Mwanza

816. DIMAGA LUSHU ULYE NYAMA.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile munhu uyo agayelaga na lushu lokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalutumamilaga ulushu lwokwe nululo, bho guchembela ginhu iyo alajibhone uko alisiminzila. Uweyi ulu ushiga aho jiliho nyama adukoya uguichemba inyama yiniyo na guilya, kunguno alinajo ijitumamilo jakwe.

Aliyo lulu, umunhu uyo adina lushu, ulu usanga nyama aguduma ugupandika nulu kanofu, ulu adalombile gubhiye, kunguno adayelaga higiki, bho gwikala na jitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “dimaga lushu ulye nyama.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga higiki bho gujiyelana ijitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga wibhegelejije chiza ijinabhutumami bho milimo yakwe ni jinagubhambilija abho bhali makoye, kunguno ya kujikalana makanza gose ijitumamilo jakwe.  Uweyi agapandikaga matwajo mingi umubhutumami bho milimo yakwe, kunguno ya gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jakwe jinijo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agikalaga higiki bho guyela na lushu lokwe, kunguno nuweyi agikalaga higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “dimaga lushu ulye nyama.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwikala higiki bho gujikalana chiza ijitumamilo jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:10-13.

KISWAHILI: SHIKA KISU ULE NYAMA.

Chanzo cha msemo huo, chamongelea mtu ambaye hutembea na kisu chake, katika maisha yake. Mtu huyo, hukitumia kisu chake hicho, kwa kukatia kitu chochote anacho kiona kule atembeleako. Yeye akikuta nyama hatahangaika kuikata na kuila kwa sababu anacho kitendea kazi chake.

Lakini basi, mtu yule ambaye hana kisu akituta nyama atashindwa kupata hata mnofu mdogo, kwa sababu ya kutokujiweka tayari, katika maisha yake. Ndiyo  maana watu humwambia kwamba, “shika kisu ule nyama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa amejiweka tayari kwa kutembea akiwa na kitendea kazi chake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa amejiandaa katika utekelezaji wa majukumu yake, yakiwemo yale ya kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo, kwa sababu ya kuwa nacho muda wote kitendea kazi chake hicho. Yeye hupata mafanikio mengi katika utendaji wake wa kazi kwa sababu ya kujiweka tayari kwa kutendea akiwa na kitendea kazi chake hicho.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa tayari kwa kutembea akiwa na kisu chake kokote alikoenda, kwa sababu naye huwa yuko tayari kwa kutembea akiwa na kitendea kazi chake hicho, katika maisha yake. Yeye huwafundisha pia watu wake namna ya kuwa na vitendea kazi vyao popote wanapoenda. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “shika kisu ule nyama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujiweka tayari muda wote kwa kutembea wakiwa na vitendea kazi vyao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:10-13.

cut-meat-

meat-

 ENGLISH: GET HOLD OF A KNIFE AND EAT MEAT.

The cradle of the above saying speaks of a man who walks with a knife in life. This man was using his knife to cut anything which he saw on his way. If he found meat, he would not bother to cut it and eat because he had a tool cutting it.

But then, the man who does not have a knife will not be able to get even a little meat, because of his unpreparedness in his life. That is why people say to him that, “get hold of a knife and eat meat.”

This saying is compared to a person who is prepared enough to walk with a tool in life. This person carries out his or her responsibilities, including helping those who are in need, because of being prepared. He/she achieves great success in daily works because of his/her willingness to use his/her tool whenever it is needed.

This person is like the one who walked with his knife wherever he went, because he walks with his tool in his life. He also teaches his people on how to be with their tools wherever they go. That is why he tells them that “get hold of a knife and eat meat.”

This saying teaches people on how to be prepared all the time by walking with their tools, in their lives, so that they can have more success in their societies.

Matthew 25: 10-13.

815. UMHAYO UNG’WIZA GUDADUTAGA BHINGI.

Ulusumo lunulo, lulolile bhudamu bho gubokelwa bho mhayo uyo guligowiza, umukikalile ka bhabhu. Aliyohi ng’walimu umo uyo agabhabhilinga bhanhu bha munzengo, kugiki wize abhawile mhayo go gubhasomisha abhana bhabho. Aho bhiza aha lugiko abhanhu bhenabho, agabhawila, “bhachalagi bhagasome abhana bhing’we, kugiki bhize bhadule gung’wambilija aha shigu ja ha bhutongi.”

Nhamhala umo agashosha, “dududula gubhalecha abhana bhise milimo ya gudima mitugo kunguno ya kusoma.” Ung’walimu ng’winuyo agashosha, “unimo go gusoma gulina solobho nhale gukila ugudima imitugo, kunguno ubhusomi bhugalangaga mingi iyo ilikihamo nu gujipandika imitugo na gujilang’hana chiza.”

Aho obhalomela chene ung’walimu ng’wunuyo, bhagehu bhabho bhagazunya ugubhasomisha abhana bhobho. Abhana bhenabho, bhagasoma mpaga bhubhiza matongeji bhatale bha si yabho. Hunabhandya bhanhu bhingi ugubhasomisha abhanha bhabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lugenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga kubhalanga mihayo ya ng’hana abhiye mpaga bhayidebha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, abhudebhile ubhudamu bho guzunyiwa bho mhayo ugong’hana  na bhanhu abho bhaligwigwa lukangala lo gwandya. Hunagwene uweyi agikomeja gugushokela mara hingi umhayo gunuyo, mpaga bhadula gugwelewa chiza, abhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’walimu uyo agabhalanga bhanhu solobho ya gubhasomisha abhana bhabho, kunguno nuweyi agiyumilijaga ugubhatongela abhiye imihayo ya ng’hana, mpaga bhayidebha chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “umhayo ung’wiza gudadutaga bhingi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyumilija guidimilila mihayo ya wiza, bho gubhalanga abhichabho imihayo yiniyo, kugiki bhadule kupandika bhatongeji bhawiza, umuwikaji bhobho.

Marko 16:9-13.

KISWAHILI: NENO JEMA HALIWAVUTII WENGI.

Methali hiyo, huangalia ugumu wa neno jema kupokelewa na watu, katika maisha yao. Alikuwepo mwalimu mmoja ambaye aliitisha mkutano wa wanakijiji ili awaeleze juu ya umuhimu wa kuwasomisha watoto wao. Walipofika kwenye mkutano huo, aliwaambia, “wapelekeni shule watoto wenu wakasome ili waweze kuja kuwasaidia kwenye siku za mbeleni.”

Mzee mmoja alijibu, “hatuwezi kuachisha kazi za kuchunga mifugo watoto wetu kwa sababu ya kusoma.” Mwalimu huyo alijibu, “kazi ya kusoma ni kubwa kuliko kuchunga mifugo, kwa sababu elimu hufundisha mengi, ambayo ni pamoja na namna ya kuipata mifugo hiyo, na njia za kuitunza vizuri.”

Mwalimu alipowaeleza hivyo, bhadhi yao hao wanakijiji walikubali kuwapeleka watoto wao shuleni. Watoto hao, walifaulu hadi wakafikia hatua ya kuwa viongozi wakubwa nchi yao.  Wanakijiji walipoona hivyo, wengi wao walianza kuwasomesha watoto wao. Ndiyo maana watu husema kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwafundisha watu wake ukweli wa kitu chema kitakachoweza kuwasaidia, hadi wanakielewa vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, anauelewa ugumu wa kupokelewa kwa kitu chema, kwa wale wanaokisikia kwa mara ya kwanza. Yeye huendelea kukirudia kitu hicho kwa watu hao, mpaka wanakielewa vizuri, kiasi cha kutosha kufaidika nacho, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na yule mwalimu aliyewaelimisha wanakijiji wake juu ya kuwasomesha watoto wao, hadi wakamwelewa, kwa sababu naye huvulimia katika kuwaelimisha watu juu ya ukweli wa kitu chema kiwezacho kuwasaidia katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “neno jema haliwavutii wengi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha katika kuwaelimisha wenzao, juu ya kitu chema kiwezacho kuwasaidia, katika maisha yao, ili waweze kupata viongozi bora, maishani mwao.

Marko 16:9-13.

people-class

farmer3

ENGLISH: THE GOOD WORD DOES NOT ATTRACT MANY.

This proverb looks at a difficulty of people to receive a good word in their lives. There was a teacher who convened a village meeting to explain about an importance of educating their children. When they arrived at the meeting, he told them, “Send your children to school so that they can come and help you in the future.”

An elder one replied, “We cannot stop our children from the work of herding because of studying.” The teacher replied, “The task of studying is bigger than that of herding livestock, because education teaches a lot, which includes how to get livestock, and how to take good care of them.”

When the teacher told them so, the villagers agreed to send their children to school. Their children succeeded until they reached the point of becoming leaders of their country. Seeing this, many of the villagers allowed their children to go to schools. That is why people say that “good word does not attract many.”

This proverb is likened to a man who perseveres in teaching his people the truth of something which is good that will help them, until they understand it well, in his life. This person understands a difficulty of receiving something which is good, to those who hear it for the first time. He keeps on repeating the same thing to them, until they understand it well enough to benefit from it in their lives.

This man is like the teacher who taught the villagers to educate their children by allowing them to go to school, until they understood him, because he also perseveres in educating people about the truth of something which is good that can help them in their lives. That is why he tells people that “the good word does not attract many.”

This proverb teaches people about being patient enough to educate others, on something which is good that can help them in their future lives, so that they can find good leaders in their societies.

Mark 16: 9-13.

814. BHUBHING’HOLO BHUGANANULAGA ABHANHU.

Ubhubhing’holo jili jito ja gung’wima ginhu umunhu uyo alina makoye. Umunhu uyo alina makoye ng’winuyo, adulile nulu gunanuka bho gucha na nzala aliyo ijiliwa jilihoyi, kunguno ya wiming’holo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhubhing’holo bhugananulaga abhanhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina ng’holo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalemaga ugubhinha ijiliwa ijo alinajo, abhanhu abho bhalina makoye, kunguno ya wiming’holo bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalekaga bho nduhu ugubhambilija abho bhali na makoye bhenabho, mpaka nose bhananuka aliyo isabho alinajo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo aliming’holo, kunguno nuweyi alina ng’holo ya bhubhi, iyo idabhabhonelaga isungu abhiye abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhubhing’holo bhugananulaga abhanhu.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gulekana na ng’holo ya wiming’holo, bho gubhagunana abhichabho abho bhali na makoye, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhulang’hana chiza ubhupanga bho bhanhu bhabho bhenabho.

Luka 6:9-10.

KISWAHILI: UCHOYO HUUA WATU.

Uchoyo ni kitendo cha kumunyima kitu mtu aliyekumbwa na matatizo. Mtu huyo, mwenye matatizo, huweza hata kupoteza maisha kwa kukosa chakula, pamoja na chakula hicho kuwepo, kwa sababu ya uchoyo huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “uchoyo huua watu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana roho mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, hukataa kuwasaidia wenzake walioko kwenye matatizo ya kukosa chakula hata kama ancho chakula hicho, kwa sababu ya uchoyo wake huo. Yeye huwaacha bila kuwasaidia watu hao, ambao mwishowe huwa wanafikia hatua ya kupoteza maisha, wakati mali anazo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye ni mchoyo aliyekataa kuwasaidia wenye shida, kwa sababu naye ana roho mbaya isiyowaonea huruma wenzake hao walioko kwenye matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uchoyo huua watu.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na roho ya uchoyo, kwa kuwasaidiana wenzao waliokumbwa na matatizo, katika maisha yao, ili waweze kuyaokoa na kuyalinda maisha ya wenzao hao.

Luka 6:9-10.

elder

cartoons

chicken1

ENGLISH: GREED KILLS PEOPLE.

Covetousness is an act of denying supporting someone who has problems. This person who has problems may even lose life because of lacking food and other basic needs, despite the food being present, just because of that greed. That is why people say that “greed kills people.”

This saying is likened to a person who has an unkind spirit in life. This person refuses to help his/her colleagues who are suffering from malnutrition, even though he/she has plenty of food because of his/her greed. He/she leaves them without helping those people, who eventually reach the point of losing their lives, while possessions are present in the house.

This person is like the greedy person who refuses to help the needy, because he/she has a bad spirit that does not show compassion to those who are great need of help. That is why people say that “greed kills people.”

This proverb imparts in people an idea of stopping a spirit of greed, by helping each other in trouble, in their lives, so that they can save and protect the lives of their family members.

Luke 6: 9-10.

812. NATUNG’WANA NA SUNGWA JILIFUMA GUJUSUMA NAGULILA NYAMA.

Isungwa jilijisumva ijo jigatumamaga milimo bho gwiyambilija kihamo. Ijoyi jigabhuchaga nigo bhuli yene guti giki jifumilile gujusumo jililwa. Umunhu uyo utung’wana ni sungwa jinijo jibhuchije milimo, agwisagilwa gupandika mbango ja gulya jiliwa ja wiza guti nyama, ukoajile. Hunagwene agayombaga giki, “natung’wana na sungwa jilifuma gujusuma nagulila nyama.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga mbango bho gutumama milimo kihamo na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga atogilwe gwiyambilija na bhiye kunguno ya jigongo jakwe ija gubhagunana abho bhali na makoye. Uweyi agapandikaga matwajo mingi umuwikaji bhokwe kunguno ya mbango ijo alinajo jinijo.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni sungwa ijo jigiyambilijaga kihamo uguitumama imilimo, kunguno nuweyi, agapandikaga mbango ja matwajo mingi, bho gutumama milimo kihayo na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “natung’wana na sungwa jilifuma gujusuma nagulila nyama.”

Kahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwiyambilija gutumama kihamo na bhichabho, kugiki bhadule gupandika matwazo mingi, umuwikaji bhobho.

Mithali 28:20.

Ufunuo 5:12.

Luka 19:37-38.

KISWAHILI: NIMEKUTANA NA SUNGUSUNGU WANAOTOKA KUHEMEA NITAKULA NYAMA.

Sungusungu ni viumbe ambavyo hufanya kazi kwa kusaidiana pamoja. Kila mmoja wao hubeba mzigo wake, unaonesha kama wanatoka kuhemea chakula. Mtu ambaye atakutana na sungusungu hao waliobeba mizigo, atatumaini kupata Baraka za kula chakula kizuri, kama vile nyama, kule anakoelekea. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimekutana na sungusungu wanaotoka kuhemea nitatakula nyama.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata baraka kwa kufanya kazi pamoja na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupenda kusaidiana na wenzake hao kwa sababu ya huruma yake ya kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo. Yeye hupata mafanikio mengi maishani mwake kwa sababu ya Baraka hizo alizonazo.

Mtu huyo, hufanana na sungusungu wale walioshirikiana katika kufanya kazi, kwa sababu naye hupata Baraka za mafanikio mengi, kwa kuyatekeleza majukumu yake akishirikiana na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimekutana na sungusungu wanaotoka kuhemea nitatakula nyama.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kushirikiana pamoja na wenzao wanapoyatekeleza majukumu yao, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mithali 28:20.

Ufunuo 5:12.

Luka 19:37-38.

ant1

 

ants -

ENGLISH: I SAW ANTS THAT WERE COMING FROM SEARCHING FOR FOOD, I WILL EAT MEAT.

Black Ants are creatures which work together. Each one of them carries its own load, showing that they have found food from where they went. The person who meets them carrying their luggage rags will hope to enjoy blessings of receaving good food, such as meat, wherever he/she goes. That is why he/she tells people that, “I saw ants that were coming from searching for food, I will eat meat.”

This saying is applied to a person who receives blessings of working well with others in life. He/she person likes to help his/her colleagues because of having true love to those who in need. He/she finds great success in life because of receiving blessings from God.

This person is like the black ants which worked together, because he also receives blessings of many successes, by fulfilling his/her responsibilities in collaboration with others in life. That is why he/she tells people that, “I saw ants that were coming from searching for food, I will eat meat.”

This saying teaches people on how to kindly cooperate with their family members as they fulfill their daily responsibilities in lives, so that they can achieve more success, in their societies.

Proverbs 28:20.

Revelation 5:12.

Luke 19: 37-38.

 

811. BHULI MUNDA BHUDILANDAGWA.

Olihoyi munhu uyo olimulegendo lo guja kubhadugu bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, ojaga gujulanda jiliwa. Aho oshika koyi agayomba, “nalilanda jiliwa bhadugu bhane.” Abhoyi bhagashosha, “dajimalile gujilwa pye ijiliwa.” Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhuli munda bhudilandagwa.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga abhiye bho gubhawila bhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhuyombaga ubhung’hana bhunubho ulu alibhagunana abhanhu abho bhalina makoye, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe nzila ja gubhambilija abhichacho bho gubhuyomba ubhung’hana na guwikalana, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhanhu abho bhagang’wila bhung’hana ungeni obho, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhanhu bho gubhawila bhung’hana, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “bhuli munda bhudilandagwa.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhambilija abhichabho, bho gubhawila bhung’hana na guwikalana chiza, umukikalile kabho, kugiki bhadule gugamala wangu, amakoye gabho.

Yohane 3:4-7.

KISWAHILI: KILICHOKO TUMBONI HAKIAZIMISHWI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa na safari ya kwenda kwa ndugu zake. Mtu huyo, alienda kuazima chakula. Alipofika huko alisema, “naazima chakula ndugu zangu.” Wao walimjibu, “tumemaliza kukila chakula chote.” Ndiyo maana watu walisema, “kilichoko tumboni hakiazimishwi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia wenzake kwa kuwaambia ukweli, katika maisha yake. Mtu huyo, huuongea ukweli huo anapowasaidia watu wenye matatizo, ili waweze kupata utatuzi wa kweli wa matatizo hayo. Yeye huwafundisha watu wake njia za kuwasaidia wenzao kwa kuuongea na kuuishi ukweli huo, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na watu wale waliomwambia ukweli mgeni wao, kwa sababu naye huwasaida watu kwa kuwaambia ukweli, katika maisha yake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “kilichoko tumboni hakiazimishwi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwasaidia wenzao, kwa kuwaambia ukweli na kuushi vizuri, katika maisha yao, ili waweze kuyamaliza haraka matatizo yao.

Yohane 3:4-7.

food africa

cooking-food

food-munda

ENGLISH: WHAT IS IN THE STOMACH IS NOT BORROWED.

There was a man who was on a journey to his relatives. He went to borrow food. When he arrived, he said, “I am borrowing food, my brothers.” They replied, “We have finished eating all the food.” That is why people say “what is in the stomach is not borrowed.”

This proverb is compared to a person who helps others by telling them the truth in life. Such person speaks the truth when he helps those who have problems, so that they can find real solutions to them. He/she teaches his/her people various ways of helping others by speaking and living according to truth.

This person is like those people who told the truth to their stranger, because he/she also helps people by telling them the truth in life. That is why he/she tells people that “what is in the stomach is not borrowed.”

This proverb imparts in people an idea on how to help others, by telling them the truth and living it, in their lives, so that they can quickly solve their problems.

John 3: 4-7.