sayings

1173. WIGONZOLA UWINGA.

Gwigonzola ili gwigondagula kunguno ya mapinja mapinja ayo gagatindikaga winga. Bhalihoyi bhanhu abho bhahayaga gwitola umuchalo ja Ngeme. Abhilomeji bha bhikweji abha nhande ijibhili bhagakoyakoya ugwidebha umpango go ng’ombe mpaga nose wimichiwa uwinga bhunubho. Aho wimichiwa, igigela na mbita hagati yingi hangi iyo igabhudija uwinga bhunubho, kunguno bhugasola likanza lilihu noyi na witiwa lulu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “wigonzola uwinga.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa ku bhitoji abho bhagiyumilijaga ugugamama wangu amakoye ulu gigela umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikomejaga gutumama milimo yabho kihamo na guhoya bhuli makanza ulu bhapandikaga makoye, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwitoji bhobho. Abhoyi bhagabhambilijaga abhanhu bhabho ugugamala wangu amakoye gabho kunguno ya wiyumilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu winga ubho bhugadijiwa na bhikweji mpaga yugigela na mbita hagati yingi, na witiwa, kunguno nabhoyi bhagapandika makoye bhiyumilija ugugamala wangu bho gutumama milimo yabho kihamo na guhoya kihamo, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “wigonzola uwinga.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guhoya chiza na kutumama milimo yabho kihamo kugiki bhadule gugamala wangu amakoye gabho, na gwikala bho mholele, umiwikaji bhobho.

Luka 14: 15-20.

Mathayo 24:36-38.

KISWAHILI: HARUSI IMEJIVIRIGA VIRIGA.

Kujivirigaviriga ni kucheleweshwa kwa harusi kwa sababu ya mapingamizi mbalimbali. Wakuliwepo watu waliotaka kuoana katika kijiji cha Ngeme. Watu wa pande mbili waliokaa kikao cha kuelewana mahali walishindwa kufikia mwafaka mpaga mwishowe harusi hiyo ilisimamishwa kwa muda. Baada ya kusimamishwa hivyo yalitokea matatizo mengine ambayo aliichelewesha zaidi harusi hiyo, kwa sababu ilichukuma muda mrefu ndipo ikafanyika. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “harusi imejivirigaviriga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huyatatua matatizo yao kwa uvulimilivu, kila yanapotokea, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi zao kwa pamoja na kuongeza kwa pamoja kila wanapopata matatizo, kwa sababu ya upendo wao huo kati yao. Wao huwasaidia watu wengi katika kuyatatua matatizo yao haraka, kwa sababu ya uvumilivu wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na ile harusi iliyocheleweshwa na wapangaji wa mahali mpaka yakatokea matatizo wengine yaliyoichelewesha zaidi, kwa sababu nao huyatatua matatizo yao kwa uvumilifu kila yanapotokea, kwa kuongea na kufanya kazi zao kwa pamoja, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “harusi imejivirigaviriga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyatatua matatizo yao kwa kuongea na kufanya kazi zao kwa pamoja, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Luka 14: 15-20.

Mathayo 24:36-38.

ENGLISH: THE WEDDING HAS MESSED UP.

Stagnation is a delay of a wedding due to various hostilities. There were people who wanted to get married at Ngeme village. People from both sides who sat in a meeting to understand each other failed to reach an agreement at the end the wedding was stopped for a while. After that suspension, other problems occurred which further delayed the wedding, because it took a long time to take place. That is why people said that, “the wedding has messed up.”

This saying is compared to married people who solve their problems with patience, whenever they arise, in their lives. Those people, try to do their work together and talk together whenever they have problems, because of their love for each other. They help many people in solving their problems quickly, because of their patience, in their lives.

Those people are like the wedding that was delayed by planners until there were other problems that delayed it even more, because they also solve their problems patiently whenever they occur, by talking and doing their work together, in their lives. That is why people tell them that, “the wedding has messed up.”

This saying teaches people about having patience that is strong enough to enable them solve their problems by talking and doing their work together, so that they can live peacefully in their lives.

Luke 14: 15-20.

Matthew 24:36-38.

bride-5427659__480

1171. ODIMAGA IKANZA.

Akahayile kenako kalolile munhu uyo oli nikanza lya gujila minzi bhuli lushigu. Umunhu ng’wunuyo, wipunaga diyu aja kumongo gujudaha minzi bhuli lushigu, kunguno osangaga mingi masoga ayo gadayugulilwe na mitugo ahikanza linilo. Uweyi agakumuka nose umuchalo jakwe jinijo kunguno ya wipuni bhokwe bhunubho ubho gujila minzi bhuli lushigu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “odimaga ikanza.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanijaga na likanza umubhutumami bho milimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gulima ulu lyashiga ilikanza ilya jidiku, kunguno ahayile apandike matwajo mingi aha kaya yakwe. Uweyi agapanaga majiliwa mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya gwigulambija gutumama milimo yakwe bho gujilanija ni kanza chiniko, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo wipunaga gujudaha mingi ogapandika minzi masoga bhuli lushigu, kunguno nuweyi agandyaga gulima ahikanza ilya jidiku bho gujilanija ni kanza mpaga opandika sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “odimaga ikanza.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho bho gujilanija ni kanza bhuli lushigu, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija chiza, umukaya jabho jinijo.

Mhubiri 3:1-8.

Yohana 2:1-5.

Luka 22:14-16.

KISWAHILI: AMESHIKA MUDA.

Msemo huo, huangalia mtu aliyekuwa akienda kuchota maji kila siku. Mtu huyo, alikuwa akijilawa asubuhi na mapema kwenda mtoni kuchota maji kila siku kwa sababu ya kutaka kupata maji safi ambayo hajavurugwa na mifugo wakati huo. Yeye alijulikana sana kwenye kijiji chake kwa sababu ya kutoka kwake asabuhi na mapema kwenda kuchota maji. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “ameshika muda.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huendana na muda katika utekelezaji wa kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo, huanza kulima kwa bidii sana wakati wa masika, kwa sababu anapenda kupata mafanikio mengi katika familia yake. Yeye hupata mazao mengi kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kujibidisha kufanya kazi kwa kuendana na muda hivyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejilawa kwenda kuchota maji akayapata yaliyosafi, kwa sababu naye hujibidisha kulima wakati wa masika kwa kuendana na muda mpaga anapata mali nyingi, katika kazi zake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ameshika muda.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao kwa kuendana na muda kila siku, ili waweze kupata mali za kuwasaidia vizuri, katika familia zao.

Mhubiri 3:1-8.

Yohana 2:1-5.

Luka 22:14-16.

 

ENGLISH: HE IS ON TIME.

This saying looks at the person who went to fetch water every day. Such man used to wake up early in the morning to go to the river for fetching water every day because he wanted to get clean water that was not disturbed by livestock at that time. He was well known in his village because of his going out early in the morning to fetch water. That is why people said about him that, “he is on time.”

This saying is compared to a person who goes with time in implementing his works, in his life. Such person starts farming very hard during the spring, because he likes to get a lot of success in his family. He gets a lot of harvests in his family, because of working according to the required time, in his life.

This person resembles the one who went to fetch water in the morning and found it clean, because he also cultivates during the spring in accordance with the time to the point of getting a lot of wealth, in his works. That is why people say about him that, “he is on time.”

This saying imparts in people an idea of having to do their works in accordance with the time every day, so that they can get enough assets to support them well, in their families.

Ecclesiastes 3:1-8.

John 2:1-5.

Luke 22:14-16.

 

people-3127600__480

1167. OBHUGOMOLA NG’WILU ONZWILI CHEYO.

Olihoyi nkima uyo ali nfula umukikalile kakwe nabhiye kunguno oliazunije ugutumama milimo kihamo nabho bho gutung’wa nabho. Unkima ng’wunuyo oli wihanga lya wiza na nzwili ndogoleku guti cheo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na widohya bho gubhagola na gubhalanhana chiza abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhagolaga bho gubhazwika jizwalo ja wiza abhanhu bhakwe na gubhalanhana bho gutumama milimo nabho chiza. Uweyi agafunyaga ilange lya wiza ukubhanhu bhakwe ilo ligabhambilija gutumama milimo bho gwiyambilija na gwilanhana chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima unfula uyo obhalanhana chiza abhanhu bhakwe bho gubhagola na gutumama milimo yabho kihamo nabho, kunguno nuweyi agabhalanhanaga abhanhu bhakwe bho gwiyambilija gutumama milimo nabho chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obhugomola ng’wilu onzwili cheo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanhana abhichabho bho gubhagola na gutumama milimo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

KISWAHILI: MWENYE KUJIPANBA MAJI YA KUNDE NYWELE UFAGIO.

Alikuwepo mwanamke aliyekuwa mnyenyekevu katika maisha yake kwa sababu alikubali kufanya kazi pamoja na wenzake kwa kukubali kutumwa nao. Mwanamke huyo, alikuwa na sura nzuri na nywele laini kama mfagio. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwalinda wenzake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, katika maisha yake. Mtu huyo, huwakarimu watu wake hao kwa kuwavika mavazi mazuri na kuwalinda kwa kufanya kazi vizuri pamoja nao. Yeye hutoa malezi mema kwa watu wake yawawezeshayo kufanya kazi kwa kusaidiana na kutunzana vizuri, kwa sababu ya unyenyekevu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwanamke mnyenyekevu aliyewalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi pamoja nao, kwa sababu naye huwalinda watu wake kwa kuwakarimu na kufanya kazi kusaidiana pamoja nao, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwenye kujipamba maji ya kunde nywele ufagio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwalinda wenzao kwa kukarimu na kufanya kazi kwa kusaidiana pamoja ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Wimbo ulio bora 4:1.

Zaburi 45:3-5.

Zaburi 45:9-10.

female-4899179__480

1166. NHAB’ALA HU KI?

Aho kale olihoyi munhu uyo oliosata umuchalo ja Ndoleleji. Umunhu ng’wunuyo, ojaga ukositali oginhiwa ubhugota ubho obhutumilaga mpaga bhoshila aliyo ugupila nduhu. Uweyi wiyumilijaga duhu kunguno oliamanile igiki ubhupanga bhokwe bhuli kuli Nsumbi wi Wigulu na Sii. Hunagwene obhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga ulu opandikaga makoye bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhilile ugugulanhana chiza umili gokwe bho guja gusitali ulu alisata ukunu aling’wisanya Mulungu kunguno alina guzunya gutali ukuli Weyi. Uweyi agabhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye ijinagung’wisanya Mulungu kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, kunguno nuweyi agapandikaga makoye wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu ulu bhapandikaga makoye umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na mholele, umu kaya jabho jinijo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

KISWAHLI: MATESO NI NINI?

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeugua ugonjwa kwenye kijiji cha Ndoleleji. Mtu huyo, alienda hospitalini akapewa dawa alizozitumia mpaka zikaisha bila kupona ugonjwa wake huo. Yeye alivumilia tu kwa sababu alielewa kwamba uhai wake uko mikononi mwa Muumba wa Mbingu na Nchi. Ndiyo maana aliuza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu kuitunza vizuri afya yake kwa kwenda hospitalini anapougua huku akimtumainia Mungu, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye huwasaidia watu wengi ambao wana matatizo katika kumtegemea Mungu kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeugua ugonjwa akavumilia kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu naye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye huuliza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kwa Mungu ya kuwawezesha kuvumilia matatizo yao kwa kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao hizo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

operation-80124__480

1162. ILI NIMO ILI NALEKELE B’IZIMBILI.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oli na nimo go gulima maguwa. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gokwe gunuyo mpaga unamhala kunguno goli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Aho onamhala chiniko agandya gubhalanga bhizimbili bhakwe abho obhalekelaka kunguno ya giki nabho gubhambilije chiza umuwikaji bhobho. Hunagwene agayomba giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhalanga uguitumama imilimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama imilimo yakwe yiniyo bho guhoya nabho chiza bhuli lushigu kunguno ahayile giki nabho bhayidebhe chiza uguitumama umuwikaji bhobho. Uweyi agabhambilija abhanhu bhakwe bhenabho ugujibheja chiza ikaya jabho kunguno ya guitumama chiza imilimo iyo agabhalangaga yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu namhala uyo agabhalekela b’izimbili bhakwe unimo gokwe aho onamhala, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya gubhalanga abhanhu bhabho uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi agagujilanhanile chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

KISWAHILI: KAZI HII NIACHIE WAJUKUU ZANGU.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa mkulima wa miwa. Mtu huyo aliifanya kazi yake hiyo mpaka akazeeka kwa sababu ilikuwa na faida kubwa katika maisha yake. Alipoona kwamba amezeeka hivyo, alianza kuwafundisha wajukuu zake kazi hiyo kwa sababu alitaka nao iwasaidie vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana alisema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea watoto wake kwa kuwafundisha kuzitekeleza kazi zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watoto wake hao kwa kuongea nao vizuri kila siku kwa sababu anataka wazielewe vizuri kazi hizo, maishani mwao. Yeye huwasaidia watu wake hao kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kuzitekeleza vizuri kazi zake alizowafundisha, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzee aliyewaachia watoto wake kazi zake alipozeeka, kwa sababu naye huwafundisha watoto wake namna ya kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwarithisha watoto wao kazi zao, kwa kuwafundisha vizuri namna ya kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

sugarcane-439880__480