mother tongue

1166. NHAB’ALA HU KI?

Aho kale olihoyi munhu uyo oliosata umuchalo ja Ndoleleji. Umunhu ng’wunuyo, ojaga ukositali oginhiwa ubhugota ubho obhutumilaga mpaga bhoshila aliyo ugupila nduhu. Uweyi wiyumilijaga duhu kunguno oliamanile igiki ubhupanga bhokwe bhuli kuli Nsumbi wi Wigulu na Sii. Hunagwene obhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga ulu opandikaga makoye bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhilile ugugulanhana chiza umili gokwe bho guja gusitali ulu alisata ukunu aling’wisanya Mulungu kunguno alina guzunya gutali ukuli Weyi. Uweyi agabhambilija bhanhu bhingi abho bhali na makoye ijinagung’wisanya Mulungu kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, kunguno nuweyi agapandikaga makoye wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene agabhujaga giki, “nhab’ala hu ki?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija bho gung’wisanya Mulungu ulu bhapandikaga makoye umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala na mholele, umu kaya jabho jinijo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

KISWAHLI: MATESO NI NINI?

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeugua ugonjwa kwenye kijiji cha Ndoleleji. Mtu huyo, alienda hospitalini akapewa dawa alizozitumia mpaka zikaisha bila kupona ugonjwa wake huo. Yeye alivumilia tu kwa sababu alielewa kwamba uhai wake uko mikononi mwa Muumba wa Mbingu na Nchi. Ndiyo maana aliuza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu kuitunza vizuri afya yake kwa kwenda hospitalini anapougua huku akimtumainia Mungu, kwa sababu ya imani yake kuwa kubwa kwa Muumba wake huyo. Yeye huwasaidia watu wengi ambao wana matatizo katika kumtegemea Mungu kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeugua ugonjwa akavumilia kwa kumtegemea Mungu, kwa sababu naye huvumilia matatizo yake kwa kumtegemea Mungu, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana yeye huuliza kwamba, “mateso ni nini?”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na imani kwa Mungu ya kuwawezesha kuvumilia matatizo yao kwa kumtegemea Yeye maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani katika familia zao hizo.

Ayubu 6:1-4.

Ayubu 7:4-8.

Mathayo 15:29-31.

Marko 5:25-28.

operation-80124__480

1165. SHULI MAB’ELE HA NYANGO.

Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ng’ombe ja mab’ele aha kaya ndebhe, kunguno ishuli hi ng’ombe. Yalihoyi kaya imo iyo yali na ng’ombe kaganda umuchalo ja Sanjo. Ikaya yiniyo yikalaga yuliila mab’ele bhuli lushugu kunguno ya mitugo ijo bhali najo jinijo umukikalile kabho. Hunagwene bhayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajilanhanaga chiza imitugo jabho, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagajichilulaga diyu imitugo jabho jinijo bhagajidima mpaga jiguta buli lushigu kunguno bhayidebhile isolobho ya mitugo jabho jinijo, umubhulamu bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhuliila mab’ele bhuli lushugu aha kaya yabho yiniyo kunguno ya gujilabhila chiza imitugo jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga ni kaya iyo yali na ng’ombe kaganda ja mab’ele kunguno nabhoyi bhagajilanhanaga chiza ing’ombe jabho ijo jigabhinhaga mab’ele bhuli lushugu, umukikalile kabho kenako. Hunagwene bhagayombaga giki, “shuli mab’ele ha nyango.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilabhila chiza imitugo yabho kugiki jidule gubhambilija chiza, umubhulamu bhobho.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

KISWAHILI: NG’OMBE MAZIWA KWENYE MLANGO.

Methali hiyo, huongelea juu ya ng’ombe wa maziwa kwenye familia fulani. Ilikuwepo familia moja iliyokuwa na ng’ombe kiasi katika kijiji cha Sanjo. Familia hiyo, ilikuwa ikitumia maziwa kila siku kwa sababu ya uwepo wa mifugo hao katika maisha yao. Ndiyo maana walisema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwatunza vizuri mifugo wao, maishani mwao. Watu hao, huwapeleka ng’ombe wao kwenye malisho asubuhi na mapema ambako huwalisha mpaka wanashiba kila siku kwa sababu wanazielewa faida za ng’ombe hao, kwenye maisha yao. Wao hutumia maziwa kila siku kwenye familia yao hiyo, kwa sababu ya kuwatunza vizuri ng’ombe wao hao, maishani mwao.

Watu hao hufanana na ile familia iliyokuwa na mifugo kiasi wa maziwa, kwa sababu nao wanao mifugo hao wanaowapatia watu hao mazima kila siku kwenye familia yao hiyo, katika maisha yao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “ng’ombe maziwa kwenye mlango.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri migugo wao ili waweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Isaya 66:10-11.

Mwanzo 13:1-2.

Mwanzo 13: 5-6.

glass-1587258__480

1164. UDIZIGUSHA NA NGUKU UGUBUKULA MBELELE.

Inguku ili shinu nhenaguji gete ukubhalimi iyo igajaga kumigunda yabho yagajilya ijiliwa jabho. Inguku yiniyo idulile gugamala amandege ga nimi uyo agigusha nayo bho nduhu ugukalana ijinagugulinda ungunda gokwe.

Olihoyi nimi uyo agigusha ni nguku bho guleka ugugulinda chiza ungunda gokwe uyo gali go mandege mpaga jugalya pye amandege gakwe genayo usagijiwa mbelele duhu. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “udizigusha na nguku ugubukula mbelele.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilekanijaga sagala ijiliwa jakwe mpaga jaliwa na majilili, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adajilanhanaga chiza ijiliwa jakwe ulu japya umumigunda yakwe kunguno ya bhulekenija bhokwe bhunubho. Uweyi agasangaga jamalagwa guliwa na majilili ijiliwa jakwe jiniko haho jitali mungunda kunguno ya bhujidadilila bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agaleka ugugalanhana chiza amandege gakwe mpaga gumalwa guliwa na nguku haho gatali mumo ngunda, kunguno nuweyi agajilekanijaga mpaka jamalwa guliwa na majilili ijiliwa jakwe, umukikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “udizigusha na nguku ugubukula mbelele.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhulalanhanu bho gujilanhana chiza ijiliwa jabho, kugiki bhadule kupandika jiliwa gubhambilija ujilisha chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Petro 5:8-9.

2 Thimotheo 4:7.

KISWAHILI: USICHEZE NA NYANI UTAVUNA MABUA.

Nyani ni mnyama mharibifu kabisa kwa wakulima ambaye huenda kula mahindi kwenye mashamba yao. Nyani huyo aweza kuyamaliza kuyala mahindi ya mkulima yule ambaye hucheza naye kwa kutokuyalinda vizuri mashamba yake hayo.

Alikuwepo mkulima yule ambaye alicheza na nyani kwa kuacha kulilinda vizuri shamba lake la mahindi mpaka nyani hao wakayala mahindi yake yote akabakishiwa mabua tu. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “usicheze na nyani utavuna mabua.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatelekeza mashamba yake ya chakula mpaka yakafikia hatua ya kuliwa na wanyama waharibifu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hayalindi vizuri mashamba yake ya chakula yanapokamaa kwa sababu ya kutokuyajali kwake. Yeye hukuta wanyama hao wameyala mazao yake yote yangali bado shambani kwa sababu ya kutokuyalinda vizuri hivyo mazao yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye hakuyalinda vizuri mahindi yake mpaka yakaliwe na nyani yangali bado shambani, kwa sababu naye huyatelekeza mazao yake mpaka yanaisha yote kwa kuliwa na wanyama waharibifu. Ndiyo maana watu humuambia kwamba “usicheze na nyani utavuna mabua.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na ujanja wa kuyalinda vizuri mazao yao ya chakula, ili waweze kuvuna mazao ya kutosha kuwasaidia katika kuzilisha vizuri familia zao, maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

2 Thimotheo 4:7.

ENGLISH: DO NOT PLAY WITH MONKEYS; YOU WILL REAP STALKS.

Monkeys are very destructive animals to farmers because they go to eat maizes in their fields. The monkey can end up eating the maizes of the farmer who plays with him by not protecting his fields properly.

There was a farmer who played with monkeys by not protecting his field of maizes properly until the monkeys ate all the maizes and he was left with only stalks. That is why people told him that, “do not play with monkeys; you will reap stalks.”

This proverb is compared to the person who neglects his food fields until they reach the stage of being eaten by pests, in his life. Such person does not protect his food fields well when they mature because of his carelessness. He finds that pests and other destructive animals have eaten all his crops while they are still in the field because of not protecting them properly, in his life.

Such person is similar to the one who did not protect his maizes properly until they were eaten by monkeys while they were still in the field, because he also neglects his crops until they are all eaten by pests. That is why people tell him that “do not play with monkeys; you will reap stalks.”

This proverb teaches people to be smart enough to protect their food crops, so that they can harvest enough crops to help them in feeding their family members well, in their lives.

1 Peter 5:8-9.

2 Timothy 4:7.

long-tailed-macaque-4501435__480

1163. MUMO JIGANONELA MUNHU JIGALEKAGWA.

Aho kale olihoyi munhu uyo olimuchalo jilebhe ijo jali jawiza noyi. Umunhu ng’wunuyo oliomanila noyi umuchalo jinijo kunguno ya wiza bhojo.

Aliyo lulu ligashiga likanza wigung’wa sata aha kaya yakwe yiniyo mpaga usamamila muchalo jingi na gwinga umuchalo jinijo kunguno yiniyo. Uweyi agajileka ichalo jinijo na wiza bhojo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayomba giki, “mumo jiganonela munhu jigalekagwa.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalyaga jiliwa chiza bho nduhu ugubhimbelwa umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalyaga ijiliwa bho gwilingila chiza numo agigutililaga duhu na goya ugulya, mumo jiganolela ijiliwa jinijo, kunguno adatogilwe ugulya mpaga ubhimbelwa. Uweyi agikalaga na majiliwa mingi aha kaya yakwe kunguno ya gujitumamila na witegeleja ijiliwa ijo agajipandikaga jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ulimuchalo jawiza usamila muchalo jingi, ujileka na wiza bhojo ichalo jinijo, kunguno nuweyi agalyaga jiliwa jinonu ulu wiguta duhu ojileka na bhunonu bhojo ijiliwa jinijo. Hunagwene agayombaga giki, “mumo jiganonela munhu jigalekagwa.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujitumila ijikolo jabho bho witegeleja bhutale kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 19:23-26.

Mathayo 2:13.

KISWAHILI: HATA KIKOLEE UTAMU WA CHUMVI HUACHWA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani ambacho kilikuwa kizuri sana. Mtu huyo alizoea sana kuishi kwenye kijiji hicho kwa sababu ya uzuri wa makazi hayo.

Lakini basi ulifika wakati ambapo alianza kuugua magonjwa mbalimbali kwenye familia yake mpaga akahamia kwenye kijiji kingine, akakiacha kijiji hicho pamoja na uzuri wake huo. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “hata kikolee utamu wa chumvi huachwa.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hula chakula kwa kiasi bila kubimbiwa katika maisha yake. Mtu huyo, hula chakula kwa umakini mzuri wa kutosheka tu na kuacha kula hata kama chakula hicho kitakuwa kitamu namna gani, kwa sababu hapendi kula mpaga kuvimbiwa. Yeye huwa na chakula kingi sana kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuvitumia kwa umakini vyakula anavyovipata, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeishi kwenye kijiji kizuri, akahamia kwenye kijiji kingine, akakiacha hicho na uzuri wake, kwa sababu naye hula chakula kizuri na kukiacha na uzuri wake kila anapotosheka kula. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “hata kikolee utamu wa chumvi huachwa.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuvitumia vitu vyao kwa umakini mkubwa ili viweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

Mwanzo 19:23-26.

Mathayo 2:13.

child-3893216__480

1162. ILI NIMO ILI NALEKELE B’IZIMBILI.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oli na nimo go gulima maguwa. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gokwe gunuyo mpaga unamhala kunguno goli na solobho nhale ukuwikaji bhokwe. Aho onamhala chiniko agandya gubhalanga bhizimbili bhakwe abho obhalekelaka kunguno ya giki nabho gubhambilije chiza umuwikaji bhobho. Hunagwene agayomba giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhalanga uguitumama imilimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama imilimo yakwe yiniyo bho guhoya nabho chiza bhuli lushigu kunguno ahayile giki nabho bhayidebhe chiza uguitumama umuwikaji bhobho. Uweyi agabhambilija abhanhu bhakwe bhenabho ugujibheja chiza ikaya jabho kunguno ya guitumama chiza imilimo iyo agabhalangaga yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu namhala uyo agabhalekela b’izimbili bhakwe unimo gokwe aho onamhala, kunguno nuweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe uguitumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “ili nimo ili nalekele b’izimbili.”

Akahayile kenako, kalanga bhabyaji higulya ya gubhalanga abhanhu bhabho uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi agagujilanhanile chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

KISWAHILI: KAZI HII NIACHIE WAJUKUU ZANGU.

Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa mkulima wa miwa. Mtu huyo aliifanya kazi yake hiyo mpaka akazeeka kwa sababu ilikuwa na faida kubwa katika maisha yake. Alipoona kwamba amezeeka hivyo, alianza kuwafundisha wajukuu zake kazi hiyo kwa sababu alitaka nao iwasaidie vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana alisema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea watoto wake kwa kuwafundisha kuzitekeleza kazi zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watoto wake hao kwa kuongea nao vizuri kila siku kwa sababu anataka wazielewe vizuri kazi hizo, maishani mwao. Yeye huwasaidia watu wake hao kuziendeleza vizuri familia zao kwa sababu ya kuzitekeleza vizuri kazi zake alizowafundisha, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mzee aliyewaachia watoto wake kazi zake alipozeeka, kwa sababu naye huwafundisha watoto wake namna ya kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kazi hii niachie wajukuu zangu.”

Msemo huo, hufundisha wazazi juu ya kuwarithisha watoto wao kazi zao, kwa kuwafundisha vizuri namna ya kuzitekeleza, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohana 20:20-23.

Mathayo 10:6-7.

Luka 9:1-2.

sugarcane-439880__480