sayings

1105. JINUKA NKILA.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumbwa ijo jigikilaga jigusija nkila gojo bho nduhu ugutumama imilimo. Yalihoyi Nva iyo ikalaga itula nkila bho nduhu nulu gumoka ulu yabhonaga ginhu josejose, kunguno ya bhobha bhoyo. Iyoyi yapelaga yagibhisa uluyukangwa na ginhu josejose mpaga abhinikili bhayo bhuyidalaha nose kunguno yalidina solobho yoseyose ukubhoyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiitana giki, “jinuka nkila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adalahilwe na bhiye kunguno ya bhugokolo bho kuleka gutumama milimo aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikikalaga wigashije duhu kunguno ya bhugokolo bhokwe ubho kulema gutumama nimo gosegose umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na nzala bhuli makanza aha kaya yakwe kunguno ya bhujidatumama milimo bhokwe bhunubho umukikalile kakwe.

Umunhu ung’wunuyo agikolaga ni Nva iyo yalidatumamaga nimo gose jose, kunguno nuweyi alingokolo ugutumama imilimo aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “Jinuka Nkila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhugokolo bho guleka gutumama milimo bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

 

KISWAHILI: KICHAPA MKIA.

Msemo huo huongelea juu ya kiumbe ambacho huwa kinachezea mkia wake bila kufanya kazi. Alikuwepo mbwa mmoja aliyekuwa akichezea mkia wake bila hata kubweka anapoona kitu chochote, kwa sababu ya uoga wake. Mbwa huyo alidharauliwa na wamiliki wake akionekana kuwa hana faida yoyote kwao kwa sababu ya uoga wake huo wa kukimbia kujificha kila anashitulilwa na kitu fulani. Ndiyo maana watu hao walimuita kuwa ni “kichapa mkia.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kutokufanya kazi nyumbani kwake hali ambayo hupelekea kudharauliwa na wanafamilia wa hapo. Mtu huyo, hupendelea kukaa tu bila kufanya kazi kwa sababu ya uvivu wake huo wa kuogopa kufanya kazi yoyote katika maisha yake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa kwa kwa sababu ya kukosa chakula hali ambayo husababishwa na tabia yake ya uvivu wa kutokufanya kazi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mbwa asiyefanya kazi yoyote, kwa sababu naye na uvivu wa kutokufanya kazi katika familia yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kichapa mkia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu katika kazi, kwa kujibisha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata chakula cha kuwasaidia vizuri katika maisha yao.

Zaburi 38:7.

Zaburi 46:1-3.

2Wakorintho 6:5-6.

puppy-2785074__480

ENGLISH:  A TAIL WHIPPER.

This saying refers to a creature that stays idly.  It only plays with its tail without working. There was a dog that was playing with its tail without even barking when it saw anything, because of its fear. Such dog was despised by his owners as it seemed to be of no use to them because of its distress that made it run away to hide whenever it was disturbed by something. That is why those people called it a “tail whipper.”

This saying is related to a person who is lazy as he spends his time by not work at home. Such situation leads him to being despised by his family members. Such man prefers to stay idle because of his laziness and fear of doing any work in his life. He suffers from hunger due to lack of food at his home, a situation that is caused by his lazy behavior of not working.

This man resembles to the dog that did not do any work, because he also has laziness of not working at his family. That is why people call him the “tail whipper.”

This saying, imparts in people an idea of abandoning a habit of laziness, by forcing themselves to carry out their works well, so that they can get food that can nicely help them in their lives.

Psalm 38:7.

Psalm 46:1-3.

2 Corinthians 6:5-6.

1104. SAMA YA NGALU PA IJITUMAMILO UMU MUNDUKA, UWEYI USIMIZA BHO MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile ubhusami bho mbula. Imbula yiniyo ulu lyushiga ilikanza lya goya gutula, amalunde gagandyaga guselema gayuja ng’weli.

Abhanhu ulubhugabhona amalunde genayo gagujaga ng’weli bhagamanaga iki imbula ilisama. Hunagwene bhagayombaga giki, “sama ya ngalu pa ijitumamilo umu munduka, uweyi usimiza bho magulu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadililaga jikolo jakwe bho gugulekanija umili gokwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’uwunuyo, agikalaga na jizwalo jishilile na  jiliwa jigehu aha kaya yake, aliyo isabho alinajo, kunguno ya gudilila jikolo kulebha umili gokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga ukoya na nzala aha kaya bho jigugila isabho jakwe jiniyo, kunguno ya bhujidalonja bho mili gokwe bhunubho.

Umunhu ung’winuyo agikolaga nu ntuji ojitumamilo muloli uweyi oja bho gusimiza, kunguno nuweyi agadililaga jikolo jakwe bho gugulekanijia umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “sama ya ngalu pa ijitumamilo umu munduka, uweyi usimiza bho magulu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumamila isabho jabho bho guidilila chiza imimili yabho, kugiki bhadule guyilang’hana chiza, umukikalile kabho.

Mathayo 24:32-35.

Ufunuo 14:14-16.

KISWAHILI: UHAMAMI WA MGALU KUJAZA VITENDEA KAZI VYAKE KWENYE GARI, YEYE KUTEMBEA KWA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia uhamaji wa mvua. Mvua hiyo ikifikia muda wake wa kuacha kunyesha, mawingu huanza kuelekea magharibi.

Watu wakiyaoana mawingu hayo yakielekea magharibi huelewa kwamba, mvua inahama. Ndiyo maana husema kwamba, “uhamaji wa mgalu kujaza vitendea kazi vyake kwenye gari, yeye kutembea kwa miguu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haujali vizuri mwili wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huvaa nguo zilizochakaa na hukosa chakula kwenye familia yake wakati mali anazo, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo. Yeye husumbulia na tatizo la njaa kwenye familia yake hiyo kwa kutokuzitumia mali hizo kununua chakula, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule muwekaji wa vitendea kazi vyake kwenye gari na yeye akitembea kwa miguu, maishani mwake, kwa sababu naye huvaa nguo zilizochakaa na kukosa chakula kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uhamaji wa mgalu kujaza vitendea kazi vyake kwenye gari, yeye kutembea kwa miguu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia mali zao kwa kuitunza vizuri miili yao, ili waweze kuilinda vizuri, maishani mwao.

Mathayo 24:32-35.

Ufunuo 14:14-16.

bottle-88156__480

fiat-500-4322521__480

man-6900166__480

1103. IGOGO LYAB’ULAGA NZILA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya b’ub’ulagi bho nzila bho ligogo. Iligogo linilo lililinti ilo lyalilyazwila bihi na nzila. Ilinti linilo ligagwa lyuyichib’a nzila iyo bhabhitilaga abhanhu kunguno ya bhutale bholyo mpaga bhushesha yingi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “igogo lyab’ulaga nzila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na nguzu ja gulemeja mihayo iyo idiyawiza, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agabhalemejaga abhana bhakwe agwikala na nhungwa ija bhubhi bho gubhalela mugwita mihayo ya wiza iyo idulile gubhambilija gwitogwa chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya bhunhana bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niligogo ilo ligachib’a nzila aho lyagwa, mpaga abhanhu bhushesha nzila yingi iyagubhitila, kunguno nuweyi agayilemaga imihayo iyabhubhi bho gubhalanga nhungwa jawiza abhanhu bhakwe, mpaga bhapandika solobho ya gwikala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “igogo lyachib’a nzila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gulidimila lililange lya wiza, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

Waroma 3:21 – 24.

Luka 3: 21 – 22.

Mhubiri 11:36.

Luka 3:16.

KISWAHILI: GOGO LIMEUA NJIA.

Msemo huo, huongelea juu ya uuaji wa njia wa gogo. Gogo hilo ni mti ulioota na kukua karibu na njia. Mti huo, ulianguka ukaiziba njia ile waliokuwa wakiipitia watu kwa sababu ya ukubwa wake huo mpaga ikawabidi kutengezeka njia nyingine ya kupitia. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “gogo limeua njia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana nguzo na uwezo wa kupinga maovu katika maisha yake. Mtu huyo, huwalea watoto wake katika maadili ya kukataa uovu kwa kutenda matendo wema uwasaidiayo kuishi maisha ya upendo kati yao, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake kwa kuishi maisha ya kusaidiana vizuri katika kazi zao, kwa sababu ya kuyaishi kwake vizuri maadili hayo mema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na lile gogo lililoziba njia baada ya kuanguka, kwa sababu naye huyakataa maovu kwa kuwafundisha watoto wake kutenda mema siku zote. Ndiyo maana watu humuita kwamba “gogo limeua njia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukataa uovu kwa kuyashikilia malezi ya kutenda wema, ili waweze kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Waroma 3:21 – 24.

Luka 3: 21 – 22.

Mhubiri 11:36.

Luka 3:16.

blockage-2751236__480

ENGLISH: A LOG KILLED A PATHWAY.

This saying talks about a road blocking of the log. This was the log which is a tree that grew near the path. Such tree fell and blocked the way which people were going through because of its size, so they had to make another way through. That is why those people said that, “a log killed a pathway.”

This saying is related to a person who has an ability to resist evil in his life. Such person raises his children in values ​​of rejecting evil by doing good deeds that help them to live a life of love among themselves, because of his honesty in his life. He brings up his family well by living a life of helping each other well in their daily works, because of his living those good values ​​well, in his life.

This person is like the log that blocked the way after falling, because he also rejects evil by teaching his children to do good all the time. That is why people call him “a log killed a pathway.”

This saying teaches people about rejecting evil by upholding the formation of doing good deeds, so that they can help each other well in their daily works.

Romans 3:21 – 24.

Luke 3: 21 – 22.

Ecclesiastes 11:36.

Luke 3:16.

1102. IKULU IBISI.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya jiliwa jibhisi. Ijililwa jinijo, jigikalaga jidapile chiza, ijo jili guti numbu, jibabayu na jingi ijo jikolile na jinijo. Abhanhu bhagadumaga ugujilya kunguno ya bhubhisi bhojo bhunubho. Hunagwene bhagajitanaga giki, “ikulu ibisi.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanijaga chiza na bhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga bhung’wene uko aliyelela kunguno ya kajile kakwe ako katikawiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugwikala na bhanhu aha kaya yakwe kunguno ya bhujitadilila bhiye bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni jiliwa ijibhisi ijo jidijawiza uguliwa, kunguno nuweyi adajilanijaga chiza na bhiye umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ikulu ibisi.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa ja gujilanija chiza na bhichabho, bho gwiyambilija uguitumama imilimo yabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umubhulamu bhobho.

Yohana 13:36-38.

Luka 22:31-34.

Zaburi 53:1-4.

Marko 14:66-72.

KISWAHILI: CHAKULA KIBICHI.

Msemo huo, huongelea juu ya chakula kilicho kibichi. Chakula hicho, hakijaiva vizuri, ambacho ni kama vile viasi, papayi, na vingine vinavyofanana na hivyo. Watu hushindwa kuvila kwa sababu ya ubichi wake huo. Ndiyo maana wao huviita kwamba ni “chakula kibichi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haendani vizuri na wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kuishi peke yake anakotembelea, kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutopenda kuwa pamoja na wenzake. Yeye hushindwa kuishi na watu kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya tabia yake ya kutokujali wenzake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na chakula kile kibichi kisichokuwa kizuri kuliwa, kwa sababu naye huwa haendani na wenzake katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “chakula kibichi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kujali wenzao kwa kuendana nao vizuri, ili waweze kusaidiana vyema katika kuyakamilisha vizuri majukumu yao, maishani mwao.

Yohana 13:36-38.

Luka 22:31-34.

Zaburi 53:1-4.

Marko 14:66-72.

sweet-potato-5318960__480

sweet-potato-1248078__480

potatoes-6528754__480

ENGLISH: RAW FOOD.

The above saying talks about raw food. This food is not ripe enough to eat. It includes vegetables, papaya, and others which are similar to that. People fail to eat it because of its bad taste. That is why they call it “raw food.”

This saying is equated to the person who does not get along well with his colleagues in his life. Such person prefers to live alone where he is, because of his habit of not liking to be with his colleagues. He fails to live with people in his family, because of his attitude of not caring about his associates, in his life.

This person resembles the raw food that is not good to eat, because he is also not compatible with his colleagues in his life. That is why people consider him as “raw food.”

This saying imparts in people an idea of having a habit of caring for their family members by getting along well with them, so that they can nicely help each other in completing their responsibilities, in their lives.

John 13:36-38.

Luke 22:31-34.

Psalm 53:1-4.

Mark 14:66-72.

1101. WIKUMBAGA GUBUGUBU.

Akahayile kenako kalolile wikumbi bho ng’wenda bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, agikumbaga ng’wenda bho gugugubija pye umili gokwe kunguno ya gugulanhana gudizususwa mbeho. Uweyi agilanhanaga kugiki akije ugususwa imbeho yiniyo, bho gugugubija ng’wenda umili gokwe pye amakanza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wikumbaga gubugubu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayilanhanaga chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza mpaka opandika jiliwa ja gubhalisha abhanhu bhakwe kunguno ya bhutogwa bhokwe bhutali ukubhoyi. Uweyi agikalaga na bhanhu bhinghi aha kaya yakwe abho abhalanhanaga bho gubhalanga nhungwa ja gwiyambilija chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agagulanhana umili gokwe bho wigwikumba ng’wenda pye umili, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gubhambilija chiza umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “wikumbaga gubugugu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujilanhana chiza ikaya jabho bho gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala mhola, umuwikaji bhobho.

Mathayo 8:5-7.

Mathayo 8:14-16.

Yohana 5:1-8.

 

KISWAHILI: AMEJIFUNIKA GUBIGUBI.

Msemo huo, huangalia ujifunikaji nguo wa mtu fulani. Mtu huyo, hujifunika nguo yake mwili mzima kwa lengo la kuulinda mwili wake huo usipigwe na baridi. Yeye huulinda mwili huo dhidi ya baridi kali kwa kuufunika nguo hivyo muda wote, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amejifunika gubigubi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huitunza vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi vizuri mpapa anapata chakula cha kutosha kuwalisha watu wake, kwa sababu ya upendo wake alio nao kwao.  Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake hiyo ambao huwafundisha tabia njema za kusaidiana kufanya kazi vizuri na wenzake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ayeulinda mwili wake kwa kuufunika nguo, kwa sababu naye huwatunza watu wake kwa kuwasaidia kupata mahitaji yao vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amejifunika gubigubi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri familia zao kwa kuwasaidia watu wao hao kupata mahitaji yao na kuwalea vyema, ili waweze kuishi salama, maishani mwao.

Mathayo 8:5-7.

Mathayo 8:14-16.

Yohana 5:1-8.

ENGLISH: HE HAS COVERED HIMSELF COMPLETELY.

This saying looks at a covering of clothes of a certain person. This person covers his whole body with clothes in order to protect his body from cold condition. He protects the body from such cold by covering it with clothes all the time, throughout his life. That is why people tell him that, “he has covered himself completely.”

This saying is compared to a person who takes good care of his family, in his life. Such person, tries hard to work well to the point of getting enough food to feed his people, because of his love for them. He lives with many people in his family by teaching them good habits which can help each other to work well with his colleagues.

This person resembles the one who protects his body by covering it with clothes, because he also takes care of his people by helping them get their needs well, in his life. That is why people tell him that, “he has covered himself completely.”

This saying teaches people on how to take good care of their families by helping them to meet their basic needs that can raise them well, so that they can live safely in their lives.

Matthew 8:5-7.

Matthew 8:14-16.

John 5:1-8.

 

african-woman-1580545__480

orphanage-278476__480

smiling-1180847__480