1150. NISENGEKELAGA MACHIMU NA MASONGA.

Ugwisengekela ili gubhucha nulu guzega michimu na masonga. Amachimu jili jilanga ja guchimila. Amasonga gali jilanga ja gulasila ginhu nulu bhanishi bho gutumila bhuta.

Ulihoyi munhu uyo agazega jilanga jakwe kunguno ojaga gujitula na bhanishi bhakwe. Hunagwene abhanhu obhawilaga giki, “nisengekelaga machimu na masonga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolaga jilanga ja gutumamila milimo yakwe chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga higiki bhuli makanza bho gutumamila jilanga jawiza umumilimo yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga sabho ningi umubhutumami bhokwe kunguno ya gutumila jilanga ja wiza umumilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhucha machimu na masonga aho ajile kubhulugu, kunguno nuweyi agasolaga jitumamilo jawiza umubhutumami bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “nisengekelaga machimu na masonga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumamila jilanga jawiza umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho.

Luka 14:31.

KISWAHILI: NIMEBEBA MIKUKI NA MISHALE.

Mikuki ni silaha za kuchomea kitu fulani. Mishale nazo ni silaha za kuchomea kitu au adui kwa kutumia upinde. Alikuwepo mtu aliyebeba silaha zake hizo kwenda kupigana na adui zake. Ndiyo maana aliwaambia watu kwamba, “nimebeba mikuki na mishale.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hubeba silaha nzuri za kufanyia kazi zake katika maisha yake. Mtu huyo, huwa tayari kila wakati kwa kubeba na kutumia silaha zitakiwazo katika utekelezaji wa majukumu yakwe, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hupata mafanikio mengi katika kazi zake kwa sababu ya kutumia silaha nzuri katika kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu aliyebeba mikuki na mishale alipokuwa akienda vitani, kwa sababu naye huchukua zana nzuri za kufanyia kazi zake, katika utekelezaji wa majukumu yake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “nimebeba mikuki na mishale.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia silaha nzuri katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Luka 14:31.

hadza-6397205__480

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.