimi kama Panga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri ndimi zao katika maongezi yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yohane 7:37-39.

Isaya 30:27.

woman-5878348__480

africa-5299608__480

smile-5083573__480

1038. NG’WENUYO OKENENWA AMAKINDIKINDI GUPONYIWA UKO.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhukeneni bho ginhu jilebhe. Ugukenenha ili gwinja makindikindi ayo galimuminzi bho gusamwa hado hado kugiki gasage minzi masoga nulu jinhu jisoga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga ukulimhunhu unsoga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyawga kuli munhu uyo alinihanga lisoga ni ng’holo yakwe nsoga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olangwa ilange lya wiza na bhatale bhake ilo ligang’wambilijaga ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno ya ng’holo yakwe iya wiza yiniyo. Uweyi agabhitilaga mihayo ya wiza abhanhu bhake kunguno ya ng’hola yakwe ya bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe yiniyo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ginhu ijo jakenenwa mpaga jubhiza jisoga kunguno nuweyi, olangwa nhungwa ja wiza ijo jigang’wambilija ugwikala chiza na bhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ng’wenuyo okenenwa amakindikindi guponyiwa uko.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilanga nhungwa ja wiza bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

KISWAHILI: HUYO AMECHUJWA NA MAKAPI YAKATUPWA HUKO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye uchujaji wa kitu fulani. Kuchuja ni kuondoa makapi yaliyoko kwenye maji kwa kumimina pole pole kwenye chombo maalumu ili makapi hayo yabaki chini na kupata kitu kizuri. Ndiyo maana watu husema kwa mtu aliye na roho nzuri kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na sura nzuri na moyo mweupe, katika maisha yake. Mtu huyo, alishafundisha malezi mema ambayo humsaidia katika kuishi vizuri na watu wake, kwa sababu ya amani yake na moyo wake huo mzuri, maishani mwake. Yeye huwatendea mema watu wake kwa sababu ya amani na upendo alionao kwao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kitu kilichochujwa mpaga kikawa kizuri, kwa sababu naye amefundishwa tabia njema insaidiayo kuishi na watu kwa kusaidiana nao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwongelea kwamba, “huyo amechujwa na makapi yakatugwa huko.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kusaidiana vizuri, maishani mwao.

2Timotheo 1:1-7.

1 Timotheo 5:9-10.

1 Samweli 16:11-13.

Luka 1:46-48.

models-1

1037. OLINDA GWENHELWA ALUGUJA NANG’HO?

Alihoyi munhu umu chalo ja Sanjo uyo oliadaga ukumajisho ulu oluobhilingwa na bhiye. Umunhu ng’wunuyo olindilaga gwiza gubhabhuja duhu abho bhajaga ukujisho jinijo kugiki bhanomela imihayo iyo bhawilagwa na guigwa ukwenuko.

Nose abhanhu agabhanoja iki omanaga ubhabhugilija bhuli jigasho jene kunguno ya kugija guja bho gulindila gulomelwa nabhobhajaga koyi. Hunagwene abhanhu bhagamuja giki, “olinda gwenhelwa aliguja nang’ho?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinawiyambilija na nabhiye ijinagutumama imilimo aliyo ugwilombeleja ijiliwa ukubhiye bhenabho alinkamu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wigashije duhu ulubhalija abhiye ugujutumama imilimo kunguno ya bhuyiyene na bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga wilombeleja jiliwa ukubhiye abho bhagiyambilijaga na bhichabho ugutumama ilimimo yabho, kunguno ya bhujidadilila bho milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliadajaga ukumajigasho uyo alindilaga gubhabhuja abho bhagaja koyi kugiki bhanomele, kunguno nuweyi adiyambilija na bhiye ugutumama imilimo bho gulindalila gwiza gwilombeleja jiliwa ukubhanhu abho bhagatumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagamujaga giki, “olinda gwenhelwa aliguja nang’ho?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho guja kumajigasho na gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi na gujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 5:14.

Yakobo 5:19-20.

Tito 3:10-11.

KISWAHILI: UMESUBIRI KULETEWA NAKUENDA NAWE?

Alikuwepo mtu mmoja katika kijiji cha Sanjo ambaye hakuwa anahudhuria mikutano alipoalikwa na wenzake. Mtu huyo, alikuwa akisubiri kuja kuwauliza tu wale waliohudhuria ule mkutano ili wamwambia yale waliyoyasikia kwenye mkutano huo.

Mwishowe mtu huyo, alifikia hatua ya kuwachosha wale watu waliohudhuria mkutano aliokuwa akiwauliza mara kwa mara. Ndiyo maana walimuuliza kwamba, “umesubiri kuletewa na kuenda nawe?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasaidiani na wenzake katika kufanya kazi, lakini ni mwenye bidii ya kuwaomba msaada wale wanaofanya kazi zao vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa amekaa tu wakati wenzake wanashirikiana kufanya kazi wakati huo wa kazi kwa sababu ya uvivu wake na kutokushirikiana na wenzake vizuri. Yeye huishi maisha ya kuombaomba kwa wale wanaoshirikiana kufanya kazi, kwa sababu ya kutokujali kwake kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa hahudhurii mikutano ambaye alisubiri kuwauliza wale waliohudhuria kwenye mikutano hiyo, maishani mwake, kwa sababu naye huwa hashirikiani na wenzake katika kufanya kazi akisubiri kuwaomba msaada wale walioshirikiana vizuri kuyatekeleza majukumu yao. Ndiyo maana watu hao humuuliza kwamba, “umesubiri kuletewa na kuenda nawe?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umoja wa kushirikiana vizuri katika kuhudhuria mikutano yao, na kusaidiana katika kufanya kazi, ili waweze kupata maendeleo ya kuwawezesha kulitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Wakorintho 5:14.

Yakobo 5:19-20.

Tito 3:10-11.

market-280135__480

1036. ULIKUMILIJA MBULA OYINZA?

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kuli munhu uyo oikumilijaga mbula iyo yatulaga aliyo adinayinza. Uguyinza ilipona jiliwa mpaga ubhukabhanya ubhusiga na mitugo guti ng’ombe, mbuli nulu ng’holo na jingi kuti jinijo.

Giko lulu, uyo adinapandika jikolo guti jinijo, adazunilijiwe uguikumilija imbula, kunguno atali ndo. Uweyi uluikumilija ulu yiza iguntema ucha. Hunagwene umunhu uyo agaikumilija imbula yiniyo bhagamuja abhiye giki, “ulikumilija mbula oyinza?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulatulaga mkajile ka nyatale ahikanza atali ndo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’unuyo, adinabhukalalwa bho kuchola jikolo guti gutumama milimo yake bho bhukamu bhutale, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga nhabhi bhuli makanza ahakaya yakwe, kunguno ya gwiyitya bhutale bhunubho, aliyo alimunhu ndo umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaikumilija imbula aliyo atali uguyinza, kunguno nuweyi agiyityaga bhutale aliyo atali ndo bho kuguleka kutumama milimo guti giki osabha sabho, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “ulikumilija mbula oyinza?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwitula bhutale bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ja gutumamila chiza, umuwikaji bhobho.

Zaburi 34:13-14.

Zaburi 15:4-5.

Zaburi 16:1-3.

 

KISWAHILLI: UNAISIFIA MVUA UMENUNUA NINI?

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyekuwa akisifia mvua iliyokuwa ikinyesha wakati hajanunua chochote kupitia mazao yake. Kununua kitu  ni kupata mazao mengi na kuuza chakula au kubadilisha mazao hayo na mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kondoo na kadhalika.

Hivyo basi, mtu yule ambaye hajanunua chochote haluhusiwi kuisifia mvua hiyo inayonyesha, kwa sababu bado ni mdogo. Mtu huyo, akiisifia mvua hiyo ikija itamkata afe. Ndiyo maana watu walimuuliza mtu huyo kwamba, “unaisifia mvua umenunua nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujifanya kuwa ni mkubwa wakati yeye ni mdogo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hapendi kufanya kazi ya kumwezesha kupata mali kwa bidii kubwa, kwa sababu ya uvivu wake huo. Yeye huwa maskini kila wakati kwenye familia yake, kwa sababu ya kujifanya kwake kuwa mkubwa, wakati yeye ni mdogo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeisifia mvua wakati bado hajanunua chochote, katika maisha yake, kwa sababu naye hujifanya kuwa mkubwa kwa kuacha kufanya kazi zake kwa bidii wakati yeye ni mtu mdogo tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “unaisifia mvua umenunua nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kujifanya wakubwa wakati wao ni wa kawaida, kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri, maishani mwao.

Zaburi 34:13-14.

Zaburi 15:4-5.

Zaburi 16:1-3.

 

ENGLISH: YOU PRAISE THE RAIN WHAT DID YOU BUY?

The source of this saying can be traced back to a person who was praising the rain that was falling while he had not bought anything through his crops. To buy something is to get a lot of crops and sell food or exchange those crops with: cows, goats, sheep and so on.

Therefore, the person who has not bought anything is not allowed to praise the rain while it is raining, because he is still young. If such person praises the rain when it comes will cut him to death. That is why people asked such man that, “You praise the rain, what have you bought?”

This saying is compared to the person who pretends to be a big one while he is a small one, in his life. Such person does not like to work enough to enable him get wealth with great effort, because of his laziness. He is always poor in his family, because of his pretending to be big, while he is small, in his life.

This person is similar to the one who praised the rain when he has not yet bought anything in his life, because he also pretends to be big by stopping to do his work diligently while he is just a small person in his life. That is why people ask him that, “you praise the rain, what have you bought?”

This saying, imparts in people an idea of stopping pretending to be great while they are normal ones, by forcing themselves to do their jobs well, so that they can get many assets enough to run well in their lives.

Psalm 34:13-14.

Psalm 15:4-5.

Psalm 16:1-3.

 

 

umbrella-3219621__480

 

 

 

1035. BHUSAB’I BHO BHANGI DUHU ALAYISE NDUHU.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhilolelaga mbina muchalo ja Idisa. Imbina yiniyo yali ya bhagika na bhagalu. Bhuli ningi ng’wene oli na bhanyalali bhakwe.

Aho yashila imbina yiniyo, abhiloleji bhabhugika na bhabhugalu, bhagayuhaya giki bhuli bhene bhakindaga mpaga nose bhuhaya gwiduma aliyo bhiloleji duhu abho bhadapandikaga isabho. Abhalingi bhabho habho bhagasolaga isabho ijahambina yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “bhusab’i bho bhangi duhu alayise nduhu.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalijimijaga sagala ilikanzwa lwakwe ilya milimo bho gwikala mumaligusha ayo gadina solobho ukuli weyi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aligatumilaga ilikanzwa lwakwe bho gwikala mumaligusha ga gwingila diyu mpaga mhindi, bho nduhu ugupandika solobho yoseyose, kunguno ya gukija gwiganika gokwe chiza. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa aha ng’wakwe kunguno ya gulijimija sagala ilikanza lwakwe linilo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhihalalikila bhukindi bho mbina aliyo isabho jalijabhalingi bhabho, kunguno nuweyi agalijimejaga sagala ilikanza lwakwe bho nduhu gupandika josejose umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “bhusabhi bho bhangi duhu alayise nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulitumila ilikanzwa lyabho bho gutumama milimo iyo idulile gubhenhela solobho yoseyose, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

1Wakorintho 9:24-27.

Yakobho 1:12-14.

KISWAHILI: UTAJIRI WA WENGINE TU LAKINI SISI HAKUNA.

Chanzo cha msemo huo, ulianzia kwa watu waliokuwa wakiangalia ngoma kwenye kijiji cha Idisa. Ngoma hiyo, ilikuwa ya wagika na wagalu. Kila manju alikuwa na mashabiki wake.

 Ilipoisha ngoma hiyo, wale mashabiki wa pande zote mbili wakaanza kudai kwamba kila kundi limeshinda mpaka mwishowe wakataka kugombanga wakati wao ni watazamaji tu wa ngoma hiyo. Mamanju wa ngoma hiyo ndiyo waliochukua mali za hapo. Ndiyo maana mashabiki hao walisema kwamba, “utajiri wa wengine tu lakini sisi hakuna.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huutumia ovyo muda wake wa kufanya kazi, kwa kujali mambo yasiyo na faida kwake, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwenye michezo ya kuanzia asubuhi hadi jioni, bila kupata faida yoyote, kwa sababu ya kutokufikiri vizuri kwakwe. Yeye hukosa mali za kumsaidia katika kutunza familia yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale mashabiki wa ngoma waliokuwa wakibishania ushindi wa ngoma mpaka wakataka kukosana bure, kwa sababu naye huupoteza muda wake wa kazi kwenye michezo ambayo haimletei faida yoyote, maishani mwake. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “utajiri wa wengine tu lakini sisi hakuna.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kufanya kazi ziwezazo kuwaletea faida yoyote, ili waweze kupata mali za kutosha kuwasaidia vizuri maishani mwao.

1Wakorintho 9:24-27.

Yakobho 1:12-14.

ENGLISH: ONLY OTHER PEOPLE’S WEALTH, BUT WE DO NOT HAVE ANY.

The foundation of the above saying started from the people who were watching a game in Idisa village. Such dance was of Wagika and Wagalu group. Each leader of above groups had followers.

When the game ended, the followers of both sides started to claim that each group had won until finally they wanted to fight when they were just viewers of such game. The leaders of each group are the ones who took the properties there. That is why the followers said that, “only other people’s wealth, but we do not have any.”

This saying is compared to the person who wastes his working time by caring about things that are not beneficial to him in life. Such person, spends his time in watching games from morning to evening, without getting any benefit, because of his lack of good discerning. He lacks assets for helping him in taking care of his family life.

This person is similar to those game followers who were arguing about the victory of such game until they wanted to hurt one other for nothing, because he also wastes his working time by watching games that do not bring him any benefit in his life. That is why he said that, “only other people’s wealth, but we do not have any.”

This saying, teaches people about spending their time by doing jobs that can bring them profits, so that they can get enough assets to nicely run their lives.

1 Corinthians 9:24-27.

James 1:12-14.

drums-5935804__480

dance-5935800__480

african-traditional-dance-2934852__480