mother tongue

1108. ABHENAB’O B’AJA MAHUNGU.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhuji bho mahungu bho bhanhu bhalebhe. Bhalihoyi bhanhu abho bhagaja gujuyela ng’wipolu ilo lyalikule na kaya yao.

Aho bhashiga koyi bhutogwa gwikala mpaga bhulema ugushoga ikaya yabho. Abhanhu bhakukaya yabho bhagagema ugubhitana abhoyi bhulema mpaga nose bhubhaleka duhu. Hunagwene abhanhu abhagayomba giki, “abhenabho b’aja mahungu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalibhalambu, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhatogilwe gujiyunga sagala bho nduhu nulu gutumama milimo kunguno ya bhulambu bhobho bhunubho, umukikalile kabho. Abhoyi bhagitanagwa ‘bhakalemela’ kunguno bhabhalemela abhabyaji bhabho umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagaja ng’wipolu bhugalemela mumo kunguno nabhoyi bhalibhambu abho bhabhalemela abhabyaji bhabho umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “abhenabho b’aja mahungu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhulambu bho guzunya gutung’wa na bhichabho, kugiki bhadule kujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 8: 10-13.

Mathayo 21:42.

Mithali 27:11-12.

Matendo ya mitume 17:25-28.

 

KISWAHILI: HAO WAMEENDA MBALI.

Msemo huo, huongelea juu ya uenndaji mbali wa watu fulani. Walikuwepo watu ambao walienda polini ambalo lilikuwa mbali na nyumbani kwao. Walipofika huko walikupenda mpaga wakaamua kuishi huko na kukataa kurudi nyumbani kwao. Watu waliowaacha kule nyumbani waliwaita lakini wao walikataa kurudi nyumbani kwao huko. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “hao wameenda mbali.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao ni wenye kiburi katika maisha yao. Watu hao hupenda kuzurura hovyo bila kufanya kazi kwa sababu ya kiburi chao hicho. Wao huitwa jila la ‘walioshindikana’ kwa sababu ya kukataa ushauri na malezi ya wazazi wao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale walioenda polini wakatalia humo kwa kuamua kuishi humo, kwa sababu nao wana kiburi cha kukataa malezi ya wazazi wao, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema juu yao kwamba, “hao wameenda mbali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi kwa kukubali kutumwa na wenzao na kulelewa na wazazi wao, ili waweze kuzitunza vizuri familia zao, maishani mwao.

Mithali 8: 10-13.

Mathayo 21:42.

Mithali 27:11-12.

Matendo ya mitume 17:25-28.

family-portrait-5534737__480

ENGLISH: THEY HAVE GONE FAR.

This saying talks about going at a distance of some people. There were people who went to the forest which was far from their home. After reaching the place they liked it to the point of deciding to stay there by refusing to return to their home, even after being called by their place people. That is why those people said that, “they have gone far.”

This saying is compared to people who are proud in their lives. These people like to roam around idly without working because of their pride. They are called the ‘imposible ones’ because of rejecting the upbringings of their parents, in their lives.

These people resemble those who went to the forest to stay there by refusing to return to their home, because they too have the pride of rejecting the edifications of their parents, in their lives. That is why people say about them that, “they have gone far.”

This saying imparts in people an idea of abandoning pride by accepting the upbringings of their parents enough to live peacifly with their nobles, so that they can take good care of their families, in their lives.

Proverbs 8:10-13.

Matthew 21:42.

Proverbs 27:11-12.

Acts 17:25-28.

1104. SAMA YA NGALU PA IJITUMAMILO UMU MUNDUKA, UWEYI USIMIZA BHO MAGULU.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile ubhusami bho mbula. Imbula yiniyo ulu lyushiga ilikanza lya goya gutula, amalunde gagandyaga guselema gayuja ng’weli.

Abhanhu ulubhugabhona amalunde genayo gagujaga ng’weli bhagamanaga iki imbula ilisama. Hunagwene bhagayombaga giki, “sama ya ngalu pa ijitumamilo umu munduka, uweyi usimiza bho magulu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadililaga jikolo jakwe bho gugulekanija umili gokwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’uwunuyo, agikalaga na jizwalo jishilile na  jiliwa jigehu aha kaya yake, aliyo isabho alinajo, kunguno ya gudilila jikolo kulebha umili gokwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga ukoya na nzala aha kaya bho jigugila isabho jakwe jiniyo, kunguno ya bhujidalonja bho mili gokwe bhunubho.

Umunhu ung’winuyo agikolaga nu ntuji ojitumamilo muloli uweyi oja bho gusimiza, kunguno nuweyi agadililaga jikolo jakwe bho gugulekanijia umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “sama ya ngalu pa ijitumamilo umu munduka, uweyi usimiza bho magulu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumamila isabho jabho bho guidilila chiza imimili yabho, kugiki bhadule guyilang’hana chiza, umukikalile kabho.

Mathayo 24:32-35.

Ufunuo 14:14-16.

KISWAHILI: UHAMAMI WA MGALU KUJAZA VITENDEA KAZI VYAKE KWENYE GARI, YEYE KUTEMBEA KWA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo, huangalia uhamaji wa mvua. Mvua hiyo ikifikia muda wake wa kuacha kunyesha, mawingu huanza kuelekea magharibi.

Watu wakiyaoana mawingu hayo yakielekea magharibi huelewa kwamba, mvua inahama. Ndiyo maana husema kwamba, “uhamaji wa mgalu kujaza vitendea kazi vyake kwenye gari, yeye kutembea kwa miguu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa haujali vizuri mwili wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huvaa nguo zilizochakaa na hukosa chakula kwenye familia yake wakati mali anazo, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo. Yeye husumbulia na tatizo la njaa kwenye familia yake hiyo kwa kutokuzitumia mali hizo kununua chakula, kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule muwekaji wa vitendea kazi vyake kwenye gari na yeye akitembea kwa miguu, maishani mwake, kwa sababu naye huvaa nguo zilizochakaa na kukosa chakula kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “uhamaji wa mgalu kujaza vitendea kazi vyake kwenye gari, yeye kutembea kwa miguu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia mali zao kwa kuitunza vizuri miili yao, ili waweze kuilinda vizuri, maishani mwao.

Mathayo 24:32-35.

Ufunuo 14:14-16.

bottle-88156__480

fiat-500-4322521__480

man-6900166__480

1103. IGOGO LYAB’ULAGA NZILA.

Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya b’ub’ulagi bho nzila bho ligogo. Iligogo linilo lililinti ilo lyalilyazwila bihi na nzila. Ilinti linilo ligagwa lyuyichib’a nzila iyo bhabhitilaga abhanhu kunguno ya bhutale bholyo mpaga bhushesha yingi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “igogo lyab’ulaga nzila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na nguzu ja gulemeja mihayo iyo idiyawiza, umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo agabhalemejaga abhana bhakwe agwikala na nhungwa ija bhubhi bho gubhalela mugwita mihayo ya wiza iyo idulile gubhambilija gwitogwa chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwiyambilija chiza umubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya bhunhana bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niligogo ilo ligachib’a nzila aho lyagwa, mpaga abhanhu bhushesha nzila yingi iyagubhitila, kunguno nuweyi agayilemaga imihayo iyabhubhi bho gubhalanga nhungwa jawiza abhanhu bhakwe, mpaga bhapandika solobho ya gwikala chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “igogo lyachib’a nzila.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja bhubhi bho gulidimila lililange lya wiza, kugiki bhadule gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza umuwikaji bhobho.

Waroma 3:21 – 24.

Luka 3: 21 – 22.

Mhubiri 11:36.

Luka 3:16.

KISWAHILI: GOGO LIMEUA NJIA.

Msemo huo, huongelea juu ya uuaji wa njia wa gogo. Gogo hilo ni mti ulioota na kukua karibu na njia. Mti huo, ulianguka ukaiziba njia ile waliokuwa wakiipitia watu kwa sababu ya ukubwa wake huo mpaga ikawabidi kutengezeka njia nyingine ya kupitia. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “gogo limeua njia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana nguzo na uwezo wa kupinga maovu katika maisha yake. Mtu huyo, huwalea watoto wake katika maadili ya kukataa uovu kwa kutenda matendo wema uwasaidiayo kuishi maisha ya upendo kati yao, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake kwa kuishi maisha ya kusaidiana vizuri katika kazi zao, kwa sababu ya kuyaishi kwake vizuri maadili hayo mema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na lile gogo lililoziba njia baada ya kuanguka, kwa sababu naye huyakataa maovu kwa kuwafundisha watoto wake kutenda mema siku zote. Ndiyo maana watu humuita kwamba “gogo limeua njia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kukataa uovu kwa kuyashikilia malezi ya kutenda wema, ili waweze kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Waroma 3:21 – 24.

Luka 3: 21 – 22.

Mhubiri 11:36.

Luka 3:16.

blockage-2751236__480

ENGLISH: A LOG KILLED A PATHWAY.

This saying talks about a road blocking of the log. This was the log which is a tree that grew near the path. Such tree fell and blocked the way which people were going through because of its size, so they had to make another way through. That is why those people said that, “a log killed a pathway.”

This saying is related to a person who has an ability to resist evil in his life. Such person raises his children in values ​​of rejecting evil by doing good deeds that help them to live a life of love among themselves, because of his honesty in his life. He brings up his family well by living a life of helping each other well in their daily works, because of his living those good values ​​well, in his life.

This person is like the log that blocked the way after falling, because he also rejects evil by teaching his children to do good all the time. That is why people call him “a log killed a pathway.”

This saying teaches people about rejecting evil by upholding the formation of doing good deeds, so that they can help each other well in their daily works.

Romans 3:21 – 24.

Luke 3: 21 – 22.

Ecclesiastes 11:36.

Luke 3:16.

1096. BHASANGIJA MJISEME JIMO.

Bhalihoyi bhanhu abho bhali na jiliwa jabho bhuli ng’wene abho bhikalaga muchalo ja Ngeme. Abhanhu bhenabho bhagiyangula gujisangija ijiwa jabho jinijo mujiseme jimo kugiki bhadule gulya kihamo kunguno bhalibhanwanile. Abhoyi bhagajisangija ijiliwa jabho mujiseme jimo bhandya gujilya kihamo ukunhu bhalilomela chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhasangijaga mjiseme jimo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gutumama milimo yabho kihamo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagimishaga diyu bhagagutumamaga unimo uyo bhagupangaga mpaka goshila na bhandya nimo gungi, kunguno ya bhutogwa bho gwiyambilija chiza chiniko, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagayitumamaga pye imilimo yabho na gupandika sabho ninghi, umubhutumami bhobho, kunguno ya wiyambilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagajisangija ijiliwa jabho mujiseme jimo bhuyulya kihamo, kunguno nabho bhagatumamaga milimo yabho kihamo bho gwiyambilija chiza, mpaga bhapandika sabho ninghi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhasangija mjiseme jimo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gutumama milimo yabho bho gwiyambilija kihamo, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Matendo 4: 32-37.

Kutoka 12:1-4.

 

KISWAHILI: WAMECHANGIA KWENYE CHOMBO KIMOJA.

Walikuwepo watu kwenye kijiji cha Ngeme waliokuwa na chakula chake kila mmoja. Watu hao waliamua kuchanganya chakula chao kwenye chombo kimoja ili waweze kula pamoja kwa sababu walikuwa marafiki. Wao walikichanganya chakula hicho kwenye chombo kimoja wakaanza kula huku wakiongea vizuri. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “wamechangia kwenye chombo kimoja.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kufanya kazi zao kwa pamoja, katika maisha yao. Watu hao huamushana asubuhi kwenda kuyatekeleza majukumu yao mpaga wanayamaliza ndipo wanaanza kazi nyingine, kwa sababu ya upendo wao wa kusaidiana vizuri hivyo, maishani mwao. Wao huyatekeleza vizuri majukumu yao na kupata mali nyingi, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliochangia chakula chao kwenye chombo kimoja wakala pamoja, kwa sababu nao hufanya kazi zao kwa kusaidiana vizuri, mpaka wanapata mali nyingi, maishani mwao. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “wamechangia kwenye chombo kimoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao kwa kusaidiana kwa pamoja, ili waweze kupata mali nyingi za kuwasaidia maishani mwao.

Matendo 4: 32-37.

Kutoka 12:1-4.

IMG_20200722_145409_8

 

ENGLISH: THEY HAVE PUT TOGETHER IN THE SAME CONTAINER.

There were people in Ngeme village who had their own food. They decided to mix their food in one container so that they could eat together because they were friends. They then started eating while talking well. That is why people told them that, “they have put together in the same container.”

This saying is compared to people who have an understanding of doing their works together, in their lives. They wake each other up in the morning for carrying out their duties, when they finish them, they start another job, because of their love of helping each other so well in their lives. They fulfill their duties well and get a lot of wealth, in their life.

These people resemble to those who contributed their food into one vessel and ate together, because they also do their works by helping each other well, until they get a lot of wealth in their lives. That is why people told them that, “they have put together in same container.”

This saying teaches people about having an understanding of carrying out their duties well by helping each other together, so that they can get many assets that can help them in their lives.

Acts 4: 32-37.

Exodus 12:1-4.

 

1095. DASANGA ILICHENE NAKALE.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile bhulanhani bho kajile kabhanhu abho bhikalaga muchalo jilebhe. Olihoyi munhu uyo akasamila muchalo ja Bukundi ubhasanga abhanhu bha kwene bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyiinha ludima bhuli ng’wene.

Umunhu ng’wunuyo agilunga nabho umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno agilanga chiza mpaga ukadebha akikalile kabho ako bhakandya kale kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalekelwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale noyi na ng’wigwano go wiza umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno ya gulikalana chiza ililange ilyawiza ilo bhalangwa na bhatale bhabho. Abhoyi bhagikalaga na jikolo nyinghi aha kaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho ugo gwiyambilija chiza chiniko uguitumama ilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulanhana ubhutumami ubho gwiinha ndima bhuli ng’wene ubho bhabhusanja gufumila kale, kunguno nabhoyi bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalangwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhoyi bhagayombaga giki, “dasanga ilichene nakale.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kujidimila inhungwa ijawiza bho gwiyambilija chiza ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

KISWAHILI: TULIKUTA IKO VILE TOKA ZAMANI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya utunzaji wa mwenendo wa maisha ya watu katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alihamia kwenye kijiji cha Bukundi akawakuta watu wa huko wakifanya kazi kwa kupeana zamu kwa kila mmoja.

Mtu huyo, aliungana nao katika utendaji huo wa kazi kwa sababu alijifunza vizuri mpaga akauelewa mwenendo huo ya maisha ambayo ulianza zamani. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huitunza tabia njema waliyoachiwa na wazazi wao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa sana na kwa uelewano mzuri katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuyaishi vizuri malezi mema waliyofundishwa na wakubwa wao. Wao hupata mali nyingi kwenye familia zao kwa sababu ya uelewano wao huo wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliuotunza utendaji wa kazi ule kwa kupeana zamu kwa kila mmoja, kwa sababu nao huyalinda malezi mema walifundishwa na wazazi wao kwa kuyaishi vizuri, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi mema kwa kusaidiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 5:17-18.

Yohana 1:1-8.

Mithali 8: 23-24.

ENGLISH: WE FOUND IT THAT WAY FROM THE PAST.

This saying talks about the maintenance of the way of life of the people in a certain village. There was a man who moved to the village of Bukundi and found the people there working in shifts.

Such person joined them in that work because he learned well and understood the way of life that started a long time ago. That is why those people said that, “we found it that way from the past.”

This saying is compared to people who keep good behavior that was left by their parents, in their lives. These people carry out their duties with great effort and with good understanding in their works, because of living well the good upbringing that was taught to them by their elders. They get a lot of wealth in their families because of their understanding of helping each other well in their daily works.

These people are similar to those who took care of the performance of the work by giving turns to each other, because they also protect the good upbringing which they were taught by their parents by living it well, in their lives. That is why they say that, “we found it that way from the past.”

This saying imparts in people an idea of living a good upbringing by helping each other well in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.

Matthew 5:17-18.

John 1:1-8.

Proverbs 8:23-24.

woman-6529392__480