mother tongue

1154. IGUMA NGOB’O.

Iguma ngob’o bhuli bhugwishi bho ng’wenda bho ng’wa mayu umo uyo oli halibhilinga lya bhanhu bhingi. Umayu ng’wunuyo agaguguma ung’wenda gokwe gunuyo bho nduhu ugumana kunguno bhali bhanhu bhingi noyi aha lubhanza lunulo. Hunagwene abhanhu bhagalwitana ulubhanza lunulo giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adina witegekeleza bhutale ubho gujilanhana chiza ijikolo jakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala duhu ijikolo jakwe jinijo, kunguno ya gugaiya uwitegeleja ubho gujilanhana chiza isabho jakwe jinijo. Uweyi agajilekanijaga mpaga jajimila ijikolo jakwe jinijo kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu mayu uyo agaguma ng’wenda gokwe halibhilinga mpaga gujimila, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe, mpaga jajimila, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “iguma ngob’o.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilabhila chiza ijikolo jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

KISWAHILI: IDONDOSHA NGUO.

Indodosha nguo ni uangushaji wa nguo uliotokea kwa mama mmoja aliyekuwa kwenye mkusanyiko wa watu. Mama huyo, aliidondosha nguo yake hiyo bila kuelewa kwa sababu ya wingi wa watu waliokusanyika kwenye mkutano huo. Ndiyo maana watu waliuita mkutano huo kuwa ni “idondosha nguo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana umakini wa kuvitunza vizuri vitu vyake katika maisha yake. Mtu huyo, huvitelekeza hovyo mali zake kwa kuziacha bila uangalizi mzuri, kwa sababu ya kuukosa huo umakini wa kuzitunza vizuri mali zake hizo. Yeye huviacha kwa kuvisahau sehemu fulani mali zake hizo, mpaka zinapotea kwa sababu ya kutokuzijali vizuri kwake mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mama aliyeangusha nguo yake kwenye mkusanyiko wa watu mpaka ikapotea, kwa sababu naye huvitelekeza vitu vyake mpaka vinapotea, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “idondosha nguo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuzitunza vizuri, mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Kutoka 16: 2-3.

Mathayo 21: 8-9.

cloth-1088911__480

1153. KALAGU – KIZE. KAGINHU KADOO KAMFULAMYA NTEMI – KAYUKI.

Oliyohi ntemi uyo agajikomya nzuki ijo jalitelile bihi na aha kaya yakwe. Inzuki jinijo jigandya gunuma untemi ng’unuyo wandya gupela mpaga ujishiga kunguno agamala gete iki, jidulile gumulaga ulu witimbilija. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – kayuki.”

Ikalagu yiniyo igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajidalahijaga iginhu ijidoo bho gujikorosha ijo jigabhalemelaga, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagabhikoroshaga abhibhabho abho bhagikalaga bhalyehile kunguno ya libhengwe lyabho linilo ukubhichabho bhenabho. Abhoyi bhagalipishiyagwa majikolo mingi kunguno ya wikorosha bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu ntemi uyo agajikomya nzuki junuma wandya kupela mpaga ujishiga, kunguno nabhoyi bhagabhikoroshaga abhanhu abhalyehu abho bhagabhakanyaka mpaga bhalipishiwa majikolo mingi, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “kaginhu kadoo kamfulamya ntemi – Kayuki.”

Ikalagu yiniyo yalanga bhanhu higulya ya guleka lib’engwe lya gujikorosha sagala ijisumva ijo jilyehile, kugiki bhadule gwikala bho mholele umuwikaji bhobho.

Isaya 5: 16 -17.

 

KITENDAWILI – TEGA.

MDUDU MDOGO AMEMHANGAISHA MTEMI – NYUKI.

Alikuwepo Mfalme aliyewachokoza nyuki waliokuwa wamejenga mzinga karibu na nyumbani mwake. Nyuki hao walianza kumuuma, naye akimbia mpaga akawaacha kwa sababu alielewa kabisa kwamba akibaki pale wanaweza kumuua. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – Nyuki.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao huvidharau vitu vidogo kwa kuvichokoza ambavyo huwashinda katika maisha yao. Watu hao huwachokoza wenzao ambao huishi kwa upole, kwa sababu ya dharau zao hizo kwa wenzao. Wao hupewa faini ya kulipa mali nyingi baada ya kushindwa kesi, kwa sababu ya ukorofi wao huo kwa wenzao, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na yule mfalme aliyewachokoza nyuki wakamuuma mpaga akakimbia, kwa sababu nao huwachokoza watu walio wapole ambao huwashinda kesi na kuwalipisha mali nyingi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “mdudu mdogo amemhangaisha mfalme – nyuki.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na dharau ya kuvichokoza viumbe vilivyotulia, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Isaya 5: 16 -17.

bee-4913122__480

 

 

 

1152. KALAGU – KIZE. MUNHU NG’WENUYU YAMFULAMYAGA – NZALA.

Inzala bhuligayiwa bho jiliwa ja gulya ukuli munhu nhebhe. Inzala yiniyo iganendeejaga umunhu uyo adalile kunguno agamalaga inguzu ijo agajipandikaga ulu ulya jiliwa. Iyoyi igamajaga ulubhango umunhu uyo adalile kuli likanza lilihu. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yinihyo igalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo aginogolelagwa ugutumama imilimo yakwe yiniyo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na nzala bhuli makanza aha kaya yakwe, kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagayiwa ijiliwa uyukoyiwa na nzala, kunguno nuweyi agakoyiyagwa na nzala ya kugayiwa jiliwa ja gulya aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “munhu ng’wenuyu yamfulamyaga – nzala.”

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gwigumbija kutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gumalila ikoye lya nzala umukaya jabho.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MTU HUYO IMEMHUZUNISHA  – NJAA.

Njaa ni ukosefu wa chakula cha kula kwa mtu fulani. Njaa hiyo humhudhunisha mtu yule ambaye hajala chakula hicho kwa muda mrefu kwa sababu ya kukosa nguvu ambazo huletwa na chakula anapokila. Yenyewe humsosesha raha mtu ambaye hajala chakula kwa kipindi kirefu. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa unyonge huo kwa sababu ya uvivu wake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa kwenye familia yake kwa sababu ya kushindwa kupata chakula cha kutosha kula maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyehudhunishwa na njaa kwa sababu naye hukosa chakula cha kula kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyo imemhuzunisha – njaa.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kupata chakula cha kutosha kulimaliza tatizo hizo la njaa, katika familia zao.

Mathayo 5:6.

Mathayo 11:28.

Marko 8:1- 4.

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT HAS MADE THAT PERSON SAD – HUNGER.

Hunger is the lack of food for someone to eat. It saddens a person who has not eaten that food for a long time because he/she lacks energy that is brought by the food after eating it. It makes such person who has not eaten for a long time feel uncomfortable. That is why people tell him that, “It has made that person sad – hunger.”

This enigma is compared to a person who is lazy to works in his life. Such person does his works with such weakness because of his laziness. He suffers from hunger problem in his family because of not being able to get enough food to eat in his family.

This person resembles the one who suffered from hunger problem, because he also lacks food in his family. That is why people tell him that, “It has made that person sad – hunger.”

This riddle teaches people about abandoning laziness by forcing themselves to do their daily jobs well, so that they can get enough food to end up the problem of hunger in their families.

Matthew 5:6.

Matthew 11:28.

Mark 8:1-4.

 

 

kid-6772300__480

 

1151. LEGENDO KI ULWENULU?

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhali mulugendo lo guja hanhu. Abhanhu bhenabho bhikilakilaga umulugendo lobho lunulo kunguno abhangi bhajaga bhagololile bho gukaja chiza, aliyo lulu bhangi bhitujatujaga bho gwigedyagedya umunzila.yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhabhuja giki “lugendo ki ulwenulu?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho bho nduhu ugujilanija chiza, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagatumamaga milimo yabho bho gwigedyagedya kunguno ya gugayiwa witegeleja umubhutumami bho milimo yabho yiniyo. Abhoyi bhagadumaga udupandika isabho umu kaya jabho kunguno ya gugayiwa uwitegeleja bhunubho ubho gujilanija chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhasiminzaga bho nduhu ugujilanija chiza umulugendo lobho lunulo, kunguno nabhoyi bhadajilanijaga chiza umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, umukikalile kabho kenako. Hunagwene abhanhu bhagabhabhujaga giki “lugendo ki ulwenulu?”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo yabho bho gujilanija chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 25:1-13.

Luka 13:24.

KISWAHILI: SAFARI GANI HII?

Chanzo cha msemo huo kilianzia kwa watu waliokuwa katika safari yao ya kwenda sehemu fulani. Watu hao, walikuwa wakitembea kwa kutofautiana, huku wengine walinyosha wakitembea kwa haraka katika safari yao hiyo, lakini baadhi yao walitembea polepole huku wakisimama sehemu mbalimbali. Ndiyo maana watu waliwauliza kwamba, “safari gani hii?’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao bila kuwa na umoja wenye ushirikiano mzuri, katika maisha yao. Watu hao, hufanya kazi zao kwa kusitasita kwa sababu ya kukosa umaskini wa kushikiriana kwa umoja katika utekelezaji wa majukumu yao hayo. Wao hushindwa kupata mali nyingi kwenye familia zao, kwa sababu ya kukosa huo umakini wenye ushirikiano wa kufanya kazi zao vizuri, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliosafiri bila kuwa na umoja wa kuendana kwa pamoja katika safari yao hiyo, kwa sababu nao huwa hawaendani vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao. Ndiyo maana watu huwauliza kwamba, “safari gani hii?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa kuwa na ushirikiano wa kuendena vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mali nyingi, maishani mwao.

Mathayo 25:1-13.

Luka 13:24.

ENGLISH: WHAT JOURNEY IS THIS?

The source of the above saying started from people who were on their journey to a certain place. They were walking differently, while others stretched out walking quickly on their journey, but some of them walked slowly while stopping at different places. That is why people asked them that, “What journey is this?”

This saying is related to people who do their works without having good cooperation in their families. Those people do their works reluctantly because of the lack of unity in fulfilling their duties. They fail to get good enough wealth to run their families, because of lack of that cooperative focus in doing their daily jobs well in their societies.

These people are similar to those who traveled without having unity of going together in their journey, because they also do not go well together in fulfilling their daily duties. That is why people ask them that, “What journey is this?”

This saying imparts in people an idea of doing their jobs by having good cooperation enough to go well in fulfilling their daily responsibilities, so that they can get a lot of wealth in their families.

Matthew 25:1-13.

Luke 13:24.

people-7271043__480

1150. NISENGEKELAGA MACHIMU NA MASONGA.

Ugwisengekela ili gubhucha nulu guzega michimu na masonga. Amachimu jili jilanga ja guchimila. Amasonga gali jilanga ja gulasila ginhu nulu bhanishi bho gutumila bhuta.

Ulihoyi munhu uyo agazega jilanga jakwe kunguno ojaga gujitula na bhanishi bhakwe. Hunagwene abhanhu obhawilaga giki, “nisengekelaga machimu na masonga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolaga jilanga ja gutumamila milimo yakwe chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga higiki bhuli makanza bho gutumamila jilanga jawiza umumilimo yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga sabho ningi umubhutumami bhokwe kunguno ya gutumila jilanga ja wiza umumilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhucha machimu na masonga aho ajile kubhulugu, kunguno nuweyi agasolaga jitumamilo jawiza umubhutumami bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nisengekelaga machimu na masonga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumamila jilanga jawiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Luka 14:31.

KISWAHILI: NIMEBEBA MIKUKI NA MISHALE.

Mikuki ni silaha za kuchomea kitu fulani. Mishale nazo ni silaha za kuchomea kitu au adui kwa kutumia upinde. Alikuwepo mtu aliyebeba silaha zake hizo kwenda kupigana na adui zake. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “nimebeba mikuki na mishale.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hubeba silaha nzuri za kufanyia kazi zake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa tayari kila wakati kwa kubeba na kutumia silaha zitakiwazo katika utekelezaji wa majukumu yakwe, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake kwa sababu ya kutumia silaha nzuri katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu aliyebeba mikuki na mishale alipokuwa akienda vitani, kwa sababu naye huchukua zana nzuri za kufanyia kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimebeba mikuki na mishale.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia silaha nzuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 14:31.

ENGLISH: I HAVE CARRIED SPEARS AND ARROWS.

Spears are weapons for chopping something. Arrows are also weapons for slicing something or an enemy by using a bow. There was a man who carried his weapons in fighting against his enemies. That is why he told the people that, “I have carried spears and arrows.”

This saying is compared to a person who carries good weapons enough to do his works in his life. Such person is always ready to carry and use the necessary weapons in the execution of his duties, because of his attention. He gets a lot of successes in his works because of using good weapons in fulfilling his daily responsibilities.

This person resembles to the person who carried spears and arrows when he was going to war, because he also takes good tools for doing well his works in fulfilling his duties. That is why he tells people that, “I have carried spears and arrows.”

This saying teaches people about using good weapons in the execution of their duties, so that they can get a lot of successes in their families.

Luke 14:31.

hadza-6397205__480