mother tongue

1113. NALINDUHU UGUKANGWA.

Akahayile kenako kanhoyelile munhu uyo olidakangagwa umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, oliang’wisanije Se uyo oli na nguzu ja gubhaheb’a pye abhose abho bhang’wibhonelaga umuchalo jakwe. Hunagwene ung’wana okwe ng’wunuyo, agayomba giki, “nalinduhu ugukangwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ang’wisanije Mulungu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo alina guzunya gutale ukuli Mulungu kunguno amanile igiki Uwei adulile yose na adikomile guhewa na Jisunva josejose. Uweyi agikalaga mhola aha kaya yakwe kihamo na bhanhu bhakwe, kunguno ya gung’wisanya Mulungu uyo agabhalang’hanaga makanza gose abhanhu, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo oliang’wisanije myaji okwe uyo oli na nguzu ningi, kunguno nuweyi ang’wisanije Mulungu uyo alinduja o jose, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nalinduhu ugukangwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gunzunya na gung’wisanya Mulungu uyo adulile gubhalang’hana chiza umubhulamu bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umukaya jabho.

Zaburi 71:1-6.

Mathayo 6:25-27.

Zaburi 7:2-3.

Mathayo 11: 27-30.

Zaburi 3:2-4.

KISWAHILI: SIKO KUTISHWA.

Msemo huo huongelea juu ya mtu yule ambaye hatishwi katika maisha yake. Mtu huyo, ana baba yake anayemtegemea ambaye ana nguvu nyingi za kumwezesha kuwashinda wote wanaomuonea katika kijiji chake. Ndiyo maana mtoto wake huyo, husema kwamba, “siko kutishwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humtegemea Mungu katika maisha yake. Mtu huyo, alishamwamini Mungu kwa imani kubwa kwa sababu Yeye aweza yote na hashindwi na viumbe wake. Yeye huishi salama pamoja na wanafamilia wake kwa sababu ya kumtegemea Mungu aliyeumba vitu vyote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemtegemea baba yake aliyekuwa na nguvu nyingi, kwa sababu naye pia humtegemea Mungu awezaye yote. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “siko kutishwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumwamini Mungu na kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani, katika familia zao.

Zaburi 71:1-6.

Mathayo 6:25-27.

Zaburi 7:2-3.

Mathayo 11: 27-30.

Zaburi 3:2-4.

father-5469311__480

fall-7584009__480

ENGLISH: I AM NOT THREATENED.

This saying speaks about the person who is not threatened in his life. Such person has a father to whom he depends on because of Him having a lot of power enough to enable him defeat all those who hate him in his village. That is why his son, says that, “I am not threatened.”

This saying is related to the person who depends on God in his life. Such person believed in God with great faith because He can do everything and He does not fail His creatures. He lives safely with his family members because of relying on God, who created all things.

This person is like the child who depended on his father who had a lot of power, because he also depends on God who can do everything. That is why he says that, “I am not threatened.”

This saying, imparts in people an idea of believing in God and relying on Him in their lives, so that they can live in peace with one another in their families.

Psalm 71:1-6.

Matthew 6:25-27.

Psalm 7:2-3.

Matthew 11: 27-30.

Psalm 3:2-4.

father-and-daughter-6585096__480

1112. KALAGU – KIZE. MUNHU NG’WENUYU NADAMANILE UKO AFUMILE NUKO AJILE – LUYAGA.

Ikalagu yiniyo ihoyelile higulya ya luyaga. Uluyaga lunulo lugahuyembaga lujile mumabala matale aliyo lulu ludamanyikile uko lulifumila nuko lujile. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “munhu ng’wenuyu nadamanile uko afumilile nuko ajile – Luyaga.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina shimile ishawiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga uyunga sagala bho nduhu ugulenda aha kaya yakwe kunguno ya bhukokolo bho guduma gutumama milimo yakwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya bhujidalenda ha ng’wakwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu luyaga ulo ludamanyikile uko lufumilile nuko lujile, kunguno nuweyi agikalaga uyunga sagala bho nduhu ugulenda aha kaya yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu nadamanile uko afumile nuko ajile – Luyaga.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na jimile ja nhungwa jawiza ijo jidulile gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Waebrania 7:1-3.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUYU SIJUI ATOKAKO NA AENDAKO – UPEPO.

Kitendawili hicho huongelea juu ya upepo. Upepo huo huvuma kuelekea sehemu mbalimbali, lakini huwa haujulikani unakotoka na unakoelekea. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtu huyu sijui atokako na aendako – Upepo.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hana msimamo mzuri katika maisha yake. Mtu huyo, hupendelea kutembea hovyo bila kutulia kwenye familia yake kwa sababu ya uvivu wake wa kutokufanya kazi. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kutokutulia nyumbani kwake huko, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule upepo usiojulikana kule uendako na ulikotoka, kwa sababu naye hudhurura hovyo bila kutulia nyumbani kwake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu sijui atokako na aendako – Upepo.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na msimamo wenye tabia njema ya kuwawezesha kuzilea vyema familia zao, maishani mwao, ili waweze kupata maendeleo makubwa, maishani mwao.

Waebrania 7:1-3.

cyclone-2102397__480

banner-1076214__480

tree-3191872__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I DO NOT KNOW WHERE THIS MAN COMES FROM AND WHERE HE IS GOING – THE WIND.

This riddle talks about the wind. This wind blows in different directions, but no one knows where it comes from and where it is going. That is why people say that, “I do not know where this man comes from and where he is going – the wind.”

This puzzle is compared to the person who does not have a good position in his life. Such person, prefers to walk carelessly without settling well in his family because of his laziness of not working. He fails to bring progress to his family properly because of his unsettled home there in life.

This person is like the wind that one does not know where it is going and where it came from, because he also stays carelessly without working well in his home in life. That is why people tell him that, “I do not know where this man comes from and where he is going – the wind.”

This riddle teaches people about having a good attitude that can enable them to raise their families well, in their lives, so that they can achieve great progress in their lives.

Hebrews 7:1-3.

 

 

1111. KALAGU – KIZE. NAGANG’WIGWAGA ALIYO NADAMONAGA – ILAKA.

Ikalagu yiniyo ilolile ilaka ilo agaligwaga munhu bho nduhu ugulibhona. Olihoyi munhu uyo agigwa ilaka liling’witana bho nduhu ugumhona umunhu uyo alimwitana. Umunhu ng’wunuyo, agidika na gutimija iyo lyang’wilaga ililaka linilo. Hunagwene abhanhu bhagiganila giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhigwaga chiza abho bhagang’wilaga mihayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agatumagwa gujutumama milimo na bhiye oja ugaitimija chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe. Uwei agikalaga bho mholele na bhiye kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agwigwa ilaka liling’witana widika bho nduhu ugumona umunhu uyo aling’witana, kunguno nuwei agiigwaga chiza imihayo iyo bhaling’wila abhiye, na guyitimija chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nagang’wigwaga aliyo nadamonaga – ilaka.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya nhungwa ja guigwa chiza imihayo ya bhichabho na guitimija, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NAMSIKIA LAKINI SIMUONI – SAUTI.

Kitendawili hicho huangalia sauti ambayo mtu huisikia bila kuiona. Alikuwepo mtu mmoja ambaye alisikia sauti ikimuita bila kumuona mtu yule anayemuita. Mtu huyo, aliitika na kutekeleza kile alichoambiwa na ile sauti. Ndiyo maana watu walihadithiana kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasikia vizuri watu wanaompatia ujumbe na kuutekeleza, maishani mwake. Mtu huyo hutumwa kwenda kutekeleza majukumu na wenzake na kuyatii vizuri kwa sababu ya unyofu wake huo, katika maisha yake. Yeye huishi kwa amani na wenzake kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitii sauti iliyomuita bila kumuona mtu aliyemuita, kwa sababu naye huyasikiliza vizuri maneno anayoambiwa na wenzake na kuutekeleza ujumbe aliyopewa. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “namsikia lakini simuoni – Sauti.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia ya kuyasikilia na kuyaelewa maneno ya wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao.

Luka 3:4-6.

Luka 1: 46-47.

Yohane 1: 29 – 34.

Zaburi 55: 1-6.

Luka 3:22.

Yohane 10:1-5.

Warumi 20:18.

woman-6920629__480

parade-2657870__480

dance-5173941__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HEAR IT BUT I DO NOT SEE IT – VOICE.

The overhead riddle looks at the sound that one hears without seeing. There was a person who heard a voice calling him without seeing the person calling him. Such man responded and did what the voice told him. That is why people told each other that, “I hear it but I do not see it – Voice.”

This paradox is compared to the person who listens well to people who give him a message and implements it in his life. Such person is sent to carry out duties by his colleagues whom he obeys them well because of his sincerity in life. He lives in peace with his colleagues because of his honesty in his life.

This person resembles the one who obeyed the voice that called him without seeing the person who called him, because he also listens well to the words which are said to him by his colleagues and carries out the message that is given to him. That is why he says, “I hear it but I do not see it – Voice.”

This riddle instills in people an idea of having habit of listening and understanding words of their nobles, so that they can courteously raise their families.

Luke 3:4-6.

Luke 1: 46-47.

John 1: 29 – 34.

Psalm 55: 1-6.

Luke 3:22.

John 10:1-5.

Romans 20:18.

 

1110. KALAGU – KIZE. NINA BHANA BHATANO INGOFILA BIYIKOJIJE – NJALA.

Ikalagu yiniyo iholelile higulya ya wiikoji bho njala na katumamila kajo. Injala ijamumakono nija kumagulu jiniyo jigikalaga jiikolile kunguno jili tano ijo jigatumama milimo bho gwiyambilija chiza. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu bhanhu bhagikalaga bhidebhile chiza umukatumamile ka milimo yabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga bhutumama milimo bho witogwi bhutale kunguno ya ng’wigwano gobho uyo bhalinago umuwikaji bhobho. Abhoyi bhabhakujije abhichabho kunguno ya nhungwa jabho ijawiza jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga ni njala ijo jiikojije ni ngofila na kiyambiligije ka bhutumami bho milimo, kunguno na bhoyi bhali na nhungwa jawija pye abhose ijo jigabhambilijaga kutumama milimo yabho chiza. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “Nina bhana bhatano ingofila biikojije – Injala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ija gutumama milimo kihamo bho gwiyambilija chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

 

KISWAHILI: KITENGAWILI –  TEGA.

NINA WATOTO WATANO KOFIA ZAO ZINAFANANA – KUCHA.

Kitendawili hicho huongelea juu ya ufananaji wa kucha na utendaji wake wa kazi. Kucha za miguuni na zile za mikononi zinafanana kwa sababu ni tano ambazo hufanya kazi kwa kusaidiana vizuri. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hulinganishwa kwa watu wale ambaho wanaelewana vizuri katika utekelezaji wa kazi zao. Watu hao hufanya kazi kwa pamoja na kwa upendo mkubwa kwa sababu ya uelewano huo wao maishani mwao. Watu hao huwaheshimu wenzao vizuri kwa sababu ya tabia yao hiyo kuwa nzuri, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na zile kucha zenye kofia za kufanana na ambazo hushirikiana katika kufanya kazi, kwa sababu nao wana tabia njema ambayo huwasaidia kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “nina watoto watano kofia zao zinafanana – kucha.”

Kitendawili hicho hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuyatekeleza majukumu yao wakisaidiana vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Yohana 15:9.

Wagalatia 3:27.

Wagalatia 2:20.

mug-2568355__480

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

I HAVE FIVE CHILDREN WHOSE HATS ARE THE SAME – NAILS.

The above riddle talks about similarity of nails and their functions. Fingernails and toenails are similar because there are five of them that work well together. That is why people tell each other that “I have five children whose hats are the same – nails.”

This paradox is compared to people who understand each other well in the implementation of their works. These people work together and with great love because of such understanding of one another in their lives. They people respect their nobles well because of their good behaviors in their lives.

These people are similar to those nails of similar hats that cooperate in working, because they also have good behavior that helps them in carrying out their duties well. That is why people say that, “I have five children whose hats are the same – nails.”

This riddle teaches people about having a good attitude enough to enable them carry out their duties by helping each other well, so that they can achieve many successes in their lives.

John 15:9.

Galatians 3:27.

Galatians 2:20.

 

1109. ABHENABHO BHAKALIMANZILA BHABEHA MASU MINGI.

Akahayile kenako kalolile bhanhu abho bhalimaga ngunda ha bihi na nzila. Abhanhu bhenabho bhagishiyagwa na bhanhu bhingi abho bhabhitaga ha nzila yiniyo kunguno ya bhubihi bho ngunda gunuyo ni njia yiniyo. Abhoyi bhabhizaga guti giki bhalibeha masu ga bhanhu abho bhabhitaga hoyi bhabhagisha bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagabhawila giki “abhenabho bhakalimanzila bhabeha masu mingi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhakima abho bhagikalaga b’iyunga sagala umukikalile kabho. Abhakima bhenabho bhagamanaga bhugalukija bhagosha kunguno ya bhulamba bhobho bhunubho umukikalile kabho. Abhoyi bhagadumaga ugujibheja ikaya jabho kunguno ya gumana bhiyunga sagala chiniko umuwikaji bhobho.

Abhakima bhenabho bhagikolaga na bhanhu abho bhalimaga ha nzila iyo bhagishiyagwa na bhanhu bhingi, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhagosha bhingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “abhenabho bhakalimanzila bhabeha masu mingi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhib’embu umuwitoji bhobho, kugiki bhadule gubhalela chiza abhana bhabho bhenabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:1-9.

KISWAHILI: HAO WALIMA NJIA WAMEVUTA HARUFU NYINGI.

Msemo huo huangalia watu waliolima shamba lao karibu na njia. Watu hao walikuwa wakisalimiwa na watu wengi kwenye shamba lao hilo kwa sababu ya kuwa karibu sana na njia hiyo. Wao walikuwa kama hananusa harufu za watu wote waliopitia kwenye njia hiyo. Ndiyo maana watu waliwaambia kwamba. “Hao walima njia wamevuta harufu nyingi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wanawake wale ambao hutembea hovyo katika maisha yao. Wanawake hao, hubadilisha wanaume mara nyingi kwa sababu ya umalaya wao huo katika maisha yao. Wao hushindwa kuiendeleza miji yao kwa sababu ya kupenda kudhurula hovyo kwao huko, maishani mwao.

Wanawake hao hufanana na wale wakulima waliolima shamba lao karibu na njia wakawa wakisalimiwa na watu wengi, kwa sababu nao huishi na wanaume wengi katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba “Hao walima njia wamevuta harufu nyingi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa watulivu katika maisha yao ya ndoa, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-32.

Yoshua Bin Sira 9:1-9.

farmer-2839112__480

farmer-6318173__480

asia-4465960__480

ENGLISH: THOSE TILLING THE ROAD HAVE INHALED A LOT OF SMELL.

This saying refers to the people who cultivated their fields near the road. Those people were greeted by many people on their farm because of being so close to such road. They were like smelling the scents of all the people who passed through such path. That is why people told them that. “Those tilling the road have inhaled a lot of smell.”

This saying is compared to women who walk carelessly in their lives. These women, change men many times because of their being prostitutes in their lives. They fail to develop their families because of harming their family members carelessly by misbehaving in their lives.

These women are similar to those farmers who cultivated their fields near the road and were greeted by many people, because they also live with many men in their lives. That is why people speak about them that “Those tilling the road have inhaled a lot of smell.”

This saying teaches people on how to be calm by behaving in their married life, so that they can raise well their families, in their lives.

Matthew 5:27-32.

Joshua Bin Sirach 9:1-9.