Bhalihoyi bhanhu abho bhali na jiliwa jabho bhuli ng’wene abho bhikalaga muchalo ja Ngeme. Abhanhu bhenabho bhagiyangula gujisangija ijiwa jabho jinijo mujiseme jimo kugiki bhadule gulya kihamo kunguno bhalibhanwanile. Abhoyi bhagajisangija ijiliwa jabho mujiseme jimo bhandya gujilya kihamo ukunhu bhalilomela chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “bhasangijaga mjiseme jimo.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gutumama milimo yabho kihamo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagimishaga diyu bhagagutumamaga unimo uyo bhagupangaga mpaka goshila na bhandya nimo gungi, kunguno ya bhutogwa bho gwiyambilija chiza chiniko, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagayitumamaga pye imilimo yabho na gupandika sabho ninghi, umubhutumami bhobho, kunguno ya wiyambilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhagajisangija ijiliwa jabho mujiseme jimo bhuyulya kihamo, kunguno nabho bhagatumamaga milimo yabho kihamo bho gwiyambilija chiza, mpaga bhapandika sabho ninghi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “bhasangija mjiseme jimo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gutumama milimo yabho bho gwiyambilija kihamo, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.
Matendo 4: 32-37.
Kutoka 12:1-4.
KISWAHILI: WAMECHANGIA KWENYE CHOMBO KIMOJA.
Walikuwepo watu kwenye kijiji cha Ngeme waliokuwa na chakula chake kila mmoja. Watu hao waliamua kuchanganya chakula chao kwenye chombo kimoja ili waweze kula pamoja kwa sababu walikuwa marafiki. Wao walikichanganya chakula hicho kwenye chombo kimoja wakaanza kula huku wakiongea vizuri. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “wamechangia kwenye chombo kimoja.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano wa kufanya kazi zao kwa pamoja, katika maisha yao. Watu hao huamushana asubuhi kwenda kuyatekeleza majukumu yao mpaga wanayamaliza ndipo wanaanza kazi nyingine, kwa sababu ya upendo wao wa kusaidiana vizuri hivyo, maishani mwao. Wao huyatekeleza vizuri majukumu yao na kupata mali nyingi, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale waliochangia chakula chao kwenye chombo kimoja wakala pamoja, kwa sababu nao hufanya kazi zao kwa kusaidiana vizuri, mpaka wanapata mali nyingi, maishani mwao. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba, “wamechangia kwenye chombo kimoja.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao kwa kusaidiana kwa pamoja, ili waweze kupata mali nyingi za kuwasaidia maishani mwao.
Matendo 4: 32-37.
Kutoka 12:1-4.
ENGLISH: THEY HAVE PUT TOGETHER IN THE SAME CONTAINER.
There were people in Ngeme village who had their own food. They decided to mix their food in one container so that they could eat together because they were friends. They then started eating while talking well. That is why people told them that, “they have put together in the same container.”
This saying is compared to people who have an understanding of doing their works together, in their lives. They wake each other up in the morning for carrying out their duties, when they finish them, they start another job, because of their love of helping each other so well in their lives. They fulfill their duties well and get a lot of wealth, in their life.
These people resemble to those who contributed their food into one vessel and ate together, because they also do their works by helping each other well, until they get a lot of wealth in their lives. That is why people told them that, “they have put together in same container.”
This saying teaches people about having an understanding of carrying out their duties well by helping each other together, so that they can get many assets that can help them in their lives.
Acts 4: 32-37.
Exodus 12:1-4.