sayings

1137. INZUKI YINIYI HI ILINA NZWEZWE.

Yalihoyi nzuki iyo yaliyabisija bhuki gete mpaka nose bhuyutinika gufumila umumalela gabho mpaga bhoshiga hasi. Aho bhayibhona abhanhu bhagatogwa mpaka bhupanga lushigu lo guja gujiyapila. Hunagwene bhagayomba giki, “inzuki yeniyi hi ilina nzwezwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaidililaga chiza imilimo jakwe mpaga oimala chiza umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agalimaga migunda mitale iyo agayilimililaga ngese mpaga oyimala kunguno ya bhudiliji bhokwe bhunubho umumilimo yakwe. Uweyi agabishaga majiliwa mingi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni nzuki iyo yaliyabisija bhuki wingi gete, kunguno nuweyi agalimaga migunda ojidilila chiza mpaga opandika sabho ningi gete, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “inzuki yiniyi hi ilina nzwezwe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guidilila chiza imilimo yabho bho guitumama mpaga bhapandike sabho ningi, kugiki bhadule gujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yohana 15:1-2.

Yoshua Bin Sira 11:3.

KISWAHILI: NYIKI HAWA WANA ASALI.

Walikuwepo nyuki waliokuwa wameivisha asali sana mpaka ikaanza kudondoka chini kutoka kwenye masega yake. Watu walipoona hivyo walifurahi na kupanga muda ya kwenda kulina asali hiyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “nyuki hawa wana asali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huijali vizuri kazi yake mpaka anapata mafanikio mengi, katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba makubwa ambayo huyatunza kwa kuyapalilia palizi vizuri mpaka anavuna mazao kwa sababu ya kujali kwake vizuri kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake. Yeye hupata mavuno mengi sana kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na wale nyuki walioivisha asali nyingi, kwa sababu naye huyajali kwa kuyatunza vizuri mashamba yake mpaka anapata mavuno mengi, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “nyuki hawa wana asali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzijali kwa kuzitekeleza vizuri kazi zao mpaka wapate mali nyingi, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 15:1-2.

Yoshua Bin Sira 11:3.

beekeeping-1537156__480

honeycomb-347558__480

honeycomb-827476__480

ENGLISH: THESE BEES HAVE HONEY.

There were bees which had fed the honey so much that it began to fall down from its combs. When people saw that, they were happy and planned a time to go and harvest the honey. That is why they said that, “these bees have honey.”

This saying is compared to a person who takes good care of his work until he gets a lot of success in life. Such person cultivates large fields which he takes care of by weeding them well until he harvests enough crops to each because of his good concern for his work in fulfilling his duties. He gets a lot of harvest in his family because of his hard working life.

This person resembles to the bees that gathered a lot of honey, because he also cares for his life by taking good care of his fields until he gets a lot of harvest, in fulfilling his duties. That is why people tell him that, “these bees have honey.”

This saying imparts in people an idea of taking care of themselves by doing their jobs well until they get a lot of wealth, so that they can support their families well in their societies.

John 15:1-2.

Joshua Bin Sira 11:3.

1135. SWI, SWI SWI, UNA ULAB’ULA.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo agigwa nuli ulab’ula. Umunhu ng’wunuyo agatulilwa nulu na ng’wiye aho asiminzaga umulenga lokwe na ulab’ula kunguno ya kuhaya kumana inguno ya bhutuji bho nulu gunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “swi, swi, swi una ulab’ula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadililaga chiza abhiye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ubhambilija abhanhu abho bhali na makoye bho guhoya nabho chiza kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho gubhadilila abhiye bhunubho. Uweyi agikalaga uyega na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno alina nhungwa niza ija gwikala na bhanhu, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Munhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agalab’ula aho otolilwa nuli na ng’wiye ng’wunuyo, kunguno nuweyi agabhadililaga bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “swi, swi, swi, una ulab’ula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na nhungwa ja kutogwa gubhadilila bho gubhambilija chiza abhanhu abho bhali na makoye umuchalo jabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 3:3.

Yona 3:4-5.

Yohana 10:3-4, 16.

Ufunuo 14:13.

KISWAHILI: MLUZI NDOGO MDOGO UNAGEUKA.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyesikia mluzi mdogo akageuka nyuma ili kuangalia. Mtu huyo alipigiwa mluzi na mtu aliyekuwa nyuma yake alipokuwa akitembea katika safari yake akageuka nyuma kwa sababu ya kutaka kufahamu sababu ya mluzi huo ili aweze kumsaidia zaidi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mluzi mdogo mdogo unageuka.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anawasaidia watu wale ambao wana matatizo kwa kuongea nao vizuri kwa sababu ya upendo wake  huo wa kuwajali wenzake. Yeye huishi kwa furaha na watu wengi katika familia yake kwa sababu ana tabia njema ya kuishi vizuri na watu, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyegeuka nyuma kumwangalia mwenziye aliyempigia mluzi, kwa sababu naye huwajali kwa kuwasaidia watu wale ambao wana matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mluzi mdogo mdogo unageuka.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kupenda kuwajali kwa kuwsaidia watu wale ambao wana matatizo mbalimbali katika vijiji vyao, ili waweze kuishi kwa furaha kubwa, maishani mwao.

Mathayo 3:3.

Yona 3:4-5.

Yohana 10:3-4, 16.

Ufunuo 14:13.

 

ENGLISH: THE LITTLE WHISTLER YOU TURN BACK.

This saying speaks of a person who heard a whistle and turned back to look. There was man was whistled by the person behind him while he was walking on his journey. He turned back because he wanted to know the reason of such whistle so that he could help him. That is why people told him that, “a little whistle you turn back.”

This saying is paralleled to the person who cares about his companions in his life. Such person, always helps people who have problems by talking to them well because of his love to care for his colleagues. He lives happily with many people in his family because he has good habit of living well with people, in his life.

This person is similar to the one who turned back to look at his partner who whistled at him, because he also cares about helping people who have various problems in his life. That is why people tell him that, “a little whistle you turn back.”

This saying teaches people to have a caring attitude by helping people who have various problems in their villages, so that they can live happily in their lives.

Matthew 3:3.

Jonah 3:4-5.

John 10:3-4, 16.

Revelation 14:13.

 

child-1565202__480

1134. AGENAYO GAJISUJI.

Majikolo gajisuji gali majikolo ga ng’wa munhu uyo uzumalika ugaleka. Amajikolo genayo gali kihamo na jizwalo, jilatu, sabho na jingi ijo jikolile na jinijo ijo olinajo unjimiji. Abhanhu abho obhaleka bhagajitanaga giko jikolo jinijo kunguno ulubhajibhona bhagisuzukaga jililo jabho ija ha likanza ilo agazumalika umunhu obho ng’wunuyo. Hunagwene bhagayombaga giki “agenayo gajisuji.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagalolaga jikolo ja ndugu obho uyo uzumalika kugiki bhadule gung’wizuka umukikalile kabho. Abhanhu bhanebho bhagabhizukaga abhadugu bhabho abho bhazumalika bho gubhalombela kuli Mulungu abhanukule ng’wigulu kunguno bhali na bhutogwa ukubhoyi. Abhoyi bhagabhalelaga abhanhu bhabho bho gwitogwa kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhajibhonaga ijikolo ja njimiji obho bhizuka umo bhanhilililaga, kunguno nabho bhagajisolaga ijikolo ja ndugu obho unjimi kugiki bhuyung’wizuka bho gunombela ukuli Mulungu ashige ung’wigulu. Hunagwene bhagajitanaga ijikolo jakwe giki, “agenabho gajisuji.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhizuka bho gubhalombela kuli Mulungu abhadugu bhabho abho bhazumalika, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua Bin Sira 44:7-15.

Yoshua Bin Sira 44:21-23.

KISWAHILI: HIVYO NI VYA MACHOZI.

Vitu vya machozi ni vitu vya mtu aliyefariki. Vitu hivyo ni pamoja na nguo, viatu, mali na vingine vinavyofanana na hivyo ambavyo viliachwa na marehemu. Watu wale aliowaacha huyo marehemu huviita hivyo kwa sababu wanapoviona huukumbuka wakati wa kilio chao alipofariki huyo ndugu yao.  Ndiyo maana husema juu ya vitu hivyo kwamba, “hivyo ni vya machozi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao huvichukua vitu vya ndugu yao aliyefariki ili waweze kumkumbuka katika maisha yao. Watu hao, huwakumbuka ndugu zao marehemu kwa kuwaombea kwa Mungu ili wapokelewe mbinguni kwa sababu ya maadili yao hayo mema, maishani mwao.

Watu hao hufanana na wale walioviona vitu vya marehemu wao na kukumbuka wakati wa kumlilia ndugu yao huyo alipofariki, kwa sababu nao huvichukua vitu vya marehemu ndugu zao kwa lengo la kuwakumbuka kwa kuwaombea kwa Mungu ili wafike mbinguni. Ndiyo maana hao huviita vitu hivyo kwamba “hivyo ni vya machozi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwakumbuka ndugu zao marehemu kwa kuwaombea kwa Mungu ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua Bin Sira 44:7-15.

Yoshua Bin Sira 44:21-23.

old-shoes-3499409__480

ENGLISH: THOSE ARE OF TEARS.

Tears things are those which have been left by a deceased person. These items include clothes, shoes, property and other similar things that were left by the deceased one. The people whom the deceased left behind call them that way because when they see them, they remember the time whey they cried during death of their relative. That is why they refer to those things as, “those are of tears.”

This saying is equated to people who take belongings of their deceased relatives so that they can remember them in their lives. These people remember their deceased relatives by praying for them to God so that they can be received in heaven because of putting into practice their good values in their lives.

These people are similar to those who saw belongings of their deceased ones and remembered when they cried for them after death, because they also take belongings of their deceased relatives with the aim of remembering them by praying for them to God so that they can reach heaven. That is why they call those things as “those are of tears.”

This saying imparts in people an idea of remembering their deceased relatives by praying for them to God so that they can reach heaven.

Joshua Bin Sirach 44:7-15.

Joshua Bin Sirach 44:21-23.

1133. ABHENABHO BHAHEHI.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhanhu abho bhahehaga mandege. Abhanhu bhenabho bhinjaga mapumba na mapalala umumandege gabho genayo bho gugaheha kunguno gali na mapalala mingi noyi. Hunagwene abhanhu bhagabhitana giki “abhenabho bhahehi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajidililaga chiza ijiliwa ijo aginhiyagwa nu Mulungu, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agajikumingaga pye ijiliwa jakwe jinijo na gujingija amapalala mpaga jela chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na majiliwa mingi aha kaya yakwe kunguno ya gujilanhana chiza ijiliwa ijo aginhiyagwa nu Mulungu, umubhutumami bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga na bhahehi bha mandege kunguno nuweyi agijingijaga amapalala ijiliwa jakwe na ojituula chiza lulu. Uweyi agabhalanjaga abhanhu bhakwe nzile ja gujingija amapalala ijiliwa jabho. Hugwenene bhagabhitanaga giki, “abhenabho bhahehi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu bhigulya ya gujidilila chiza ijiliwa jabho bho gujingija amapalala pye agose, kugiki bhadule kujituula chiza umukaya jabho.

Mathayo 3:12.

KISWAHILI: HAO WAPEPETAJI.

Msemo huo, huongelea juu ya watu waliokuwa wakipepeta mahindi. Watu hao walikuwa wakiya ondoa makapi yote kutoka kwenye chakula chao hicho kwa kuyapepeta hayo mahindi mpaka takataka zote zinaisha ndani yake kwa sababu yalikuwa na uchafu mwingi sana. Ndio maana watu waliwaambia kwamba, “hao wapepetaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hukijali vizuri chakula wanachopewa na Mungu. Watu wao hukiondolea takataka zote zilizomo kwenye nafaka zao mpaga chakula hicho kinakuwa kizuri kwa sababu ya umakini wao huo katika maisha yao. Wao hupata chakula kingi sana katika famlia kwa sababu ya kukitunza vizuri, katika utumishi wao.  

Watu hao hufanana na wale waliopepeta mahindi yao mpaka takakaka zote zikaisha kwa sababu naye huziondoa takataka zote kwenye mahindi yao hayo. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “Ndiyo maana watu huwaaita kwamba, “hao wapepeji.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kukijali vizuri chakula wanachopata kwa kukiondolea takataka zote, ili waweze kukitunza vizuri, kwenye familia zao.

Mathayo 3:12.

 

ENGLISH: THOSE ARE WINDERS.

This saying talks about people who were sifting corns. Those people used to remove all the chaffs from their food by sifting the corns until all trashes end up in it because they were were very dirty. That is why people told them that, “those are winders.”

This saying is compared to people who take good care of the food given to them by God. These people remove all the garbage from their grains and the food becomes good because of their attention in their lives. They get a lot of food in their family because of taking good care of it, in their service.

These people are like those who sifted their corns until all the garbage were gone, because they also remove all the garbage from their food. That is why people call them that, “those are winders.”

This saying instills in people an idea of taking good care of the food which they get by removing all garbage from it, so that they can take good care of it, in their families.

Matthew 3:12.

 

indonesia-1203250__480

1130. NENE NASHOLWA MBITI NAJILE.

Ulusumo lunulo lwandija kuli munhu uyo agajilecha mbiti ntugo uyo jalijagudima. Imbiti jinijo jigikalaga ng’wipolu ahikanza ilya limi ibhujiku jigajaga munzengo gujicholela jiliwa. Ijoyi jigadima ntugo huna wiza munhu uyo oliajile mulugendo lokwe ujilecha na jandwa kuyunshola ukunu uweyi ajile duhu bho nduhu ugujidilila. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “nene nsholwa mbiti najile.”

Ulusumo lununo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agandyaga gugutumama nimo bho gudalahijiwe nabhiye umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambilaga gugutumama unimo gunuyo bho nduhu uguyudilila imihayo ya bhanhu abho bhalindalahija kunguno aimanile isolobho ya nimo gunuyo umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikala matwajo mingi mpaka bhoya gundalahija abhanhu bhenabho, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasholwa na mbiti ukunu ajile bho nduhu ugujidililila, kunguno nuweyi agikomejaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugubhadilila abho bhalindalahija umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene uweyi agayombaga giki, “nene nasholwa mbiti najile.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija gutumama milimo yabho bho nduhu ugubhadilila abho bhalibhadalahija umubhutumami bhobho bhunubho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Ayubu 1:20:

2Thimotheo 2:3-7.

2Thimotheo 2:15-19.

2Thimotheo 4:7-8.

KISWAHILI: MIMI NIMEFYONZWA FISI NIKIWA NAENDA.

Methali hiyo ilianzia kwa mtu yule aliwaachisha fisi mfugo waliokuwa wameukamata. Fisi hao huishi polini wakati wa mchana lakini usiku huingia kwenye makazi ya watu ili kujitafutia chakula.

Fisi hao walimkamata mfugo kwa bahati akaja akapita pale mtu aliyekuwa katika safari zake akawanyanhanya mfuyo huo ndipo wakaanza kumfronza yeye akiwa anaenda bila kuwajali. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “mimi nimefyonzwa fisi nikiwa naenda.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharauliwa na baadhi ya watu anapoanza kufanya kazi mpya katika utumishi wake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi kwa nguvu bila kuwajali wale wanaomdharau kwa sababu anazifahamu faida za kazi hiyo maishani mwake. Yeye hupata mafakinikio mengi mpaga wanaacha kumdharau wale waliokuwa wakifanya hivyo mwanzoni kwa sababu ya uvumilivu wake huo, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyefyonzwa na fisi bila kuwajali, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza majukumu yake bila kuwajali wale wanaomdharau, katika utumishi wake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “mimi nimefyonzwa fisi nikiwa naenda.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuvumilia kufanya kazi zao bila kuwajali wale wanaowadharau katika utekelezaji wa majukumu yao hayo, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Ayubu 1:20:

2Thimotheo 2:3-7.

2Thimotheo 2:15-19.

2Thimotheo 4:7-8.

ENGLISH: I HAVE BEEN ABSORBED BY HYENAS WHILE I GO.

The above proverb was originated from man who chased hyenas from taking his livestock which they had caught. The hyenas live in the field during the day but at night they enter human settlements to find food.

The hyenas caught the herd by chance and he came and passed by a man who was on his travels and snatched the livestock from them and they started to chase him while he was going without paying attention to them. That is why he said that, “I have been absorbed by hyenas while I go.”

This proverb is compared to that person who is despised by some people when he starts a new job in his service. That person, tries to work hard without caring about those who look down on him because he knows the benefits of that work in his life. He achieves a lot of success and they stop looking down on those who were doing it in the beginning because of his patience, in the implementation of his duties.

This person is similar to the one who was absorbed by hyenas without caring for them, because he also has to carry out his duties without caring for those who despise him, in his service. That is why he tells people that, “I have been absorbed by hyenas while I go.”

This proverb teaches people to persevere in doing their works without caring about those who despise them in the execution of their duties, so that they can achieve many successes in their lives.

Job 1:20:

2 Timothy 2:3-7.

2 Timothy 2:15-19.

2 Timothy 4:7-8.

 

hyena-175086__480