legacy

1083. BENA: IMBWA NDAVILA PASI YE NYIDZI.

KISWAHILI: MBWA ANAYEANGALIA CHINI NDIYE MWIZI.

Methali hiyo, huangalia maisha ya mbwa aliyekuwa mwizi. Mbwa huyo, alikuwa akiiba nyama na kula mara kwa mara bila ya wamiliki wake kufahamu kuwa ni yeye kwa sababu ya kujificha kwake kwa kuangalia chini. Mbwa huyo alikuwa akiangalia chini ili kunesha hali ya kuficha kosa la kuiba nyama hizo.

Wamiliki wake walifanya utafiki uliowezesha kumtamgua aliyekuwa akiiba nyama zao. Utafiti huo, ulimkamata mbwa huyo baada ya kumuona akiziiba nyama hizo. Ndiyo maana walisema kwamba, “mbwa anayeangalia chini ndiye mwizi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huonekana kuwa ni mwema kwa nje lakini kwa ndani ni muovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo yake kwa lengo la kujionesha kwa nje tu kuwa ni mwema kwa sababu ya kutaka kujificha ili uovu wake usijulikane kwa watu. Yeye hugundulika tabia yake hiyo mbaya baada ya kukaa naye, ndipo unafiti wake hujionesha wazi baada yeye kujisahau, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mbwa aliyekuwa akiiba nyama na kujificha kwa kuangalia chini, kwa sababu naye huonekana kwa nje kuwa ni mtu mwema kumbe kwa ndani ni muovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mbwa anayeangalia chini ndiye mwizi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kujionesha kwa nje kuwa wema kwa kuacha kutenda maovu, na badala yake watende mema ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.

Mathayo 23:28 “Vivyo hivyo, ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.”

Luka 6:44 “Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Kwa maana watu hawachumi tini kwenye miiba wala zabibu kwenye michongoma.”

1samweli 16:7 “Lakini Bwana akamwambia Samweli usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake, kwa maana mimi nimemkataa. Bwana haangalii kama wanadamu waangaliavyo, bali Bwana huutazama moyo.”

ENGLISH: A DOG THAT LOOKS DOWN IS THE THIEF.

The overhead proverb looks at the life of a dog that was a thief. Such dog used to steal meat and eat it frequently without its owners realizing that it was him because of his hiding by looking down. Such dog was looking down in order to hide the crime of stealing the meat.

Its owners made a research that enabled them to identify the one who was stealing their meat. Such research, arrested the dog after seeing him stealing the meat. That is why they said that, “a dog that looks down is the thief.”

This proverb is compared to the person who appears to be good on the outside but is evil on the inside, in his life. Such person does his actions with the aim of showing himself to be good on the outside because he wants to hide himself so that his evil will not be known by people. People discover his bad behavior after staying with him, then his selfishness shows itself clearly after he forgets himself, in his life.

This person is like the dog that was stealing meat and hiding by looking down, because he also looks like a good person on the outside but is evil on the inside, in his life. That is why people tell him that, “a dog that looks down is the thief.”

This proverb instills in people an idea of abandoning a habit of showing themselves to be good by stopping doing evil, and instead they should do well so that they can live in peace with their nobles, in their families.

Matthew 23:28 “In the same way, you also, on the outside you appear to be righteous, but on the inside you are full of hypocrisy and rebellion.”

Luke 6:44 “Every tree is known by its fruit.” Because people don’t pick figs on thorns or grapes on brambles.”

1 Samuel 16:7 “But the Lord said to Samuel, don’t look at his face, nor at the height of his stature, because I have rejected him. The Lord does not look as men look, but the Lord looks at the heart.”

dog-1418330__480

puppy-4240180__480

german-shepherd-1970026__480

1082. JILEKAGI JIME BHUKANGA DUHU.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya bhuleki bho gung’wisha minzi mitugo. Jalihoyi ng’ombe ijo jigalya magula ga numbu ayo gagajenhelejaga gucha ulu jung’wa minzi. Abhanikili bha mitugo jinijo bhagajilemeja uguja ng’wa aminzi, gitumo bhagitilaga ulu jalyaga mandege momu, kunguno ya gujilanhana jigale mhola. Hunagwene bhagiwilaga giki, “jilekagi jime bhukanza duhu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugujilabhila chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilanhanaga ijikolo jakwe jinijo bhogujituula hasoga kunguno alina bhukalalwa bhutale ukusabho jakwe jinijo, umukikalile kakwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi aha kaya yakwe kunguno ya gujilanhana chiza bhuli jene ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagajilanhana ing’ombe jabho jukija ugucha, kunguno nuweyi agajilanhanaga isabho jakwe bho gujituula chiza, umukikakile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “jilekagi jime bhukanga duhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha kujilanghana chiza isabho jabho bho gujidilila chiza ijo bhalijipandika umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ku kulikanza lilihu umuwikaji bhobho.

Mathayo 13:27-30.

Mathayo 8: 14 -15.

KISWAHILI: ZIACHENI ZIKAE BILA KUNYWA MAJI TU.

Chanzo cha msemo huo, chaongelea juu ya uachaji wa kunywesha mifugo maji. Kulikuwa na ng’ombe waliokula majani ya viazi ambayo huwapelekea kufa kama wakinywa maji. Wenye ng’ombe hao waliwazuia kunywa maji hayo, kama wafanyavyo kwa wale waliokula mahindi makavu, kwa sababu ya kuwalinda ili wasife. Ndiyo maana wao waliambiana kwamba, “ziacheni zikae bila kunywa maji tu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule afahamuye kuvitunza vizuri vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, huviweka vitu vyake hivyo katika matunzo ya hali ya juu kwa sababu ya moyo wake huo wa kuzijali vizuri mali zake hizo, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake kwa sababu ya utunzaji wake wa kila mali anayoipata, katika utekelezaji wa majukumu yake.

Mtu huyo, hufanana na wamiliki wa ng’ombe waliowatunza mpaka wakabaki salama, kwa sababu naye huzitunza vizuri mali anazozipata katika kazi zake, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu wake kwamba, “ziacheni zikae bila kunywa maji tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa kuzitunza vizuri mali wanazozipata katika utekelezaji wa majukumu yao, ili ziweze kuwasaidia kwa kipindi kirefu, maishani mwao.

Mathayo 13:27-30.

Mathayo 8: 14 -15.

cow2

ENGLISH: YOU LET THEM STAY WITHOUT DRINKING WATER.

This saying is about preventing livestock from drinking water. There were cows that ate potato leaves which could lead to death if they could drink water. The owners of them prevented them from drinking the water, as they do for those who ate dry corn, because of protecting them from dying. That is why they said to each other, “you let them stay without drinking water.”

This saying is compared to the person who knows how to take good care of his things, in his life. This person keeps his things in high quality care because of his inspired heart enough to take good care of his possessions, in his life. He gets a lot of wealth in his family because of his good caring of every property he gets, in fulfilling his duties.

This person is similar to the owners of cows who took care of them until they remained safe, because he also takes care of his things in life. That is why he tells people that, “you let them stay without drinking water.”

This saying instills in people a clue on understanding ways of taking good care of the assets which they get in fulfilling their duties, so that they can help them for a long time, in their lives.

Matthew 13:27-30.

Matthew 8: 14 -15.

1081. MAGULU GANUNHA MONGO.

Imbuki ya kahayile kenako, ihoyelile higulya ya ng’wa munhu uyo wikalaga mumongo bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, oli na mabhonde mingi ayo oliolima maguha, madoke, minyemba, machungwa na gangi mingi. Uweyi wikalaga usingijaga umumabhonde gakwe genayo ayo gali mumongo kunguno ya gugalingulila na gutumama milimo moyi. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “magulu ganunha mongo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agadililaga milimo yakwe bho guyitumama chiza mpaga yang’wenhela solobho nhale, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, agamishaga diyu ogayitumama imilimo yakwe chiza bhuli lushigu, kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga solobho nhale noyi umumilimo yakwe yiniyo, kunguno ya bhudiliji bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo odililaga mabhonde gakwe bho gwikala agugalimilaga umumongo chiniko, kunguno nuweyi agadililaga milimo yakwe bho gutumama milimo chiza mpaga opandika solobho ya gubhiza na sabho ninghi umubhutumami bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “magulu ganunha mongo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila milimo yabho bho guyitumama mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika solobho ya kubhiza na jikolo ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.

Mithali 24:27.

Mithali 31:13-18.

Luka 14:29 – 30.

KISWAHILI: MIGUU IMENUKA MTO.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya mtu aliyekuwa akiishi kwenye mto kila wakati katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa na bustani nyingi za miwa, ndizi, maembe, machungwa na matunda mengine mengi. Yeye alikuwa akiyatembelea mashamba yake hayo ya bustani yaliyokuwa mtoni kwa ajili ya kuyakagua na kuyatunza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jila la “miguu imenuka mto.”      

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzijali kazi zake kwa kuzitunza vizuri mpaka zinamletea faida kubwa maishani mwake. Mtu huyo, huamuka asubuhi na kwenda kufanya kazi vizuri kila siku kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kutekeleza kazi zake hizo. Yeye hupata faida kubwa kutoka kwenye kazi zake hizo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzitekeleza vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyezijali bustani zake kwa kuzitunza vizuri, mpaga zikampatia faida kubwa, kwa sababu naye huzijali kazi zake kwa kuzitunza, mpaka zinamletea faida kubwa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jina la “miguu imenuka mto.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri mpaka mwisho, ili waweze kupata mafanikio makubwa ya kuwasaidia vizuri, katika maisha yao.

Mithali 24:27.

Mithali 31:13-18.

Luka 14:29 – 30.

ENGLISH: THE FEET HAVE A SMELL OF A RIVER.

The overhead saying talks about a person who lived on the river all the time in his life. This man had many gardens of sugarcane, bananas, mangoes, oranges and other fruits. He used to visit his gardens that were on the river enough to inspect and take good care of them, during his life. That is why people called him the name of “the feet have a smell of a river.”

This saying is compared to the person who takes care about his works by visiting them until they bring him great benefits in his life. This person wakes up in the morning and goes to work well every day because of his diligence in carrying out his works. He gets a lot of profit from his works because of his focus on fulfilling them well in his life.

This person is similar to the one who took care of his gardens by visiting them, until they gave him a lot of profit, because he also takes care of his works by inspecting them, until they bring him a lot of profit, in his life. That is why people call him “the feet have a smell of a river.”

This saying teaches people about taking care of their works by carrying them out well until the end, so that they can get great success can help them well, in their lives.

Proverbs 24:27.

Proverbs 31:13-18.

Luke 14:29 – 30.

fisherman-7281429__480

man-470187__480

fishermen-in-india-1087726__480

1079. ISUMBI LYA NGEGE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile Isumbi lya ngege. Ilisumbi linilo ligigasijiyagwa na munhu umo duhu uyo alimwinikili olyo, abhanhu abhangi bhadazunilijiwe uguligasija kunguno ya bhudonho bhokwe ng’winikili olyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “lisumbi lya ngege.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajilanhanaga chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alinabhudonho bho gujidilila na gujitumamila chiza ijikolo jakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umubhutumami bho milimo yakwe yiniyo. Uweyi agajikalanaga ijikolo jakwe bho makanza malihu kunguno ya bhudiliji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lisumbi ilo ligigasijiyagwa na ng’wilikili olyo duhu, kunguno nuweyi agajilanhanaga chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhakwe inzila ja gujidilila chiza ijikolo jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “isumbi lya Ngege.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujidilila chiza ijikolo jabho umubhutumami bho milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gujitumamila ijikolo jinijo kulikanza lilihu, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 18:27 – 28.

Zaburi 119: 9-11.

KISWAHILI: KITI CHA MTUNZAJI.

Chanzo cha Msemo huo, huangalia kiti cha mtunzaji. Kitu hicho, hukaliwa na mtu mmoja tu ambaye ndiye mmiliki wake, watu wengine hawaruhusiwi kukitumia kwa sababu ya utunzaji wake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiti cha mtunzaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitunza vizuri vitu vyake kwa kuvijali na vitumia kwa uangalifu zaidi, kwa sababu ya umakini wake huo. Yeye hubaki na vitu vyake akivitumia kwa muda mrefu, kwa sababu ya utunzaji wake huo mzuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiti kilichokaliwa na mmiliki wake tu, kwa sababu naye huvitumia kwa kuvijali vizuri vitu vyake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiti cha mtunzaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitumia vizuri vitu vyao hivyo, ili waweze kukaa navyo vikiwasaidia kwa muda mrefu, katika familia zao.

Yoshua Bin Sira 18:27 – 28.

Zaburi 119: 9-11.

massai1

ENGLISH: THE CARETAKER’S CHAIR.

This saying looks at ways which an owner of a given chair takes care of it. This chair is occupied by only one person who is the owner. Other people are not allowed to use it because of its preservation. That is why people call it “the caretaker’s chair.”

This saying is compared to the person who takes good care of his things in his life. This person does so by protecting and using them more carefully, because of his good attention. He stays with his things by using them for a long time, because of his good care, in his life.

This person is like a chair that was occupied only by its owner, because he also uses thing by taking good care of him. That is why people call them “the caretaker’s chair.”

This saying imparts in people an idea of being careful in using their things properly, so that they can stay with them and help them for a long time, in their families.

Joshua Bin Sira 18:27 – 28.

Psalm 119: 9-11.

1078. IYAGAMBA LINTOB’A B’ULOLO.

Akahayile kenako kalolile kikalile kaliyagamba. Iliyagamba linilo, liling’ombe ligosha ilo ligikalaga lyuchimija amapembe ulu lyashiga ukubhudimilo, nulu ulu lyabhona madale gangi ligachimijaga amapembe galyo genayo. Ilyoyi hangi ulu lyushiga halugegu lo mongo guti ulu hadoto ligandyaga guyuchimija mpaga lyabalanha bhulolo amapembe galyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “Iyagamba lintob’a bhulolo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alitumama nimo go gukonda bhugali nulu, nimo gosegose uyo agabhipaga luyilo, umubhutumami bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga nimo gokwe gunuyo bho wigulambija bhutale na guzunya gubhipa bhulolo mpaga ogumala chiza, kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ninghi ija gudula gubhagunana abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wigulambija bhokwe ubho gutumama chiza imilimo yakwe yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga niliyagamba ilo ligachimijaga amapembe galyo mubhulolo mpaga gadabalanha bhulolo, kunguno nuweyi agigulambijaga kutumama milimo yakwe bho guyila mpaga oyimala chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “iyagamba lintob’a b’ulolo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gutumama milimo yabho na nguzu mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gujambilija ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Waroma 12: 11.

Wagalatia 6: 9.

Mathayo 24:13.

 

KISWAHILI: FAHALI MVURUGA TOPE.

Msemo huo, huangalia maisha ya Fahali. Fahali huyo, ni dume la ng’ombe ambalo huwa linachomeka pembe zake kwenye matope hasa likifika kwenye sehemu ya kuchungia, au likiona kundi jingine la ng’ombe huchomeka chini pembe zake hizo. Lenyewe hasa huchomeka pembe zake likifika kwenye ukingo wa mto penye ubichi. Ndiyo maana watu humuita jina la “fahali mvuruga tope.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupika ugali au hufanya kazi yoyote ya kutoka jasho, katika utendaji wake wa kazi. Mtu huyo, kujibidisha kwa hali ya juu kufanya kazi za kutosha jabho, mpaka anazimaliza vizuri, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kupata mali nyingi kwenye familia yake kwa sababu ya kujibidisha kwake kufanya kwa nguvu hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule fahali aliyechafuka pembe zake kwa kuzichomeka kwenye matope, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake kwa kutosha jasho, mpaka anazimaliza vizuri, katika utendaji wake wa kazi. Ndiyo maana watu humuita jina la “fahali mvuruga tope.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi zao kwa nguvu mpaga wanazimaliza vizuri, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika familia zao, maishani mwao.

Waroma 12: 11.

Wagalatia 6: 9.

Mathayo 24:13.

ENGLISH: A MUD MIXER BULL.

The overhead saying looks at the life of the Bull. This Bull is a male cattle that sticks its horns in the mud especially when it reaches the grazing area, or when it sees another group of cows it sticks its horns down. It especially sticks out its horns when it reaches the edge of a river. That is why people call him as “a mud mixer bull.”

This saying is paralleled to a person who cooks stiff porridge or does any sweaty work, in his working activities. This person works hard to the point of finishing his works, because of his honest in his life. He manages to get a lot of wealth for his family because of his hard working in his life.

This person is like the bull that got his horns dirty by sticking them in the mud, because he also works hard enough to sweat to the point of finishing well his works, in his life. That is why people call consider him as “a mud mixer bull.”

This saying teaches people to be diligent in doing their works with strength until they finish them well, so that they can get assets that can help them in running well their families.

Romans 12:11.

Galatians 6:9.

Matthew 24:13.

 

bull-1