Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile bhulanhani bho kajile kabhanhu abho bhikalaga muchalo jilebhe. Olihoyi munhu uyo akasamila muchalo ja Bukundi ubhasanga abhanhu bha kwene bhagatumamaga milimo yabho bho gwiyiinha ludima bhuli ng’wene.
Umunhu ng’wunuyo agilunga nabho umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno agilanga chiza mpaga ukadebha akikalile kabho ako bhakandya kale kenako. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “dasanga ilichene nakale.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalekelwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumamaga milimo yabho bho bhukamu bhutale noyi na ng’wigwano go wiza umubhutumami bhobho bhunubho, kunguno ya gulikalana chiza ililange ilyawiza ilo bhalangwa na bhatale bhabho. Abhoyi bhagikalaga na jikolo nyinghi aha kaya jabho kunguno ya ng’wigwano gobho ugo gwiyambilija chiza chiniko uguitumama ilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagabhulanhana ubhutumami ubho gwiinha ndima bhuli ng’wene ubho bhabhusanja gufumila kale, kunguno nabhoyi bhagajikalanaga chiza inhungwa ijawiza ijo bhalangwa na bhabyaji bhabho, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhoyi bhagayombaga giki, “dasanga ilichene nakale.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kujidimila inhungwa ijawiza bho gwiyambilija chiza ugutumama imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule kupandika matwajo minghi umuwikaji bhobho bhunubho.
Mathayo 5:17-18.
Yohana 1:1-8.
Mithali 8: 23-24.
KISWAHILI: TULIKUTA IKO VILE TOKA ZAMANI.
Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya utunzaji wa mwenendo wa maisha ya watu katika kijiji fulani. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alihamia kwenye kijiji cha Bukundi akawakuta watu wa huko wakifanya kazi kwa kupeana zamu kwa kila mmoja.
Mtu huyo, aliungana nao katika utendaji huo wa kazi kwa sababu alijifunza vizuri mpaga akauelewa mwenendo huo ya maisha ambayo ulianza zamani. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huitunza tabia njema waliyoachiwa na wazazi wao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa bidii kubwa sana na kwa uelewano mzuri katika kazi zao hizo, kwa sababu ya kuyaishi vizuri malezi mema waliyofundishwa na wakubwa wao. Wao hupata mali nyingi kwenye familia zao kwa sababu ya uelewano wao huo wa kusaidiana vizuri katika kazi zao, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale waliuotunza utendaji wa kazi ule kwa kupeana zamu kwa kila mmoja, kwa sababu nao huyalinda malezi mema walifundishwa na wazazi wao kwa kuyaishi vizuri, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “tulikuta iko vile toka zamani.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyaishi malezi mema kwa kusaidiana vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
Mathayo 5:17-18.
Yohana 1:1-8.
Mithali 8: 23-24.
ENGLISH: WE FOUND IT THAT WAY FROM THE PAST.
This saying talks about the maintenance of the way of life of the people in a certain village. There was a man who moved to the village of Bukundi and found the people there working in shifts.
Such person joined them in that work because he learned well and understood the way of life that started a long time ago. That is why those people said that, “we found it that way from the past.”
This saying is compared to people who keep good behavior that was left by their parents, in their lives. These people carry out their duties with great effort and with good understanding in their works, because of living well the good upbringing that was taught to them by their elders. They get a lot of wealth in their families because of their understanding of helping each other well in their daily works.
These people are similar to those who took care of the performance of the work by giving turns to each other, because they also protect the good upbringing which they were taught by their parents by living it well, in their lives. That is why they say that, “we found it that way from the past.”
This saying imparts in people an idea of living a good upbringing by helping each other well in fulfilling their responsibilities, so that they can achieve many successes in their lives.
Matthew 5:17-18.
John 1:1-8.
Proverbs 8:23-24.