sayings

1071. UKAB’ULA UNG’WENE JILELA MHINA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile Mbula. Imbula yiniyo igatulaga yenha bhuyeji ukubhanhu kunguno igazwishaja mbeyu jabho ijo bhajilima na gujibisha chiza ijiliwa jabho jinijo. Iyoyi igenhaga bhunelizu bho jizunva ja mbika nyingi. Hunagwene abhanhu bhagahayaga giki, “ukab’ula ung’wene jilela mhina.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agambilijaga bhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadelekaga chiza abhanhu abho bhaganchalilaga makoye gabho, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhanhu bhakwe bhenabho. Uweyi agabhenhelaga bhuyegi bhutale bhanhu bhingi abho agabhambilijaga ugugamala chiza amakoye gabho, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni mbula iyo igenhaga minzi gagujilanghana chiza ijisunva, kunguno nuweyi agabhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ukab’ula ung’wene jilela mhina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza higiki bho gulitumila chiza ilikanza ilya mbula ijina gulima migunda mitale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:1-13.

2Wakorintho 8:15.

Yoshua Bin Sira 10: 23-31.

KISWAHILI: KABULA YEYE NI MLEA YATIMA.

Chanzo cha msemo huo chaangalia mvua. Mvua hiyo huleta furaha kwa viumbe kwa sababu huotesha mbegu za wakuliwa na kuotesha nyazi pia na kuvikuza viumbe. Yenyewe huleta hali ya kijani katika uso wa Dunia. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Kabula yeye ni mlea yatima.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia watu wenye matatizo katika maisha yake. Mtu huyo, huwasikiliza kwa makini na vizuri watu wampelekeao matatizo yao, kwa sababu ya upendo wake huo kwa watu wake. Yeye huwaletea furaha watu wengi anaowasaidia katika kuyatatua vizuri matatizo yao, kwa sababu ya uwezo wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ile Mvua iletayo maji ya kuvitunzia viumbe, kwa sababu naye huwasaidia watu katika kuyatatua matatizo yao vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Kabula yeye ni mlea yatima.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa tayari kukitumia vizuri kipindi cha Mvua, kwa kulima mazao mengi, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

2Wakorintho 8:15.

Yoshua Bin Sira 10: 23-31.

ENGLISH: KABULA IS THE CARETAKER OF THE ORPHANS.

The foundation of this saying looks at the rain. This rain brings happiness to creatures because it grows edible seeds and also grows grass for them. It brings greenness to the face of the Earth. That is why people say that, “Kabula is the caretaker of the orphans.”

This saying is equated to a man who helps people in solving their problems in his life. This person listens carefully to people who bring their problems to him, because of his love for his people. He brings happiness to many people whom he helps in solving their problems, because of using well his ability in his life.

This person is similar to the Rain that brings water for taking care of creatures, because he also helps people in solving their problems in his life. That is why people tell him that, “Kabula is the caretaker of the orphans.”

This saying instills in people a clue on being ready to make good use of the rainy season, by cultivating many crops, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 25:1-13.

2 Corinthians 8:15.

Joshua Bin Sira 10: 23-31.

rain-791893__480

yellow-bells-4382715__480

green-2432374__480

1069. MUNHU NTALE NA WITABYA BHOKWE.

Akahayile kenako, kalolile witabya bho ng’wa munhu uyo alintale. Uwitabya bhunubho, bhuli bhubhucha bho miligo ilibhili ukumabhega gakwe umunhu ng’wunuyo. Imiligo yiniyo, igadimilagwa na linti ilo agalizwalaga ukumabheja gakwe bho gukingwa hagati uweyi ni miligo yakwe yiniyo. Iyoyi igabhuchuyagwa na munhu uyo alintale kunguno ili midito. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu ntale na witabya bhokwe.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga utumama milimo mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga atingatilwe na milimo bhuli makanza mpaga agagayiyagwa ni likanza ilyagwifula, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oliwitabya miligo ukumabheja gakwe, kunguno nuweyi agikalaga utumama milimo mingi bhuli makanza, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

KIWAHILI: MTU MKUBWA ANA MIZEGA MIZEGA YAKE.

Msemo huo, huangalia ubebaji wa mizega mizega wa mtu mkubwa. Mizega mizega hiyo, ni ubebaji wa mizigo miwili mabegani mwake mtu huyo. Mizigo hiyo, hushikiriwa na mti ambao huwekwa mabegani mwa mtu hiyo anapoibeba mizigo yake hiyo. Yenyewe hubebwa na mtu mkubwa kwa sababu ya uzito wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ametingwa na kazi nyingi kila wakati mpaga hufikia hatua ya kukosa hata muda wa kupumzika, kwa sababu ya juhudi yake hiyo kubwa ya kufanya kazi. Yeye hupata mafanikio mengi kwenye familia yake kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kazi hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa amebeba mizega mizeka mabegani mwake, kwa sababu naye hufanya kazi nyingi kila wakati maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu mkubwa ana mizega mizega yake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao vizuri kwa kuongeza bidii ya utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Matendo ya Mitume 10:42 – 43.

Mteando ya Mitume 17:25,

1Petro 2:4.

1Thimoteo 3:1-5.

Waefesso 5: 21-23.

workers-754583__480

IN ENGLISH: AN ADULT HAS LUGGAGE ON HIS/HER SHOULDERS.

This saying looks at the carrying of two luggage on shoulders of the mature man. The two luggage is the carrying of two loads on the person’s shoulders. Those loads are held by a tree which is placed on the person’s shoulders when he carries his loads. They are carried by a mature person because of their weight. That is why people say that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying is equaled to the person who does a lot of works, in his life. This person is always overwhelmed with a lot of works to the point of missing even have time to rest, because of his great effort to work. He gets a lot of success in his family because of his hard working mentality in his life.

This person resembles the one who was carrying the two luggage on his shoulders, because he also does a lot of works every time in his life. That is why people tell him that, “an adult has luggage on his/her shoulders.”

This saying teaches people about forcing themselves to do their jobs well by increasing the effort in fulfilling their responsibilities, so that they can get more success in their lives.

Acts 10:42-43.

Acts 17:25,

1 Peter 2:4.

1067. MUNHU NDUMA ALIYO IKAYA ADINAYO.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu ntale uyo adina kaya. Alihoyi munhu umuchalo ja Ng’watuju uyo otumamaga milimo yakwe bhuli makanza kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo. Uweyi oliadatolile kunguno ya kutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “Munhu nduma aliyo ikaya adinayo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo wiyangula guntumamila Mulungu, bho nduhu ugutola umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agifunyaga kuleka wikaji bho witoji bho gulitumila ilikanza lyakwe chiza ijinaguntumamila Sebha, kunguno ya guzunya gokwe gutale ukuli Mulungu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhambilijaga bhanhu bhingi ugulitumila ilikanza lyabho bho gwikala na Mulungu na gunzunilija bhuli ng’wene uguwikalana chiza uwitangwa bhokwe, kunguno ya bhutengeke bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaleka nzila ya witoji kugiki atumame milimo yakwe chiza, kunguno nuweyi agantumamilaga Sebha bho guleka nzila ya witoji chiniko umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu nduma aliyo adina kaya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhudebha chiza uwitanwa bhobho na guwikalana chiza, kugiki bhadule gushiga Ng’wigulu, umuwikaji bhobho.

Zaburi 55:22-23.

Mathayo 19:1-12.

KISWAHILI: MTU MKUBWA LAKINI HANA MJI.

Msemo huo, huongelea mtu mkubwa ambaye hana mji. Alikuwepo mtu kwenye kijiji cha Ng’watuju aliyekuwa akifanya kazi zake kila wakati kwa sababu ya bidii yake kuyatekeleza majukumu hayo. Yeye hakuoa kwa sababu ya kazi zake hizo maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu mkubwa lakini hana mji.”

 Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeamua kumtumikia Mungu kwa kuishi maisha bila ndoa, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitolea kwa Mungu kwa kuishi maisha ya kumtumikia Yeye peke yake bila ndoa kwa sababu ya imani yake hiyo kubwa kwa Mungu, maishani mwake. Yeye huwasaidia watu wengi katika kumtumikia Mungu vizuri kwa kunruhusu kila mmoja kufuata wito wake, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani kwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeacha maisha ya ndoa ili apate nafasi ya kufanya kazi zake vizuri, kwa sababu naye humtumikia Mungu kwa kuacha maisha hayo ya ndoa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtu mkubwa lakini hana mji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuuelewa wito wao na kuuishi vizuri, ili waweze kufika mbinguni, baada ya maisha haya ya hapa duniani.

Zaburi 55:22-23.

Mathayo 19:1-12.

ENGLISH: A BIG MAN BUT HAS NO FAMILY.

This saying speaks of a great man who has no family. There was a man in the village of Ng’watuju who was always doing his daily works because of his diligence in carrying out those duties. He did not marry because of his works in his life. That is why people told him that, “a big man but has no family.”

 This saying is related to man who decided to serve God by living a life without marriage, in his life. This man dedicates himself to God by living a life of serving Him alone without marriage because of his great faith in God, in his life. He helps many people in serving God well by allowing each one to follow his/her calling, because of his faithfulness in life.

This person resembles the one who left the married life so that he could have a chance to do his works well, because he also serves God by leaving that married life, in his life. That is why people told him that, “a big man but has no family.”

This saying teaches people about understanding their calling and living it well, so that they can reach heaven after passing away.

Psalm 55:22-23.

Matthew 19:1-12.

king1

portrait-734904__480

african-man-6777915__480

1064. UYOGALINDILAGA JAB’IYE ADAKIJAGA UGUGINA.

Akahayile kenako, kahoyelile munhu uyo agaginaga bho gulya jiliwa jabhiye bho nduhu ugutumama uweyi. Umunhu ng’wunuyo, olindilaga jiliwa mu kaya ja bhangi bhuli makanza kunguno ya bhugaiwa bho witegeleja bhokwe. Uweyi agaginaga noyi kunguno ya gwikala agulyaga jiliwa jinijo bho nduhu ugutumama imilimo aha ng’wakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga jabhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatumamaga imilimo yakwe aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyela sagala muma kaya ga bhanhu kugiki apandike jiliwa ja gulya umubhiye munumo. Uweyi agakoyiyagwa na nzala aha ng’wakwe bhuli makanza kunguno ya bhugokolo bho gutumama milimo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagina bho bhugulindila gulya jiliwa ja bhiye, kunguno nuweyi agagikalaga ulya mumakaya gabhiye bho nduhu ugutumama uweyi imilimo aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “uyo agalindalaga ja bhiye adakijaga ugugina.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka bhugokolo bho gutumama milimo yabho chiza, bho gwikala wagwiyambilijaga chiza katumamile kabho, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

KISWAHILI: ANAYESUBIRIA CHA WENGINE HAACHI KUNENEPA.

Msemo huo, huongelea mtu yule ambaye hunenepa kwa kula chakula cha wenzake bila ya yeye kufanya kazi. Mtu huyo, husubiri kula chakula kwenye familia za watu mara nyingi kwa sababu ya kukosa umakini wake huo. Yeye hunenepa sana kwa sababu ya kukaa bila kufanya kazi katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hafanyi kwenye familia, katika maisha yake. Mtu huyo, hutembelea familia za watu ili apate kula chakula wanapoivisha kwa sababu ya kutokupenda kazi kwake. Yeye hupata shida ya kukosa chakula mara kwa mara katika familia yake kwa sababu ya uvivu wake huo wa kufanya kazi, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyenenepa kwa kusubiria kula chakula kwenye familia za wengine, kwa sababu naye hupendelea kukaa kwenye familia za wengine ili apate kula chakula huko. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anayesubiria cha wengine haachi kunenepa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata mafanikio ya kuwasaidia vizuri maishani mwao.

Luka 9:62.

2Wathesalonike 3:10.

Wagalatia 6:9.

ENGLISH: HE WHO WAITS FOR OTHERS’ THINGS NEVER STOPS GAINING WEIGHT.

This saying speaks of a man who gets fat by eating food of his colleagues without working. This person, often waits to eat at people’s families because of his lack of attention. He gets very fat because of sitting idle in his life. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying is compared to a man who does not work at his family in life. Such person visits people’s families so that he can eat food when they eat it because he doesn’t like his job. He experiences problems of lacking food frequently at his family because of his laziness to work in his life.

This person resembles the one who got fat by waiting to eat at other people’s families, because he also prefers to stay at other people’s families so that he can eat there. That is why people tell him that, “he who waits for others’ things never stops gaining weight.”

This saying teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their jobs well, so that they can find successes that can nicely help them in their lives.

Luke 9:62.

2 Thessalonians 3:10.

Galatians 6:9.

big-1708092__480

1063. NGENI NGOKO YAPE.

Akahayile kenako kaholelile kaya iyo igangalila ngeni oyo chiza. Ikaya yiniyo ikalaga muchalo ja Idisa iyo igagenihwa na ngeni yungalila bho gunsinzila ngoko kugiki alye nyama, kunguno ya gupandika lubhango lo ngeni ng’winuyo. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhagayega noyi ugugenihwa nu ngeni ng’wunuyo. Hungwene bhagayomba giki, “ngeni ngoko yape.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mbango ja gwikala na bhanhu chiza ahaka yakwe. Umunhu ung’wunuyo, ali ng’wiza ng’holo bho gubhakaribhusha bhanhu bhingi aha ng’wakwe kunguno ya bhufula bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga matwajo ga gubhiza na sabho ningi aha kaya yakwe, kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni kaya iyo igangalia chiza ungeni oyo, kunguno nuweyi apandikaga mbango bho gubhakalibhusha bhanhu chiza aha kaya yakwe. Hunagwene agayombaga giki “ngeni ngoko yape.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza bhizanholo bho gubhalibhusha chiza abhageni bhabho mukaya jabho, kugiki bhadule gupandika mpango ja kusabha na gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhobho.

Luka 10:38-42.

Luka 16:9.

KISWAHILI: MGENI KUKU MWEUPE.

Msemo huo huongelea juu ya familia iliyo mkarimu vizuri Mgeni wake. Familia hiyo, ilikuwa inaishi kwenye kijiji cha Idisa, ambayo ilimkarimu mgeni wake kwa kumchinjia kuku ili ale nyama kwa sababu ya kupata Baraka ya mgeni huyo. Watu wa familia hiyo walifurahi sana kwa kutembelewa na mgeni huyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “mgeni kuku mweupe.”

Msemo huyo, hulinganishwa na mtu yule ambaye hupata Baraka za kuishi na watu vizuri, katika familia yake. Mtu huyo, ni mkarimu wa kuwapokea watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata mafanikio ya kutajirika na kuishi vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ile familia iliyomkarimu mgeni wake vizuri, kwa sababu naye huwapokea watu wengi kwenye familia yake kwa kuwakarimu. Ndiyo maana husema kwamba, “mgeni kuku mweupe.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribha vizuri wageni wao kwenye familia zao ili waweze kupata Baraka za kutajirika na kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Luka 10:38-42.

Luka 16:9.

white-cock-2709161__480

cock-4964559__480

cock-1819858__480

 ENGLISH: THE GUEST IS WORTHY OF WHITE CHICKEN.

The overhead saying speaks of a family that is kind to its guests. This family lived in the village of Idisa, which welcomed its guests by slaughtering chicken for them to eat because they wanted to receive the blessing of the guests. The people of such family were very happy to be visited by their guests. That is why they said that, “the guest is worthy of white chicken.”

This saying is compared to the person who gets blessings of living with well people, in his family. This person is generous enough to receive many people in his family because of its generosity. He gets success of becoming rich and living well in his family members because of his generosity in life.

This person is like the family that treated its guest well, because he also receives many people in his family by being hospitable. That is why he says that, “the guest is worthy of white chicken.”

This saying instills in people a clue about being generous enough to welcome their guests to their families so that they can get blessings of becoming rich and living well with people, in their lives.

Luke 10:38-42.

Luke 16:9.